哥林多前书 10 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible 2022 (Simplified)

哥林多前书 10:1-33

前车之鉴

1弟兄姊妹,我希望你们知道,我们的祖先曾经在云下,都曾经走过红海, 2都在云下、在海中受洗跟从了摩西3他们都吃过同样的灵粮, 4都喝过同样的灵水,因为他们从那与他们同行的属灵磐石中得水喝,那磐石就是基督。 5尽管如此,他们当中大多数人不讨上帝的喜悦,倒毙在旷野。

6如今这些事正好警戒我们,叫我们不要像他们那样贪恋罪恶。 7也不要祭拜偶像,像他们当中的人那样,正如圣经上说:“百姓坐下吃喝,起来狂欢。”10:7 出埃及记32:6 8我们也不要淫乱,像他们当中的人那样,结果一天就死了两万三千人。 9也不要试探主,像他们当中的人那样,结果被蛇咬死了。 10也不要发怨言,像他们当中的人那样,结果被灭命的天使毁灭了。 11发生在他们身上的这些事都是鉴戒,之所以记录下来是为了警戒我们这活在末世的人。 12所以,自以为站得稳的人要小心,免得跌倒。

13你们遇见的诱惑无非是人们常见的。上帝是信实的,祂绝不会让你们遇见无法抵挡的诱惑,祂必为你们开一条出路,使你们经得住诱惑。

切勿祭拜偶像

14所以,我亲爱的弟兄姊妹,你们要远避祭拜偶像的事。 15你们都是明白事理的人,可以判断我的话对不对。 16领圣餐时,我们为那福杯献上感谢,这不表示我们有份于基督的血吗?我们吃掰开的饼,这不表示我们有份于基督的身体吗? 17我们人数虽多,却同属一个身体,因为饼只有一个,我们同享一个饼。

18你们看以色列10:18 “以色列人”希腊文是“从血统上讲是以色列人”。,那些吃祭物的难道不是有份于祭坛吗? 19我这话是什么意思呢?是说偶像和祭偶像的食物有什么特别吗? 20当然不是,我的意思是那些异教徒所献的祭是祭鬼魔的,而不是献给上帝的。我不愿意你们与鬼魔有任何关系。 21你们不能又喝主的杯又喝鬼魔的杯,不能又吃主的圣餐又吃祭鬼魔的食物。 22我们想惹主嫉妒吗?难道我们比祂更有能力吗?

信徒的自由

23凡事我都可以做,但并非事事都有益处;凡事我都可以行,但并非事事都造就人。 24无论是谁,不要求自己的好处,要求别人的好处。

25市场上卖的肉,你们都可以吃,不必为良心的缘故而询问什么, 26因为大地和其中的万物都属于主。10:26 诗篇24:1 27如果有非信徒邀请你们吃饭,你们又愿意去,那么,只管吃桌上摆的食物,不必为良心的缘故而询问什么。 28不过,如果有人告诉你这些是献给偶像的祭物,你为了那告诉你的人和良心的缘故,就不要吃。 29不过我指的不是你的良心,而是那人的良心。也许有人说:“我的自由为什么要受别人的良心限制呢? 30我若存感恩的心吃,为什么还要受谴责呢?”

31所以,你们或吃或喝,无论做什么,都要为上帝的荣耀而做。 32不要成为犹太人、希腊人或上帝教会的绊脚石, 33就像我凡事尽量让人满意,不求自己的好处,只求众人的好处,以便他们可以得救。

Kiswahili Contemporary Version

1 Wakorintho 10:1-33

Onyo Kutoka Historia Ya Waisraeli

110:1 Rum 11:25; Kut 13:21; Za 105:39; Kut 14:22-29; Za 66:6Ndugu zangu, sitaki mkose kufahamu ukweli huu kwamba baba zetu walikuwa wote chini ya wingu na kwamba wote walipita katikati ya bahari. 210:2 Rum 6:3Wote wakabatizwa kuwa wa Mose ndani ya lile wingu na ndani ya ile bahari. 310:3 Yn 6:31; Kut 16:15, 35; Neh 9:15, 20; Za 78:24Wote walikula chakula kile kile cha roho, 410:4 Kut 17:6; Hes 20:11; Za 78:15na wote wakanywa kile kile kinywaji cha roho, kwa maana walikunywa kutoka ule mwamba wa roho uliofuatana nao, nao ule mwamba ulikuwa Kristo. 510:5 Hes 14:29; Ebr 3:17; Yud 5Lakini Mungu hakupendezwa na wengi wao, kwa hiyo miili yao ilitapakaa jangwani.

610:6 1Kor 9:11; Hes 11:4, 34Basi mambo haya yalitokea kama mifano ili kutuzuia tusiweke mioyo yetu katika mambo maovu kama wao walivyofanya. 710:7 Kut 32:4-19; 1Kor 9:14; Kut 32:6Msiwe waabudu sanamu, kama baadhi yao walivyokuwa, kama ilivyoandikwa, “Watu waliketi chini kula na kunywa, kisha wakainuka kucheza na kufanya sherehe za kipagani.” 810:8 Hes 25:1-9Wala tusifanye uzinzi kama baadhi yao walivyofanya, wakafa watu 23,000 kwa siku moja. 910:9 Kut 17:2; Za 78:18; 95:9; 106:14; Hes 21:5-6Wala tusimjaribu Kristo, kama baadhi yao walivyofanya, wakafa kwa kuumwa na nyoka. 1010:10 Hes 16:41; 17:5, 10; 16:49; Kut 12:23; 1Nya 21:15; Ebr 11:28Msinungʼunike kama baadhi yao walivyofanya, wakaangamizwa na mharabu.

