出埃及記 40 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible 2023 (Traditional)

出埃及記 40:1-38

支起會幕

1耶和華對摩西說: 2「你要在一月一日支起聖幕,即會幕, 3把約櫃安置在裡面,用幔子遮掩。 4把桌子搬進去,擺好桌上的器具,再把燈臺搬進去,點上燈, 5把燒香的金香壇放在約櫃前面,掛上聖幕入口的簾子。 6要把燔祭壇放在聖幕門口前面, 7洗濯盆放在會幕和祭壇中間,盆裡要有水。 8用帷幔在聖幕四周圍成院子,在院子的入口掛上簾子。 9你要用膏油抹聖幕和裡面所有的器具,使它們分別出來,成為聖潔之物。 10要抹燔祭壇和壇上所有器具,使燔祭壇分別出來,成為至聖之物。 11要抹洗濯盆和盆座,使它們分別出來,成為聖潔之物。 12要把亞倫父子們叫到會幕入口,用水為他們沐浴, 13亞倫穿上聖衣並膏立他,使他分別出來,做聖潔的祭司事奉我。 14也要把他的兒子們叫來,給他們穿上內袍, 15用同樣的儀式膏立他們,使他們做祭司事奉我。他們的受膏將使他們永遠做祭司,世代相傳。」

16摩西照耶和華的吩咐把事情都辦好了。 17第二年一月一日,聖幕支起來了。 18摩西支起聖幕,裝上帶凹槽的底座,豎起木板,插上橫閂,立起柱子, 19在聖幕上面搭起罩棚,鋪上頂蓋,都遵照耶和華的吩咐。 20摩西把約版放在約櫃裡,橫槓穿在約櫃的兩旁,施恩座放在約櫃上, 21把約櫃抬進聖幕,掛起幔子遮掩約櫃,都遵照耶和華對他的吩咐。 22他把桌子放在會幕內、遮掩約櫃的幔子外面、聖幕的北側, 23將獻給耶和華的供餅放在桌上,都遵照耶和華的吩咐。 24他把燈臺放在會幕內的桌子對面,在聖幕的南側, 25然後在耶和華面前點燈,都遵照耶和華的吩咐。 26他把金壇放在會幕裡、遮掩約櫃的幔子前面, 27在壇上點燃芬芳的香,都遵照耶和華的吩咐。 28他掛上聖幕入口的簾子, 29在會幕,即聖幕入口前面設立燔祭壇,在壇上獻燔祭和素祭,都遵照耶和華的吩咐。 30他把洗濯盆放在會幕和祭壇之間,盆裡盛水,供洗濯用。 31摩西亞倫及其眾子都在盆裡清洗手腳, 32他們進會幕或走近祭壇的時候,都要先清洗,都遵照耶和華的吩咐。 33摩西又在聖幕和祭壇的四周用帷幔圍成院子,然後在院子入口掛上簾子。這樣,摩西完成了工作。

耶和華的榮光

34那時,有雲彩遮蓋會幕,耶和華的榮光充滿了聖幕。 35摩西不能進會幕,因為雲彩停在上面,耶和華的榮光充滿了聖幕。 36一路上,雲彩從聖幕上升起,他們就出發。 37雲彩不升起,他們就不出發,一直等到雲彩升起。 38一路上,白天有耶和華的雲彩停留在聖幕上面,夜間雲中有火光照在以色列百姓眼前。

Kiswahili Contemporary Version

Kutoka 40:1-38

Kuweka Wakfu Maskani Ya Mungu

1Kisha Bwana akamwambia Mose: 240:2 Kut 26:30; Law 3:2; 6:26; 9:23; 16:16; Hes 7:89; 11:16; 17:4; 20:6; Yos 18:1; 19:51; Yer 7:12; Kut 12:2; Hes 9:1“Simika Maskani ya Mungu, yaani Hema la Kukutania, katika siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza. 340:3 Kut 26; 33; Hes 4:5Weka Sanduku la Ushuhuda ndani yake na ulifunike kwa pazia. Ingiza meza na kupanga vitu vyake juu yake. 440:4 Kut 25:23; 25:30-31; 26:33Kisha ingiza kinara cha taa na uweke taa zake juu yake. 540:5 Kut 30:1Weka madhabahu ya dhahabu ya kufukizia uvumba mbele ya Sanduku la Ushuhuda kisha uweke pazia kwenye lango la Maskani ya Mungu.

640:6 Kut 27:1; 2Fal 16:14; 2Nya 4:1“Weka madhabahu ya sadaka za kuteketezwa mbele ya lango la Maskani ya Mungu, yaani Hema la Kukutania; 740:7 Kut 30:18weka sinia kati ya Hema la Kukutania na madhabahu, na uweke maji ndani yake. 840:8 Kut 27:9Fanyiza ua kuzunguka maskani na uweke pazia penye ingilio la ua.

940:9 Kut 30:26; Hes 7:1; Law 8:10“Chukua mafuta ya upako, ipake Maskani ya Mungu pamoja na kila kitu kilichomo ndani yake; iweke wakfu pamoja na vitu vyote vilivyomo ndani mwake, nayo itakuwa takatifu. 1040:10 Kut 29; 36Kisha yapake mafuta hayo madhabahu ya kuteketezea sadaka pamoja na vifaa vyake vyote; weka wakfu madhabahu nayo yatakuwa takatifu sana. 11Paka sinia mafuta pamoja na kishikilio chake na uviweke wakfu.

