俄巴底亞書 1 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible 2023 (Traditional)

俄巴底亞書 1:1-21

1以下是俄巴底亞看到的異象。

耶和華懲罰以東

我們從耶和華那裡聽到消息,

有位使者被派去對列國說:

「起來,我們去攻打以東吧!」

關於以東,主耶和華說:

2「看啊,我要使你在列國中最弱小,

備受藐視。

3你住在巖穴中,

居住在高山上,

自以為誰也不能把你拉下來,

但你的驕傲欺騙了你。

4即使你如鷹高飛,

在星辰間搭窩,

我也必把你拉下來。

這是耶和華說的。

5「盜賊夜間來你家,

難道不只偷所需要的嗎?

人們到你那裡摘葡萄,

難道不留下幾串嗎?

但你會被徹底毀滅!

6以掃1·6 「以掃」又名「以東」。要被洗劫一空,

他藏的珍寶要被搜去。

7你的盟友將你逐出家園;

你的朋友欺騙你,戰勝你;

你的知己設陷阱害你,

你卻懵然不知。」

8耶和華說:「到那天,

我要毀滅以東的智者,

除掉以掃山上的明哲。

9提幔的勇士必驚慌失措,

以掃山上的人盡遭殺戮。

懲罰以東的原因

10「因你曾殘暴地對待同胞兄弟雅各

你必蒙羞,永遭毀滅。

11當外人掠奪雅各的財物、

異族攻入耶路撒冷的城門抽籤分贓時,

你竟然袖手旁觀,

就像他們的同夥一樣。

12你的親族遭難之日,

你不該幸災樂禍;

猶大人被滅的日子,

你不該興高采烈;

他們遭難的日子,

你不該口出狂言;

13我子民遭難的日子,

你不該闖進他們的城;

他們遭難的日子,

你不該幸災樂禍;

他們遭難的日子,

你不該趁火打劫;

14你不該站在路口截殺那些逃亡者;

他們遭難的日子,

你不該把倖存者交給仇敵。

15「耶和華懲罰萬國的日子近了。

必按你的所作所為報應你,

你的惡行必落到自己頭上。

16猶大人在我的聖山上怎樣飽飲憤怒,

萬國也要照樣不停地喝,

且要大口吞下,

直到他們完全消逝。

以色列的復興

17「然而,錫安山必成為避難所,

成為聖地。

雅各家必得到自己的產業。

18雅各家將成為火,

約瑟家將成為烈焰,

以掃家將成為碎稭,

被火焚燒、吞噬,無一人逃脫。

這是耶和華說的。

19「南地的人將佔領以掃山;

丘陵的人將佔領非利士

奪取以法蓮撒瑪利亞

便雅憫人將佔領基列

20被擄的以色列人將佔領迦南人的土地,遠至撒勒法

耶路撒冷被擄到西法拉的人將佔領南地各城。

21拯救者必登上錫安山,

統治以掃山,

耶和華必做王掌權。」

Kiswahili Contemporary Version

Obadia 1:1-21

11:1 Mwa 25:14; Isa 1:1; 21:11; Yoe 3:19; Mal 1:3; Eze 25:12-14; Yer 6:4-5; 49:7-22; Isa 11:14; 18:2; 34:11Maono ya Obadia.

Hili ndilo asemalo Bwana Mwenyezi kuhusu Edomu:

Tumesikia ujumbe kutoka kwa Bwana:

Mjumbe alitumwa kwa mataifa kusema,

“Inukeni, twendeni tukapigane vita dhidi yake.”

2“Angalieni, nitawafanya wadogo miongoni mwa mataifa,

mtadharauliwa kabisa.

31:3 Isa 14:13; 16:6; 2Fal 14:7; 2Nya 25:11-12; Ufu 18:7Kiburi cha moyo wako kimekudanganya,

wewe unayeishi katika majabali ya miamba

na kufanya makao yako juu,

wewe unayejiambia mwenyewe,

‘Ni nani awezaye kunishusha chini?’

41:4 Isa 10:14; 14:13; 14:14, 15; Ay 20:6; Amo 9:2; Yer 49:16; Hab 2:9Ingawa unapaa juu kama tai

na kufanya kiota chako kati ya nyota,

nitakushusha chini kutoka huko,”

asema Bwana.

51:5 Isa 24:13; Kum 4:27; 24:21“Ikiwa wevi wangekuja kwako,

ikiwa wanyangʼanyi wangekujia usiku:

Lo! Tazama ni maafa kiasi gani yangekuwa yanakungojea:

je, si wangeiba tu kiasi ambacho wangehitaji?

Kama wachuma zabibu wangekuja kwako,

je, wasingebakiza zabibu chache?

