1 Petro 4 – NEN & CCBT

Kiswahili Contemporary Version

1 Petro 4:1-19

Kuishi Kwa Ajili Ya Mungu

14:1 1Pet 3:18; Rum 6:2, 7; Gal 5:24; Kol 3:3, 5Kwa hiyo, kwa kuwa Kristo aliteswa katika mwili wake, ninyi nanyi jivikeni nia iyo hiyo kwa maana mtu aliyekwisha kuteswa katika mwili ameachana na dhambi. 24:2 Rum 6:2; 1Pet 1:14Kwa hivyo, haishi maisha yake yaliyobaki ya kuishi hapa duniani kwa tamaa mbaya za wanadamu, bali anaishi kwa mapenzi ya Mungu. 34:3 Efe 2:2; Eze 44:6; 45:9; Mdo 17:30; Efe 4:17; 1The 4:15Maana wakati uliopita mmekwisha kutumia muda wa kutosha katika maisha yenu mkifanya yale ambayo wapagani hupenda kutenda: wakiishi katika uasherati, tamaa mbaya, ulevi, karamu za ulafi, vileo, ngoma mbaya, na ibada chukizo za sanamu. 44:4 1Pet 3:16; Mdo 13:45; 18:6; 1Pet 3:16Wao hushangaa kwamba ninyi hamjiingizi pamoja nao katika huo wingi wa maisha ya ufisadi, nao huwatukana ninyi. 54:5 Mdo 10:42; 2Tim 4:1Lakini itawapasa wao kutoa hesabu mbele zake yeye aliye tayari kuwahukumu walio hai na waliokufa. 64:6 1Pet 3:19Kwa kuwa hii ndiyo sababu Injili ilihubiriwa hata kwa wale waliokufa, ili wahukumiwe sawasawa na wanadamu wengine katika mwili, lakini katika roho waishi kulingana na Mungu aishivyo.

74:7 Rum 13:11; 1Pet 4:8Mwisho wa mambo yote umekaribia. Kwa hiyo kuweni na akili tulivu na kiasi, mkikesha katika kuomba. 84:8 Ebr 13:1; Kol 3:14; Mit 10:12; 1Kor 13:7; Yak 5:20Zaidi ya yote, dumuni katika upendo kwa maana upendo husitiri wingi wa dhambi. 94:9 Flp 2:14; 1Pet 4:10; Rum 12:6-7; 1Kor 4:2Kuweni wakarimu kila mtu na mwenzake pasipo manungʼuniko. 104:10 Rum 12:6; 1Kor 4:7; Mt 24:45; Lk 12:42; 1Kor 4:1, 2Kila mmoja na atumie kipawa chochote alichopewa kuwahudumia wengine, kama mawakili waaminifu wa neema mbalimbali za Mungu. 114:11 Efe 6:10; 1Kor 10:31Yeyote asemaye hana budi kusema kama mtu asemaye maneno ya Mungu mwenyewe. Yeyote ahudumuye hana budi kuhudumu kwa nguvu zile anazopewa na Mungu, ili Mungu apate kutukuzwa katika mambo yote kwa njia ya Yesu Kristo. Utukufu na uweza una yeye milele na milele. Amen.

Kuteseka Kwa Kuwa Mkristo

124:12 1Pet 1:6-7; 1Kor 3:13Wapenzi, msione ajabu kwa yale mateso yanayotukia miongoni mwenu, kana kwamba ni kitu kigeni kinachowapata. 134:13 Rum 8:17; 1Pet 4:14; Mt 5:11Bali furahini kuwa mnashiriki katika mateso ya Kristo, ili mpate kufurahi zaidi wakati utukufu wake utakapofunuliwa. 144:14 Mt 5:11; 2Kor 12:10; Yak 1:12; 1Pet 2:19, 20Kama mkitukanwa kwa ajili ya jina la Kristo, mmebarikiwa, kwa sababu Roho wa utukufu na wa Mungu anakaa juu yenu. 154:15 Mdo 5:41; 1Pet 2:20; 1The 4:11; 1Tim 5:13Lakini asiwepo mtu yeyote miongoni mwenu anayeteswa kwa kuwa ni muuaji, au mwizi, au mhalifu wa aina yoyote, au anayejishughulisha na mambo ya watu wengine. 164:16 Mdo 5:41Lakini kama ukiteseka kwa kuwa Mkristo, usihesabu jambo hilo kuwa ni aibu, bali mtukuze Mungu kwa sababu umeitwa kwa jina hilo. 174:17 Eze 9:6; 1Tim 3:15; 2The 1:8Kwa maana wakati umewadia wa hukumu kuanzia katika nyumba ya Mungu. Basi kama ikianzia kwetu sisi, mwisho wa hao wasiotii Injili ya Mungu utakuwaje? 184:18 Mit 11:31; Lk 23:31Basi,

“Ikiwa ni vigumu kwa mwenye haki kuokoka,

itakuwaje kwa mtu asiyemcha Mungu na mwenye dhambi?”

194:19 Za 31:5; Lk 23:46; 2Tim 1:12Kwa hiyo, wale wanaoteswa kulingana na mapenzi ya Mungu, wajikabidhi kwa Muumba wao aliye mwaminifu, huku wakizidi kutenda mema.

Chinese Contemporary Bible 2023 (Traditional)

彼得前書 4:1-19

生活的改變

1既然基督在肉體上受過苦,你們也要懷著同樣的心志,因為肉體受過苦的人已經與罪斷絕了關係, 2可以在今後的生活中不再隨從人的私慾,只服從上帝的旨意。 3你們從前長期沉溺於異教徒的嗜好——淫亂、縱慾、醉酒、狂歡、宴樂和可憎的偶像崇拜。 4如今你們不再和他們同流合污,他們覺得奇怪,就用惡言毀謗你們。 5他們將來必須向審判活人和死人的主交賬。 6正因如此,福音也曾傳給已死的人。這樣,他們的肉體雖然像世人一樣受了審判,他們的靈魂卻可以靠上帝活著。

恩典的好管家

7萬物的盡頭快到了。因此,你們要謹慎自律,警醒禱告。 8最重要的是要彼此真誠相愛,因為愛可以遮蓋許多罪。 9要互相接待,不發怨言, 10按著自己所得的恩賜彼此服侍,作上帝各樣恩典的好管家。 11能講道的,要按著上帝的話去講;能服侍人的,要本著上帝所賜的力量去服侍。這樣,上帝會藉著耶穌基督在一切事上得到榮耀。

願榮耀和權能都歸給祂,直到永永遠遠。阿們!

以受苦為榮

12親愛的弟兄姊妹,若有火一般的試煉臨到你們,不要覺得奇怪,好像發生了什麼不尋常的事, 13反倒要歡喜,因為你們是與基督一起受苦。這樣,你們在祂的榮耀顯現時可以和祂一同歡喜快樂。 14如果你們為基督的緣故受辱罵,就有福了!因為上帝榮耀的靈常住在你們身上。 15你們誰也不可因殺人、偷盜、作惡或管閒事而受苦。 16若是為了作基督徒而受苦,不要覺得羞恥,要因這身分歸榮耀給上帝。 17因為時候到了,審判要先從上帝的家開始。如果審判從我們開始,那些不信從上帝福音的人又會有怎樣的結局呢? 18如果義人得救尚且不易,不敬虔的人和罪人會有什麼下場呢?4·18 箴言11·31 19所以,照上帝旨意受苦的人要繼續專心行善,將自己的靈魂交託給那位信實的造物主。