2 Wafalme 1 – NEN & CCBT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Wafalme 1:1-18

Hukumu Ya Bwana Juu Ya Ahazia

11:1 Mwa 19:37; 2Sam 8:2; 2Fal 3:5Baada ya kifo cha Mfalme Ahabu, nchi ya Moabu iliasi dhidi ya Israeli. 21:2 Amu 18:5; 2Fal 1:16; 8:7-10; Mt 10:25; Isa 14:29; Mk 3:22; 1Sam 5:10Basi Ahazia alikuwa ameanguka huko Samaria kutoka baraza ya chumba chake cha juu, akaumia. Hivyo akatuma wajumbe, akiwaambia, “Nendeni mkaulize kwa Baal-Zebubu, mungu wa Ekroni, mkaone kama nitapona kutokana na kuumia huku.”

31:3 Mwa 16:7; 1Sam 28:8; Isa 8:19; Yer 2:10-13; Yon 2:8Lakini malaika wa Bwana akamwambia Eliya, Mtishbi, “Panda ukakutane na wajumbe wa mfalme wa Samaria, uwaulize, ‘Je, ni kwa sababu hakuna Mungu katika Israeli ndiyo maana mnakwenda kumuuliza Baal-Zebubu, mungu wa Ekroni?’ 41:4 2Fal 1:6, 16; Za 41:8; Rum 6:23; Mhu 8:13; Mit 11:19; Isa 3:11; Yak 1:15Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana, ‘Hutaondoka kwenye kitanda unachokilalia. Hakika utakufa!’ ” Hivyo Eliya akaenda.

5Wajumbe waliporudi kwa mfalme, akawauliza, “Kwa nini mmerudi?”

61:6 2Fal 1:2; Mit 14:32Wakamjibu, “Mtu fulani alikuja kukutana nasi, naye akatuambia, ‘Rudini kwa mfalme aliyewatuma na mkamwambie, “Hili ndilo asemalo Bwana: Je, ni kwa sababu hakuna Mungu katika Israeli ndiyo maana unawatuma watu kwenda kuuliza kwa Baal-Zebubu, mungu wa Ekroni? Kwa hiyo hutaondoka kwenye kitanda unachokilalia. Hakika utakufa!” ’ ”

7Mfalme akawauliza, “Alikuwa mtu wa namna gani ambaye mlikutana naye, akawaambia hili?”

81:8 Isa 3:3; Zek 13:4; Mt 3:4Wakamjibu, “Alikuwa mtu aliyekuwa na vazi la manyoya na mkanda wa ngozi kiunoni mwake.”

Mfalme akasema, “Huyo alikuwa ni Eliya, Mtishbi.”

91:9 Kut 18:25; 2Fal 6:14; Za 105:15; Amo 7:12; Mt 27:29Ndipo mfalme akamtuma mkuu mmoja wa kikosi pamoja na kikosi chake cha askari hamsini kwa nabii Eliya. Yule mkuu wa kikosi akamwendea Eliya, aliyekuwa ameketi juu ya kilima, na kumwambia, “Mtu wa Mungu, mfalme anasema, ‘Shuka chini!’ ”

101:10 Hes 11:1; 1Fal 18:38; Lk 9:54; Ufu 11:5Eliya akamjibu yule mkuu wa kikosi, “Ikiwa mimi ni mtu wa Mungu, moto na ushuke kutoka mbinguni ukuteketeze wewe na watu wako hamsini!” Ndipo moto ukashuka kutoka mbinguni na kuwateketeza yule mkuu wa kikosi pamoja na watu wake.

111:11 Isa 26:11Aliposikia hili, mfalme akatuma kwa Eliya mkuu wa kikosi mwingine na askari wake hamsini. Yule mkuu wa kikosi akamwambia Eliya, “Mtu wa Mungu, hili ndilo asemalo mfalme, ‘Shuka chini mara moja!’ ”

12Eliya akajibu, “Ikiwa mimi ni mtu wa Mungu, moto na ushuke kutoka mbinguni ukuteketeze wewe na watu wako hamsini!” Ndipo moto wa Mungu ukashuka kutoka mbinguni, ukamteketeza yeye na watu wake hamsini.

