约书亚记 23 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible 2022 (Simplified)

约书亚记 23:1-16

约书亚的诀别之言

1此后很长时间,耶和华使以色列人四境太平,没有战事。约书亚年事已高, 2他召来全体以色列人,包括长老、族长、审判官和官长,对他们说:“我已经老了, 3你们都亲眼看见你们的上帝耶和华怎样为了你们而对付列邦,亲自为你们争战。 4约旦河到西边地中海的这片土地,无论是已征服的还是没有征服的,我已经用抽签的方式分给你们各支派作产业。 5你们的上帝耶和华必把列邦从你们面前驱离赶走,让你们占据他们的土地,正如你们的上帝耶和华的应许。 6所以,你们要刚强,谨遵摩西律法书上所记载的一切,不可有半点偏离。 7不可与你们中间剩下的异族混杂,不可提他们的神明或凭它们起誓,不可供奉和祭拜他们的神明。 8你们要一如既往地倚靠你们的上帝耶和华, 9因为祂为你们赶走了强大的外族人,至今无人敌得过你们。 10你们一个人能打败他们一千人,因为你们的上帝耶和华照着祂的应许为你们争战。 11所以你们要特别谨慎,爱你们的上帝耶和华。 12如果你们悖逆,跟你们当中剩下的异族人联合,通婚往来, 13毫无疑问,你们的上帝耶和华必不再为你们赶走他们。相反,他们还要成为设在你们当中的圈套和陷阱,你们的肉中刺、眼中钉,直到你们在你们的上帝耶和华所赐给你们的这块美好的土地上灭亡。

14“我快要走完人世的路程了。你们深知你们的上帝耶和华赐给你们的一切美好应许没有一句落空,都已经应验了。 15正如你们的上帝耶和华已成就祂应许给你们的一切福气,祂也会照样降各样灾祸给你们,直到把你们从祂所赐的这美好土地上毁灭。 16你们如果违背你们的上帝耶和华吩咐你们遵守的约,去供奉、祭拜其他神明,祂必向你们发怒,使你们在祂所赐的这美好土地上迅速灭亡。”

Kiswahili Contemporary Version

Yoshua 23:1-16

Yoshua Anawaaga Viongozi

123:1 Kum 12:9; Yos 21:44; 13:1Baada ya muda mrefu kupita, naye Bwana akawa amewapa Israeli pumziko mbele ya adui zao wote waliowazunguka, Yoshua, wakati huo akiwa mzee na umri ukiwa umeendelea sana, 223:2 Yos 7:6; 24:1; 13:1; Kum 31:28; 1Nya 28:1akawaita Israeli wote, wazee wao, viongozi, waamuzi na maafisa Yoshua akawaambia: “Mimi ni mzee na umri wangu umeendelea sana. 323:3 Kut 14:14; Kum 20:4Ninyi wenyewe mmeona kila kitu Bwana Mungu wenu, alichowatendea mataifa haya yote kwa ajili yenu. Ilikuwa ni Bwana Mungu wenu aliyewapigania. 423:4 Yos 19:51; Hes 34:2-6; Za 78:55Kumbukeni jinsi nilivyowagawia kama urithi kwa makabila yenu yote nchi ya mataifa yaliyobaki, yaani mataifa niliyowashinda, kati ya Mto Yordani na Bahari kuu upande wa magharibi. 523:5 Amu 2:21; Za 44:5; Yer 46:15; Kut 23:30; 33:2Bwana Mungu wenu mwenyewe atawaondoa watoke mbele yenu. Atawafukuza mbele yenu, nanyi mtamiliki nchi yao, kama vile Bwana Mungu wenu alivyowaahidi.

623:6 Kum 28:6; 17:20; Yos 1:7; Kum 5:32“Kuweni hodari sana, kuweni waangalifu kutii yote yaliyoandikwa katika kitabu cha Sheria ya Mose, pasipo kugeuka upande wa kuume au kushoto. 723:7 Kut 23:13; Yer 5:7; 12:16; Kut 20:5Msishirikiane na mataifa yaliyobakia katikati yenu, wala msiombe kwa majina ya miungu yao au kuapa kwayo. Msiitumikie wala kuisujudia. 823:8 Kum 10:20Bali mtashikamana kwa uthabiti na Bwana, Mungu wenu, kama vile ambavyo mmefanya mpaka sasa.

923:9 Kum 11:23; 7:24Bwana amewafukuza mbele yenu mataifa makubwa na yenye nguvu, mpaka siku ya leo hakuna yeyote aliyeweza kusimama mbele yenu. 1023:10 Law 26:8; Amu 3:31; Kut 14:14; Kum 3:22Mtu mmoja miongoni mwenu anafukuza watu elfu, kwa kuwa Bwana Mungu wenu anawapigania, kama alivyoahidi. 1123:11 Kum 4:15; Yos 2:15Kwa hiyo kuweni waangalifu sana kumpenda Bwana Mungu wenu.

1223:12 Mwa 34:9; Kut 34:16; Za 106:34-35“Lakini ikiwa mtageuka na kushikamana na mabaki ya mataifa haya yaliyosalia katikati yenu na kama mtaoana na kushirikiana nao, 1323:13 Kut 10:7; Hes 33:55; Kum 1:8; 2Fal 25:21basi mwe na hakika kuwa Bwana Mungu wenu hatawafukuza tena mataifa hayo mbele yenu. Badala yake, watakuwa tanzi na mitego kwenu, mijeledi migongoni mwenu, na miiba machoni mwenu, mpaka mwangamie kutoka nchi hii nzuri, ambayo Bwana Mungu wenu amewapa.

1423:14 1Fal 2:2; Za 119:140; 145:13; Yos 21:25“Sasa mimi ninakaribia kwenda katika njia ya watu wote wa dunia. Mnajua kwa mioyo yenu na roho zenu kwamba hakuna ahadi zozote njema Bwana Mungu wenu alizowaahidia, ambazo hazikutimia. Kila ahadi imetimizwa, hakuna hata moja ambayo haikutimia. 1523:15 1Fal 8:56; Yer 33:14; 1Fal 14:10; 2Fal 22:16; Isa 24:6; 34:5; 43:28; Yer 40:2; 11:8; 35:17; 39:16; Mal 4:6; Yos 24:20; Law 26:17; Kum 28:15; Yer 40:2Lakini kama vile kila ahadi njema ya Bwana Mungu wenu imekuwa kweli, vivyo hivyo Bwana ataleta maovu yote kama alivyo onya, mpaka awe amewaangamiza kutoka nchi hii nzuri aliyowapa. 1623:16 Kum 4:25-26Kama mkilivunja agano la Bwana Mungu wenu, ambalo aliwaamuru ninyi, mkaenda na kuitumikia miungu mingine na kuisujudia, hasira ya Bwana itawaka dhidi yenu, nanyi mtaangamia kutoka nchi nzuri aliyowapa ninyi.”