Obadia 1 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version

Obadia 1:1-21

11:1 Mwa 25:14; Isa 1:1; 21:11; Yoe 3:19; Mal 1:3; Eze 25:12-14; Yer 6:4-5; 49:7-22; Isa 11:14; 18:2; 34:11Maono ya Obadia.

Hili ndilo asemalo Bwana Mwenyezi kuhusu Edomu:

Tumesikia ujumbe kutoka kwa Bwana:

Mjumbe alitumwa kwa mataifa kusema,

“Inukeni, twendeni tukapigane vita dhidi yake.”

2“Angalieni, nitawafanya wadogo miongoni mwa mataifa,

mtadharauliwa kabisa.

31:3 Isa 14:13; 16:6; 2Fal 14:7; 2Nya 25:11-12; Ufu 18:7Kiburi cha moyo wako kimekudanganya,

wewe unayeishi katika majabali ya miamba

na kufanya makao yako juu,

wewe unayejiambia mwenyewe,

‘Ni nani awezaye kunishusha chini?’

41:4 Isa 10:14; 14:13; 14:14, 15; Ay 20:6; Amo 9:2; Yer 49:16; Hab 2:9Ingawa unapaa juu kama tai

na kufanya kiota chako kati ya nyota,

nitakushusha chini kutoka huko,”

asema Bwana.

51:5 Isa 24:13; Kum 4:27; 24:21“Ikiwa wevi wangekuja kwako,

ikiwa wanyangʼanyi wangekujia usiku:

Lo! Tazama ni maafa kiasi gani yangekuwa yanakungojea:

je, si wangeiba tu kiasi ambacho wangehitaji?

Kama wachuma zabibu wangekuja kwako,

je, wasingebakiza zabibu chache?

6Lakini tazama jinsi Esau atakavyotekwa,

jinsi hazina zake zilizofichwa zitatekwa nyara!

71:7 Yer 30:14; Za 41:9Wote ulioungana nao watakufukuza hadi mpakani,

rafiki zako watakudanganya na kukushinda,

wale wanaokula mkate wako watakutegea mtego,

lakini hutaweza kuugundua.

81:8 Ay 5:12; Isa 29:14“Katika siku hiyo,” asema Bwana,

“je, sitaangamiza watu wenye hekima wa Edomu,

watu wenye ufahamu katika milima ya Esau?

91:9 Mwa 36:11, 34; Amo 2:16; Za 76:5; Yer 49:22; Nah 3:13Ee Temani, mashujaa wako watatiwa hofu,

kila mmoja katika milima ya Esau

ataangushwa chini kwa kuchinjwa.

101:10 Yoe 3:19; Amo 1:11-12; Za 137:7; Mwa 47:21; Eze 35:5, 15; Mal 1:4; Eze 25:12-14; 35:9Kwa sababu ya jeuri uliyofanya dhidi ya ndugu yako Yakobo,

aibu itakufunika;

utaangamizwa milele.

111:11 Ay 6:27; Nah 3:10; Eze 24:6Siku ile ulisimama mbali ukiangalia

wakati wageni walipojichukulia utajiri wake

na watu wa nchi nyingine walipoingia malango yake

wakipiga kura kwa ajili ya Yerusalemu,

ulikuwa kama mmoja wao.

121:12 Eze 25:6; 35:15; Mit 17:5; 24:17; Mik 4:11; Ay 31:29Usingemdharau ndugu yako

katika siku ya msiba wake,

wala kufurahia juu ya watu wa Yuda

katika siku ya maangamizi yao,

wala kujigamba sana

katika siku ya taabu yao.

131:13 Eze 35:5Usingeingia katika malango ya watu wangu

katika siku ya maafa yao,

wala kuwadharau katika janga lao

katika siku ya maafa yao,

wala kunyangʼanya mali zao

katika siku ya maafa yao.

14Usingengoja kwenye njia panda

na kuwaua wakimbizi wao,

wala kuwatoa watu wake waliosalia

katika siku ya shida yao.

151:15 Yer 46:10; 50:29; Hab 2:8; Amu 1:7; Za 137:8; Eze 35:15; Yoe 2:31; 3:7-8; Eze 30:3; Amo 5:8“Siku ya Bwana iko karibu

kwa mataifa yote.

Kama ulivyofanya, nawe utafanyiwa vivyo hivyo,

matendo yako yatakurudia juu ya kichwa chako.

161:16 Yer 25:15; 49:12; Mao 4:21-22; Isa 51:17; Kut 15:17; Eze 25:12-14Kama vile ulivyokunywa juu ya mlima wangu mtakatifu,

vivyo hivyo mataifa yote watakunywa mfululizo,

watakunywa na kunywa,

nao watatoweka kana kwamba hawajawahi kuwepo.

