Zaburi 99 Zaburi hii ikiunganishwa na ya 10 zimetungwa kila beti likianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.
Shukrani Kwa Mungu Kwa Ajili Ya Haki Yake
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa muth-labeni.9:0 Muth-labeni ni mtajo mmojawapo katika lugha za muziki. Zaburi ya Daudi.
19:1 Za 86:12; 11:1; 119:2, 10; 145:5; 138:1; Kum 4:34Ee Bwana, nitakutukuza kwa moyo wangu wote,
nitayasimulia matendo yako yote ya ajabu.
29:2 Ay 22:19; Isa 25:9; Za 14:7; 31:7; 70:4; 92:1; 97:8; 126:3; Mit 23:15; Yoe 2:21; Ufu 19:7; Yer 30:19; Sef 3:14; Mt 5:12; 2Nya 31:2Nitafurahi na kushangilia ndani yako.
Nitaliimbia sifa jina lako, Ewe Uliye Juu Sana.
3Adui zangu wamerudi nyuma,
wamejikwaa na kuangamia mbele zako.
49:4 1Fal 8:45; Isa 6:1; Ay 16:21; Za 7:11; 11:4; 47:8; 67:4; 98:9; 1Pet 2:23Kwa maana umetetea haki yangu na msimamo wangu;
umeketi kwenye kiti chako cha enzi,
ukihukumu kwa haki.
59:5 Mwa 20:7; 37:10; 1Nya 16:21; Za 59:5; 105:14; Isa 26:14; 66:15; Ay 18:17; Kum 9:14Umekemea mataifa na kuwaangamiza waovu;
umeyafuta majina yao milele na milele.
69:6 Kum 29:28; Yer 2:3; Mhu 9:5; Isa 14:22; 26:14; Sef 2:8-10; Za 34:16; 109:15Uharibifu usiokoma umempata adui,
umeingʼoa miji yao;
hata kumbukumbu lao limetoweka.
79:7 Mik 5:2; Ufu 19:6; Ebr 1:11; Hab 1:12; Za 90:2; 1Nya 16:31Bwana anatawala milele,
ameweka kiti chake cha enzi apate kuhukumu.
89:8 Za 7:11; 11:7; 45:6; 72:29:8 Kum 33:27; 2Sam 22:3; Za 10:18; 32:7; 74:21; 121:7Mungu atahukumu ulimwengu kwa haki,
atatawala mataifa kwa haki.
9Bwana ni kimbilio la watu wanaoonewa,
ni ngome imara wakati wa shida.
109:10 Mwa 28:15; Kum 4:31; Za 22:1; 37:25; 71:11; 70:4; 91:14; Isa 49:14; Yer 15:18; Ebr 13:5; Yn 17:3; 2Kor 4:6; 1Yn 2:3, 4; 2Tim 1:12Wote wanaolijua jina lako watakutumaini wewe,
kwa maana wewe Bwana,
hujawaacha kamwe wakutafutao.
119:11 Za 7:17; 2:6; 57:9; 18:49; 44:11; 105:1; 106:27; Isa 24:13; Eze 20:23; 1Tim 3:16Mwimbieni Bwana sifa, amefanywa mtawala Sayuni,
tangazeni miongoni mwa mataifa, yale aliyoyatenda.
129:12 2Sam 4:11; Za 10:17; 22:24; Isa 49:13Kwa maana yeye alipizaye kisasi cha damu hukumbuka,
hapuuzi kilio cha wanaoonewa.
139:13 Hes 10:9; Za 3:7; 18:3; 6:2; 41:4; 51:1; 86:3, 16; 119:132; Ay 17:16; Mt 16:18Ee Bwana, tazama jinsi walivyo wengi adui zangu wanaonitesa!
Nihurumie, uniinue kutoka malango ya mauti,
149:14 2Fal 19:21; Isa 1:8; 10:32; 37:22; 62:11; Yer 4:31; 6:2; Mao 1:6; Mt 21:5; Mik 1:13; Sef 3:14; Zek 2:10; Yn 12:15ili niweze kutangaza sifa zako
katika malango ya Binti Sayuni
na huko niushangilie wokovu wako.
159:15 Ay 4:8; Za 35:7, 8; 57:6Mataifa wameanguka kwenye shimo walilolichimba,
miguu yao imenaswa kwenye wavu waliouficha.
169:16 Kut 7:5; Mt 5:22Bwana anajulikana kwa haki yake,
waovu wamenaswa katika kazi za mikono yao.
179:17 Hes 16:30; Mt 5:5; Za 50:22; Ay 8:13; Hos 2:13; Yer 2:32Waovu wataishia kuzimu,
naam, mataifa yote wanaomsahau Mungu.
189:18 Za 25:3; 39:7; 71:5; Mt 23:18; Yer 14:8, 12; Za 74:19; 12:5; Flp 1:20Lakini mhitaji hatasahaulika siku zote,
wala matumaini ya walioonewa hayatapotea.
199:19 2Nya 14:11; Za 3:7; 110:6; Isa 2:4; Yoe 3:12Ee Bwana, inuka, usimwache binadamu ashinde.
Mataifa na yahukumiwe mbele zako.
209:20 Mwa 35:5; Isa 13:8; Lk 21:26; Za 31:13; 62:9; Isa 31:3; Eze 28:2Ee Bwana, wapige kwa hofu,
mataifa na yajue kuwa wao ni watu tu.
第9篇
称颂上帝的公义
大卫的诗,交给乐长,调用“慕拉辨”9:0 “慕拉辨”希伯来文的意思是“丧子”。。
1耶和华啊,我要全心赞美你,
传扬你一切奇妙的作为。
2我要因你欢喜快乐,
至高者啊,我要歌颂你的名。
3我的仇敌必败退,
在你面前倒地身亡。
4你坐在宝座上按公义审判,
你为我主持公道。
5你斥责列国,消灭恶人,
永永远远抹去他们的名字。
6仇敌永远灭亡了,
你把他们的城池连根拔起,
无人再记得他们。
7耶和华永远掌权,
祂已设立施行审判的宝座。
8祂要按公义审判世界,
按公正审判万民。
9耶和华是受欺压之人的避难所,
是他们患难之时的避风港。
10耶和华啊,
凡认识你名的人都必信靠你,
因为你从来不丢弃寻求你的人。
11要歌颂住在锡安的耶和华,
在列邦传扬祂的作为。
12因为祂追讨血债,眷顾受害者,
不忽略受苦者的呼求。
13耶和华啊,
看看仇敌对我的迫害!
求你怜悯我,
救我离开死亡之门,
14我好在少女锡安的城门口称颂你,
因你的拯救而欢乐。
15列邦挖了陷阱却自陷其中,
暗设网罗却缠住自己的脚。
16耶和华彰显自己,施行审判,
使恶人自食其果。(细拉)
17恶人必下阴间,忘记上帝的列邦都落此下场。
18贫乏人不会永远被遗忘,
受苦人的希望也不会一直落空。
19耶和华啊,求你起来,
别让世人向你夸胜,
愿你审判列邦。
20耶和华啊,
求你使列邦恐惧颤抖,
让他们明白自己不过是人。(细拉)