Hosea 5 – NEN & NVI

Kiswahili Contemporary Version

Hosea 5:1-15

Hukumu Dhidi Ya Israeli

15:1 Hos 6:9; 9:8; Ay 10:12; Yer 5:26“Sikieni hili, enyi makuhani!

Kuweni wasikivu, enyi Waisraeli!

Sikieni, ee nyumba ya mfalme!

Hukumu hii ni dhidi yenu:

Mmekuwa mtego huko Mispa,

wavu uliotandwa juu ya Tabori.

25:2 Hos 4:2; 9:15Waasi wamezidisha sana mauaji.

Mimi nitawatiisha wote.

35:3 Eze 23:7; Za 90:8; Hos 1:2; 6:10; Amo 5:12Ninajua yote kuhusu Efraimu,

Israeli hukufichika kwangu.

Efraimu, sasa umegeukia ukahaba,

Israeli amenajisika.

45:4 Hos 4:6, 11; 7:10; Yer 4:22“Matendo yao hayawaachii

kurudi kwa Mungu wao.

Roho ya ukahaba imo ndani ya mioyo yao,

hawamkubali Bwana.

55:5 Isa 3:9; Yer 2:19; Hos 7:10Kiburi cha Israeli kinashuhudia dhidi yao;

Waisraeli, hata Efraimu,

wanajikwaa katika dhambi zao;

pia Yuda atajikwaa pamoja nao.

65:6 Mik 6:6-7; Mit 1:28; Mal 1:10; Eze 8:6; Isa 1:26Wakati wanapokwenda na makundi yao

ya kondoo na ngʼombe

kumtafuta Bwana,

hawatampata;

yeye amejiondoa kutoka kwao.

75:7 Isa 1:14; 24:16; Hos 2:4, 11-12; 6:7; Eze 12:28Wao si waaminifu kwa Bwana;

wamezaa watoto haramu.

Sasa sikukuu zao za Mwandamo wa Mwezi

zitawaangamiza wao

pamoja na mashamba yao.

85:8 Amu 19:12; Hos 4:15; 10:9; Isa 10:29; Yos 7:2; Hes 10:2; Yer 4:21“Pigeni tarumbeta huko Gibea,

baragumu huko Rama.

Paza kilio cha vita huko Beth-Aveni,5:8 Beth-Aveni maana yake Nyumba ya Ubatili (au Uovu), jina lingine la Betheli kwa dhihaka.

ongoza, ee Benyamini.

95:9 Isa 37:3; Hos 9:11-17; Isa 46:10; 7:16; Zek 1:6Efraimu ataachwa ukiwa

katika siku ya kuadhibiwa.

Miongoni mwa makabila ya Israeli

ninatangaza lile ambalo halina budi kutukia.

105:10 Kum 19:14; Eze 7:8Viongozi wa Yuda ni kama wale

wanaosogeza mawe ya mpaka.

Nitamwaga ghadhabu yangu juu yao

kama mafuriko ya maji.

115:11 Hos 9:16; Mik 6:16Efraimu ameonewa,

amekanyagwa katika hukumu

kwa kuwa amekusudia kufuatia sanamu.

125:12 Ay 13:28; Isa 51:8; Ay 18:16Mimi ni kama nondo kwa Efraimu,

na kama uozo kwa watu wa Yuda.

135:13 Hes 12:1; Eze 23:5; Mao 5:6; Hos 2:7; Yer 30:12; Isa 7:16; 3:7“Wakati Efraimu alipoona ugonjwa wake,

naye Yuda vidonda vyake,

ndipo Efraimu alipogeukia Ashuru,

na kuomba msaada kwa mfalme mkuu.

Lakini hawezi kukuponya,

wala hawezi kukuponya vidonda vyako.

145:14 Ay 10:16; Yer 4:7; Kum 32:39; Mik 5:8; Amo 3:4Kwa maana nitakuwa kama simba kwa Efraimu,

kama simba mkubwa kwa Yuda.

Nitawararua vipande vipande na kuondoka;

nitawachukua mbali,

na hakuna wa kuwaokoa.

155:15 Hes 21:7; Za 24:6; 50:15; Yer 2:27; Eze 20:43; Isa 18:4; 64:9Kisha nitarudi mahali pangu

mpaka watakapokubali kosa lao.

Nao watautafuta uso wangu;

katika taabu yao watanitafuta kwa bidii.”

Nueva Versión Internacional

Oseas 5:1-15

Juicio contra Israel

1»¡Oigan esto, sacerdotes!

¡Pongan atención, israelitas!

¡Escucha, casa real!

¡Contra ustedes es la sentencia!

En Mizpa han sido ustedes una trampa;

en el monte Tabor, una red tendida.

2Los rebeldes se han excedido en su matanza;

por eso, yo los disciplinaré a todos.

3Yo conozco bien a Efraín;

Israel no me es desconocido.

Tú, Efraín, te has prostituido;

e Israel se ha contaminado.

4»Sus malas obras no les permiten

volverse a su Dios;

hay espíritu de prostitución en su interior

que les impide reconocer al Señor.

5La arrogancia de Israel testificará en su contra;

Israel y Efraín tropezarán con su maldad,

también Judá caerá como ellos.

6Con sus ovejas y sus vacas

irán en busca del Señor,

pero no lo encontrarán

porque él se ha apartado de ellos.

7Han traicionado al Señor;

han dado a luz hijos de otros padres.

Al llegar la luna nueva

serán devorados junto a sus heredades.

8»Toquen el cuerno en Guibeá,

hagan sonar la trompeta en Ramá,

lancen el grito de guerra en Bet Avén:5:8 Bet Avén. Véase nota en 4:15.

“¡Cuídate las espaldas, Benjamín!”.

9En el día de la reprensión

Efraín quedará desolado.

Entre las tribus de Israel

doy a conocer lo que les va a pasar.

10Los líderes de Judá se parecen

a los que alteran los linderos.

¡Derramaré mi enojo sobre ellos

como agua en una inundación!

11Efraín está oprimido,

aplastado por el juicio,

empeñado en seguir a los ídolos.5:11 ídolos. Palabra de difícil traducción.

12¡Pues seré para Efraín como polilla

y como podredumbre para el pueblo de Judá!

13»Cuando Efraín vio su enfermedad

y Judá reparó en sus llagas,

Efraín recurrió a Asiria

y pidió la ayuda del gran rey.

Pero el rey no podrá sanarlo

ni tampoco curar sus llagas.

14Yo seré como un león para Efraín

y como un gran león para el pueblo de Judá.

Yo mismo los haré pedazos y luego me alejaré;

yo mismo me llevaré la presa y no habrá quien me la arrebate.

15Volveré luego a mi morada

hasta que reconozcan su culpa

y busquen mi rostro;

en su angustia

me buscarán con sinceridad».