Zaburi 38 – NEN & CCBT

Kiswahili Contemporary Version

Zaburi 38:1-22

Zaburi 38

Maombi Ya Mtu Anayeteseka

Zaburi ya Daudi. Maombi.

138:1 Za 6:1Ee Bwana, usinikemee katika hasira yako,

wala kuniadhibu katika ghadhabu yako.

238:2 Ay 6:4Kwa kuwa mishale yako imenichoma,

na mkono wako umenishukia.

338:3 Mit 3:8; 4:22; Ay 33:19Hakuna afya mwilini mwangu

kwa sababu ya ghadhabu yako,

mifupa yangu haina uzima

kwa sababu ya dhambi zangu.

438:4 Za 40:12; 65:3; Hes 11:14; Ezr 9:6; Lk 11:46Maovu yangu yamenifunika

kama mzigo usiochukulika.

538:5 Za 147:3; Ay 19:17; Za 69:5; Mit 5:23; 12:23; 13:16; Mhu 10:3Majeraha yangu yameoza na yananuka,

kwa sababu ya upumbavu wa dhambi zangu.

638:6 Za 57:6; 145:14; 146:8; 35:14Nimeinamishwa chini na kushushwa sana,

mchana kutwa nazunguka nikiomboleza.

738:7 Ay 14:22; 7:5Viuno vyangu vimejaa maumivu yaunguzayo,

hakuna afya mwilini mwangu.

838:8 Za 6:3, 6; 22:1; 34:18; Mit 17:22; 5:11Nimedhoofika na kupondwa kabisa,

nasononeka kwa maumivu makuu ya moyoni.

938:9 Za 119:20; 143:7; Ay 3:24Ee Bwana, yote ninayoyaonea shauku

yako wazi mbele zako,

kutamani kwangu sana

hakufichiki mbele zako.

1038:10 Ay 37:1; Za 6:7; 31:10; 19:8; 88:9Moyo wangu unapigapiga,

nguvu zangu zimeniishia;

hata macho yangu yametiwa giza.

1138:11 Za 38:5; Lk 10:31Rafiki na wenzangu wananikwepa

kwa sababu ya majeraha yangu;

majirani zangu wanakaa mbali nami.

1238:12 Za 35:4, 20; 140:5; 31:4; 141:9; 41:5Wale wanaotafuta uhai wangu

wanatega mitego yao,

wale ambao wangetaka kunidhuru

huongea juu ya maangamizi yangu;

hufanya shauri la hila mchana kutwa.

1338:13 Za 115:6; 135:17; Isa 43:8; Mk 7:37Mimi ni kama mtu kiziwi, asiyeweza kusikia,

ni kama bubu, asiyeweza kufungua kinywa chake,

14nimekuwa kama mtu asiyesikia,

ambaye kinywa chake hakiwezi kutoa jibu.

1538:15 Za 27:14; 17:6; Yer 14:8Ee Bwana, ninakungojea wewe,

Ee Bwana Mungu wangu, utajibu.

1638:16 Za 22:17; Kum 32:35Kwa kuwa nilisema, “Usiwaache wafurahie,

wala wasijitukuze juu yangu

mguu wangu unapoteleza.”

1738:17 Za 37:24; 38:7; Ay 6:10Kwa maana ninakaribia kuanguka,

na maumivu yangu yananiandama siku zote.

1838:18 Law 26:40; Ay 31:33; Za 32:5; Mit 28:13; 2Kor 7:9Naungama uovu wangu,

ninataabishwa na dhambi yangu.

1938:19 Za 18:17; 25:19; 35:19Wengi ni wale ambao ni adui zangu hodari,

wale wanaonichukia bila sababu ni wengi.

2038:20 Mwa 44:4; Yn 3:12; 1Pet 3:13; Za 54:5; 59:10; 119:23; 1Yn 3:12Wanaolipa maovu kwa wema wangu

hunisingizia ninapofuata lililo jema.

2138:21 Za 22:1, 11; 27:9; 71:18; 119:8; 10:1; 35:22; 71:12Ee Bwana, usiniache,

usiwe mbali nami, Ee Mungu wangu.

2238:22 Za 22:19; 40:13; 1Nya 16:35; Kut 15:2; Isa 12:2Ee Bwana Mwokozi wangu,

uje upesi kunisaidia.

Chinese Contemporary Bible 2023 (Traditional)

詩篇 38:1-22

第38篇

受苦者的祈求

大衛作的禱告詩。

1耶和華啊,

求你不要發怒責罰我,

不要在烈怒下管教我。

2因為你的箭射穿我,

你的手擊打我。

3你的怒氣使我渾身是病,

我的罪惡使我骨頭朽爛。

4我的罪惡滔天,如同重擔壓身。

5我因愚昧而傷口發臭流膿。

6我疼得彎腰駝背,

終日哀傷。

7我的腰灼痛難忍,

我渾身是病。

8我精疲力盡,徹底崩潰;

我心中悲傷,呻吟不止。

9主啊,我的渴望都顯露在你面前,

我的歎息瞞不過你。

10我的心砰砰直跳,

力量衰竭,

眼睛黯淡無光。

11因我的疾病,朋友同伴迴避我,

親人避而遠之。

12要我命的人設下陷阱,

想害我的人威脅我,

他們整天圖謀奸計。

13但我像耳聾的人一樣聽不見,

又像無法說話的啞巴。

14我就像一個不能聽、不能辯的人。

15耶和華啊,我等候你;

主,我的上帝啊,你必應允我。

16我曾求告你,

別讓他們幸災樂禍,

在我失腳時沾沾自喜。

17我快要跌倒,

我的痛苦常伴。

18我要承認我的罪過,

罪惡使我心裡惴惴不安。

19我的仇敵勢力強大,

無故恨我的人不計其數。

20我追求良善,

他們就恨我,以惡報善。

21耶和華啊,求你不要撇棄我!

我的上帝啊,求你不要遠離我!

22拯救我的主啊,

求你快來幫助我!