Zaburi 126 – NEN & CCBT

Kiswahili Contemporary Version

Zaburi 126:1-6

Zaburi 126

Kurejezwa Kutoka Utumwani

Wimbo wa kwenda juu.

1126:1 Ezr 1:1-3; Za 85:1; Hos 6:11; Mdo 12:9Bwana alipowarejeza mateka Sayuni,

tulikuwa kama watu walioota ndoto.

2126:2 Mwa 21:6; Ay 8:21; Kum 10:21; Za 65:8; 71:19; Lk 1:49Vinywa vyetu vilijaa kicheko,

ndimi zetu zilijaa nyimbo za shangwe.

Ndipo iliposemwa miongoni mwa mataifa,

Bwana amewatendea mambo makuu.”

3126:3 Za 9:2; 16:11; 106:21; Yoe 2:21, 26Bwana ametutendea mambo makuu,

nasi tumejaa furaha.

4126:4 Kum 30:3; Za 107:35; Isa 43:19; 51:3Ee Bwana, turejeshee watu wetu waliotekwa,

kama vijito katika Negebu.

5126:5 Za 16:11; 20:5; 23:6; 6:6; 80:5; Yer 50:4; Gal 6:9; Isa 12:1-3; 35:10; 51:11; 60:15; 61:7; Yer 31:6-7, 12Wapandao kwa machozi

watavuna kwa nyimbo za shangwe.

6Yeye azichukuaye mbegu zake

kwenda kupanda, huku akilia,

atarudi kwa nyimbo za shangwe,

akichukua miganda ya mavuno yake.

Chinese Contemporary Bible 2023 (Traditional)

詩篇 126:1-6

第126篇

被擄者歸回的喜樂

上聖殿朝聖之詩。

1耶和華使被擄者歸回錫安的時候,

我們猶如在夢中。

2我們笑聲不止,歡呼歌唱。

列邦都說:

「耶和華為他們成就了偉大的事。」

3耶和華實在為我們成就了偉大的事,

我們充滿了喜樂。

4耶和華啊,求你使我們被擄的人歸回,

就像乾旱的南地重現溪流。

5含淚撒種的必歡呼著收割。

6含淚出去撒種的必歡呼著帶回禾捆。