171:17 Za 69:35; 74:2; Isa 14:1-2; Amo 9:11-15; Zek 8:12Lakini katika Mlima Sayuni kutakuwepo

na wale watakaookoka;

nao utakuwa mtakatifu,

nayo nyumba ya Yakobo

itamiliki urithi wake.

181:18 Zek 12:6; Yer 49:10; Isa 1:31Nyumba ya Yakobo itakuwa moto,

na nyumba ya Yosefu itakuwa mwali wa moto;

nayo nyumba ya Esau itakuwa bua kavu,

nao wataiwasha moto na kuiteketeza.

Hakutakuwa na watakaosalimika

kutoka nyumba ya Esau.”

Bwana amesema.

191:19 Isa 11:14; Sef 2:7; Yer 31:5; Hes 1:36Watu kutoka nchi ya Negebu

wataikalia milima ya Esau,

na watu kutoka miteremko ya vilima

watamiliki nchi ya Wafilisti.

Watayakalia mashamba ya Efraimu na Samaria,

naye Benyamini atamiliki Gileadi.

201:20 Lk 4:26; Yer 33:13; 1Fal 17:9-10Kundi la Waisraeli walioko uhamishoni Kanaani

watarudi na kumiliki nchi mpaka Sarepta.

Walioko uhamishoni Sefaradi kutoka Yerusalemu

watamiliki miji ya Negebu.

211:21 Dan 2:24, 44; Ufu 11:15; Zek 14:9; Isa 19:20; Amu 3:9; Za 22:28; 47:9Waokoaji watakwea juu ya Mlima Sayuni

kutawala milima ya Esau.

Nao ufalme utakuwa wa Bwana.

Chinese Contemporary Bible 2022 (Simplified)

俄巴底亚书 1:1-21

1以下是俄巴底亚看到的异象。

耶和华惩罚以东

我们从耶和华那里听到消息,

有位使者被派去对列国说:

“起来,我们去攻打以东吧!”

关于以东,主耶和华说:

2“看啊,我要使你在列国中最弱小,

备受藐视。

3你住在岩穴中,

居住在高山上,

自以为谁也不能把你拉下来,

但你的骄傲欺骗了你。

4即使你如鹰高飞,

在星辰间搭窝,

我也必把你拉下来。

这是耶和华说的。

5“盗贼夜间来你家,

难道不只偷所需要的吗?

人们到你那里摘葡萄,

难道不留下几串吗?

但你会被彻底毁灭!

6以扫1:6 “以扫”又名“以东”。要被洗劫一空,

他藏的珍宝要被搜去。

7你的盟友将你逐出家园;

你的朋友欺骗你,战胜你;

你的知己设陷阱害你,

你却懵然不知。”

8耶和华说:“到那天,

我要毁灭以东的智者,

除掉以扫山上的明哲。

9提幔的勇士必惊慌失措,

以扫山上的人尽遭杀戮。

惩罚以东的原因

10“因你曾残暴地对待同胞兄弟雅各

你必蒙羞,永遭毁灭。

11当外人掠夺雅各的财物、

异族攻入耶路撒冷的城门抽签分赃时,

你竟然袖手旁观,

就像他们的同伙一样。

12你的亲族遭难之日,

你不该幸灾乐祸;

犹大人被灭的日子,

你不该兴高采烈;

他们遭难的日子,

你不该口出狂言;

13我子民遭难的日子,

你不该闯进他们的城;

他们遭难的日子,

你不该幸灾乐祸;

他们遭难的日子,

你不该趁火打劫;

14你不该站在路口截杀那些逃亡者;

他们遭难的日子,

你不该把幸存者交给仇敌。

15“耶和华惩罚万国的日子近了。

必按你的所作所为报应你,

你的恶行必落到自己头上。

16犹大人在我的圣山上怎样饱饮愤怒,

万国也要照样不停地喝,

且要大口吞下,

直到他们完全消逝。

以色列的复兴

17“然而,锡安山必成为避难所,

成为圣地。

雅各家必得到自己的产业。

18雅各家将成为火,

约瑟家将成为烈焰,

以扫家将成为碎秸,

被火焚烧、吞噬,无一人逃脱。

这是耶和华说的。

19“南地的人将占领以扫山;

丘陵的人将占领非利士

夺取以法莲撒玛利亚

便雅悯人将占领基列

20被掳的以色列人将占领迦南人的土地,远至撒勒法

耶路撒冷被掳到西法拉的人将占领南地各城。

21拯救者必登上锡安山,

统治以扫山,

耶和华必做王掌权。”