阿摩司書 8 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible 2023 (Traditional)

阿摩司書 8:1-14

審判之日將臨

1這是主耶和華讓我看見的異象:看啊,一籃夏天的果子。 2耶和華問我:「阿摩司,你看見什麼?」我說:「我看見一籃夏天的果子。」祂說:「我以色列子民的結局8·2 「結局」希伯來文中與「夏天的果子」發音相近。到了,我不會再饒恕他們。 3到那日,宮殿裡的歌聲要變成哀號;屍橫遍地,一片死寂。這是主耶和華說的。」

4踐踏貧民、滅絕窮人的人啊,

你們要聽!

5你們盼望朔日8·5 「朔日」即每月初一。和安息日快點過去,

你們好售賣穀物。

你們用小升斗賣糧,

用加重的砝碼收銀子,

用詭詐的秤欺騙人。

6你們用銀子買貧民,

以一雙鞋買窮人為奴,

售賣摻了糠秕的麥子。

7耶和華憑雅各的驕傲起誓:

「我決不會忘記你們的所作所為。

8這片土地要因此而震動,

所有的居民都要悲哀。

大地要像尼羅河一樣漲起,如埃及的河流翻騰退落。」

9主耶和華說:

「到那日,我要使太陽中午落下,

使大地在白天一片黑暗。

10我要使你們的節期變為喪禮,

叫你們的歡歌變為哀歌。

我要使你們都腰束麻布,剃光頭髮;

我要使你們傷心欲絕,如喪獨生子;

我要使那日成為痛苦的日子。」

11主耶和華說:

「日子將到,我要使饑荒降在地上。

人饑餓非因無餅,乾渴非因無水,

而是因為聽不到耶和華的話。

12人們從南到北,從東到西8·12 「從南到北,從東到西」希伯來文是「從這海到那海,從北到東」。海指西面的地中海和南面的死海。

在境內四處奔走,

要尋找耶和華的話卻找不到。

13「到那日,

「美麗少女和青春少男都要因乾渴而昏倒;

14那些憑撒瑪利亞別示巴的神明起誓的,

都要跌倒,永不再起來。」

Kiswahili Contemporary Version

Amosi 8:1-14

Maono Ya Nne: Kikapu Cha Matunda Yaliyoiva

1Hili ndilo alilonionyesha Bwana Mwenyezi katika maono: kikapu cha matunda yaliyoiva. 28:2 Mao 4:18; Yer 1:2, 13; 24:3; Eze 7:2-9; Amo 7:8; Mwa 40:16Akaniuliza, “Amosi, unaona nini?”

Nikajibu, “Kikapu chenye matunda yaliyoiva.”

Ndipo Bwana akaniambia, “Wakati umewadia kwa watu wangu Israeli; sitawahurumia zaidi.”

38:3 Amo 5:16-23; 6:10Bwana Mwenyezi asema, “Katika siku ile, nyimbo katika Hekalu zitageuka kuwa maombolezo. Miili mingi, mingi sana: itatupwa kila mahali! Kimya!”

48:4 Mit 30:14; Ay 20:19; Zek 14:4; Amo 2:7Lisikieni hili, ninyi ambao mnawagandamiza wahitaji,

na kuwaonea maskini wa nchi,

58:5 Kum 25:15; 2Fal 4:23; Neh 13:15-16; Hes 10:10; Isa 58:13; Mik 6:10; Mwa 31:7; Hos 12:7mkisema,

“Ni lini Mwezi Mwandamo utakapopita

ili tupate kuuza nafaka,

na Sabato itakwisha lini

ili tuweze kuuza ngano?”

Mkipunguza vipimo,

na kuongeza bei,

na kudanganya kwa mizani zisizo sawa,

68:6 Amo 2:6; 4:1; 5:11mkiwanunua maskini kwa fedha,

na wahitaji kwa jozi ya viatu,

na mkiuza hata takataka za ngano

pamoja na ngano.

78:7 Hos 8:13; Amo 6:8; Za 47:4; 68:34; Ay 35:15Bwana ameapa kwake mwenyewe, aliye Kiburi cha Yakobo: “Kamwe sitasahau chochote ambacho wamefanya.

88:8 Ay 9:6; Hos 4:3; Yer 46:8; 51:29; Za 18:7; Amo 9:5“Je, nchi haitatetemeka kwa ajili ya hili,

nao wote waishio ndani mwake hawataomboleza?

Nchi yote itainuka kama Naili;

itapanda na kushuka kama mto wa Misri.

98:9 Ay 5:14; Mk 15:33; Eze 32:7; Amo 4:13; 5:8; Isa 13:10; 59:9-10; Yer 15:9; Mik 3:6; 1The 5:2, 3; Mt 27:45“Katika siku ile,” asema Bwana Mwenyezi,

“Nitalifanya jua litue alasiri na kuifanya dunia

iwe giza wakati wa mchana mwangavu.

108:10 Yoe 1:8; Zek 12:10; Mwa 21:16; Hos 2:11; Lk 7:12, 13; Yer 6:26; 48:37; 2:19; Eze 7:18; Law 26:31; 13:40; Mao 5:15; Isa 3:17Nitageuza sikukuu zenu za kidini kuwa maombolezo,

na kuimba kwenu kote kuwe kilio.

Nitawafanya ninyi nyote mvae nguo ya gunia

na kunyoa nywele zenu.

Nitaufanya wakati ule uwe kama wa kuombolezea mwana wa pekee,

na mwisho wake kama siku ya uchungu.

118:11 1Sam 3:1; 28:6; Eze 7:26; Za 74:9; Mik 3:6; 2Nya 15:3; Yer 30:3; 31:27“Siku zinakuja,” asema Bwana Mwenyezi,

“wakati nitakapotuma njaa katika nchi yote:

si njaa ya chakula wala kiu ya maji,

lakini njaa ya kusikia maneno ya Bwana.

128:12 Eze 20:31Wanaume watayumbayumba kutoka bahari hadi bahari

na kutangatanga kutoka kaskazini mpaka mashariki,

wakitafuta neno la Bwana,

lakini hawatalipata.

138:13 Isa 41:17; 9:17; Hos 2:3; 8:14; Kum 9:21; 1Fal 12:29, 30; Hos 8:5, 6; 10:5; Mik 1:5; Za 46:2; Amo 5:2-5“Katika siku ile

“wasichana wazuri na vijana wanaume wenye nguvu

watazimia kwa sababu ya kiu.

14Wale waapao kwa aibu ya Samaria,

au kusema, ‘Hakika kama miungu yenu iishivyo, ee Dani,’

au ‘Hakika kama mungu wa Beer-Sheba aishivyo’:

wataanguka, wala hawatasimama tena.”