1240:12 Hes 8:9; Kut 29:4; 30:19“Mlete Aroni na wanawe kwenye ingilio la Hema la Kukutania na uwaoshe kwa maji. 1340:13 Kut 28:41; Law 8:1-12Kisha mvike Aroni yale mavazi matakatifu, umtie mafuta na kumweka wakfu ili apate kunitumikia katikati ya ukuhani. 1440:14 Kut 28:40; Law 10:5Walete wanawe na uwavike makoti. 1540:15 Kut 29:9; Hes 25:13Kisha watie mafuta kama ulivyomtia baba yao, ili nao pia wanitumikie katika kazi ya ukuhani. Kutiwa mafuta kwao kutakuwa kwa ajili ya ukuhani utakaoendelea kwa vizazi vyote vijavyo.” 1640:16 Mwa 6:22Mose akafanya kila kitu sawa kama vile Bwana alivyomwagiza.

1740:17 Hes 7:10Kwa hiyo Maskani ya Mungu ilisimikwa katika siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza, katika mwaka wa pili. 1840:18 2Nya 1:3; Kut 36:20-34Mose alipoweka wakfu Maskani ya Mungu, aliweka vitako mahali pake, akasimamisha mihimili, akatia mataruma na kusimamisha nguzo. 1940:19 Kut 36:19; Mwa 6:22Kisha akalitandaza hema juu ya Maskani ya Mungu na kuifunika hema, kama Bwana alivyomwagiza.

2040:20 Kut 16:34; Ebr 9:4; 1Fal 8:9; Kut 25:17-22; 26:34; 31:7Akachukua ule Ushuhuda na kuuweka ndani ya Sanduku la Agano, akaweka ile mipiko ya kubebea hilo Sanduku na kuweka kiti cha rehema juu yake. 2140:21 Kut 26:33; Mwa 6:22Kisha Mose akalileta Sanduku ndani ya Maskani ya Mungu, akatundika pazia ili kulifunika Sanduku la Ushuhuda, kama Bwana alivyomwagiza.

2240:22 Kut 25:23Mose akaweka meza ndani ya Hema la Kukutania, upande wa kaskazini ya Maskani ya Mungu nje ya pazia 2340:23 Kut 25:30; Law 24:5-8; Mwa 6:22na kupanga mikate juu yake mbele za Bwana, kama Bwana alivyomwagiza.

2440:24 Kut 25:31; 26:35Akaweka kinara cha taa ndani ya Hema la Kukutania mkabala na meza upande wa kusini mwa Maskani ya Mungu 2540:25 Kut 25:37; 37:23; Mwa 6:22na kuziweka taa mbele za Bwana, kama Bwana alivyomwagiza.

2640:26 Kut 30:1Mose akaweka madhabahu ya dhahabu ndani ya Hema la Kukutania mbele ya pazia 2740:27 Mwa 6:22; Kut 30:7na kufukiza uvumba wenye harufu nzuri, kama Bwana alivyomwagiza. 2840:28 Kut 26:36Kisha akaweka pazia kwenye ingilio la Maskani ya Mungu.

2940:29 Kut 20:24; 29:38-42; Mwa 6:22Mose akaweka madhabahu ya sadaka za kuteketezwa karibu na ingilio la Maskani ya Mungu, yaani Hema la Kukutania, na kutoa juu yake sadaka za kuteketezwa na sadaka za nafaka kama Bwana alivyomwagiza.

3040:30 Kut 30:18Akaweka sinia kati ya Hema la Kukutania na madhabahu, akaweka maji ndani yake kwa ajili ya kunawia, 3140:31 Kut 30:19-21Naye Mose, Aroni na wanawe wakayatumia kwa kunawia mikono na miguu yao. 3240:32 Kut 30:20; Mwa 6:22Wakanawa kila walipoingia katika Hema la Kukutania au walipoikaribia madhabahu kama Bwana alivyomwagiza Mose.

3340:33 Kut 27:9; 38:9-20; 27:16Kisha Mose akafanya ua kuizunguka Maskani ya Mungu na madhabahu, pia akaweka pazia kwenye ingilio la huo ua. Hivyo Mose akaikamilisha kazi.

Utukufu Wa Bwana

(Hesabu 9:15-23)

3440:34 Kut 19:16; 16:7; Law 16:2; Hes 9:15-23; 1Fal 8:12; 2Nya 5:13; Isa 6:4; Eze 10:4; Kut 19:16; 23; 2Nya 5:13; Yn 1:14; 12:41; Ufu 15:8Ndipo wingu likafunika Hema la Kukutania, na utukufu wa Bwana ukaijaza Maskani ya Mungu. 3540:35 Kut 16:10; 1Fal 8:11; 2Nya 5:13-14; 7:2Mose hakuweza kuingia ndani ya Hema la Kukutania kwa sababu wingu lilikuwa limetua juu ya Hema, nao utukufu wa Bwana ukaijaza Maskani ya Mungu.

3640:36 Hes 9:17-23; 10:13; Neh 9:19Katika safari yote ya Waisraeli, kila wakati wingu lilipoinuka kutoka juu ya Maskani ya Mungu, wangeondoka; 37lakini kama wingu halikuinuka, hawakuondoka, mpaka siku lilipoinuka. 3840:38 Hes 9:15; Kut 13:21; 1Kor 10:1Kwa hiyo wingu la Bwana lilikuwa juu ya maskani mchana, na moto ulikuwa katika hilo wingu wakati wa usiku, machoni pa nyumba yote ya Israeli siku zote za safari zao.