罗马书 12 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible 2022 (Simplified)

罗马书 12:1-21

为事奉上帝而活

1所以,弟兄姊妹,我凭上帝的怜悯劝你们献上自己的身体,作圣洁、蒙上帝悦纳的活祭。你们理当这样事奉。 2你们不可追随这世界的潮流,要随着思想的不断更新而改变,这样就能明辨上帝的旨意,知道什么是良善、纯全、蒙祂悦纳的。

3我凭上帝赐给我的恩典劝告各位,不要自视过高,要照着上帝赐给各人的信心中肯地看待自己。 4就像我们每个身体有许多肢体,各肢体功能不同, 5我们虽然人多,但在基督里组成一个身体,彼此联结,互为肢体。 6我们照所得的恩典各有不同的恩赐。说预言的,要按着信心的程度说预言; 7服侍的,要专心服侍;教导的,要专心教导; 8劝勉的,要专心劝勉;施舍的,要慷慨施舍;治理的,要殷勤治理;怜悯的,要甘心怜悯。

相爱相顾

9爱必须真诚。要痛恨邪恶,一心向善。 10要彼此相爱如同手足,互相尊重,彼此谦让。 11要殷勤,不可懒惰,要常常火热地事奉主。 12盼望中要有喜乐,患难中要坚忍,祷告要恒切。 13圣徒有缺乏,要慷慨帮助;客人来访,要热诚款待。 14迫害你们的,要为他们祝福;要祝福,不可咒诅。 15要与喜乐的人同乐,与哀哭的人同哭。 16要彼此和睦。不可心高气傲,反要俯就卑微的人。不可自以为聪明。

17不要以恶报恶,要留心去做众人看为好的事。 18如果可能,总要尽力与人和睦相处。 19亲爱的弟兄姊妹,不要私自报复,要交给发烈怒的上帝,因为圣经上说:

“主说,‘申冤在我,我必报应。’12:19 申命记32:35

20相反,

“你的仇敌若饿了,就给他吃的;

若渴了,就给他喝的;

你这样做是把炭火堆在他头上。”12:20 箴言25:2122

21你不可被恶所胜,反要以善胜恶。

Kiswahili Contemporary Version

Warumi 12:1-21

Maisha Mapya Katika Kristo

112:1 Rum 6:13, 16, 19; 1Kor 6:20; 1Pet 2:5Kwa hiyo, ndugu zangu, nawasihi kwa rehema zake Mungu, itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu na inayompendeza Mungu, hii ndiyo ibada yenu yenye maana. 212:2 1Pet 1:14; Efe 5:17; 1Kor 1:20; 2Kor 10; 2; 1Yn 2:15; 1Tim 5:4Msifuatishe tena mfano wa ulimwengu huu, bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu. Ndipo mtaweza kuonja na kuhakikisha ni nini mapenzi ya Mungu yaliyo mema, yanayopendeza machoni pake na ukamilifu.

312:3 Rum 15:15; Gal 2:9; 1Kor 15:10; Efe 3:7; 4:7; 1Pet 4:10, 11Kwa ajili ya neema niliyopewa nawaambia kila mmoja miongoni mwenu, asijidhanie kuwa bora kuliko impasavyo, bali afikiri kwa busara kwa kulingana na kipimo cha imani Mungu aliyompa. 412:4 1Kor 12:12-14; Efe 4:16Kama vile katika mwili mmoja tulivyo na viungo vingi, navyo viungo vyote havina kazi moja, 512:5 1Kor 6:15; 10:17; 12:12, 20, 27; Efe 2:16; 4:4, 25; Kol 3:15vivyo hivyo na sisi tulio wengi, tu mwili mmoja katika Kristo, nasi kila mmoja ni kiungo cha mwenzake. 612:6 1Kor 7:7; 12:4, 8-10; Efe 4:11; 1Pet 4:10, 11Tuna karama zilizotofautiana kila mmoja kutokana na neema tuliyopewa. Kama ni unabii na tutoe unabii kwa kadiri ya imani. 712:7 Efe 4:11; 1Pet 4:10, 11; Mdo 13:1; Efe 4:11Kama ni kuhudumu na tuhudumu, mwenye kufundisha na afundishe, 812:8 Mdo 11:23; 13:15; 15:32; 2Kor 8:2; 9:5-13kama ni kutia moyo na atie moyo, kama ni kuchangia kwa ajili ya mahitaji ya wengine na atoe kwa ukarimu, kama ni uongozi na aongoze kwa bidii, kama ni kuhurumia wengine na afanye hivyo kwa furaha.

Alama Za Mkristo Wa Kweli

912:9 2Kor 6:6; 1Tim 1:5; Za 97:10; Amo 5:15; 1The 5:21, 22Upendo lazima usiwe na unafiki. Chukieni lililo ovu, shikamaneni na lililo jema. 1012:10 Za 133:1; 1The 4:9; Ebr 13:1; 1Pet 1:22; Flp 2:3Pendaneni ninyi kwa ninyi kwa upendo wa ndugu. Waheshimuni na kuwatanguliza wengine. 1112:11 Mdo 18:25; Ufu 3:15Msiwe wavivu, bali mwe na bidii katika roho mkimtumikia Bwana. 1212:12 Rum 5:2; Ebr 10:32, 36; Lk 18:1Kuweni na furaha katika tumaini, katika dhiki kuweni na saburi, dumuni katika maombi. 1312:13 Mdo 24:17; 2Fal 4:10; Ay 31:32; 1Tim 3:2; 5:10Changieni katika mahitaji ya watakatifu, wakaribisheni wageni.

14Wabarikini wale wanaowatesa, barikini wala msilaani. 15Furahini pamoja na wenye kufurahi, lieni pamoja na wale waliao. 16Kaeni kwa amani ninyi kwa ninyi. Msijivune, bali mwe tayari kushirikiana na wanyonge. Wala msiwe watu wenye kujivuna kwamba mnajua kila kitu.

1712:17 Mit 20:22; 24:29; 2Kor 8:21Msimlipe mtu yeyote ovu kwa ovu. Jitahidini ili mtende yaliyo mema machoni pa watu wote. 1812:18 Mk 9:50; Rum 14:19Kama ikiwezekana, kwa upande wenu kaeni kwa amani na watu wote. 1912:19 Law 19:18; Mit 20:22; 22:29; Kum 32:35; Mwa 50:19; Isa 26:10Wapendwa, msilipize kisasi, bali ipisheni ghadhabu ya Mungu, maana imeandikwa: “Ni juu yangu kulipiza kisasi, nitalipiza,” asema Bwana. 2012:20 Kut 23:4; Mt 5:44; Mit 25:21, 22; Lk 6:27Badala yake:

“Kama adui yako ana njaa, mlishe;

kama ana kiu, mpe kinywaji.

Kwa kufanya hivyo,

unaweka makaa ya moto yanayowaka kichwani pake.”

21Usishindwe na ubaya, bali uushinde ubaya kwa wema.