Kutoka 23 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version

Kutoka 23:1-33

Sheria Za Haki Na Rehema

123:1 Mwa 36:7; Mt 19:18; Lk 3:14; Kut 20:16; Kum 5:20; 19:16-21; Za 27:12; 35:11; Mit 19:5; Mdo 6:11“Usieneze habari za uongo. Usimsaidie mtu mwovu kwa kuwa shahidi mwenye nia ya kudhuru wengine.

223:2 Law 19:15, 33; Kum 1:17; 27:19; 1Sam 8:3; Kum 24:17; 16:19; Ay 31:34“Usifuate umati wa watu katika kutenda mabaya. Unapotoa ushahidi kwenye mashtaka, usipotoshe haki ukijumuika na umati wa watu, 323:3 Rum 12:20; Law 6:2-3; 19:11; Kum 22:1-2nawe usimpendelee mtu maskini katika mashtaka yake.

4“Kama ukikutana na maksai au punda wa adui yako anapotea, hakikisha umemrudisha kwake. 523:5 Kum 22:4Ukiona punda wa mtu anayekuchukia ameanguka na mzigo wake, usimwache hapo alipoangukia; hakikisha kuwa umemsaidia.

623:6 Kum 23:16; Mit 22:22“Usiwanyime haki watu wako walio maskini katika mashtaka yao. 723:7 Kut 20:16; Efe 4:24-25; Mt 27:4; Mwa 18:23; Kut 34:7; Kum 19:18; 25:1Ujiepushe na mashtaka ya uongo, wala usimuue mtu asiye na hatia au mtu mwaminifu, kwa maana sitamhesabia hana hatia yeye aliye na hatia.

823:8 Kut 18:21; Law 9:15; Kum 10:17; 27:25; Ay 15:34; 36:18; Za 26:10; Mit 6:35; 15:27; 17:8; Isa 1:23; 5:23; Mik 3:11; 7:3“Usipokee rushwa, kwa kuwa rushwa hupofusha wale waonao, na kupinda maneno ya wenye haki.

923:9 Kut 22:21; Law 19:33-34; Eze 22:7“Usimwonee mgeni; ninyi wenyewe mnajua jinsi mgeni anavyojisikia, kwa sababu mlikuwa wageni Misri.

Sheria Za Sabato

10“Kwa muda wa miaka sita mtapanda mashamba yenu na kuvuna mazao, 1123:11 Law 25:1-7; Neh 10:31lakini katika mwaka wa saba usiilime ardhi wala kuitumia, ili watu walio maskini miongoni mwenu waweze kupata chakula kutoka kwenye hayo mashamba, nao wanyama pori wapate chakula kwa yale mabaki watakayobakiza. Utafanya hivyo katika shamba lako la mizabibu na la mizeituni.

1223:12 Kut 20:9; Lk 13:14; Mwa 2:2-3“Kwa siku sita fanya kazi zako, lakini siku ya saba usifanye kazi, ili maksai wako na punda wako wapate kupumzika, naye mtumwa aliyezaliwa nyumbani mwako, pamoja na mgeni, wapate kustarehe.

1323:13 Kum 4:9, 23; 1Tim 4:16; Kum 12:3; Yos 23:7; Za 16:4; Zek 13:2; Kum 18:20; Hos 2:17“Uzingatie kutenda kila kitu nilichokuambia. Usiombe kwa majina ya miungu mingine, wala usiyaruhusu kusikika kinywani mwako.

Sikukuu Tatu Za Mwaka

(Kutoka 34:18-26; Kumbukumbu 16:1-17)

1423:14 Kut 12:14; 34:23-24; Kum 16:16; 1Fal 9:25; 2Nya 8:13; Eze 46:9“Mara tatu kwa mwaka utanifanyia sikukuu.

1523:15 Kut 12:17; Mt 26:17; Lk 22:1; Mdo 12:3; Kut 12:2; 22:29“Utaadhimisha Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu; kwa siku saba utakula mikate isiyotiwa chachu kama nilivyokuagiza. Fanya jambo hili kwa wakati uliopangwa katika mwezi wa Abibu, ndio mwezi wa nne, kwa sababu katika mwezi huo ulitoka Misri.

“Mtu yeyote asije mbele yangu mikono mitupu.