1110:11 Rum 4:24; 13:11; 1Kor 10:6; 1Pet 4:7Mambo haya yote yaliwapata wao ili yawe mifano kwa wengine, nayo yaliandikwa ili yatuonye sisi ambao mwisho wa nyakati umetufikia. 1210:12 Rum 11:20; 2Kor 1:24Hivyo, yeye ajidhaniaye amesimama, aangalie asianguke. 1310:13 1Kor 1:9; 2Pet 2:9Hakuna jaribu lolote lililowapata ambalo si la kawaida kwa wanadamu. Naye Mungu ni mwaminifu; hataruhusu mjaribiwe kupita mnavyoweza. Lakini mnapojaribiwa atawapa njia ya kutokea ili mweze kustahimili.

Karamu Za Sanamu Na Meza Ya Bwana

1410:14 Ebr 6:9; 1Pet 2:11; 1Yn 2:9; 5:21; Yud 3Kwa hiyo wapenzi wangu, zikimbieni ibada za sanamu. 15Nasema watu wenye ufahamu, amueni wenyewe kuhusu haya niyasemayo. 1610:16 Mt 14:19; 26:26-28; 1Kor 11:25Je, kikombe cha baraka ambacho tunakibariki, si ushirika katika damu ya Kristo? Mkate tuumegao, si ushirika wa mwili wa Kristo? 1710:17 Rum 12:5; 1Kor 12:27Kwa kuwa mkate ni mmoja, sisi tulio wengi tu mwili mmoja, kwa kuwa wote twashiriki mkate mmoja.

1810:18 Law 7:6, 14, 15Waangalieni watu wa Israeli: Je, wale wote walao dhabihu si ni wale watendao kazi madhabahuni? 1910:19 1Kor 8:4; Rum 12:5; 1Kor 12:27Je, nina maana kwamba kafara iliyotolewa kwa sanamu ni kitu chenye maana yoyote? Au kwamba sanamu ni kitu chenye maana yoyote? 2010:20 Kum 32:17; Law 17:7; Za 107:37; Ufu 9:20La hasha! Lakini kafara za watu wasiomjua Mungu hutolewa kwa mashetani, wala si kwa Mungu. Nami sitaki ninyi mwe na ushirika na mashetani. 2110:21 2Kor 6:15-16; Kum 32:38; Mal 1:7, 12Hamwezi kunywa katika kikombe cha Bwana na cha mashetani pia. Hamwezi kuwa na sehemu katika meza ya Bwana na katika meza ya mashetani pia. 2210:22 Kum 32:16, 21; 1Fal 14:22; Za 78:58; Yer 44:8; Mhu 6:10; Isa 45:9Je, tunataka kuamsha wivu wa Bwana? Je, sisi tuna nguvu kuliko yeye?

Fanyeni Yote Kwa Utukufu Wa Mungu

2310:23 1Kor 6:12“Vitu vyote ni halali,” lakini si vitu vyote vilivyo na faida. “Vitu vyote ni halali,” lakini si vyote vinavyojenga. 2410:24 Rum 15:1-2; 1Kor 13:5; Flp 2:4, 21Mtu yeyote asitafute yaliyo yake mwenyewe, bali kila mtu atafute yale yanayowafaa wengine.

2510:25 Mdo 10:15; 1Kor 8:7Kuleni chochote kinachouzwa sokoni, bila kuuliza swali lolote kwa ajili ya dhamiri. 2610:26 Za 24:1; Kut 9:29; 19:5; Ay 41:11; Za 50:12; 1Tim 4:4Kwa maana, “Dunia na vyote vilivyomo ni mali ya Bwana.”

2710:27 Lk 10:7Kama ukikaribishwa chakula na mtu asiyeamini nawe ukikubali kwenda, kula kila kitu kitakachowekwa mbele yako bila kuuliza maswali kwa ajili ya dhamiri. 2810:28 1Kor 8:7, 10-12; Kum 10:14Lakini kama mtu yeyote akikuambia, “Hiki kimetolewa kafara kwa sanamu,” basi usikile kwa ajili ya huyo aliyekuambia na kwa ajili ya dhamiri. 29Nina maana dhamiri ya huyo aliyekuambia, wala si kwa ajili ya dhamiri yako. Lakini kwa nini uhuru wangu uhukumiwe na dhamiri ya mtu mwingine? 3010:30 Rum 14:6; 1Tim 4:3, 4Kama nikila kwa shukrani, kwa nini nashutumiwa kwa kile ambacho kwa hicho ninamshukuru Mungu?

3110:31 Zek 14:21; Kol 3:17; 1Pet 4:11Basi, lolote mfanyalo, kama ni kula au kunywa, fanyeni yote kwa utukufu wa Mungu. 3210:32 Mt 5:29; Mdo 24:16; 2Kor 6:3; 1Kor 11:16-22; 15:9; 1Tim 3:5Msiwe kikwazo kwa mtu yeyote, wawe Wayahudi au Wayunani, au kwa kanisa la Mungu, 3310:33 Rum 15:2; 1Kor 9:22; Rum 11:14kama hata mimi ninavyojaribu kumpendeza kila mtu kwa kila namna. Kwa maana sitafuti mema kwa ajili yangu mwenyewe bali kwa ajili ya wengi, ili waweze kuokolewa.