Zaburi 119 – NEN & CCBT

Kiswahili Contemporary Version

Zaburi 119:1-176

Zaburi 119119:0 Zaburi hii imetungwa kila beti likianzia, na pia kila mstari katika lile beti, na herufi 22 za alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T).

Sifa Za Sheria Ya Bwana

Kujifunza Sheria Ya Bwana

1119:1 Mwa 17:1; Za 1:2; 128:1; Kum 18:13; Mit 11:20Heri wale walio waadilifu katika njia zao,

wanaoenenda katika sheria ya Bwana.

2119:2 Za 40:16; 112:1; 119:146; Isa 56:2; Kum 10:12; Mit 9:7; 1Nya 16:11Heri wale wanaozishika shuhuda zake,

wamtafutao kwa moyo wao wote.

3119:3 Za 59:4; 128:1; Yn 3:9; 5:18; Yer 6:16; 7:23; Rum 7:16, 17Wasiofanya lolote lililo baya,

wanaoenenda katika njia zake.

4119:4 Za 103:18; 119:56; Kum 6:17Umetoa maagizo yako

ili tuyatii kwa ukamilifu.

5119:5 Law 19:37; Yer 31:33; 2Kor 3:5; Rum 7:22, 23Laiti mwenendo wangu ungekuwa imara

katika kuyatii maagizo yako!

6119:6 Za 119:46, 80, 117; Ay 22:26; 1Yn 2:28Hivyo mimi sitaaibishwa

ninapozingatia amri zako zote.

7119:7 Kum 4:8119:7 Za 90:13; 103:13; 119:47Nitakusifu kwa moyo mnyofu

ninapojifunza sheria zako za haki.

8119:8 Za 38:21Nitayatii maagizo yako;

usiniache kabisa.

Kutii Sheria Ya Bwana

9119:9 Za 119:65, 169; 39:1; Mit 1:4, 10Kijana aifanye njia yake kuwa safi jinsi gani?

Ni kwa kutii, akilifuata neno lako.

10119:10 Za 119:21, 118; 9:1; 2Nya 15:15Ninakutafuta kwa moyo wangu wote,

usiniache niende mbali na amri zako.

11119:11 Isa 63:13; Mit 3:23; Za 119:133, 165; 18:22-23; Kum 6:6; Lk 2:19; Ay 22:22Nimelificha neno lako moyoni mwangu

ili nisikutende dhambi.

12119:12 Isa 63:13; Lk 2:19Sifa ni zako, Ee Bwana,

nifundishe maagizo yako.

13119:13 Za 119:72Kwa midomo yangu nitasimulia sheria zote

zinazotoka katika kinywa chako.

14119:14 Za 119:111Ninafurahia kufuata sheria zako

kama mtu afurahiaye mali nyingi.

15119:15 Za 119:97, 148; 1:2Ninatafakari maagizo yako

na kuziangalia njia zako.

16119:16 Za 112:1Ninafurahia maagizo yako,

wala sitalipuuza neno lako.

Furaha Katika Sheria Ya Bwana

17119:17 Za 13:6; 116:7; 119:67; 103:20Mtendee mema mtumishi wako, nami nitaishi;

nitalitii neno lako.

18Yafungue macho yangu nipate kuona

mambo ya ajabu katika sheria yako.

19119:19 Mwa 23:4; Ebr 11:13Mimi ni mgeni duniani,

usinifiche amri zako.

20119:20 Za 84:2; 119:131; 42:2; 63:1; Isa 26:9Nafsi yangu inataabika kwa shauku kubwa

juu ya sheria zako wakati wote.

21119:21 Za 119:10, 51; 5:5; Ay 30:1; Yer 20:7; 50:32; Kum 27:26; Dan 4:37; Mal 3:15Unawakemea wenye majivuno, waliolaaniwa

waendao mbali na amri zako.

22119:22 Za 39:8; 119:2Niondolee dharau na dhihaka,

kwa kuwa ninazishika sheria zako.

23Ingawa watawala huketi pamoja na kunisingizia,

mtumishi wako atatafakari juu ya maagizo yako.

24Sheria zako ni furaha yangu,

nazo ni washauri wangu.

Kuamua Kuitii Sheria Ya Bwana

25119:25 Za 44:25; 143:11; 119:9, 50, 107Nimelazwa chini mavumbini,

yahifadhi maisha yangu sawasawa na neno lako.

26119:26 Za 25:4; 27:11; 86:11; 1Fal 8:36Nilikueleza njia zangu ukanijibu,

nifundishe sheria zako.

