Zaburi 141
Maombi Ya Kuhifadhiwa Dhidi Ya Uovu
Zaburi ya Daudi.
1141:1 Za 22:19; 4:1; 5:1-2; 27:7; 143:1Ee Bwana, ninakuita wewe, uje kwangu hima.
Sikia sauti yangu ninapokuita.
2141:2 Lk 1:9; Ufu 5:8; 8:3; Za 28:2; 63:4; 1Tim 2:8; Kut 29:39, 41; 30:8; Efe 5:2Maombi yangu na yafike mbele zako kama uvumba;
kuinua mikono yangu juu na kuwe kama dhabihu ya jioni.
3141:3 Za 34:13; 12:2; Yak 1:26; 3:8Ee Bwana, weka mlinzi kinywani mwangu,
weka ulinzi mlangoni mwa midomo yangu.
4141:4 Yos 24:23; Za 106:29; Mit 23:1-3Usiuache moyo wangu uvutwe katika jambo baya,
nisije nikashiriki katika matendo maovu
pamoja na watu watendao mabaya,
wala nisije nikala vyakula vyao vya anasa.
5141:5 Mit 9:8; 19:25; 25:12; Mhu 7:5; Kut 29:7; Za 23:5Mtu mwenye haki na anipige: ni jambo la huruma;
na anikemee: ni mafuta kichwani mwangu.
Kichwa changu hakitalikataa.
Hata hivyo, maombi yangu daima
ni kinyume cha watenda mabaya,
6141:6 2Nya 25:12watawala wao watatupwa chini
kutoka kwenye majabali,
waovu watajifunza kwamba maneno yangu
yalikuwa kweli.
7141:7 Za 129:3; Hes 16:32-33; 16:30; 2Kor 1:9Watasema, “Kama mtu anavyolima na kuvunja ardhi,
ndivyo mifupa yetu imetawanywa kwenye mlango wa kaburi.”
8141:8 Za 123:2; 2:12; 11:1Lakini nimekaza macho yangu kwako, Ee Bwana Mwenyezi,
ndani yako nimekimbilia, usiniache nife.
9141:9 Za 140:4; 64:5; 38:12Niepushe na mitego waliyonitegea,
kutokana na mitego iliyotegwa na watenda mabaya.
10141:10 Za 7:15; 35:8; 57:6; 124:7Waovu na waanguke kwenye nyavu zao wenyewe,
wakati mimi ninapita salama.
第141篇
求上帝荫庇
大卫的诗。
1耶和华啊,我向你呼求,
求你快来帮助我;
我向你呼求的时候,求你垂听。
2愿我的祷告如香升到你面前,
愿我举手所献的祷告如同晚祭。
3耶和华啊,
求你守住我的口,
看住我的嘴。
4耶和华啊,求你不要让我的心偏向邪恶,
免得我与恶人同流合污;
也不要让我吃他们的美食。
5我情愿受义人出于爱心的责打,
他们的责备是良药,我不会逃避。
我要不断地用祷告抵挡恶人的行径。
6他们的首领被抛下悬崖的时候,
他们就会知道我所言不虚。
7那些恶人的骨头散落在阴间入口,
好像耕田翻起的土块。
8主耶和华啊,
我仰望你,我投靠你,
求你不要让我遭害。
9求你保守我不落入恶人设下的网罗,
不要掉进他们的陷阱。
10愿他们作茧自缚,
而我可以安然逃脱。