出埃及记 26 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible 2022 (Simplified)

出埃及记 26:1-37

圣幕的做法

1“要用十幅幔子做圣幕,幔子要用细麻和蓝色、紫色、朱红色毛线织成,上面要精工绣制基路伯天使。 2每幅幔子的尺寸都一样,长十二米半、宽一米八。 3每五幅连在一起,形成两幅大幔子。 4要在每幅大幔子末幅的边缘钉上蓝色的扣环, 5每幅大幔子钉五十个,扣环要两两相对, 6再做五十个金钩,把两幅大幔子连在一起,成为一个完整的圣幕。

7“要用山羊毛织十一幅幔子作圣幕的罩棚, 8每幅长十三米半、宽一米八。十一幅幔子的尺寸都要一样。 9然后,你们要把五幅连成一大幅,其余六幅连成一大幅,第六幅要在罩棚前叠起来。 10要在这两幅大幔子末幅的边缘各钉上五十个扣环, 11再做五十个铜钩,把这两幅大幔子扣在一起,成为一个完整的罩棚。 12铺罩棚所剩下来的半幅幔子要垂到圣幕后面。 13两旁余下的幔子可垂在圣幕的两边,每边长四十五厘米,盖着圣幕。 14罩棚上面要盖一层染成红色的公羊皮,再盖一层海狗皮做顶盖。

15“要用皂荚木做支圣幕的木板, 16每块木板长四米半,宽七十厘米。 17每块木板要有两个接榫,用来衔接。圣幕的所有木板都要这样。 18圣幕的南面要有二十块木板, 19在这些木板下面要造四十个带凹槽的银底座,每块木板下面有两个,套在木板的两个接榫上。 20圣幕北面也要有二十块木板, 21木板下面同样有四十个带凹槽的银底座,每块木板下面有两个银底座。 22圣幕后面,就是西面,要有六块木板。 23圣幕后面的两个拐角要各有一块木板, 24木板的下端连于底座26:24 “连于底座”或译“是双层的”。,顶端用一个环固定。两个拐角都要这样做。 25这样,后面共有八块木板,每块木板下面各有两个带凹槽的银底座,一共有十六个银底座。

26-27“要用皂荚木做横闩,圣幕左右两边和后面的墙板上要各有五根横闩, 28拦腰固定墙板的那根横闩要从这端贯穿到那端。 29所有的木板和横闩都要包上金,并要在木板上造金环,用来穿横闩。 30要照着我在山上所指示你的样式,把圣幕支搭起来。

造至圣所的条例

31“要用细麻和蓝色、紫色、朱红色毛线织成一幅幔子,上面精工绣上基路伯天使。 32要把这幅幔子挂在四根包金的皂荚木柱上,木柱上有金钩,木柱立在四个带凹槽的银底座上面。 33要把整幅幔子挂在木柱的金钩上,把约柜抬进幔子里。这幔子把圣幕分为两个部分,幔子里面是至圣所,外面是圣所。 34要把施恩座放在至圣所里面的约柜上。 35桌子要放在幔子的外面、圣幕的北面,灯台放在南面,跟桌子相对。 36要用细麻和蓝色、紫色、朱红色毛线绣制圣幕的门帘。 37要用皂荚木做五根挂门帘的柱子,柱子包上金,上面要有金钩,并要为柱子铸造五个带凹槽的铜底座。

Kiswahili Contemporary Version

Kutoka 26:1-37

Maskani Ya Mungu

(Kutoka 36:8-38)

126:1 Kut 29:42; 40:2; Law 8:10; Hes 1:50; Yos 22:19-20; 2Sam 7:2; 1Fal 1:30; Mdo 7:44; Ebr 8:2-5; 13:10; Ufu 21:3; Kut 25:18“Tengeneza maskani kwa mapazia kumi ya kitani iliyosokotwa vizuri na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu, naye fundi stadi atatarizi makerubi kwenye mapazia hayo. 2Mapazia yote yatatoshana kwa ukubwa: kila moja litakuwa na urefu wa dhiraa ishirini na nane,26:2 Dhiraa 28 ni sawa na mita 13. na upana wa dhiraa nne26:2 Dhiraa nne ni sawa na mita 1.8. 326:3 1Kor 12:4-12Unganisha mapazia matano pamoja; fanya vivyo hivyo kwa hayo mengine matano. 426:4 Efe 4:13; Kol 2:2, 19Tengeneza vitanzi vya kitambaa cha buluu kwenye upindo wa pazia la mwisho la fungu la kwanza, na ufanye vivyo hivyo na pazia la fungu la mwisho. 5Fanya vitanzi hamsini katika pazia mmoja, na vitanzi vingine hamsini kwenye pazia la mwisho la fungu hilo lingine, nazo vitanzi vyote vielekeane. 6Kisha tengeneza vifungo hamsini vya dhahabu ili vitumike kufunga na kuunganisha mapazia pamoja kufanya Hema liwe kitu kimoja.