131:13 1Sam 26:21; Za 72:14; Mit 22:27; Mhu 9:3; Yer 5:3Hivyo mfalme akatuma mkuu wa kikosi wa tatu na watu wake hamsini. Huyu mkuu wa kikosi wa tatu akapanda na kupiga magoti mbele ya Eliya, akiomba, “Mtu wa Mungu, tafadhali niachie uhai wangu na uhai wa hawa watu hamsini, watumishi wako! 14Tazama, moto umeshuka kutoka mbinguni na kuwateketeza wale wakuu wa vikosi viwili vya kwanza pamoja na watu wao. Lakini sasa niachie uhai wangu!”

151:15 2Fal 1:3; Isa 57:11-12; Yer 1:17; Eze 2:6Malaika wa Bwana akamwambia Eliya, “Shuka pamoja naye, usimwogope.” Hivyo Eliya akainuka na kushuka pamoja naye kwa mfalme.

16Akamwambia mfalme, “Hili ndilo asemalo Bwana: Je, ni kwa sababu hakuna Mungu katika Israeli wa kumuuliza habari, ndiyo maana ukatuma wajumbe kuuliza Baal-Zebubu, mungu wa Ekroni? Kwa sababu umefanya hili, kamwe hutaondoka kwenye kitanda unachokilalia. Hakika utakufa!” 171:17 2Fal 8:15-16; Yer 20:6; 28:17Hivyo akafa, sawasawa na lile neno la Bwana ambalo Eliya alikuwa amesema.

Kwa kuwa Ahazia hakuwa na mwana, Yoramu1:17 Yoramu ni namna nyingine ya kutaja jina Yehoramu. akawa mfalme baada yake katika mwaka wa pili wa Yehoramu mwana wa Yehoshafati mfalme wa Yuda. 18Kwa matukio mengine ya utawala wa Ahazia na yale aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

列王紀下 1:1-18

耶和華責備亞哈謝

1亞哈死後,摩押背叛以色列2一天,亞哈謝撒瑪利亞王宮的樓臺上掉下來,受了傷,就派使者去求問以革倫的神明巴力·西蔔,看自己能否痊癒。 3耶和華的天使對提斯比以利亞說:「你去截住撒瑪利亞王的使者,對他們說,『你們為什麼去求問以革倫的神明巴力·西蔔?難道以色列沒有上帝嗎?』 4因此耶和華說,『亞哈謝再也不能下床了,他必定死。』」以利亞就去了。

5以利亞將天使的話告訴王的使者後,他們便回去見王。王問他們:「你們為什麼這麼快就回來了?」 6他們答道:「有一個人在路上截住我們,要我們回來告訴你,耶和華對你說,『你差人去求問以革倫的神明巴力·西蔔,是因為以色列沒有上帝嗎?因此,你再也不能下床了,你必定死。』」 7王又問他們:「在路上截住你們、對你們說這些話的,是什麼樣的人?」 8他們答道:「那人身穿毛皮衣服,腰束皮帶。」王說:「他是提斯比以利亞。」

9於是,王派一個五十夫長率領五十人去找以利亞。那時,以利亞正坐在山頂上。五十夫長到了那裡,對他說:「上帝的僕人啊,王命令你下來。」 10以利亞說:「我若是上帝的僕人,願火從天降下燒死你和你的五十個部下。」火立刻從天降下,燒死了五十夫長和他的五十個部下。 11亞哈謝王又派一個五十夫長率領五十人去以利亞那裡,五十夫長對以利亞說:「上帝的僕人啊,王命令你馬上下來。」 12以利亞說:「我若是上帝的僕人,願火從天降下,燒死你和你的五十個部下。」上帝的火從天降下,燒死了五十夫長和他的五十個部下。

13王再次派一個五十夫長率領五十人前去。五十夫長上去,雙膝跪在以利亞面前,哀求道:「上帝的僕人啊,求你饒了我和你的五十名僕人的性命。 14前兩個五十夫長和他們的部下都被天上降下的火燒死了,現在求你饒我一命!」 15耶和華的天使對以利亞說:「不要害怕,跟他去吧!」以利亞就起來跟他去見王。 16以利亞對王說:「耶和華說,『你差人去求問以革倫的神明巴力·西蔔,是因為以色列沒有上帝可以求問嗎?因此,你再也不能下床了,你必定死。』」

17亞哈謝果然死了,正如耶和華藉以利亞所說的。他沒有兒子,他兄弟約蘭繼位,那年是猶大約沙法的兒子約蘭執政第二年。 18亞哈謝其他的事都記在以色列的列王史上。