哥林多后书 1 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible 2022 (Simplified)

哥林多后书 1:1-24

问候

1我是奉上帝旨意做基督耶稣使徒的保罗,与提摩太弟兄写信给在哥林多的上帝的教会以及亚该亚境内所有的圣徒。

2愿我们的父上帝和主耶稣基督赐给你们恩典和平安!

上帝的安慰

3我们主耶稣基督的父上帝当受赞美!祂是仁慈的父和赐一切安慰的上帝。 4我们遭遇任何患难,祂都安慰我们,使我们能够用祂给我们的安慰去安慰那些在各样患难中的人。 5正如我们多受基督的苦难,也靠基督多得安慰。 6我们遭受患难,是为了使你们得到安慰和拯救;我们得到安慰,也是为了使你们得到安慰,以便你们能忍受像我们所遭遇的各样苦难。 7我们对你们坚信不移,因为知道你们既和我们同受苦难,也必和我们同得安慰。

8弟兄姊妹,希望你们知道我们在亚细亚所遭遇的苦难。那时我们承受极大的压力,超过了我们的极限,甚至连活命的指望都没了。 9我们心里觉得必死无疑,这使我们不倚靠自己,只倚靠使死人复活的上帝。 10祂曾救我们脱离可怕的死亡,并且还要救我们。我们深信祂必继续救我们。 11你们也要用祈祷帮助我们,使恩典借着许多人的祷告临到我们,众人便因此为我们感恩。

保罗改变计划

12我们引以为荣的是:我们为人处世是本着上帝所赐的圣洁和诚实,倚靠祂的恩典,不倚靠人的聪明才智,对待你们更是这样。这一点,我们的良心可以作证。 13-14我们不写任何你们不能读、不能懂的内容。你们现在对我们有几分认识,但我盼望你们最终完全认识到:当主耶稣再来的日子,你们将以我们为荣,我们也将以你们为荣。

15我有这样的把握,所以早就计划去你们那里,使你们有再次蒙福的机会。 16我打算经过你们那里去马其顿,再从马其顿回到你们那里,然后你们为我送行前往犹太17我定了这计划,难道会反复无常吗?难道我是意气用事,出尔反尔吗? 18我在信实的上帝面前保证:我们对你们说的话绝不会忽是忽非! 19我和西拉提摩太在你们当中传扬的上帝之子耶稣基督,绝不会忽是忽非,在祂只有“是”。 20因为上帝的一切应许在基督里都是确实的,所以我们也是借着基督说“阿们”,将荣耀归于上帝。 21是上帝使我们和你们一同在基督里坚立。祂膏抹了我们, 22在我们身上盖了祂自己的印记,并让圣灵住在我们心中作担保。

23我求上帝为我做见证:我没有去哥林多,是为了宽容你们。 24我们并不是要操纵你们的信仰,而是要帮助你们,使你们喜乐,因为你们在信仰上已经站稳了。

Kiswahili Contemporary Version

2 Wakorintho 1:1-24

Salamu

11:1 1Kor 1:11; Efe 1:1; Kol 1:1; 2Tim 1:1; Mdo 16:1; 1Kor 10:32; Mdo 18:1; 18:12Barua hii ni kutoka kwangu mimi Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, na Timotheo ndugu yetu,

Kwa kanisa la Mungu lililoko Korintho, pamoja na watakatifu wote walioko Akaya yote:

21:2 Rum 1:7; 1Kor 1:3; Gal 1:3; Flp 1:2; Kol 1:2; Flp 3:1; 1The 1:1Neema na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo iwe nanyi.

Mungu Wa Faraja Yote

31:3 Efe 1:3; 1Pet 1:3; Rum 15:5Ahimidiwe Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, Baba wa huruma na Mungu wa faraja yote. 41:4 Isa 49:13; 51:12; 66:13; 2Kor 7:6-13Yeye hutufariji katika taabu zetu, ili tuweze kuwafariji walio katika taabu yoyote kwa faraja ambayo sisi wenyewe tumepokea kutoka kwa Mungu. 51:5 Rum 8:17; 2Kor 4:10; Gal 6:17; Flp 3:10; Kol 1:24; 1Pet 4:13Kama vile mateso ya Kristo yanavyozidi ndani ya maisha yetu, hivyo ndivyo faraja yetu inavyofurika kwa njia ya Kristo. 61:6 2Kor 4:15; 4:17Kama tunataabika, ni kwa ajili ya faraja na wokovu wenu; kama tukifarijiwa, ni kwa ajili ya faraja yenu, iwaleteayo saburi ya mateso yale yale yanayotupata. 71:7 2Kor 1:5; Rum 8:17; 2Tim 2:12Nalo tumaini letu kwenu ni thabiti, kwa sababu tunajua kwamba kama vile mnavyoshiriki mateso yetu, ndivyo pia mnavyoshiriki katika faraja yetu.

