Israeli Kuangamizwa
19:1 Za 68:21; Yer 11:11Nilimwona Bwana akiwa amesimama kando ya madhabahu, naye akasema:
“Piga vichwa vya nguzo
ili vizingiti vitikisike.
Viangushe juu ya vichwa vya watu wote;
na wale watakaosalia nitawaua kwa upanga.
Hakuna awaye yote atakayekimbia,
hakuna atakayetoroka.
29:2 Za 139:8-10; Ay 20:6; 7:9; Yer 51:33; Oba 1:4; Eze 26:20Wajapojichimbia chini mpaka kwenye vina vya kuzimu,
kutoka huko mkono wangu utawatoa.
Wajapopanda juu hadi kwenye mbingu,
kutoka huko nitawashusha.
39:3 Yer 23:24; 6:16-17; Za 139:8-10; 68:22; Mwa 49:17; Ay 11:20Wajapojificha juu ya kilele cha Karmeli,
huko nitawawinda na kuwakamata.
Wajapojificha kutoka kwenye uso wangu
katika vilindi vya bahari,
huko nako nitaamuru joka kuwauma.
49:4 Law 26:33; 17:10; Eze 5:12; 15:7; Kum 28:65; Yer 39:16; 21:10; 44:11Wajapopelekwa uhamishoni na adui zao,
huko nako nitaamuru upanga uwaue.
Nitawakazia macho yangu kwa mabaya
wala si kwa mazuri.”
59:5 Za 46:2; Amo 8:8; Mik 1:4Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote,
yeye agusaye dunia nayo ikayeyuka,
na wote wakaao ndani mwake wakaomboleza:
nayo nchi yote huinuka kama Naili,
kisha hushuka kama mto wa Misri;
69:6 Za 104:1-3, 5-13; Amo 5:8; Yer 43:9yeye ambaye hujenga jumba lake la kifalme katika mbingu
na kuisimika misingi yake juu ya dunia,
yeye aitaye maji ya bahari
na kuyamwaga juu ya uso wa nchi:
Bwana ndilo jina lake.
79:7 2Nya 12:3; Kum 2:23; Isa 43:3; 22:6; 2Fal 16:9; Yer 47:4; Amo 1:5; Mwa 10:14“Je, Waisraeli,
ninyi si sawa kwangu kama Wakushi?”
asema Bwana.
“Je, sikuleta Israeli kutoka Misri,
Wafilisti kutoka Kaftori,9:7 Yaani Krete.
na Washamu kutoka Kiri?
89:8 Yer 30:11; 44:27; Za 11:4“Hakika macho ya Bwana Mwenyezi
yako juu ya ufalme wenye dhambi.
Nami nitauangamiza
kutoka kwenye uso wa dunia:
hata hivyo sitaiangamiza kabisa
nyumba ya Yakobo,”
asema Bwana.
99:9 Lk 22:31; Isa 30:28; Yer 31:36; Dan 9:7“Kwa kuwa nitatoa amri,
na nitaipepeta nyumba ya Israeli
miongoni mwa mataifa yote,
kama vile nafaka ipepetwavyo katika ungo,
na hakuna hata punje moja itakayoanguka chini.
109:10 Yer 5:12; 23:17; 49:37; Eze 20:38; Amo 6:3Watenda dhambi wote miongoni mwa watu wangu
watauawa kwa upanga,
wale wote wasemao,
‘Maafa hayatatupata wala kutukuta.’
Kurejezwa Kwa Israeli
119:11 Mdo 15:16; Mik 7:8-11; Zek 12:7; Isa 7:2; 49:8; Mwa 26:22; Eze 17:24“Katika siku ile nitaisimamisha
hema ya Daudi iliyoanguka.
Nitakarabati mahali palipobomoka
na kujenga upya magofu yake,
na kuijenga kama ilivyokuwa awali,
129:12 Hes 24:18; Isa 43:7; Oba 1:19; Yer 25:29; Mdo 15:16-17ili wapate kuyamiliki mabaki ya Edomu,
na mataifa yote yale yanayobeba Jina langu,”
asema Bwana ambaye atafanya mambo haya.
139:13 Law 26:5; Amu 9:27; Yoe 3:18; 2:24; Yer 31:38; 33:14; Rut 2:3“Siku zinakuja,” asema Bwana,
“wakati mvunaji atatanguliwa na mkulima,
naye mpanzi atatanguliwa na yeye akamuaye zabibu.
Divai mpya itadondoka kutoka milimani,
na kutiririka kutoka vilima vyote.
149:14 Isa 32:18; 49:8; 62:9; 61:4; Eze 34:13-14; Yer 29:14; 33:7; 30:18Nitawarejesha tena watu wangu Israeli waliohamishwa;
wataijenga tena miji iliyoachwa magofu,
nao wataishi ndani mwake.
Watapanda mizabibu na kunywa divai yake;
watalima bustani na kula matunda yake.
159:15 Kut 15:17; Isa 60:21; 65:9; Yer 18:9; 23:8; 3:18; 24:6; 32:15; Eze 28:26; 34:28; Yoe 3:20Nitaipanda Israeli katika nchi yao wenyewe,
hawatangʼolewa tena
kutoka nchi ambayo nimewapa,”
asema Bwana Mungu wenu.
耶和华的审判
1我看见主站在祭坛旁,祂说:
“你要击打柱顶,使殿的根基震动;
要打碎它们,使殿宇坍塌压死众人。
侥幸生还的,我要用刀剑杀掉,
无人能逃脱,无人能幸免。
2即使他们挖洞钻进阴间,
我也要把他们揪出来;
即使他们爬上高天,
我也要把他们拉下来;
3即使他们藏在迦密山的峰顶,
我也要去搜寻,捉住他们;
即使他们潜到海底,
我也要派海蛇去吞咬他们;
4即使他们被敌人掳去,
我也要命刀剑追杀他们。
我要定睛在他们身上,
不是要赐福而是要降祸。”
5主——万军之耶和华触摸大地,
大地就消融,地上的人都要哀号;
大地如埃及的尼罗河涨起退落。
6那位在天上建造楼阁,
在大地之上立定穹苍,
召来海水浇在大地上的——
祂的名字是耶和华。
7耶和华说:
“以色列人啊,
在我眼中,你们不是和古实人一样吗?
我不是领你们出埃及,
领非利士人出迦斐托9:7 “迦斐托”即克里特岛。,
领亚兰人出吉珥吗?
8主耶和华的眼目察看这罪恶的国家,
我要从地上除灭它,
但不会完全毁灭雅各家。
这是耶和华说的。
9“因为我要下令在万国中筛以色列家,
就像人筛谷物,一粒石子也不会落在地上。
10在我的子民中,
所有夸口说‘灾祸不会追上我们,也不会迎面而来’的罪人,
都要死在刀下。
以色列的复兴
11“到那日,
我要重建大卫已倾覆的棚子,
修补它城墙的缺口。
我要从废墟中重建它,
恢复它往日的荣耀。
12这样,以色列人必拥有以东所剩的和所有属于我名下的国家。
这是要成就这事的耶和华说的。”
13耶和华说:
“时候将到,
五谷还未收完又该耕种了,
葡萄还未踩完又该栽种了。
甜酒从群山上滴下,在丘岭间流淌。
14我要使我被掳的以色列子民返乡,
他们要重建废城并住在城中,
栽种葡萄园,喝园中酿出的美酒,
整理园圃,吃园中出产的佳果。
15我要将以色列人栽种在他们自己的土地上,
他们永不再从我赐给他们的土地上被铲除。”
这是你们的上帝耶和华说的。