Zaburi 12
Kuomba Msaada
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa sheminithi. Zaburi ya Daudi.
112:1 Isa 57:1; Mik 7:12Bwana tusaidie, kwa kuwa wacha Mungu wametoweka;
waaminifu wametoweka miongoni mwa wanadamu.
212:2 Za 5:6; 34:13; 141:3; 5:9; Mt 6:19; 12:17; 13:3; Isa 32:7; Rum 16:18Kila mmoja humwambia jirani yake uongo;
midomo yao ya hila huzungumza kwa udanganyifu.
312:3 Mit 26:28; 28:23; Za 73:9; Ufu 13:5; Dan 7:8; Yak 3:5Bwana na akatilie mbali midomo yote ya hila
na kila ulimi uliojaa majivuno,
412:4 Mt 18:21; Yak 3:6ule unaosema, “Kwa ndimi zetu tutashinda;
midomo ni mali yetu, bwana wetu ni nani?”
512:5 Kut 3:7, 8; Mhu 4:1, 5, 8; Isa 3:15; 5:7; 30:12; 59:13; Mdo 7:34; Za 44:24; 62:10; 72:14; 73:8; 6:6; 3:7; 34:6; 35:10“Kwa sababu ya uonevu wa wanyonge
na kulia kwa uchungu kwa wahitaji,
nitainuka sasa,” asema Bwana.
“Nitawalinda kutokana na wale
wenye nia mbaya juu yao.”
612:6 2Sam 22:31; Isa 48:10; Za 18:30; 119:140; Ay 23:10; 28:1; Zek 13:9Maneno ya Bwana ni safi,
kama fedha iliyosafishwa katika tanuru,
iliyosafishwa mara saba.
712:7 Za 16:1; 27:5; 37:28; Yn 17:12Ee Bwana, utatuweka salama
na kutulinda na kizazi hiki milele.
812:8 Za 55:10-11Watu waovu huenda wakiringa kila mahali
wakati ambapo yule aliye mbaya sana
ndiye anayeheshimiwa miongoni mwa watu.
Псалом 12
1Дирижеру хора. Псалом Давида.
2Как долго, Господи? Неужели забыл Ты меня навеки?
Как долго Ты будешь скрывать от меня Свое лицо?
3Как долго мне муку в душе носить12:3 Так в одном из древн. переводов; в нормативном евр. тексте: хранить советы в моей душе.
и целыми днями крушить болью сердце?
Как долго моему врагу надо мной кичиться?
4Посмотри на меня и ответь, Господи, Боже мой.
Глаза мои просветли, чтобы мне не уснуть смертным сном,
5чтобы враг не сказал: «Я его превозмог»,
и когда я паду, не радовались бы недруги мои.
6Я уповаю на Твою милость,
мое сердце возрадуется спасению Твоему.
Господу буду петь,
потому что Он ко мне благ.