27119:27 Za 105:2; 145:5Nijulishe mafundisho ya mausia yako,

nami nitatafakari maajabu yako.

28119:28 Za 119:9; 116:3; 18:1; 6:7; Yer 45:3; Isa 51:11; 40:29; 41:10Nafsi yangu imechakazwa kwa huzuni,

uniimarishe sawasawa na neno lako.

29119:29 Za 26:4; Hes 6:25; Mit 30:8; Ebr 8:10Niepushe na njia za udanganyifu,

kwa neema unifundishe sheria zako.

30119:30 Yos 24:22; Za 26:3; 108:1Nimechagua njia ya kweli,

nimekaza moyo wangu katika sheria zako.

31119:31 Kum 10:20Nimengʼangʼania sheria zako, Ee Bwana,

usiniache niaibishwe.

32119:32 1Fal 4:29; Isa 60:5; 2Kor 6:11Nakimbilia katika njia ya maagizo yako,

kwa kuwa umeuweka moyo wangu huru.

Maombi Ili Kupata Ufahamu Wa Sheria

33119:33 Za 119:12Ee Bwana, nifundishe kuyafuata maagizo yako,

nami nitayashika mpaka mwisho.

34119:34 Za 119:27, 69, 73, 144, 169; Mit 2:6; Ay 32:8; Yak 1:5; Kum 6:25; Dan 2:21Nipe ufahamu, nami nitaishika sheria yako

na kuitii kwa moyo wangu wote.

35119:35 Za 119:32; 1:2; 25:4, 5Niongoze kwenye njia ya amri zako,

kwa kuwa huko napata furaha.

36119:36 Yos 24:23; Ebr 13:5; Mk 7:21; 12:15; Eze 33:31; 1Tim 6:10Ugeuze moyo wangu kuelekea sheria zako,

na siyo kwenye mambo ya ubinafsi.

37119:37 Za 119:9, 25; 71:20; Ay 31:1Geuza macho yangu kutoka kwenye mambo yasiyofaa,

uyahifadhi maisha yangu sawasawa na neno lako.

38119:38 Hes 23:19; 2Sam 7:25Mtimizie mtumishi wako ahadi yako,

ili upate kuogopwa.

39119:39 Za 119:22; 69:9; 89:51; Isa 25:8; 51:7; 54:4Niondolee aibu ninayoiogopa,

kwa kuwa sheria zako ni njema.

40119:40 Za 119:20, 25, 149, 154Tazama jinsi ninavyoonea shauku mausia yako!

Hifadhi maisha yangu katika haki yako.

Kuitumainia Sheria Ya Bwana

41119:41 Za 6:4; 119:76, 116, 154, 170Ee Bwana, upendo wako usiokoma unijie,

wokovu wako sawasawa na ahadi yako,

42119:42 Mit 27:11; Za 42:10ndipo nitakapomjibu anayenidhihaki,

kwa kuwa ninalitumainia neno lako.

43119:43 Za 119:74, 81, 114, 147; 1Fal 17:24Usilinyakue neno la kweli kutoka kinywani mwangu,

kwa kuwa nimeweka tumaini langu katika amri zako.

44119:44 Za 119:33, 34, 55; Kum 6:25Nitaitii amri yako daima,

naam, milele na milele.

45119:45 Za 119:94, 155; Yn 8:32, 36; Rum 8:2Nitatembea nikiwa huru,

kwa kuwa nimejifunza mausia yako.

46119:46 Mt 10:18; Mdo 26:1, 2; Za 119:6Nitasema sheria zako mbele za wafalme

wala sitaaibishwa,

47119:47 Za 119:77, 97, 127, 143, 159, 163, 165kwa kuwa ninazifurahia amri zako

kwa sababu ninazipenda.

48119:48 Mwa 24:63Ninaziinulia amri zako ambazo ninazipenda mikono yangu,

nami ninatafakari juu ya maagizo yako.

Matumaini Katika Sheria Ya Bwana

49119:49 Za 119:9, 43Kumbuka neno lako kwa mtumishi wako,

kwa sababu umenipa tumaini.

50119:50 Za 119:25; 27:13; Yer 15:16; Rum 5:3-5; Ebr 6:17-19Faraja yangu katika mateso yangu ni hii:

Ahadi yako inahifadhi maisha yangu.

51119:51 Za 119:21; Ay 16:10; 17:2; 23:11; Yer 20:7Wenye majivuno wamenisimanga bila kuchoka,

hata hivyo sitaiacha sheria yako.

52119:52 Za 103:18Ee Bwana, ninazikumbuka sheria zako za zamani,

nazo zinanifariji.

