Hukumu Dhidi Ya Israeli
15:1 Hos 6:9; 9:8; Ay 10:12; Yer 5:26“Sikieni hili, enyi makuhani!
Kuweni wasikivu, enyi Waisraeli!
Sikieni, ee nyumba ya mfalme!
Hukumu hii ni dhidi yenu:
Mmekuwa mtego huko Mispa,
wavu uliotandwa juu ya Tabori.
25:2 Hos 4:2; 9:15Waasi wamezidisha sana mauaji.
Mimi nitawatiisha wote.
35:3 Eze 23:7; Za 90:8; Hos 1:2; 6:10; Amo 5:12Ninajua yote kuhusu Efraimu,
Israeli hukufichika kwangu.
Efraimu, sasa umegeukia ukahaba,
Israeli amenajisika.
45:4 Hos 4:6, 11; 7:10; Yer 4:22“Matendo yao hayawaachii
kurudi kwa Mungu wao.
Roho ya ukahaba imo ndani ya mioyo yao,
hawamkubali Bwana.
55:5 Isa 3:9; Yer 2:19; Hos 7:10Kiburi cha Israeli kinashuhudia dhidi yao;
Waisraeli, hata Efraimu,
wanajikwaa katika dhambi zao;
pia Yuda atajikwaa pamoja nao.
65:6 Mik 6:6-7; Mit 1:28; Mal 1:10; Eze 8:6; Isa 1:26Wakati wanapokwenda na makundi yao
ya kondoo na ngʼombe
kumtafuta Bwana,
hawatampata;
yeye amejiondoa kutoka kwao.
75:7 Isa 1:14; 24:16; Hos 2:4, 11-12; 6:7; Eze 12:28Wao si waaminifu kwa Bwana;
wamezaa watoto haramu.
Sasa sikukuu zao za Mwandamo wa Mwezi
zitawaangamiza wao
pamoja na mashamba yao.
85:8 Amu 19:12; Hos 4:15; 10:9; Isa 10:29; Yos 7:2; Hes 10:2; Yer 4:21“Pigeni tarumbeta huko Gibea,
baragumu huko Rama.
Paza kilio cha vita huko Beth-Aveni,5:8 Beth-Aveni maana yake Nyumba ya Ubatili (au Uovu), jina lingine la Betheli kwa dhihaka.
ongoza, ee Benyamini.
95:9 Isa 37:3; Hos 9:11-17; Isa 46:10; 7:16; Zek 1:6Efraimu ataachwa ukiwa
katika siku ya kuadhibiwa.
Miongoni mwa makabila ya Israeli
ninatangaza lile ambalo halina budi kutukia.
105:10 Kum 19:14; Eze 7:8Viongozi wa Yuda ni kama wale
wanaosogeza mawe ya mpaka.
Nitamwaga ghadhabu yangu juu yao
kama mafuriko ya maji.
115:11 Hos 9:16; Mik 6:16Efraimu ameonewa,
amekanyagwa katika hukumu
kwa kuwa amekusudia kufuatia sanamu.
125:12 Ay 13:28; Isa 51:8; Ay 18:16Mimi ni kama nondo kwa Efraimu,
na kama uozo kwa watu wa Yuda.
135:13 Hes 12:1; Eze 23:5; Mao 5:6; Hos 2:7; Yer 30:12; Isa 7:16; 3:7“Wakati Efraimu alipoona ugonjwa wake,
naye Yuda vidonda vyake,
ndipo Efraimu alipogeukia Ashuru,
na kuomba msaada kwa mfalme mkuu.
Lakini hawezi kukuponya,
wala hawezi kukuponya vidonda vyako.
145:14 Ay 10:16; Yer 4:7; Kum 32:39; Mik 5:8; Amo 3:4Kwa maana nitakuwa kama simba kwa Efraimu,
kama simba mkubwa kwa Yuda.
Nitawararua vipande vipande na kuondoka;
nitawachukua mbali,
na hakuna wa kuwaokoa.
155:15 Hes 21:7; Za 24:6; 50:15; Yer 2:27; Eze 20:43; Isa 18:4; 64:9Kisha nitarudi mahali pangu
mpaka watakapokubali kosa lao.
Nao watautafuta uso wangu;
katika taabu yao watanitafuta kwa bidii.”
Juicio contra Israel
1»¡Oigan esto, sacerdotes!
¡Pongan atención, israelitas!
¡Escucha, casa real!
¡Contra ustedes es la sentencia!
En Mizpa han sido ustedes una trampa;
en el monte Tabor, una red tendida.
2Los rebeldes se han excedido en su matanza;
por eso, yo los disciplinaré a todos.
3Yo conozco bien a Efraín;
Israel no me es desconocido.
Tú, Efraín, te has prostituido;
e Israel se ha contaminado.
4»Sus malas obras no les permiten
volverse a su Dios;
hay espíritu de prostitución en su interior
que les impide reconocer al Señor.
5La arrogancia de Israel testificará en su contra;
Israel y Efraín tropezarán con su maldad,
también Judá caerá como ellos.
6Con sus ovejas y sus vacas
irán en busca del Señor,
pero no lo encontrarán
porque él se ha apartado de ellos.
7Han traicionado al Señor;
han dado a luz hijos de otros padres.
Al llegar la luna nueva
serán devorados junto a sus heredades.
8»Toquen el cuerno en Guibeá,
hagan sonar la trompeta en Ramá,
lancen el grito de guerra en Bet Avén:5:8 Bet Avén. Véase nota en 4:15.
“¡Cuídate las espaldas, Benjamín!”.
9En el día de la reprensión
Efraín quedará desolado.
Entre las tribus de Israel
doy a conocer lo que les va a pasar.
10Los líderes de Judá se parecen
a los que alteran los linderos.
¡Derramaré mi enojo sobre ellos
como agua en una inundación!
11Efraín está oprimido,
aplastado por el juicio,
empeñado en seguir a los ídolos.5:11 ídolos. Palabra de difícil traducción.
12¡Pues seré para Efraín como polilla
y como podredumbre para el pueblo de Judá!
13»Cuando Efraín vio su enfermedad
y Judá reparó en sus llagas,
Efraín recurrió a Asiria
y pidió la ayuda del gran rey.
Pero el rey no podrá sanarlo
ni tampoco curar sus llagas.
14Yo seré como un león para Efraín
y como un gran león para el pueblo de Judá.
Yo mismo los haré pedazos y luego me alejaré;
yo mismo me llevaré la presa y no habrá quien me la arrebate.
15Volveré luego a mi morada
hasta que reconozcan su culpa
y busquen mi rostro;
en su angustia
me buscarán con sinceridad».