1623:16 Law 23:15-21; Hes 28:26; Kum 16:9; 2Nya 8:13; Kut 22:29; 34:22; Law 23:34, 42; Kum 16:16; 31:10; Ezr 3:4; Neh 8:14; Zek 14:16; Yer 40:10; Kum 16:13“Utaadhimisha Sikukuu ya Mavuno kwa malimbuko ya mazao yako uliyopanda katika shamba lako.

“Utaadhimisha Sikukuu ya Kukusanya mavuno mwishoni mwa mwaka, unapokusanya mavuno yako toka shambani.

17“Mara tatu kwa mwaka wanaume wote watakuja mbele za Bwana Mwenyezi.

1823:18 Kut 34:25; Law 2:11; Kut 12:8“Msitoe damu ya dhabihu kwangu pamoja na kitu chochote kilicho na chachu.

“Mafuta ya mnyama wa sadaka ya sikukuu yangu yasibakizwe mpaka asubuhi.

19“Utaleta malimbuko bora ya ardhi yako katika nyumba ya Bwana Mungu wako.

“Usimchemshe mwana-mbuzi katika maziwa ya mama yake.

Malaika Wa Mungu Kuandaa Njia

2023:20 Mwa 16:7; Kut 15:17; 32:34“Tazama, ninamtuma malaika akutangulie mbele yako akulinde njiani na kukuleta mpaka mahali nilipoandaa. 2123:21 Kum 18:19; Yer 13:15; Kum 29:20; 2Fal 24:4; Mao 1:17; Hes 17:10; Kum 9:7; 31:27; Yos 24:19; Za 25:7; 78:8, 40; 106:33; 107; 11; 1Yn 5:16; Kut 3:15Mtamtii na kusikiliza kile anachokisema. Usiasi dhidi yake; hatakusamehe uasi wako, kwa maana Jina langu limo ndani yake. 2223:22 Kut 15:26; Mwa 12:3; Isa 41:11; Yer 30:20Kama ukitii kweli kweli kile asemacho na kufanya yote nisemayo, nitakuwa adui wa adui zako, na nitawapinga wale wakupingao. 2323:23 Hes 13:29; 21:21; Yos 3:10; 24:8-10; 24:8-11; Ezr 9:1Malaika wangu atatangulia mbele yako na kukuleta katika nchi ya Waamori, Wahiti, Waperizi, Wakanaani, Wahivi na Wayebusi, nami nitawafutilia mbali. 2423:24 Kut 20:5; Law 18:3; 20:23; Kum 9:4; 12:30-31; Yer 10:2; Kut 34:13; Hes 33:52; Kum 7:5; 12:3; Amu 2:2; 2Fal 18:4; 23:14; Kum 16:22; 1Fal 14:23; 3:2; 10:26; 17:20; 2Nya 14:2-3; Isa 27:9Usiisujudie miungu yao, au kuiabudu, wala kufuata desturi yao. Utayabomoa kabisa na kuvunjavunja mawe yao ya ibada vipande vipande. 2523:25 Mt 4:10; Law 26:3-13; Kum 7:12-15; 28:1-14; Kut 15:26Utamwabudu Bwana Mungu wako, na baraka zake zitakuwa juu ya vyakula vyako na maji yako. Nami nitaondoa maradhi miongoni mwako, 2623:26 Law 26:3-4; Kum 7:14; 28:4; Mal 3:11; Mwa 15:15; Kum 4:1, 40; 21:12na hakuna atakayeharibu mimba wala atakayekuwa tasa katika nchi yako. Nami nitakupa maisha makamilifu.

2723:27 Mwa 35:5; Kut 15:14; 14:24; Kum 7:23; 2Sam 22:41; Za 18:40; 21:12“Nitapeleka utisho wangu mbele yako na kufadhaisha kila taifa utakalolifikia. Nitafanya adui zako wote wakupe kisogo na kukimbia. 2823:28 Kum 7:20; Yos 24:12; Kut 33:2; 34:11, 24; Hes 13:29; Kum 4:38; 11:23; 18:12; Yos 3:10; 24:11; Za 78:55Nitatanguliza manyigu mbele yako kuwafukuza Wahivi, Wakanaani na Wahiti waondoke njiani mwako. 2923:29 Kum 7:22Lakini sitawafukuza kwa mara moja, kwa sababu nchi itabaki ukiwa na wanyama pori watakuwa wengi mno kwako. 3023:30 Yos 23:5Nitawafukuza kidogo kidogo mbele yako, mpaka uwe umeongezeka kiasi cha kutosha kuimiliki nchi.