6Lakini tazama jinsi Esau atakavyotekwa,

jinsi hazina zake zilizofichwa zitatekwa nyara!

71:7 Yer 30:14; Za 41:9Wote ulioungana nao watakufukuza hadi mpakani,

rafiki zako watakudanganya na kukushinda,

wale wanaokula mkate wako watakutegea mtego,

lakini hutaweza kuugundua.

81:8 Ay 5:12; Isa 29:14“Katika siku hiyo,” asema Bwana,

“je, sitaangamiza watu wenye hekima wa Edomu,

watu wenye ufahamu katika milima ya Esau?

91:9 Mwa 36:11, 34; Amo 2:16; Za 76:5; Yer 49:22; Nah 3:13Ee Temani, mashujaa wako watatiwa hofu,

kila mmoja katika milima ya Esau

ataangushwa chini kwa kuchinjwa.

101:10 Yoe 3:19; Amo 1:11-12; Za 137:7; Mwa 47:21; Eze 35:5, 15; Mal 1:4; Eze 25:12-14; 35:9Kwa sababu ya jeuri uliyofanya dhidi ya ndugu yako Yakobo,

aibu itakufunika;

utaangamizwa milele.

111:11 Ay 6:27; Nah 3:10; Eze 24:6Siku ile ulisimama mbali ukiangalia

wakati wageni walipojichukulia utajiri wake

na watu wa nchi nyingine walipoingia malango yake

wakipiga kura kwa ajili ya Yerusalemu,

ulikuwa kama mmoja wao.

121:12 Eze 25:6; 35:15; Mit 17:5; 24:17; Mik 4:11; Ay 31:29Usingemdharau ndugu yako

katika siku ya msiba wake,

wala kufurahia juu ya watu wa Yuda

katika siku ya maangamizi yao,

wala kujigamba sana

katika siku ya taabu yao.

131:13 Eze 35:5Usingeingia katika malango ya watu wangu

katika siku ya maafa yao,

wala kuwadharau katika janga lao

katika siku ya maafa yao,

wala kunyangʼanya mali zao

katika siku ya maafa yao.

14Usingengoja kwenye njia panda

na kuwaua wakimbizi wao,

wala kuwatoa watu wake waliosalia

katika siku ya shida yao.

151:15 Yer 46:10; 50:29; Hab 2:8; Amu 1:7; Za 137:8; Eze 35:15; Yoe 2:31; 3:7-8; Eze 30:3; Amo 5:8“Siku ya Bwana iko karibu

kwa mataifa yote.

Kama ulivyofanya, nawe utafanyiwa vivyo hivyo,

matendo yako yatakurudia juu ya kichwa chako.

161:16 Yer 25:15; 49:12; Mao 4:21-22; Isa 51:17; Kut 15:17; Eze 25:12-14Kama vile ulivyokunywa juu ya mlima wangu mtakatifu,

vivyo hivyo mataifa yote watakunywa mfululizo,

watakunywa na kunywa,

nao watatoweka kana kwamba hawajawahi kuwepo.

171:17 Za 69:35; 74:2; Isa 14:1-2; Amo 9:11-15; Zek 8:12Lakini katika Mlima Sayuni kutakuwepo

na wale watakaookoka;

nao utakuwa mtakatifu,

nayo nyumba ya Yakobo

itamiliki urithi wake.

181:18 Zek 12:6; Yer 49:10; Isa 1:31Nyumba ya Yakobo itakuwa moto,

na nyumba ya Yosefu itakuwa mwali wa moto;

nayo nyumba ya Esau itakuwa bua kavu,

nao wataiwasha moto na kuiteketeza.

Hakutakuwa na watakaosalimika

kutoka nyumba ya Esau.”

Bwana amesema.

191:19 Isa 11:14; Sef 2:7; Yer 31:5; Hes 1:36Watu kutoka nchi ya Negebu

wataikalia milima ya Esau,

na watu kutoka miteremko ya vilima

watamiliki nchi ya Wafilisti.

Watayakalia mashamba ya Efraimu na Samaria,

naye Benyamini atamiliki Gileadi.

201:20 Lk 4:26; Yer 33:13; 1Fal 17:9-10Kundi la Waisraeli walioko uhamishoni Kanaani

watarudi na kumiliki nchi mpaka Sarepta.

Walioko uhamishoni Sefaradi kutoka Yerusalemu

watamiliki miji ya Negebu.

211:21 Dan 2:24, 44; Ufu 11:15; Zek 14:9; Isa 19:20; Amu 3:9; Za 22:28; 47:9Waokoaji watakwea juu ya Mlima Sayuni

kutawala milima ya Esau.

Nao ufalme utakuwa wa Bwana.