1 Wafalme 5 – NEN & CCBT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Wafalme 5:1-18

Maandalio Ya Ujenzi Wa Hekalu

(2 Nyakati 2:1-18)

15:1 Ezr 6:14; Hag 1:14; Zek 8:9Hiramu mfalme wa Tiro aliposikia kuwa Solomoni ametiwa mafuta awe mfalme mahali pa Daudi baba yake, akatuma wajumbe kwa Solomoni, kwa sababu Hiramu siku zote alikuwa na uhusiano mzuri wa kirafiki na Daudi. 25:2 1Nya 3:19; Ezr 6:14; Mhu 12:11; Zek 4:6-10; Hag 1:2-15; 2:2-5Solomoni akapeleka ujumbe huu kwa Hiramu:

35:3 Ezr 6:6“Unajua kwamba kwa sababu ya vita vilivyopiganwa dhidi ya baba yangu Daudi kutoka pande zote, hakuweza kujenga Hekalu kwa ajili ya Jina la Bwana Mungu wake, hadi Bwana alipowaweka adui zake chini ya miguu yake. 4Lakini sasa Bwana Mungu wangu amenipa utulivu kila upande hakuna adui wala maafa. 55:5 2Fal 25:28; 1Pet 3:12; 2Nya 16:9; Ezr 7:6, 28; Za 33:18; Isa 41:10Kwa hiyo, ninakusudia kujenga Hekalu kwa ajili ya Jina la Bwana, Mungu wangu, kama Bwana alivyomwambia baba yangu Daudi, wakati aliposema, ‘Mwanao nitakayemweka kwenye kiti cha ufalme mahali pako, ndiye atajenga Hekalu kwa ajili ya Jina langu.’

65:6 Ezr 4:9“Hivyo toa amri ili mierezi ya Lebanoni ikatwe kwa ajili yangu. Watu wangu watafanya kazi na watu wako, nami nitawalipa watu wako kwa ujira wowote utakaoupanga. Unajua kwamba hatuna mtu yeyote mwenye ustadi katika kukata miti kama Wasidoni.”

7Hiramu aliposikia ujumbe wa Solomoni, akafurahishwa sana akasema, “Ahimidiwe Bwana leo, kwa kuwa amempa Daudi mwana mwenye hekima kutawala juu ya taifa hili kubwa.”

8Hiramu akatuma neno kwa Solomoni:

“Nimepokea ujumbe ulionipelekea na nitafanya yote unayohitaji katika kukupatia magogo ya mierezi na misunobari. 95:9 Ezr 4:12Watu wangu watayakokota kutoka Lebanoni hadi kwenye bahari, nami nitayafunga mafungu mafungu yaelee juu ya maji hadi utakapoelekeza. Huko nitayatenganisha, nawe utaweza kuyachukua. Wewe utakidhi haja yangu kwa kunipatia chakula kwa ajili ya watu wa nyumbani mwangu.”

10Kwa njia hii Hiramu akampa Solomoni miti yote ya mierezi na magogo ya misunobari kama alivyohitaji, 115:11 1Fal 6:1; Yos 24:15; Za 119:46; Yn 1:9; Mt 10:32; Lk 12:8; Mdo 27:23; 2Nya 3:1, 2naye Solomoni akampa Hiramu kori 20,0005:11 Kori 20,000 ni sawa na madebe 240,000. za ngano kama chakula kwa ajili ya watu wa nyumbani mwake, pamoja na mafuta safi ya zeituni yaliyokamuliwa bathi 20,000.5:11 Bathi 20,000 ni sawa na madebe 200. Solomoni aliendelea kumfanyia Hiramu hivyo mwaka baada ya mwaka. 125:12 2Nya 34:24-25; 36:16, 17; Yer 39:1; 2Fal 24:2Bwana akampa Solomoni hekima, kama alivyomwahidi. Palikuwepo na uhusiano wa amani kati ya Hiramu na Solomoni, na wote wawili wakafanya mkataba.

135:13 Ezr 1:1Mfalme Solomoni akakusanya wafanyakazi 30,000 kutoka Israeli yote. 145:14 Ezr 6:5; Dan 5:2; 1Nya 3:18; Hag 1:4Akawapeleka Lebanoni kwa zamu za watu 10,000 kwa mwezi, hivyo walikaa Lebanoni kwa mwezi mmoja na miezi miwili nyumbani. Adoniramu ndiye alikuwa kiongozi wa shokoa. 15Solomoni alikuwa na wachukuzi wa mizigo 70,000 na wachonga mawe 80,000 huko vilimani, 165:16 Ezr 3:10; 6:15; 4:15; 6:1-2pamoja na wasimamizi 3,300 ambao walisimamia kazi hiyo na kuwaongoza wafanyakazi. 175:17 Ezr 6:1, 2; Mit 25:2Kwa amri ya mfalme walitoa kwenye machimbo ya mawe, mawe makubwa, yaliyo bora kwa kujengea msingi wa nyumba yaliyochongwa kwa ajili ya Hekalu. 18Mafundi wa Solomoni, wa Hiramu na watu wa Gebali5:18 Yaani Bubilo, mji wa zamani sana wa Ufoinike (kama kilomita 80 kaskazini mwa Beiruti). walikata na kuandaa mbao na mawe kwa ajili ya ujenzi wa Hekalu.

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

列王紀上 5:1-18

預備建造聖殿

1泰爾希蘭素來與大衛修好,他聽說以色列人膏立了所羅門繼承大衛的王位,就遣使者來見所羅門2所羅門也派人去見希蘭,說: 3「你知道,我父大衛因周圍戰事連連,未能為他的上帝耶和華建殿,要等到耶和華使仇敵伏在他腳下後再建。 4現在我的上帝耶和華使我四境太平,內外無憂, 5我想為我的上帝耶和華建殿,因為耶和華曾對我父大衛說,『我必使你的兒子繼承你的王位,他必為我的名建殿。』 6請你命人為我砍伐黎巴嫩的香柏木。我會派人幫助你的人,並按你的要求付你的人工錢。因為你知道,我們沒有人像西頓人那樣善於砍伐樹木。」

7希蘭聽了所羅門的話後,非常高興,說:「今天當讚美耶和華!祂賜給大衛一個有智慧的兒子治理這偉大的民族。」 8他派人回覆所羅門說:「我已收到你派人帶來的口信。我一定會照你的心願提供香柏木和松木。 9我的工人會將這些木料從黎巴嫩紮成木筏,經海道運到你指定的地點。木筏拆散以後,你就可以點收了。你也要成全我的心願,供應我家食糧。」 10於是,希蘭供應所羅門需用的香柏木和松木, 11所羅門每年供應希蘭四百四十萬升麥子和四千四百升橄欖油。 12耶和華照著應許賜給所羅門智慧。他跟希蘭修好,締結盟約。

13所羅門王從以色列徵集了三萬勞工, 14派他們每月輪班到黎巴嫩工作,每班一萬人,在黎巴嫩一個月,在家兩個月。亞多尼蘭做他們的總管。 15所羅門又徵用了七萬名搬運工,八萬名在山上鑿石的匠人。 16此外,他還派了三千三百名監工,監督工人做工。 17他們按照王的命令在山上鑿出珍貴的巨石,用來作殿的根基。 18於是,所羅門希蘭的工匠及迦巴勒人鑿好石頭,備好木料,準備建殿。