哥林多前书 3 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible 2022 (Simplified)

哥林多前书 3:1-23

同是上帝的仆人

1弟兄姊妹,以前我对你们讲话的时候,还不能把你们看作属灵的人,只能把你们看作属肉体的人,是在基督里的婴孩。 2我只能用奶而不能用饭来喂养你们,因为你们当时不能消化,甚至现在也不能。 3你们仍是属肉体的人,因为你们中间有嫉妒、争斗。这岂不证明你们是属肉体的,行事为人和世人一样吗? 4你们有的说:“我是跟随保罗的”,有的说:“我是跟随亚波罗的”,这岂不证明你们和世人一样吗?

5亚波罗算什么?保罗算什么?我们不过是上帝的仆人,各人照着主所赐的才干引导你们信靠上帝。 6我栽种,亚波罗浇灌,但使之生长的是上帝。 7所以栽种的和浇灌的都算不得什么,一切都在于使之生长的上帝。 8其实栽种的人和浇灌的人目标都一样,各人将按照自己的付出得报酬。 9因为我们是上帝的同工,你们是上帝的园地和建筑。

10我照着上帝赐给我的恩典,好像一位有智慧的建筑师打下了根基,然后让其他工人在上面建造。但每个人建造的时候要小心, 11因为除了那已经奠定的根基耶稣基督以外,没有人能另立根基。 12人们用金、银、宝石、草、木或禾秸在这根基上建造, 13每个人的工程将来都会显明出来,因为到了审判的日子,必用火试验各人工程的品质。 14人在这根基上所建造的工程若经得起考验,他必获得奖赏。 15人的工程若被烧毁了,他必遭受损失,自己虽然可以得救,却像火里逃生一样。

16岂不知你们就是上帝的殿,上帝的灵住在你们里面吗? 17若有人摧毁上帝的殿,上帝必摧毁那人,因为上帝的殿是神圣的,你们就是这殿。

18你们不要自欺。如果你们有人自以为在世上有智慧,他应当变成愚人,好成为真正的智者。 19因为这世上的智慧在上帝的眼中都是愚昧的,正如圣经上说:“上帝使智者中了自己的诡计。”3:19 约伯记5:13 20又说:“主知道智者的思想虚妄。”3:20 诗篇94:11 21因此,谁都不要仗着人夸耀,因为万物都属于你们, 22无论是保罗亚波罗矶法、世界、生命、死亡、现在的事或将来的事都属于你们, 23你们属于基督,基督属于上帝。

Kiswahili Contemporary Version

1 Wakorintho 3:1-23

Kuhusu Mgawanyiko Katika Kanisa

13:1 1Kor 2:15; Rum 7:14; 1Kor 2:14; 14:20Ndugu zangu, mimi sikuweza kusema nanyi kama watu wa kiroho, bali kama watu wa mwilini, kama watoto wachanga katika Kristo. 23:2 Ebr 5:12-14; 1Pet 2:2; Yn 16:12Naliwanywesha maziwa, wala si chakula kigumu, kwa kuwa hamkuwa tayari kwa hicho chakula. Naam, hata sasa hamko tayari. 33:3 Rum 13:13; 1Kor 1:11; Gal 5:20Ninyi bado ni watu wa mwilini. Kwa kuwa bado kuna wivu na magombano miongoni mwenu, je, ninyi si watu wa mwilini? Je, si mwaendelea kama watu wa kawaida? 43:4 1Kor 1:12Kwa maana mmoja anaposema, “Mimi ni wa Paulo,” na mwingine, “Mimi ni wa Apolo,” je, ninyi si wanadamu wa kawaida?

