Zaburi 33
Ukuu Na Wema Wa Mungu
133:1 Za 64:10; 101:1; 147:1; 11:7Mwimbieni Bwana kwa furaha, enyi wenye haki;
kusifu kunawapasa wanyofu wa moyo.
233:2 Mwa 4:21; 1Kor 14:7; Ufu 5:8; Za 92:3; 144:9Msifuni Bwana kwa kinubi,
mwimbieni sifa kwa zeze la nyuzi kumi.
333:3 Za 40:3; 35:27; 47:1; Isa 42:10; Ufu 5:9; Ay 3:7Mwimbieni wimbo mpya;
pigeni kwa ustadi, na mpaze sauti za shangwe.
433:4 Ufu 19:9; 22:6; Za 19:8; 18:25; 119:142; 25:10Maana neno la Bwana ni haki na kweli,
ni mwaminifu kwa yote atendayo.
533:5 Za 11:7; 6:4Bwana hupenda uadilifu na haki;
dunia imejaa upendo wake usiokoma.
633:6 Ebr 11:3; Kut 8:19; Mwa 1:3, 16; 2Nya 2:12; Yn 1:1-3; Ay 26:13Kwa neno la Bwana mbingu ziliumbwa,
jeshi lao la angani kwa pumzi ya kinywa chake.
733:7 Mwa 1:10; Yos 3:16Ameyakusanya maji ya bahari
kama kwenye chungu;
vilindi vya bahari
ameviweka katika ghala.
833:8 Kum 6:13; 14:23; Za 2:11; 49:1; Isa 18:3; Mik 1:2Dunia yote na imwogope Bwana,
watu wote wa dunia wamche.
933:9 Za 148:5; Mwa 1:3Kwa maana Mungu alisema, na ikawa,
aliamuru na ikasimama imara.
1033:10 Isa 44:25; Za 2:1; Ay 5:12Bwana huzuia mipango ya mataifa,
hupinga makusudi ya mataifa.
1133:11 Hes 23:19; Yer 51:12, 29; Ay 23:13; Mit 19:21; Eze 38:10; Mdo 4:27, 28Lakini mipango ya Bwana inasimama imara milele,
makusudi ya moyo wake kwa vizazi vyote.
1233:12 Za 144:15; 65:4; 4:3; 84:4; Kum 7:6; Kut 8:22; 34:9Heri taifa ambalo Bwana ni Mungu wao,
watu ambao aliwachagua kuwa urithi wake.
1333:13 Za 53:2; 102:19; 11:4; 14:2; Ebr 4:13; 2Nya 16:9; Ay 28:24Kutoka mbinguni Bwana hutazama chini
na kuwaona wanadamu wote;
1433:14 Law 15:31; 1Fal 8:39kutoka maskani mwake huwaangalia
wote wakaao duniani:
1533:15 Ay 10:8; 11:11; 10:4; Yer 32:19; Isa 64:8; Hes 7:2; Za 44:21; 119:73; Mit 24:12yeye ambaye huumba mioyo yao wote,
ambaye huangalia kila kitu wanachokitenda.
1633:16 1Sam 14:6Hakuna mfalme aokokaye kwa ukubwa wa jeshi lake;
hakuna shujaa aokokaye kwa wingi wa nguvu zake.
1733:17 Za 20:7Farasi ni tumaini la bure kwa wokovu,
licha ya nguvu zake nyingi, hawezi kuokoa.
1833:18 Kut 3:16; Ay 36:7; Za 11:4; 6:4; 34:15; 1Pet 3:12Lakini macho ya Bwana yako kwa wale wamchao,
kwa wale tumaini lao liko katika upendo wake usio na kikomo,
1933:19 Za 56:13; Ay 5:20; Mdo 12:11ili awaokoe na mauti,
na kuwahifadhi wakati wa njaa.
2033:20 Za 27:14Sisi tunamngojea Bwana kwa matumaini,
yeye ni msaada wetu na ngao yetu.
2133:21 1Sam 2:1; Yoe 2:23; Za 30:4; 99:3Mioyo yetu humshangilia,
kwa maana tunalitumainia jina lake takatifu.
2233:22 Za 6:4Upendo wako usio na mwisho ukae juu yetu, Ee Bwana,
tunapoliweka tumaini letu kwako.
第33篇
颂赞之歌
1义人啊,
你们要欢然歌颂耶和华,
正直的人理应赞美祂。
2你们要弹琴赞美耶和华,
弹奏十弦琴歌颂祂。
3要向祂唱新歌,
琴声要美妙,歌声要嘹亮。
4因为耶和华的话正直,
祂的作为信实可靠。
5祂喜爱公义和公正,
大地充满祂的慈爱。
6诸天靠祂的话被造,
万象靠祂口中的气而成。
7祂将海水聚在一处,
把汪洋收进仓库。
8愿普世都敬畏耶和华!
愿世人都畏惧祂!
9因为祂一发话,就创造了万有;
祂一声命令,便立定了万物。
10祂挫败列国的谋算,
拦阻列邦的计划。
11祂的计划永不落空,
祂的旨意万代长存。
12尊祂为上帝的邦国有福了!
蒙拣选做祂子民的人有福了!
13祂从天上俯视人间,
14从祂的居所察看世人。
15祂塑造人心,
洞察人的一切行为。
16君王不能靠兵多取胜,
勇士不能凭力大获救。
17靠战马取胜实属妄想,
马虽力大也不能救人。
18但耶和华看顾敬畏祂的人,
祂看顾仰望祂慈爱的人。
19祂救他们脱离死亡,
保护他们度过饥荒。
20我们的心等候耶和华,
祂是我们的帮助,
是我们的盾牌。
21我们信靠祂的圣名,
我们的心因祂而充满喜乐。
22耶和华啊,我们仰望你,求你向我们施慈爱。