53119:53 Kut 32:19; 33:4; Za 89:30; Ezr 9:3Nimeshikwa sana na ghadhabu kwa ajili ya waovu,

ambao wameacha sheria yako.

54119:54 Za 119:172; 101:1; 138:5Maagizo yako ni kiini cha nyimbo zangu

popote ninapoishi.

55119:55 Za 119:44, 62, 72; 1:2; 42:8; 63:6; 77:2; Isa 26:9; Mdo 16:25Ee Bwana, wakati wa usiku ninalikumbuka jina lako,

nami nitatii sheria yako.

56119:56 Za 119:4, 100, 134; Hes 15:40Hili limekuwa zoezi langu:

nami ninayatii mausia yako.

Kujitolea Katika Sheria Ya Bwana

57119:57 Kum 32:9; Yer 51:19; Za 119:17, 67, 101; Mao 3:24Ee Bwana, wewe ni fungu langu,

nimeahidi kuyatii maneno yako.

58119:58 Kum 4:29; Ezr 9:8; 1Nya 16:11; Za 34:4; 119:41; Mwa 43:29Nimetafuta uso wako kwa moyo wangu wote,

nihurumie sawasawa na ahadi yako.

59119:59 Yoe 2:13; Lk 15:17; Yos 24:14, 15Nimezifikiri njia zangu

na nimeelekeza hatua zangu katika mausia yako.

60119:60 Za 119:115Nitafanya haraka bila kuchelewa

kuzitii amri zako.

61119:61 Za 119:83, 109, 153, 176Hata waovu wanifunge kwa kamba,

sitasahau sheria yako.

62119:62 Za 119:55; 119:7; Mdo 16:25Usiku wa manane ninaamka kukushukuru

kwa sababu ya sheria zako za haki.

63119:63 Za 15:4; 101:6, 7; 103:11; 119:56; 111:10Mimi ni rafiki kwa wale wote wakuchao,

kwa wote wanaofuata mausia yako.

64119:64 Za 33:5; 119:12, 108Ee Bwana, dunia imejaa upendo wako,

nifundishe maagizo yako.

Thamani Ya Sheria Ya Bwana

65119:65 Isa 50:2; 59:1; Za 119:9, 17; 125:4; Mik 2:7Mtendee wema mtumishi wako

Ee Bwana, sawasawa na neno lako.

66119:66 Za 51:6Nifundishe maarifa na uamuzi mzuri,

kwa kuwa ninaamini amri zako.

67119:67 Za 116:10; 95:10; 119:17; Ebr 12:11; Yer 8:4; 31:18; Kum 32:15; Ufu 3:19Kabla sijapata shida nilipotea njia,

lakini sasa ninalitii neno lako.

68119:68 Za 100:5; 106:1; 107:1; 135:3; Kut 18:20; 34:6; Mt 19:17Wewe ni mwema, unalotenda ni jema,

nifundishe maagizo yako.

69119:69 Ay 13:4; Za 109:2Ingawa wenye majivuno wamenisingizia uongo,

nitafuata mausia yako kwa moyo wangu wote.

70119:70 Mdo 28:27; Za 17:10; Isa 29:13Mioyo yao ni katili na migumu,

bali mimi napendezwa na sheria yako.

71119:71 Za 119:67, 75; Ebr 12:10Ilikuwa vyema mimi kupata shida

ili nipate kujifunza maagizo yako.

72119:72 Ay 28:17; Za 19:10; Mt 8:10Sheria inayotoka kinywani mwako ina thamani kubwa kwangu

kuliko maelfu ya vipande vya fedha na dhahabu.

Haki Ya Sheria Ya Bwana

73119:73 Mwa 1:27; Ay 4:17; 10:8; Za 139:13-16; 100:3; 138:8Mikono yako ilinifanya na kuniumba,

nipe ufahamu niweze kujifunza amri zako.

74119:74 Za 34:2; 119:9; 130:5Wakuchao wafurahie wanaponiona,

kwa kuwa nimeweka tumaini langu katika neno lako.

75119:75 Za 89:30, 31; 119:7, 138, 172; Ebr 12:5-11Ee Bwana, ninajua kwamba sheria zako ni za haki,

katika uaminifu wako umeniadhibu.

76119:76 Za 6:4; 119:41Upendo wako usiokoma uwe faraja yangu,

sawasawa na ahadi yako kwa mtumishi wako.

77Huruma yako na inijie ili nipate kuishi,

kwa kuwa naifurahia sheria yako.