81:8 Rum 11:25; 1Kor 15:32; Mdo 2:9Ndugu wapendwa, hatutaki mkose kujua kuhusu zile taabu tulizopata huko Asia. Kwa maana tulilemewa na mizigo sana, kiasi cha kushindwa kuvumilia, hata tulikata tamaa ya kuishi. 91:9 Yer 17:5-7; Yn 5:21Kwa kweli, mioyoni mwetu tulihisi tumekabiliwa na hukumu ya kifo, ili tusijitegemee sisi wenyewe bali tumtegemee Mungu afufuaye wafu. 101:10 Rum 15:31; 1Tim 4:10Yeye aliyetuokoa kwenye hatari kubwa ya kifo na atatuokoa tena. Kwake yeye tumeweka tumaini letu kwamba ataendelea kutuokoa. 111:11 Rum 15:30; Flp 1:19; 2Kor 4:15; 9:11Kama vile mlivyoungana kusaidiana nasi katika maombi, hivyo wengi watatoa shukrani kwa niaba yetu kwa ajili ya baraka za neema tulizopata kwa majibu ya maombi ya wengi.

Paulo Aahirisha Ziara

121:12 Mdo 23:11; 1The 2:10; 2Kor 2:17; 1Kor 1:17; 2:1-13Basi haya ndiyo majivuno yetu: Dhamiri yetu inatushuhudia kwamba tumeenenda katika ulimwengu na hasa katika uhusiano wetu na ninyi, katika utakatifu na uaminifu utokao kwa Mungu. Hatukufanya hivyo kwa hekima ya kidunia bali kwa neema ya Mungu. 13Kwa maana hatuwaandikii mambo ambayo hamwezi kusoma au kuyaelewa. Natumaini kwamba, 141:14 1Kor 1:8kama vile mlivyotuelewa kwa sehemu, mtakuja kuelewa kwa ukamilifu ili mweze kujivuna kwa ajili yetu, kama na sisi tutakavyojivuna kwa ajili yenu katika siku ya Bwana Yesu.

151:15 1Kor 4:19; Rum 1:11-13; 15:29Kwa kuwa nilikuwa na uhakika wa mambo haya, nilitaka nije kwenu kwanza, ili mpate faida mara mbili. 161:16 1Kor 16:5-7; Mdo 16:9; 3Yn 6; Mdo 19:2Nilipanga kuwatembelea nikiwa safarini kwenda Makedonia na kurudi tena kwenu nikitoka Makedonia, ili mnisafirishe katika safari yangu ya kwenda Uyahudi. 171:17 2Kor 10:2-3; 11:18Nilipopanga jambo hili, je, nilikuwa kigeugeu? Au ninafanya mipango yangu kwa hali ya mwili, ili niseme, “Ndiyo, ndiyo” na “Siyo, siyo” wakati huo huo?

181:18 1Kor 1:9Hakika kama Mungu alivyo mwaminifu, maneno yetu kwenu hayajawa “Ndiyo na Siyo.” 191:19 Mt 4:3; Mdo 15:22; 16:1Kwa kuwa Yesu Kristo, Mwana wa Mungu, ambaye tulimhubiri kwenu: Mimi, Silvano1:19 Yaani Sila. na Timotheo, hakuwa “Ndiyo” na “Siyo,” bali kwake yeye siku zote ni “Ndiyo.” 201:20 Rum 15:9Kwa maana ahadi zote za Mungu zilizo katika Kristo ni “Ndiyo.” Kwa sababu hii ni kwake yeye tunasema “Amen” kwa utukufu wa Mungu. 211:21 1Kor 16:13; 1Yn 2:20-27Basi ni Mungu atufanyaye sisi pamoja nanyi kusimama imara katika Kristo. Ametutia mafuta 221:22 Mwa 38:18; Hag 2:23; 2Kor 5:5kwa kututia muhuri wake na kutupa Roho wake mioyoni mwetu kuwa rehani kwa ajili ya kututhibitishia kile kijacho.

231:23 Rum 1:9; 1Kor 4:21; 2Kor 2:1-3; 13:2-10Mungu ni shahidi wangu kwamba ilikuwa ni kwa ajili ya kuwahurumia ninyi sikurudi Korintho. 241:24 1Pet 5:3; Rum 11:20; 1Kor 1:5-11Si kwamba tunatawala imani yenu, bali twatenda kazi pamoja nanyi kwa ajili ya furaha yenu, kwa sababu ni kwa imani mwasimama imara.