Zaburi 51 – NEN & CCBT

Kiswahili Contemporary Version

Zaburi 51:1-19

Zaburi 51

Kuomba Msamaha

Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Baada ya kukemewa na nabii Nathani kwa kuzini na Bathsheba.

151:1 2Sam 24:14; 12:13; Za 39:8; 86:15; 25:7; 119:88; 9:13; Neh 4:5; 9:27; Isa 63:7; Kol 2:14; 2Nya 6:23; Mdo 3:19Ee Mungu, unihurumie,

kwa kadiri ya upendo wako usiokoma,

kwa kadiri ya huruma yako kuu,

uyafute makosa yangu.

251:2 Rum 3:3; Yer 2:22; 13:27; Mdo 22:16; Mit 20:30; Isa 4:4; Ebr 9:14; Zek 13:1; Ufu 1:5; 1Kor 6:11; Eze 13:1; 36:25; Mt 23:25, 26; 1Yn 1:7, 9Unioshe na uovu wangu wote

na unitakase dhambi yangu.

351:3 Isa 59:12; Za 32:5Kwa maana ninajua makosa yangu,

na dhambi yangu iko mbele yangu daima.

451:4 1Sam 15:24; Mwa 20:6; Lk 15:21; Rum 3:4Dhidi yako, wewe peke yako, nimetenda dhambi

na kufanya yaliyo mabaya machoni pako,

ili uthibitike kuwa wa kweli unenapo,

na kuwa na haki utoapo hukumu.

551:5 Law 5:2; Ay 5:7; 14:4; Rum 5:12; Yn 3:6Hakika mimi nilizaliwa mwenye dhambi,

mwenye dhambi tangu nilipotungwa mimba kwa mama yangu.

651:6 Ay 9:4; 34:32; Za 119:66; 143:10Hakika wewe wapendezwa na kweli itokayo moyoni,

ndani sana ya moyo wangu wanifundisha hekima.

751:7 Eze 36:25; Hes 19:6; Zek 13:1; Kut 12:22; Ebr 9:19; Isa 4:4; 1:19; 43:25; 44:22Nioshe kwa hisopo, nami nitakuwa safi,

unisafishe, nami nitakuwa mweupe kuliko theluji.

851:8 Isa 35:10; Kut 12:46; Yer 33:11; Yoe 1:16Unipe kusikia furaha na shangwe,

mifupa uliyoiponda na ifurahi.

951:9 Yer 16:17; Zek 4:10; 2Sam 12:13Ufiche uso wako usizitazame dhambi zangu,

na uufute uovu wangu wote.

1051:10 Za 24:4; 78:37; Mt 5:8; Mdo 15:9; Eze 11:19; 18:31; 36:26; Mit 20:9; Yer 13:27; Efe 2:10Ee Mungu, uniumbie moyo safi,

uifanye upya roho ya uthabiti ndani yangu.

1151:11 Za 27:9; 138:8; 71:9; 106:3; Kut 33:15; Mwa 4:14; Isa 63:10; Eze 36:27; Efe 4:30; Rum 8:9Usinitupe kutoka mbele zako

wala kuniondolea Roho wako Mtakatifu.

1251:12 Ay 33:26; Za 110:3; 18:35; Rum 8:15; 2Kor 3:17Unirudishie tena furaha ya wokovu wako,

unipe roho ya utii, ili initegemeze.

1351:13 Kut 33:13; Za 1:1; Mdo 9:21-22; Ay 33:27Ndipo nitakapowafundisha wakosaji njia zako,

na wenye dhambi watakugeukia wewe.

1451:14 2Sam 12:9; Za 5:8; 22:5; 39:8; 68:20; 88:1; 35:28; 71:15Ee Mungu, Mungu uniokoaye,

niokoe na hatia ya kumwaga damu,

nao ulimi wangu utaimba juu ya haki yako.

1551:15 Kut 4:15Ee Bwana, fungua midomo yangu,

na kinywa changu kitatangaza sifa zako.

1651:16 1Sam 15:22Wewe hupendezwi na dhabihu, au ningaliileta,

hufurahii sadaka za kuteketezwa.

1751:17 Mit 15:8; Hag 2:14; Mt 11:29Bali dhabihu za Mungu ni roho iliyovunjika,

moyo uliovunjika wenye toba,

Ee Mungu, hutaudharau.

1851:18 Za 69:35; 147:2; 102:16; Zek 1:16-17; Isa 14:32; 44:26; 51:3; 51:19; Kum 33:19; Mal 3:3Kwa wema wa radhi yako uifanye Sayuni istawi,

ukazijenge upya kuta za Yerusalemu.

19Hapo ndipo kutakapokuwa na dhabihu za haki,

sadaka nzima za kuteketezwa za kukupendeza sana,

pia mafahali watatolewa

madhabahuni mwako.

Chinese Contemporary Bible 2023 (Traditional)

詩篇 51:1-19

第51篇

祈求上帝赦免

大衛與拔示巴通姦後,先知拿單來找他,他作了此詩,交給樂長。

1上帝啊,求你按你的慈愛憐憫我;

按你極大的憐憫除去我的過犯。

2求你洗淨我的罪過,

清除我的罪惡。

3我知道自己的過犯,

我的罪惡一直縈繞眼前。

4我犯罪得罪了你,

唯獨得罪了你,

做了你看為邪惡的事,

所以你責備我是正當的,

你對我的審判是公正的。

5我生來就是個罪人,

在母腹成胎的時候就有罪。

6你所喜愛的是內心的誠實,

求你使我內心有智慧。

7求你用牛膝草潔淨我的罪,

使我乾淨;

求你洗淨我,使我比雪更白。

8求你讓我聽到歡喜快樂的聲音,

讓我這被你壓碎的骨頭可以歡樂。

9求你掩面不看我的罪過,

除去我一切的罪惡。

10上帝啊,

求你為我造一顆純潔的心,

使我裡面重新有正直的靈。

11不要丟棄我,

使我離開你,

也不要從我身上收回你的聖靈。

12求你讓我重新享受蒙你拯救的喜樂,

賜我一個樂意順服你的心靈。

13我就會把你的法則教導悖逆之人,

使罪人歸向你。

14上帝啊,拯救我的上帝啊,

求你救我脫離殺人流血的罪,

使我開口頌揚你的公義。

15主啊,求你開我的嘴唇,

我的口要向你發出讚美。

16你不喜歡祭物,

否則我會獻上,

你也不喜愛燔祭。

17你所要的祭是憂傷的心靈。

上帝啊,你必不輕看憂傷痛悔的心。

18求你恩待錫安,重建耶路撒冷的城牆。

19那時,你必悅納誠心獻上的祭物、燔祭和全牲燔祭,

人們必把公牛獻在你的壇上。