78119:78 Za 119:51; 35:19; 119:86, 161; 25:3; Yer 50:32Wenye majivuno na waaibishwe kwa kunikosea mimi bila sababu,

lakini mimi nitatafakari juu ya mausia yako.

79119:79 Za 119:27, 125Wale wakuchao na wanigeukie mimi,

hao ambao wanazielewa sheria zako.

80119:80 Za 119:1; 119:6; 1Fal 8:61; Mwa 26:5Moyo wangu usiwe na lawama katika kutii maagizo yako,

ili nisiaibishwe.

Maombi Kwa Ajili Ya Kuokolewa

81119:81 Za 119:20, 43, 123; 84:2; 73:26Nafsi yangu inazimia kwa kutamani wokovu wako,

lakini nimeweka tumaini langu katika neno lako.

82119:82 Mao 2:11; Za 6:7; 69:3; 119:41, 123Macho yangu yamefifia, nikingoja ahadi yako;

ninasema, “Utanifajiri lini?”

83119:83 Za 119:61; 119:84; Ay 30:30; Ufu 6:10; Yer 12:3; 15:15; 20:11; Za 39:4; 6:3; 119:51; 7:6Ingawa nimekuwa kama kiriba kwenye moshi,

bado sijasahau maagizo yako.

84Mtumishi wako itampasa angoje mpaka lini?

Ni lini utawaadhibu washtaki wangu?

85119:85 Za 35:7; 119:51; 57:6; Yer 18:20, 22Wenye majivuno wananichimbia mashimo,

kinyume na sheria yako.

86119:86 Za 109:26; 7:1-5; 35:19; 119:78, 138Amri zako zote ni za kuaminika;

unisaidie, kwa sababu watu wananishtaki bila sababu.

87119:87 Isa 1:4, 28; 59:13; 58:2; Za 119:150Walikaribia kabisa kunifuta kutoka uso wa dunia,

lakini sijaacha mausia yako.

88119:88 Za 41:2; 119:2, 100, 124, 129, 134, 168; 51:1; 109:26Yahifadhi maisha yangu sawasawa na upendo wako,

nami nitatii sheria za kinywa chako.

Imani Katika Sheria Ya Bwana

89119:89 Za 119:111, 144; 111:8; Isa 51:6; Mt 5:18; 1Pet 1:25Ee Bwana, neno lako ni la milele,

linasimama imara mbinguni.

90119:90 Za 36:5; 45:17; 148:6; Ay 8:19Uaminifu wako unaendelea kwa vizazi vyote,

umeiumba dunia, nayo inadumu.

91119:91 Yer 33:25; 31:35; Za 148:6; 104:2-4; Mwa 8:22Sheria zako zinadumu hadi leo,

kwa kuwa vitu vyote vinakutumikia.

92119:92 Za 37:4, 5; 112:1; 119:50, 67; Rum 15:4Kama nisingefurahia sheria yako,

ningeangamia katika taabu zangu.

93119:93 Za 119:83; 103:5Sitasahau mausia yako kamwe,

kwa maana kwayo umehifadhi maisha yangu.

94119:94 Za 119:45, 146; 54:1; 116:4; Yer 17:14; 31:18; 42:11; Hos 2:7, 16Uniokoe, kwa maana mimi ni wako,

kwa kuwa nimetafuta mausia yako.

95119:95 Za 69:4; 119:99Waovu wanangojea kuniangamiza,

bali mimi ninatafakari sheria zako.

96119:96 Za 19:7; Isa 40:8; Mt 5:18Katika ukamilifu wote ninaona mna kikomo,

lakini amri zako hazina mpaka.

Kuipenda Sheria Ya Bwana

97119:97 Za 1:2; 119:15, 47Aha! Tazama, sheria yako naipenda mno ajabu.

Ninaitafakari mchana kutwa.

98119:98 2Tim 3:17; Kum 4:6, 8; 19:7; Isa 48:17Amri zako zimenipa hekima zaidi kuliko adui zangu,

kwa kuwa nimezishika daima.

99119:99 2Tim 3:15; Za 119:15Nina akili zaidi kuliko walimu wangu wote,

kwa kuwa ninatafakari juu ya sheria zako.

100119:100 Ay 12:12; 32:7; Za 119:56; Kum 6:17Nina ufahamu zaidi kuliko wazee,

kwa kuwa ninayatii mausia yako.

101119:101 Mit 1:15; 2Kor 7:1; Za 119:57Nimezuia miguu yangu isiende kwenye kila njia mbaya,

ili niweze kutii neno lako.