53:5 Mdo 18:24; 1Kor 4:1; 2Kor 6:4; Efe 3:7; Kol 1:23-25Kwani, Apolo ni nani? Naye Paulo ni nani? Ni watumishi tu ambao kupitia wao mliamini, kama vile Bwana alivyompa kila mtu huduma yake. 63:6 Mdo 18:4-11; 1Kor 4:15; 9:1; 15:1Mimi nilipanda mbegu, Apolo akatia maji, lakini Mungu ndiye aliikuza. 73:7 2Kor 12:11; Gal 6:3Hivyo mwenye kupanda na mwenye kutia maji si kitu, bali Mungu peke yake ambaye huifanya ikue. 83:8 Za 18:20; 62:12; Mt 25:21; 1Kor 9:17Apandaye mbegu ana lengo sawa na yule atiaye maji na kila mmoja atalipwa kulingana na kazi yake. 93:9 Mk 16:20; 2Kor 6:1; 1The 2:2; Isa 61:3; Efe 2:20-22; 1Pet 5:5Kwa kuwa sisi tu watendakazi pamoja na Mungu. Ninyi ni shamba la Mungu, jengo la Mungu.

103:10 Rum 12:3; 15:20; Efe 2:20Kwa neema Mungu aliyonipa, niliweka msingi kama mjenzi stadi na mtu mwingine anajenga juu yake. Lakini kila mmoja inampasa awe mwangalifu jinsi anavyojenga. 113:11 Isa 28:16; Efe 2:20Kwa maana hakuna mtu yeyote awezaye kuweka msingi mwingine wowote isipokuwa ule uliokwisha kuwekwa, ambao ni Yesu Kristo. 12Kama mtu yeyote akijenga juu ya msingi huu kwa kutumia dhahabu, fedha, vito vya thamani, miti, majani au nyasi, 133:13 1Kor 4:5; 1:8; 2The 1:7-10; 2Tim 1:12-18; 4:8; Hes 31:22-23; Yer 23:28-29; Mal 3:3; 2The 1:7kazi yake itaonekana ilivyo, kwa kuwa Siku ile itaidhihirisha. Itadhihirishwa kwa moto, nao moto utapima ubora wa kazi ya kila mtu. 143:14 1Kor 3:8; 4:5Kama kile alichojenga kitabaki, atapokea thawabu yake. 153:15 Yud 23Kama kazi kitateketea, atapata hasara, ila yeye mwenyewe ataokolewa, lakini tu kama mtu aliyenusurika kwenye moto.

163:16 1Kor 6:9; 2Kor 6:16; Efe 2:21-22; Ebr 3:6; Rum 8:9Je, hamjui ya kwamba ninyi wenyewe ni hekalu la Mungu na kwamba Roho wa Mungu anakaa ndani yenu? 17Kama mtu yeyote akiliharibu hekalu la Mungu, Mungu atamwangamiza; kwa maana hekalu la Mungu ni takatifu, na ninyi ndiyo hilo hekalu.

183:18 Isa 5:12; 1Kor 8:2; Gal 6:3; 1Kor 1:20Msijidanganye. Kama mtu yeyote miongoni mwenu akidhani kuwa ana hekima kwa viwango vya dunia hii, inampasa awe mjinga ili apate kuwa na hekima. 193:19 Rum 1:22; 1Kor 1:20-27; Ay 5:13Kwa maana hekima ya ulimwengu huu ni upuzi mbele za Mungu. Kama ilivyoandikwa: “Mungu huwanasa wenye hekima katika hila yao,” 203:20 Za 94:11tena, “Bwana anajua kwamba mawazo ya wenye hekima ni ubatili.” 213:21 1Kor 4:6; Rum 8:32Hivyo basi, mtu asijivune kuhusu wanadamu! Vitu vyote ni vyenu, 223:22 1Kor 1:12; Rum 8:38ikiwa ni Paulo au Apolo au Kefa3:22 Yaani Petro. au dunia au uzima au mauti, au wakati uliopo au wakati ujao, haya yote ni yenu 233:23 1Kor 15:23; 2Kor 10:7; Gal 3:29na ninyi ni wa Kristo, naye Kristo ni wa Mungu.