Zaburi 2 – NEN & NIV

Kiswahili Contemporary Version

Zaburi 2:1-12

Zaburi 2

Mfalme Aliyechaguliwa Na Mungu

12:1 Za 21:11; 83:5; Mit 24:2Kwa nini mataifa wanashauriana kufanya mabaya,

na kabila za watu kula njama bure?

22:2 Za 45:7; 48:4; 1Sam 9:16; Yn 1:41; Mdo 4:25-262:2 Mao 3:55; Za 22:2; 55:17; 142:5; 42:7Wafalme wa dunia wanajipanga

na watawala wanajikusanya pamoja

dhidi ya Bwana

na dhidi ya Mpakwa Mafuta wake.

32:3 Ay 36:8; Lk 19:14; 2Sam 3:34Wanasema, “Tuvunje minyororo yao

na kuvitupilia mbali vifungo vyao.”

42:4 Za 11:4; Isa 37:16; 40:22; 66:1; Za 37:13; Mit 1:26Yeye atawalaye mbinguni hucheka,

Bwana huwadharau.

52:5 Za 6:1; 27:9; 38:1; 21:9; 79:6; 90:7; 110:5Kisha huwakemea katika hasira yake

na kuwaogopesha katika ghadhabu yake, akisema,

62:6 Za 10:16; 24:10; 9:11; 48:2, 11; 78:6; 110:2; 133:3; 2Fal 19:31; Kut 15:17“Nimemtawaza Mfalme wangu

juu ya Sayuni, mlima wangu mtakatifu.”

Ushindi Wa Mfalme

72:7 Mt 3:17; 8:29; 2Sam 7:14; Ebr 1:5; 5:5; Mdo 13:33Nitatangaza amri ya Bwana:

Yeye aliniambia, “Wewe ni Mwanangu,

leo mimi nimekuzaa.

82:8 Ay 22:26; Za 22:27; 67:7; Dan 7:13, 14; Mt 21:38Niombe, nami nitayafanya mataifa

kuwa urithi wako,

miisho ya dunia kuwa milki yako.

92:9 Mwa 49:10; Ufu 2:27; 12:5; 19:15; Mt 21:44; Kut 15:6; Isa 30:14; Yer 19:10Utawatawala kwa fimbo ya chuma

na kuwavunjavunja kama chombo cha mfinyanzi.”

102:10 Za 141:6; Amu 2:3; Mit 8:15; 27:11Kwa hiyo, ninyi wafalme, kuweni na hekima;

mwonyeke, enyi watawala wa dunia.

112:11 1Nya 16:30; Za 9:2; 35:9; Isa 61:10Mtumikieni Bwana kwa hofu

na mshangilie kwa kutetemeka.

122:12 Kum 9:8; Za 5:11; 34:8; 64:10; Yer 17:7; Ufu 6:16; Yn 5:22, 23Mbusu Mwana, asije akakasirika

nawe ukaangamizwa katika njia yako,

kwa maana hasira yake inaweza kuwaka ghafula.

Heri wote wanaomkimbilia.

New International Version

Psalms 2:1-12

Psalm 2

1Why do the nations conspire2:1 Hebrew; Septuagint rage

and the peoples plot in vain?

2The kings of the earth rise up

and the rulers band together

against the Lord and against his anointed, saying,

3“Let us break their chains

and throw off their shackles.”

4The One enthroned in heaven laughs;

the Lord scoffs at them.

5He rebukes them in his anger

and terrifies them in his wrath, saying,

6“I have installed my king

on Zion, my holy mountain.”

7I will proclaim the Lord’s decree:

He said to me, “You are my son;

today I have become your father.

8Ask me,

and I will make the nations your inheritance,

the ends of the earth your possession.

9You will break them with a rod of iron2:9 Or will rule them with an iron scepter (see Septuagint and Syriac);

you will dash them to pieces like pottery.”

10Therefore, you kings, be wise;

be warned, you rulers of the earth.

11Serve the Lord with fear

and celebrate his rule with trembling.

12Kiss his son, or he will be angry

and your way will lead to your destruction,

for his wrath can flare up in a moment.

Blessed are all who take refuge in him.