102119:102 Kum 17:20; 4:5Sijaziacha sheria zako,

kwa kuwa umenifundisha wewe mwenyewe.

103119:103 Mit 24:13, 14; 8:11; Za 19:10Tazama jinsi maneno yako yalivyo matamu kwangu,

matamu kuliko asali katika kinywa changu!

104119:104 Za 111:10; 119:7Ninapata ufahamu kutoka mausia yako,

kwa hiyo ninachukia kila njia ya upotovu.

Nuru Kutoka Kwenye Sheria Ya Bwana

105119:105 Mit 6:23; 20:27; 2Pet 1:19; Za 119:130Neno lako ni taa ya miguu yangu

na mwanga katika njia yangu.

106119:106 Neh 10:29; Za 119:7Nimeapa na nimethibitisha,

kwamba nitafuata sheria zako za haki.

107119:107 Za 119:25Nimeteseka sana, uhifadhi maisha yangu, Ee Bwana,

sawasawa na neno lako.

108119:108 Za 51:15; 109:30; 63:5; 119:64; 71:8; Ebr 13:15; Hos 14:2Ee Bwana, pokea sifa za hiari za kinywa changu,

nifundishe sheria zako.

109119:109 Amu 12:3; Za 119:61; Ay 13:14Ingawa maisha yangu yako hatarini siku zote,

sitasahau sheria yako.

110119:110 Za 25:15; 64:5; 119:10; Isa 8:14; Amo 3:5Waovu wamenitegea mtego,

lakini sijayakiuka maagizo yako.

111119:111 Kum 33:4; Za 119:14, 162Sheria zako ni urithi wangu milele,

naam ni furaha ya moyo wangu.

112119:112 Za 108:1; 119:33Nimekusudia moyoni mwangu

kuyafuata maagizo yako mpaka mwisho.

Usalama Ndani Ya Sheria Ya Bwana

113119:113 1Fal 18:21; Yak 1:8; 4:8; Za 119:47Ninachukia watu wa nia mbili,

lakini ninapenda sheria yako.

114119:114 Za 18:2; 119:43; 32:7; Mwa 15:1Wewe ni kimbilio langu na ngao yangu,

nimeweka tumaini langu katika neno lako.

115119:115 Za 6:8; Mt 7:23Ondokeni kwangu, ninyi mtendao mabaya,

ili niweze kushika amri za Mungu wangu!

116119:116 Za 18:35; 41:3; 55:22; 119:41; Isa 46:4; Rum 5:5; 9:33Nihifadhi sawasawa na ahadi yako, nami nitaishi;

usiache matumaini yangu yakavunjwa.

117119:117 Isa 41:10; 46:4; Za 34:4; 119:6; 71:6; Yn 10:28; Rum 14:4Nitegemeze, nami nitaokolewa,

nami daima nitayaheshimu maagizo yako.

118119:118 Za 119:10Unawakataa wote wanaoyaasi maagizo yako,

kwa maana udanganyifu wao ni bure.

119119:119 Isa 1:22, 25; Eze 18:19; Za 119:47Waovu wa nchi unawatupa kama takataka,

kwa hivyo nazipenda sheria zako.

120119:120 Ay 4:14Mwili wangu unatetemeka kwa kukuogopa wewe,

ninaziogopa sheria zako.

Kuitii Sheria Ya Bwana

121119:121 2Sam 8:15; Ay 27:6Nimetenda yaliyo haki na sawa,

usiniache mikononi mwa watesi wangu.

122119:122 Ay 17:3Mhakikishie mtumishi wako usalama,

usiache wenye kiburi wanionee.

123119:123 Isa 38:14; Za 119:81, 82Macho yangu yamefifia, yakitazamia wokovu wako,

na kuitazamia ahadi yako ya kweli.

124119:124 Za 119:12, 88; 25:7Mfanyie mtumishi wako kulingana na upendo wako

na unifundishe maagizo yako.

125119:125 Za 116:16; 119:79Mimi ni mtumishi wako; nipe ufahamu

ili niweze kuelewa sheria zako.

126119:126 Hes 15:31Ee Bwana, wakati wako wa kutenda umewadia,

kwa kuwa sheria yako inavunjwa.

127119:127 Efe 3:8; Za 19:10; 119:47; Ay 3:21; Mit 3:13, 18; 8:11Kwa sababu nazipenda amri zako zaidi ya dhahabu,

naam, zaidi ya dhahabu safi,

128119:128 Za 19:8; 31:6; 119:104, 163; Mit 13:5na kwa sababu naona maagizo yako yote ni adili,

nachukia kila njia potovu.

