罗马书 13 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible 2022 (Simplified)

罗马书 13:1-14

服从政府的权柄

1人人都要服从执掌权柄的,因为所有的权柄都是出于上帝。所有掌权的都是上帝设立的。 2所以,抗拒掌权者,就是抗拒上帝的命令,抗拒的人必自招惩罚。 3掌权的不是叫行善的惧怕,而是叫作恶的惧怕。你想不怕掌权的吗?就要行善,这样你会得到他的称赞。 4因为掌权的是上帝的仆人,对你有益处。然而,你若作恶,就该惧怕,因为他必将你绳之以法13:4 “他必将你绳之以法”希腊文是“他佩剑,不只是作作样子”。。他是上帝的仆人,代表上帝秉公行义,惩奸罚恶。 5所以,你们必须服从,不单是为了免受惩罚,也是为了良心无愧。

6你们纳税也是为了同样的缘故,因为掌权的是上帝的仆人,负责管理这类事务。 7凡是人该得的,都要给他。该得粮的,就纳粮给他;该得税的,就缴税给他;该惧怕的,就惧怕他;该尊敬的,就尊敬他。

爱邻如己

8凡事都不可亏欠人,但在彼此相爱方面要常常觉得亏欠。一个人爱别人,就成全了律法。 9因为“不可通奸、不可杀人、不可偷盗、不可贪心”13:9 出埃及记20:13‑1517申命记5:17‑1921以及其他诫命,都可以总结成一句话——“爱邻如己”13:9 利未记19:1810爱不会作恶害人,所以爱成全了律法。

11还有,要知道现今是你们该睡醒的时候了!因为与初信的时候相比,我们得救的日子更近了。 12黑夜已深,白昼将临,我们要除掉黑暗的行为,穿上光明的盔甲13:12 “穿上光明的盔甲”或译“带上光明的兵器”。13我们要为人端正,光明磊落,不可荒宴醉酒,不可好色邪荡,不可嫉妒纷争。 14你们要活出主耶稣基督的荣美13:14 “活出主耶稣基督的荣美”希腊文是“穿上主耶稣基督”。,不可放纵本性的私欲。

Kiswahili Contemporary Version

Warumi 13:1-14

Kutii Mamlaka

113:1 Tit 3:1; 1Pet 2:13, 14; Dan 2:21; 4:17; Yn 19:11Kila mtu na atii mamlaka inayotawala, kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu, nazo mamlaka zilizopo zimewekwa na Mungu. 213:2 Kut 16:8; Tit 3:1Kwa hiyo yeye anayeasi dhidi ya mamlaka inayotawala anaasi dhidi ya kile kilichowekwa na Mungu, nao wale wafanyao hivyo watajiletea hukumu juu yao wenyewe. 313:3 1Pet 2:14; 3:13Kwa kuwa watawala hawawatishi watu wale wanaotenda mema bali wale wanaotenda mabaya. Je, wataka usimwogope mwenye mamlaka? Basi tenda lile lililo jema naye atakusifu. 413:4 1The 4:6; Za 82:6; Rum 12:19Kwa maana mwenye mamlaka ni mtumishi wa Mungu kwa ajili ya mema. Lakini kama ukitenda mabaya, basi ogopa, kwa kuwa hauinui upanga bila sababu. Yeye ni mtumishi wa Mungu, mjumbe wa Mungu wa kutekeleza adhabu juu ya watenda mabaya. 513:5 Mit 24:21, 22; Mhu 8:2; 1Pet 2:19Kwa hiyo ni lazima kutii wenye mamlaka, si kwa sababu ya kuogopa adhabu iwezayo kutolewa, bali pia kwa ajili ya dhamiri.

613:6 Mt 22:17Kwa sababu hii mnalipa kodi, kwa maana watawala ni watumishi wa Mungu, ambao hutumia muda wao wote kutawala. 713:7 Mt 17:25; 22:17, 21; Lk 23:2Mlipeni kila mtu kile mnachodaiwa. Kama mnadaiwa kodi lipeni kodi, kama ni ushuru, lipeni ushuru, astahiliye hofu, mhofu, astahiliye heshima, mheshimu.

Kupendana Kila Mmoja Na Mwingine

813:8 Mt 5:43; Yn 13:34; Kol 3:14Msidaiwe kitu na mtu yeyote, isipokuwa kupendana, kwa maana yeye ampendaye mwenzake, ameitimiza sheria. 913:9 Kut 20:13-15; Kum 5:17; 19:21; Law 19:18; Mt 17:19Kwa kuwa amri hizi zisemazo, “Usizini,” “Usiue,” “Usiibe,” “Usitamani,” na amri nyingine zote, zinajumlishwa katika amri hii moja: “Mpende jirani yako kama nafsi yako.” 1013:10 Mt 22:39, 40; 1Kor 13:4; Rum 13:8, 9Upendo haumfanyii jirani jambo baya. Kwa hiyo upendo ndio utimilifu wa sheria.

1113:11 Yak 5:8; 1Pet 4:7; Efe 5:14; 1The 5:5, 6Nanyi fanyeni hivi, mkiutambua wakati tulio nao. Saa ya kuamka kutoka usingizini imewadia, kwa maana sasa wokovu wetu umekaribia zaidi kuliko hapo kwanza tulipoamini. 1213:12 Ebr 10:25; 1Yn 2:8; Efe 5:11; 6:11, 13; 1The 5:8Usiku umeendelea sana, mapambazuko yamekaribia. Kwa hiyo tuyaweke kando matendo ya giza na tuvae silaha za nuru. 1313:13 Efe 5:18; Lk 21:34; Gal 5:20, 21; 1Pet 4:3Basi na tuenende kwa adabu kama inavyopasa wakati wa mchana, si kwa kufanya karamu za ulafi na ulevi, si kwa ufisadi na uasherati, si kwa ugomvi na wivu. 1413:14 Gal 5:16Bali jivikeni Bwana Yesu Kristo, wala msifikiri jinsi mtakavyotimiza tamaa za miili yenu yenye asili ya dhambi.