哥林多前书 9 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible 2022 (Simplified)

哥林多前书 9:1-27

使徒的权利

1我不是自由的吗?我不是使徒吗?我不是见过我们的主耶稣吗?你们不是我在主里工作的成果吗? 2即使对别人来说我不是使徒,对你们来说我也是使徒,因为你们就是我在主里做使徒的印证。

3对那些责难我的人,我的答复是这样: 4难道我们没有权利接受弟兄姊妹供应的饮食吗? 5难道我们没有权利像主的兄弟、矶法和其他使徒一样,带着信主的妻子一同出入吗? 6难道只有我和巴拿巴要自食其力吗? 7有谁当兵要自备粮饷呢?有谁栽种葡萄园,却不吃园中出产的葡萄呢?有谁牧养牛羊,却不喝牛羊的奶呢?

8我这样说难道只是人的观点吗?律法不也是这样说的吗? 9摩西的律法书上说:“牛在踩谷时,不可笼住它的嘴。”9:9 申命记25:4难道上帝关心的只是牛吗? 10祂这样说难道不是为了我们吗?这话的确是为我们写的,因为耕耘的和打谷的农夫都应该存着分享收成的盼望劳作。 11我们在你们中间既然撒下了属灵的种子,难道就不能从你们那里收获物质上的供应吗? 12如果别人有权要求你们供应他们,我们岂不更有权吗?可是我们从来没有用过这权利,反而凡事忍耐,免得妨碍了基督的福音。

13你们难道不知道,在圣殿里事奉的人可以吃圣殿里的食物,在祭坛前事奉的人可以分享祭坛上的祭物吗? 14同样,主也曾吩咐:传福音的人理当借着福音得到生活的供应。

15但是,我完全没有使用这权利,如今我谈这些事,并不是要你们这样待我。因为我宁死也不要让人抹杀我所夸耀的。 16其实我传福音并没有什么可夸的,因为这是托付给我的任务,我不传福音就有祸了! 17我若甘心乐意地传福音,就可以得奖赏;我若不甘愿,责任也已经委托给我了。 18那么,我能得到什么奖赏呢?就是我可以把福音白白地传给人,不使用自己因传福音而应有的权利。

19我虽然是自由之身,不受任何人支配,但我甘愿成为众人的奴仆,为了要得到更多的人。 20面对犹太人我就做犹太人,为了要赢得犹太人。面对守律法的人,我这不受律法束缚的人就守律法,为了要赢得守律法的人。 21面对没有律法的人,我就像个没有律法的人,为了要赢得没有律法的人。其实我并非在上帝的律法之外,我是在基督的律法之下。 22面对软弱的人我就做软弱的人,为了要得软弱的人。面对什么人,我就做什么人,为了要尽可能地救一些人。 23我做的一切都是为了福音的缘故,为了要与人分享福音的祝福。

24你们不知道吗?在运动场上赛跑的人虽然个个都在跑,但冠军只有一个。同样,你们也要努力奔跑,好获得奖赏。 25参加比赛的选手都事事自制,以求赢得桂冠,但这桂冠终必朽坏,我们要赢得的却是永不朽坏的桂冠。 26因此,我奔跑不是漫无目标,我击拳不是打空气。 27我制服己身,掌控自己,免得我传福音给别人,自己却被淘汰了。

Kiswahili Contemporary Version

1 Wakorintho 9:1-27

Haki Za Mtume

19:1 1Kor 1:1; 2Kor 12:12; 1Kor 15:8; 3:6; 4:15Je, mimi si huru? Je, mimi si mtume? Je, mimi sikumwona Yesu, Bwana wetu? Je, ninyi si matunda ya kazi yangu katika Bwana? 29:2 2Kor 3:2-3; 1Kor 12:12Hata kama mimi si mtume kwa wengine, hakika mimi ni mtume kwenu, kwa maana ninyi ni mhuri wa utume wangu katika Bwana.

3Huu ndio utetezi wangu kwa hao wanaokaa kunihukumu. 49:4 Mdo 18:3; Lk 10:8; 1Kor 9:14Je, hatuna haki ya kula na kunywa? 59:5 1Kor 7:7-8; Mt 12:46; 1Kor 1:12Je, hatuna haki ya kusafiri na mke anayeamini, kama wanavyofanya mitume wengine na ndugu zake Bwana na Kefa?9:5 Yaani Petro. 69:6 Mdo 4:36; 2The 3:8, 9Au ni mimi na Barnaba tu inatubidi kufanya kazi ili tuweze kupata mahitaji yetu?