Shauku Ya Kuitii Sheria Ya Bwana

129119:129 Za 119:18, 22, 88Sheria zako ni za ajabu,

hivyo ninazitii.

130119:130 Za 119:105; 19:7, 10; Mit 1:4; 2Pet 1:19Kuingia kwa maneno yako kunaleta nuru,

kunampa mjinga ufahamu.

131119:131 Za 42:1; 119:20Nimefungua kinywa changu na kuhema,

nikitamani amri zako.

132119:132 2Sam 24:14; Kut 4:31; Za 6:4; 9:13; 5:11; 106:4; 1Sam 1:11Nigeukie na unihurumie, kama uwafanyiavyo siku zote

wale wanaolipenda jina lako.

133119:133 Kum 6:12; Za 119:9, 11, 122; Rum 6:16Ongoza hatua zangu kulingana na neno lako,

usiache dhambi yoyote initawale.

134119:134 Lk 1:74; Za 119:56, 88, 122Niokoe na uonevu wa wanadamu,

ili niweze kutii mausia yako.

135119:135 Hes 6:25; Za 4:6; 80:3; 4:6; 119:12Mwangazie mtumishi wako uso wako

na unifundishe amri zako.

136119:136 Yer 9:1; 9:1, 18; 13:17; 14:17; Mao 1:16; 3:48; Isa 22:4; 42:24; Eze 9:4; Za 6:6; 119:158; 106:25Chemchemi za machozi zinatiririka kutoka machoni yangu,

kwa kuwa sheria yako haifuatwi.

Haki Ya Sheria Ya Bwana

137119:137 Kut 9:27; Ezr 9:15; Neh 9:13, 33; Yer 12:1; Dan 9:7Ee Bwana, wewe ni mwenye haki,

sheria zako ni sahihi.

138119:138 Za 119:75, 86; 19:7Sheria ulizoziweka ni za haki,

ni za kuaminika kikamilifu.

139119:139 Za 69:9; Yn 2:17Jitihada yangu imenidhoofisha, kwa kuwa adui zangu

wanayapuuza maneno yako.

140119:140 Yos 23:14; Za 12:6; 119:47Ahadi zako zimejaribiwa kikamilifu,

mtumishi wako anazipenda.

141119:141 Za 22:6; 119:61, 134; Mit 15:16; Amo 7:2; Lk 6:20; 2Kor 8:9; Yak 2:5Ingawa ni mdogo na ninadharauliwa,

sisahau mausia yako.

142119:142 Za 119:151, 160; 19:7, 9; Yn 17:17; Efe 1:3Haki yako ni ya milele,

na sheria yako ni kweli.

143119:143 Za 119:24, 47Shida na dhiki zimenipata,

lakini amri zako ni furaha yangu.

144119:144 Za 119:34Sheria zako ni sahihi milele,

hunipa ufahamu ili nipate kuishi.

Maombi Kwa Ajili Ya Kuokolewa

145119:145 Za 119:10, 22, 55Ee Bwana, ninakuita kwa moyo wangu wote,

nami nitayatii maagizo yako.

146119:146 Za 119:94Ninakuita; niokoe

nami nitazishika sheria zako.

147119:147 Za 3:3; 57:8; 108:2Ninaamka asubuhi na mapema na kukuomba msaada;

nimeweka tumaini langu katika neno lako.

148119:148 Za 63:6; 63:1, 6Sikufumba macho yangu usiku kucha,

ili niweze kutafakari juu ya ahadi zako.

149119:149 Za 27:7; 124; 119:40Usikie sauti yangu sawasawa na upendo wako,

Ee Bwana, uyahifadhi maisha yangu, sawasawa na sheria zako.

150119:150 Za 37:7Wale wanaopanga mipango miovu wako karibu nami,

lakini wako mbali na sheria yako.

151119:151 Flp 4:5; Za 34:18; 119:142; 145:18Ee Bwana, hata hivyo wewe u karibu,

na amri zako zote ni za kweli.

152119:152 Za 119:7, 73, 89; 111:8; Lk 21:33Tangu zamani nimejifunza kutoka shuhuda zako

kwamba umezithibitisha ili zidumu milele.

Maombi Kwa Ajili Ya Msaada

153119:153 Za 13:3; 3:7; 44:17; Mao 5:1Yaangalie mateso yangu, uniokoe,

kwa kuwa sijasahau sheria yako.

154119:154 Za 119:24, 41; 35:1; 1Sam 24:15; Yer 50:34; Mik 7:9Nitetee katika hali hii yangu na unikomboe,

uyahifadhi maisha yangu sawasawa na ahadi yako.