3123:31 Mwa 2:14; Kum 34:2; Ezr 4:20; Kum 7:24; 9:3; Yos 21:44; 24:12-18; Za 80:8“Nitaweka mipaka ya nchi yako kuanzia Bahari ya Shamu hadi Bahari ya Wafilisti, na kuanzia jangwani hadi Mto Frati. Nitawatia watu wanaoishi katika nchi hizo mikononi mwako, nawe utawafukuza watoke mbele yako. 3223:32 Mwa 26:28; Kut 34:12; Kum 7:2; Yos 9:7; Amu 2:2; 1Sam 11:1; 1Fal 15:19; 20:34; Eze 17:13Usifanye agano lolote nao wala na miungu yao. 3323:33 Kut 10:7; Za 106:36Usiwaache waishi katika nchi yako, la sivyo watakusababisha utende dhambi dhidi yangu, kwa sababu ibada ya miungu yao hakika itakuwa mtego kwako.”

Chinese Contemporary Bible 2022 (Simplified)

出埃及记 23:1-33

公义与怜悯

1“不可散布谣言,也不可与恶人联手作伪证。 2不可随众行恶。在法庭作证时不可附和多数人,颠倒是非。 3在诉讼的事上不可偏袒穷人。

4“倘若看见仇人的牛或驴走迷了路,总要牵回去交给他。 5倘若遇见仇人的驴被驮的重物压倒,不可径自走开,总要帮助仇人抬开重物。

6“不可在诉讼案中冤枉穷人。 7不可诬告别人,不可杀害正直无辜的人,因为我必惩罚作恶之人。 8不可收受贿赂,因为贿赂蒙蔽人的眼目,使人颠倒是非。 9不可欺凌在你们中间寄居的人,因为你们也曾经在埃及寄居,知道寄居他乡的滋味。

安息年和安息日

10“六年之内你要耕种收割, 11第七年要让土地休息,不耕不种,你们当中的穷人可以吃田中长出来的,剩下的可以留给动物吃。你也要这样处理葡萄园和橄榄园。 12六天之内,你要工作,但第七天要休息。这样,牛、驴可以歇息,你家里的奴仆和寄居的也可以休息。 13你们要谨慎遵从我对你们说的话。不可提其他神明的名字,不可从你口中听到它们的名字。

三大节期

14“你每年要向我守三个节期。 15要守除酵节,照我的吩咐在每年亚笔月所定的日期连续吃七天的无酵饼,因为你是在这个月离开了埃及。谁也不可空手朝见我。 16要在耕种后收取初熟之物的时候守收获节。要在年终从田间收取劳动成果时守收藏节。 17所有的男子都要在这三个节期朝见主耶和华。

18“不可把祭牲的血和有酵的饼一起献给我,也不可把节期祭牲的脂肪留到早晨。 19要把田中最好的初熟之物送到你们的上帝耶和华的殿中。不可用母山羊的奶煮它的小羊羔。

应许赐迦南

20“看啊,我要差遣天使走在你前面,在路上保护你,带领你到达我所预备的地方。 21他是奉我的名来的,你们要谨遵他的话,不可悖逆,不然他必不赦免你们的过犯。

22“你若认真听从他的吩咐,遵行我的话,我就与你的仇敌为敌,与你的对头作对。 23我的天使要走在你前面,带领你去亚摩利人、人、比利洗人、迦南人、希未人和耶布斯人所住的地方,我会把他们全部消灭。 24不可叩拜他们的神明,不可供奉它们,也不可效法他们的行为,要彻底拆毁神像,打碎他们的神柱。 25你们要事奉你们的上帝耶和华,我必赐给你食物和水,使疾病远离你们, 26在你境内必没有人流产或不育,我会使你享尽天年。 27你所到之处,我必使那里的人惶恐不安,使你一切的仇敌都在你面前转身逃跑。 28我要派黄蜂做你的先锋,赶走那些希未人、迦南人和人。 29我不会在一年之内把这些人全部赶走,免得土地荒凉,野兽泛滥。 30我会逐渐地赶走他们,直到你们人丁兴旺,可以占据那片土地。 31我给你定下国界,从红海到非利士海岸,从旷野到幼发拉底河。我要把其中所有的居民都交在你手中,你要把他们全部赶出去。 32不可跟这些民族及其神明立约, 33也不可让这些民族住在你的土地上,免得他们使你得罪我,你若供奉他们的神明,必因此而陷入网罗。”