Mhubiri 10 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version

Mhubiri 10:1-20

110:1 Mit 13:16; 18:2Kama vile nzi waliokufa huacha harufu mbaya kwenye manukato,

ndivyo upumbavu kidogo huzidi nguvu hekima na heshima.

2Moyo wa mwenye hekima huelekea kuume,

lakini moyo wa mpumbavu huelekea kushoto.

3Hata anapotembea barabarani,

mpumbavu hukosa ufahamu

na kudhihirisha kwa kila mmoja

jinsi alivyo mpumbavu.

410:4 Mit 16:14; 25:15; Mhu 8:3Kama hasira ya mtawala ikiwaka dhidi yako,

usiache mahali pako,

utulivu huweza kuzuia makosa mengi.

5Kuna ubaya niliouona chini ya jua,

aina ya kosa litokalo kwa mtawala:

610:6 Mit 29:2Wapumbavu kuwekwa kwenye nafasi nyingi za juu,

wakati matajiri hushika nafasi za chini.

710:7 Mit 19:10Mimi nimeona watumwa wamepanda farasi,

wakati wakuu wakitembea

kwa miguu kama watumwa.

810:8 Es 2:23; Amo 5:19; Mit 26:27; Za 57:6; 9:16Yeye achimbaye shimo

aweza kutumbukia ndani yake,

yeyote abomoaye ukuta

anaweza kuumwa na nyoka.

910:9 Mit 26:27Yeyote apasuaye mawe

inawezekana yakamuumiza,

yeyote apasuaye magogo

inawezekana yakamuumiza.

10Kama shoka ni butu

na halikunolewa,

nguvu nyingi zinahitajika,

lakini ustadi utaleta mafanikio.

1110:11 Yer 8:17; Za 58:5; Isa 3:3Kama nyoka akiuma kabla ya kufanyiwa uaguzi,

mwaguzi hatahitajika tena.

1210:12 Mit 10:14, 32; 14:3; 15:2; 18:7Maneno yatokayo kinywani mwa mtu mwenye hekima

yana neema,

bali mpumbavu huangamizwa

na midomo yake mwenyewe.

13Mwanzoni maneno yake ni upumbavu,

mwishoni ni wazimu mbaya,

1410:14 Yak 4:14; Mit 15:2; Mhu 8:7; 5:3; 9:1naye mpumbavu huzidisha maneno.

Hakuna yeyote ajuaye linalokuja,

ni nani awezaye kueleza ni jambo gani

litakalotokea baada yake?

15Kazi ya mpumbavu humchosha mwenyewe,

hajui njia iendayo mjini.

1610:16 Isa 3:4-12Ole wako, ee nchi ambayo mfalme wako alikuwa mtumwa

na ambayo wakuu wako hufanya karamu asubuhi.

1710:17 Mit 31:4; Kum 14:26; 1Sam 25:36Heri wewe, ee nchi ambayo mfalme wako ni wa uzao wenye kuheshimika

na ambayo wakuu wako hula chakula kwa wakati unaofaa:

ili kupata nguvu na si kwa ajili ya ulevi.

1810:18 Mit 20:4; 24:30-34Kama mtu ni mvivu paa la nyumba huinama,

kutokana na mikono milegevu, nyumba huvuja.

1910:19 Mwa 14:18; Amu 9:13Karamu hufanywa kwa ajili ya kicheko,

nao mvinyo hufurahisha maisha,

lakini fedha ni jawabu la mambo yote.

2010:20 Kut 22:28Usimshutumu mfalme hata ikiwa ni katika mawazo yako,

au kumlaani tajiri katika chumba chako cha kulala,

kwa sababu ndege wa angani wanaweza kuchukua maneno yako,

naye ndege anayeruka anaweza kutoa taarifa ya yale uliyosema.

Chinese Contemporary Bible 2022 (Simplified)

传道书 10:1-20

1死苍蝇会使芬芳的膏油发臭,

同样,一点点愚昧足以毁掉智慧和尊荣。

2智者的心引导他走正路,

愚人的心带领他入歧途。10:2 这一节希伯来文是“智者的心在右,愚人的心在左。”

3愚人走路时也无知,

向众人显出他的愚昧。

4如果当权的人向你大发雷霆,

不要因此就离开岗位,

因为平心静气能避免大错。

5我发现日光之下有一件可悲的事,

似乎是掌权者所犯的错误:

6愚人身居许多高位,

富人却屈居在下。

7我曾看见奴仆骑在马上,

王子却像奴仆一样步行。

8挖掘陷阱的,自己必掉在其中;

拆围墙的,必被蛇咬;

9开凿石头的,必被石头砸伤;

劈木头的,必遭木头的威胁。

10斧头钝了若不磨利,

用起来必多费力气,

但智慧能助人成功。

11弄蛇人行法术之前,

若先被蛇咬,

行法术还有什么用呢?

12智者口出恩言,

愚人的话毁灭自己。

13愚人开口是愚昧,

闭口是邪恶狂妄。

14愚人高谈阔论,

其实无人知道将来的事,

人死后,谁能告诉他世间的事呢?

15愚人因劳碌而筋疲力尽,

连进城的路也认不出来。

16一国之君若年幼无知,

他的臣宰清早便宴乐,

那国就有祸了!

17一国之君若英明尊贵,

他的臣宰为了强身而饮食有律,

不酗酒宴乐,那国就有福了!

18屋顶因人懒惰而坍塌,

房间因人游手好闲而漏雨。

19宴席带来欢笑,

酒使人开怀,

钱使人万事亨通。

20不可咒诅君王,

连这样的意念都不可有,

也不可在卧室里咒诅富豪,

因为天空的飞鸟会通风报信,

有翅膀的会把事情四处传开。