155119:155 Za 119:94, 118; Ay 5:4Wokovu uko mbali na waovu,

kwa kuwa hawatafuti maagizo yako.

156119:156 Neh 9:27; Yak 5:11; Za 119:25, 149Ee Bwana, huruma zako ni kuu,

uyahifadhi maisha yangu sawasawa na sheria zako.

157119:157 Za 7:1; 44:18Adui wanaonitesa ni wengi,

lakini mimi sitaziacha sheria zako.

158119:158 Za 119:104, 136; Kut 32:19Ninawatazama wasioamini kwa chuki,

kwa kuwa hawalitii neno lako.

159119:159 Za 119:25; 41:2Tazama jinsi ninavyopenda mausia yako;

Ee Bwana, uyahifadhi maisha yangu, sawasawa na upendo wako.

160119:160 Za 119:89; 111:8Maneno yako yote ni kweli,

sheria zako zote za haki ni za milele.

Kujiweka Wakfu Kwa Sheria Ya Bwana

161119:161 Za 119:23, 122, 157; 119:120; 1Sam 24:14-15Watawala wamenitesa bila sababu,

lakini moyo wangu unatetemeka kwa neno lako.

162119:162 Za 119:25; 41:2Nafurahia ahadi zako

kama mtu aliyepata mateka mengi.

163Ninachukia na kuchukizwa sana na uongo,

lakini napenda sheria yako.

164119:164 Za 119:111; 1Sam 30:16; Isa 9:3; 53:12Ninakusifu mara saba kwa siku,

kwa ajili ya sheria zako za haki.

165119:165 Za 119:11; 37:11; 37:24; Isa 26:3, 12; 27:5; 32:17; 57:19; 66:12; 1Yn 2:10; Mit 3:2Wanaopenda sheria yako wana amani tele,

wala hakuna kitu kinachoweza kuwakwaza.

166119:166 Za 119:81Ee Bwana, ninangojea wokovu wako,

nami ninafuata amri zako,

167119:167 Za 119:47Ninazitii sheria zako,

kwa sababu ninazipenda mno.

168119:168 Za 139:3; Ay 10:4; 23:10; Mit 5:21Nimetii mausia yako na sheria zako,

kwa kuwa njia zangu zote zinajulikana kwako.

Kuomba Msaada

169119:169 Ay 16:18; Za 119:9, 34Ee Bwana, kilio changu na kifike mbele zako,

nipe ufahamu sawasawa na neno lako.

170119:170 1Fal 8:30; 2Nya 6:24; Za 28:2; 140:6; 143:1; 3:7; 22:20; 59:1; 119:41Maombi yangu na yafike mbele zako,

niokoe sawasawa na ahadi yako.

171119:171 Za 51:15; 63:3; 94:12; Isa 2:3; Mik 4:2Midomo yangu na ibubujike sifa,

kwa kuwa unanifundisha maagizo yako.

172119:172 Za 51:14; 119:7, 75Ulimi wangu na uimbe kuhusu neno lako,

kwa kuwa amri zako zote ni za haki.

173119:173 Za 37:24; 73:23; Isa 41:10; Lk 10:42; Yos 24:22; Mit 1:29Mkono wako uwe tayari kunisaidia,

kwa kuwa nimechagua mausia yako.

174119:174 Za 119:16, 24, 166Ee Bwana, ninatamani wokovu wako,

na sheria yako ni furaha yangu.

175119:175 Za 119:116, 159; Isa 55:3Nijalie kuishi ili nipate kukusifu,

na sheria zako zinitegemeze.

176119:176 Za 119:10; 95:10; Yer 50:17; Eze 34:11; Lk 15:4Nimetangatanga kama kondoo aliyepotea.

Mtafute mtumishi wako,

kwa kuwa sijasahau amri zako.

Chinese Contemporary Bible 2023 (Traditional)

詩篇 119:1-176

第119篇

耶和華的律法

1行為正直、遵行耶和華律法的人有福了!

2遵守祂的法度、全心尋求祂的人有福了!

3他們不做不義之事,

只遵行祂的旨意。

4耶和華啊,你已經賜下法則,

為了讓我們竭力遵行。

5我渴望堅定地遵從你的律例。

6我重視你的一切命令,

便不致羞愧。

7我學習你公義的法令時,

要存著正直的心來稱謝你。

8我要遵守你的律例,

求你不要完全棄絕我。

9青年如何保持純潔呢?

就是要遵行你的話。

10我全心尋求你,

求你不要讓我偏離你的命令。

11我把你的話珍藏在心中,

免得我得罪你。

12耶和華啊,你當受稱頌!

