Zaburi 38
Maombi Ya Mtu Anayeteseka
Zaburi ya Daudi. Maombi.
138:1 Za 6:1Ee Bwana, usinikemee katika hasira yako,
wala kuniadhibu katika ghadhabu yako.
238:2 Ay 6:4Kwa kuwa mishale yako imenichoma,
na mkono wako umenishukia.
338:3 Mit 3:8; 4:22; Ay 33:19Hakuna afya mwilini mwangu
kwa sababu ya ghadhabu yako,
mifupa yangu haina uzima
kwa sababu ya dhambi zangu.
438:4 Za 40:12; 65:3; Hes 11:14; Ezr 9:6; Lk 11:46Maovu yangu yamenifunika
kama mzigo usiochukulika.
538:5 Za 147:3; Ay 19:17; Za 69:5; Mit 5:23; 12:23; 13:16; Mhu 10:3Majeraha yangu yameoza na yananuka,
kwa sababu ya upumbavu wa dhambi zangu.
638:6 Za 57:6; 145:14; 146:8; 35:14Nimeinamishwa chini na kushushwa sana,
mchana kutwa nazunguka nikiomboleza.
738:7 Ay 14:22; 7:5Viuno vyangu vimejaa maumivu yaunguzayo,
hakuna afya mwilini mwangu.
838:8 Za 6:3, 6; 22:1; 34:18; Mit 17:22; 5:11Nimedhoofika na kupondwa kabisa,
nasononeka kwa maumivu makuu ya moyoni.
938:9 Za 119:20; 143:7; Ay 3:24Ee Bwana, yote ninayoyaonea shauku
yako wazi mbele zako,
kutamani kwangu sana
hakufichiki mbele zako.
1038:10 Ay 37:1; Za 6:7; 31:10; 19:8; 88:9Moyo wangu unapigapiga,
nguvu zangu zimeniishia;
hata macho yangu yametiwa giza.
1138:11 Za 38:5; Lk 10:31Rafiki na wenzangu wananikwepa
kwa sababu ya majeraha yangu;
majirani zangu wanakaa mbali nami.
1238:12 Za 35:4, 20; 140:5; 31:4; 141:9; 41:5Wale wanaotafuta uhai wangu
wanatega mitego yao,
wale ambao wangetaka kunidhuru
huongea juu ya maangamizi yangu;
hufanya shauri la hila mchana kutwa.
1338:13 Za 115:6; 135:17; Isa 43:8; Mk 7:37Mimi ni kama mtu kiziwi, asiyeweza kusikia,
ni kama bubu, asiyeweza kufungua kinywa chake,
14nimekuwa kama mtu asiyesikia,
ambaye kinywa chake hakiwezi kutoa jibu.
1538:15 Za 27:14; 17:6; Yer 14:8Ee Bwana, ninakungojea wewe,
Ee Bwana Mungu wangu, utajibu.
1638:16 Za 22:17; Kum 32:35Kwa kuwa nilisema, “Usiwaache wafurahie,
wala wasijitukuze juu yangu
mguu wangu unapoteleza.”
1738:17 Za 37:24; 38:7; Ay 6:10Kwa maana ninakaribia kuanguka,
na maumivu yangu yananiandama siku zote.
1838:18 Law 26:40; Ay 31:33; Za 32:5; Mit 28:13; 2Kor 7:9Naungama uovu wangu,
ninataabishwa na dhambi yangu.
1938:19 Za 18:17; 25:19; 35:19Wengi ni wale ambao ni adui zangu hodari,
wale wanaonichukia bila sababu ni wengi.
2038:20 Mwa 44:4; Yn 3:12; 1Pet 3:13; Za 54:5; 59:10; 119:23; 1Yn 3:12Wanaolipa maovu kwa wema wangu
hunisingizia ninapofuata lililo jema.
2138:21 Za 22:1, 11; 27:9; 71:18; 119:8; 10:1; 35:22; 71:12Ee Bwana, usiniache,
usiwe mbali nami, Ee Mungu wangu.
2238:22 Za 22:19; 40:13; 1Nya 16:35; Kut 15:2; Isa 12:2Ee Bwana Mwokozi wangu,
uje upesi kunisaidia.
第38篇
受苦者的祈求
大衛作的禱告詩。
1耶和華啊,
求你不要發怒責罰我,
不要在烈怒下管教我。
2因為你的箭射穿我,
你的手擊打我。
3你的怒氣使我渾身是病,
我的罪惡使我骨頭朽爛。
4我的罪惡滔天,如同重擔壓身。
5我因愚昧而傷口發臭流膿。
6我疼得彎腰駝背,
終日哀傷。
7我的腰灼痛難忍,
我渾身是病。
8我精疲力盡,徹底崩潰;
我心中悲傷,呻吟不止。
9主啊,我的渴望都顯露在你面前,
我的歎息瞞不過你。
10我的心砰砰直跳,
力量衰竭,
眼睛黯淡無光。
11因我的疾病,朋友同伴迴避我,
親人避而遠之。
12要我命的人設下陷阱,
想害我的人威脅我,
他們整天圖謀奸計。
13但我像耳聾的人一樣聽不見,
又像無法說話的啞巴。
14我就像一個不能聽、不能辯的人。
15耶和華啊,我等候你;
主,我的上帝啊,你必應允我。
16我曾求告你,
別讓他們幸災樂禍,
在我失腳時沾沾自喜。
17我快要跌倒,
我的痛苦常伴。
18我要承認我的罪過,
罪惡使我心裡惴惴不安。
19我的仇敵勢力強大,
無故恨我的人不計其數。
20我追求良善,
他們就恨我,以惡報善。
21耶和華啊,求你不要撇棄我!
我的上帝啊,求你不要遠離我!
22拯救我的主啊,
求你快來幫助我!