79:7 2Tim 2:3-4; Kum 20:6; Mit 27:18; 1Kor 3:6-8Ni askari yupi aendaye vitani kwa gharama zake mwenyewe? Ni nani apandaye shamba la mizabibu na asile matunda yake? Ni nani achungaye kundi na asipate maziwa yake. 8Je, nasema mambo haya katika mtazamo wa kibinadamu tu? Je, sheria haisemi vivyo hivyo? 99:9 Kum 25:4; 1Tim 5:18; Kum 22:1-4; Mit 12:10Kwa maana imeandikwa katika Sheria ya Mose: “Usimfunge maksai kinywa apurapo nafaka.” Je, Mungu hapa anahusika na ngʼombe? 109:10 Rum 4:23-24; Mit 11:25; 2Tim 2:6Je, Mungu hasemi haya hasa kwa ajili yetu? Hakika yameandikwa kwa ajili yetu, kwa sababu mtu anapolima na mpuraji akapura nafaka, wote wanapaswa kufanya hivyo wakiwa na tumaini la kushiriki mavuno. 119:11 Rum 15:27; Gal 6:6Je, ikiwa sisi tulipanda mbegu ya kiroho miongoni mwenu, itakuwa ni jambo kubwa iwapo tutavuna vitu vya mwili kutoka kwenu? 129:12 Mdo 18:3; 2Kor 6:3; 11:7-12Kama wengine wana haki ya kupata msaada kutoka kwenu, isingepasa tuwe na haki hiyo hata zaidi?

Lakini sisi hatukutumia haki hii. Kinyume chake, tunavumilia kila kitu ili tusije tukazuia Injili ya Kristo. 139:13 Law 6:16-26; Kum 18:1Je, hamjui kwamba, watu wafanyao kazi hekaluni hupata chakula chao kutoka hekaluni, nao wale wahudumiao madhabahuni hushiriki kile kitolewacho madhabahuni? 149:14 1Tim 5:18; Mt 10:10; Lk 10:7; Gal 6:6; 1Tim 5:17Vivyo hivyo, Bwana ameamuru kwamba wale wanaohubiri Injili wapate riziki yao kutokana na Injili.

159:15 Mdo 18:3; 2Kor 11:9-10Lakini sijatumia hata mojawapo ya haki hizi. Nami siandiki haya nikitumaini kwamba mtanifanyia mambo hayo. Heri nife kuliko mtu yeyote kuninyima huku kujisifu kwangu. 169:16 Rum 1:14; Mdo 9:15; 26:15-18Lakini ninapohubiri Injili siwezi kujisifu maana ninalazimika kuhubiri. Ole wangu nisipoihubiri Injili! 179:17 1Kor 3:8-14; 4:1; Gal 2:7; Kol 1:25Nikihubiri kwa hiari, ninayo thawabu. Lakini kama si kwa hiari, basi ninachofanya ni kutekeleza tu uwakili niliowekewa. 189:18 2Kor 11:7; 12:13; 1Kor 10:33; 2Kor 4:5; 1Kor 7:31Basi je, thawabu yangu ni nini? Thawabu yangu ni hii: Ya kwamba katika kuhubiri Injili niitoe bila gharama, bila kutumia kwa utimilifu uwezo wangu nilio nao katika Injili.

199:19 2Kor 4:5; Gal 5:13; Mt 18:15; 1Pet 3:1Ingawa mimi ni huru, wala si mtumwa wa mtu yeyote, nimejifanya kuwa mtumwa wa kila mtu, ili niweze kuwavuta wengi kadri iwezekanavyo. 209:20 Mdo 16:3; 21:20-26; Rum 11:14; 2:12Kwa Wayahudi, nilikuwa kama Myahudi, ili niwapate Wayahudi. Kwa watu wale walio chini ya sheria, nilikuwa kama aliye chini ya sheria (ingawa mimi siko chini ya sheria), ili niweze kuwapata wale walio chini ya sheria. 219:21 Rum 2:12-14; Gal 6:2Kwa watu wasio na sheria nilikuwa kama asiye na sheria (ingawa siko huru mbali na sheria ya Mungu, bali niko chini ya sheria ya Kristo), ili niweze kuwapata wale wasio na sheria. 229:22 Rum 14:1; 1Kor 2:3; 10:33; Rum 11:14Kwa walio dhaifu nilikuwa dhaifu, ili niweze kuwapata walio dhaifu. Nimekuwa mtu wa hali zote kwa watu wote ili kwa njia yoyote niweze kuwaokoa baadhi yao. 23Nafanya haya yote kwa ajili ya Injili, ili nipate kushiriki baraka zake.

249:24 Flp 3:14; Kol 2:18; Gal 2:2; 5:7; Flp 2:16; 2Tim 4:7; Ebr 12:1Je, hamjui kwamba katika mashindano ya mbio wote wanaoshindana hukimbia, lakini ni mmoja wao tu apewaye tuzo? Kwa hiyo kimbieni katika mashindano kwa jinsi ambavyo mtapata tuzo.

259:25 2Tim 2:5; 4:8; Yak 1:12; 1Pet 5:4; Ufu 2:10; 3:11Kila mmoja anayeshiriki katika mashindano hufanya mazoezi makali. Wao hufanya hivyo ili wapokee taji isiyodumu, lakini sisi tunafanya hivyo ili kupata taji idumuyo milele. 269:26 1Tim 6:12; 2Kor 2:5; 1Kor 9:24Kwa hiyo mimi sikimbii kama mtu akimbiaye bila lengo, sipigani kama mtu anayepiga hewa, 279:27 Rum 8:12; 8:13; Kol 3:5; Rum 6:18-19; Yer 6:30; 2Kor 13:5, 6; Lk 10:7la, bali nautesa mwili wangu na kuutumikisha ili nikiisha kuwahubiria wengine, mimi nisiwe mtu wa kukataliwa.