726:7 Kut 36:14“Tengeneza mapazia kumi na moja ya singa za mbuzi kwa ajili ya kufunika maskani. 8Mapazia hayo kumi na moja yatakuwa na kipimo kimoja, yaani urefu wa dhiraa thelathini,26:8 Dhiraa 30 ni sawa na mita 13.5. na upana wa dhiraa nne. 9Unganisha hayo mapazia matano yawe fungu moja, na hayo mengine sita yawe fungu lingine. Kunja hilo pazia la sita mara mbili mbele ya maskani. 10Tengeneza vitanzi hamsini kwenye upindo wa pazia la mwisho la fungu moja, na vivyo hivyo kwenye upindo wa pazia la mwisho la fungu hilo lingine. 11Kisha tengeneza vifungo hamsini vya shaba, uviingize katika vile vitanzi ili kukaza hema pamoja kuwa kitu kimoja. 12Kuhusu kile kipande cha ziada cha pazia la Hema, nusu ya hilo pazia lililobaki litaningʼinizwa upande wa nyuma wa Hema. 13Mapazia ya hema yatakuwa na urefu wa dhiraa moja zaidi pande zote, sehemu itakayobaki itaningʼinia pande zote za Hema ili kuifunika. 1426:14 Kut 36:19; Hes 3:25; 4:25Tengeneza kifuniko cha hema kwa ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu, na juu yake kifuniko cha ngozi za pomboo.26:14 Pomboo hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini aishiye kwenye milima yenye misitu, au pengine nguva au sili.

15“Tengeneza mihimili ya kusimamisha ya mti wa mshita kwa ajili ya maskani. 16Kila mhimili uwe na urefu wa dhiraa kumi26:16 Dhiraa 10 ni sawa na mita 4.5. na upana wa dhiraa moja na nusu, 17zikiwa na ndimi mbili zilizo sambamba kila mmoja na mwingine. Tengeneza mihimili yote ya maskani jinsi hii. 18Tengeneza mihimili ishirini kwa ajili ya upande wa kusini wa maskani, 1926:19 Kut 38:27kisha tengeneza vitako arobaini vya fedha vya kuweka chini ya hiyo mihimili, vitako viwili kwa kila mhimili, kimoja chini ya kila ulimi. 20Kuhusu upande wa kaskazini wa maskani, tengeneza mihimili ishirini 21na vitako arobaini vya fedha, viwili chini ya kila mhimili. 22Kisha tengeneza mihimili sita kwa mwisho ulio mbali, yaani upande wa magharibi wa maskani, 23na pia utengeneze mihimili miwili ya pembe za upande ulio mbali. 24Katika pembe hizi mbili ni lazima mihimili yake iwe miwili kuanzia chini mpaka juu, na iingizwe kwenye pete moja; mihimili ya pembe hizi mbili itafanana. 25Kwa hiyo itakuwepo mihimili minane, na vitako kumi na sita vya fedha, viwili chini ya kila mhimili.

2626:26 Kut 36:31; Rum 15:1; Gal 6:2“Pia tengeneza mataruma ya mti wa mshita: matano kwa ajili ya mihimili ya upande mmoja wa maskani, 27matano kwa ajili ya mihimili ya upande mwingine, na matano kwa ajili ya mihimili ya upande wa magharibi, mwisho kabisa mwa maskani. 28Taruma la katikati litapenya katikati ya mihimili kutoka mwisho mmoja hadi mwisho mwingine. 29Funika hiyo mihimili kwa dhahabu, kisha tengeneza pete za dhahabu ambazo zitashikilia hayo mataruma. Pia funika hayo mataruma kwa dhahabu.

3026:30 Kut 40:2; 25:9; Hes 9:15; Ebr 8:5; Mdo 7:44; Ebr 8:5“Simamisha Hema sawasawa na mfano ulioonyeshwa kule mlimani.

3126:31 Hes 4:5; 2Nya 3:14; Mt 27:51; Lk 23:45; Ebr 9:3; Kut 25:18; 36:35; Law 16:2; Kut 25:18; 36:35“Tengeneza pazia la nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu na kitani safi iliyosokotwa vizuri, naye fundi stadi atirizi makerubi kwenye hilo pazia. 32Litundike kwa kulabu za dhahabu kwenye nguzo nne za mti wa mshita ambazo zimefunikwa kwa dhahabu, zikiwa zimesimamishwa kwenye vitako vinne vya fedha. 3326:33 Kut 27:21; 35:12; 40:2-3, 21; Law 16:2; Hes 3:31; 4:5; 2Nya 3:14; Law 16:2, 16; 1Fal 6:16; 7:50; 8:6; 2Nya 3:8; 5:7; Eze 41:5; Ebr 9:2-3Ningʼiniza pazia hilo kwenye vifungo, kisha weka Sanduku la Ushuhuda nyuma ya pazia. Pazia litatenganisha Mahali Patakatifu kutoka Patakatifu pa Patakatifu. 3426:34 Kut 25:21; 30:6; 37:6; Law 16:2; Ebr 9:5Weka kifuniko cha kiti cha rehema juu ya Sanduku la Ushuhuda ndani ya Patakatifu pa Patakatifu. 3526:35 Kut 25:23; Ebr 9:2; Kut 25:31Weka meza nje ya pazia upande wa kaskazini wa Hema, kisha weka kinara cha taa upande wa kusini wa Hema.

3626:36 Kut 35:15; 40:5; 28; Za 45:14; Eze 16:10; 26:16; 27:7“Kwa ajili ya ingilio la hema, tengeneza pazia la nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu na kitani safi iliyosokotwa vizuri, kazi ya mtarizi. 3726:37 Kut 38:1Tengeneza kulabu za dhahabu kwa ajili ya hilo pazia, na nguzo tano za mshita zilizofunikwa kwa dhahabu. Kisha mimina vitako vitano vya shaba kwa ajili yake.