求你將你的律例教導我。

13我宣揚你口中所出的一切法令。

14我喜愛你的法度如同人喜愛財富。

15我要默想你的法則,

思想你的旨意。

16我以遵行你的律例為樂,

我不忘記你的話語。

17求你以厚恩待你僕人,

使我能活著,並遵守你的話語。

18求你開我的眼睛,

使我能明白你律法中的奧妙。

19我在世上是過客,

求你不要向我隱藏你的命令。

20我時刻切慕你的法令,

以致心力憔悴。

21你斥責受咒詛、偏離你命令的狂傲人。

22求你除去我所受的羞辱和藐視,

因為我遵從你的法度。

23雖然權貴們坐著譭謗我,

僕人仍要默想你的律例。

24你的法度是我的喜樂,

是我的謀士。

25我的性命幾乎墜入塵埃,

求你憑應許保全我性命。

26我陳明自己的行為,

你就回應了我;

求你將你的律例教導我。

27求你使我明白你的法則,

我要默想你的奇妙作為。

28我傷心欲絕,

求你照你的應許使我堅強起來。

29求你使我遠離奸詐之路,

開恩將你的律法教導我。

30我已經選擇了真理之路,

決心遵行你的法令。

31我持守你的法度,耶和華啊,

求你不要使我蒙羞。

32我竭力遵守你的命令,

因為你拓寬我的悟性。

33耶和華啊,求你將你的律例教導我,

我必遵守到底。

34求你賜我悟性,使我遵守你的律法,

並且全心遵守。

35求你引導我遵行你的命令,

因為這是我喜愛的。

36求你使我的心嚮往你的法度,

而非不義之財。

37求你使我的眼目遠離虛空之事,

按你的旨意保全我性命。

38求你實現你給僕人的應許,

就是你給敬畏你之人的應許。

39求你除去我所害怕的羞辱,

因為你的法令是美善的。

40我渴望遵行你的法則,

求你按你的公義保全我性命。

41耶和華啊!

願你的慈愛臨到我,

願你的拯救臨到我,

正如你的應許,

42好叫我能應對嘲笑我的人,

因為我信靠你的話。

43斷不要從我口中拿走真理之言,

因為你的法令是我的盼望。

44我要持守你的律法,

直到永永遠遠。

45我要自由地生活,

因為我尋求你的法則。

46我要在君王面前講論你的法度,

我不以此為恥。

47我以遵行你的命令為樂,

我喜愛你的命令。

48我尊崇你的命令,

我喜愛你的命令,

我要默想你的律例。

49求你顧念你對僕人的應許,

你的話帶給我盼望。

50你的應許保全我性命,

是我患難中的安慰。

51狂傲人肆意嘲諷我,

但我仍然沒有偏離你的律法。

52耶和華啊,

我牢記你古時賜下的法令,

你的法令是我的安慰。

53我見惡人丟棄你的律法,

就怒火中燒。

54我在世上寄居,

你的律例就是我的詩歌。

55耶和華啊,我在夜間思想你的名,

我要遵守你的律法。

56我向來遵行你的法則。

57耶和華啊,你是我的福分!

我決心遵行你的話語。

58我一心求你施恩,

求你照著你的應許恩待我。

59我思想自己走過的路,

就移步歸向你的法度。

60我毫不遲疑地遵守你的命令。

61雖然惡人用繩索捆綁我,

我仍不忘記你的律法。

62因為你公義的法令,

我半夜起來稱謝你。

63我與所有敬畏你、遵守你法則的人為友。

64耶和華啊,你的慈愛充滿大地,

求你將你的律例教導我。

65耶和華啊,

你信守諾言,善待了僕人。

66求你賜我知識,教我判別是非,

因為我信靠你的命令。

67從前我沒有受苦的時候走迷了路,

現在我要遵行你的話。

68你是美善的,

你所行的都是美善的,

求你將你的律例教導我。

69傲慢人譭謗我,

但我一心遵守你的法則。

70他們執迷不悟,

但我喜愛你的律法。

71我受苦對我有益,

使我可以學習你的律例。

72你頒布的律法對我而言比千萬金銀更寶貴。

73你親手造我、塑我,

求你賜我悟性來學習你的命令。

74敬畏你的人見我就歡喜,

因為你的話是我的盼望。

75耶和華啊,

我知道你的法令公義,

你是憑信實管教我。

76求你照著你給僕人的應許,

用你的慈愛來安慰我。

77求你憐憫我,使我可以存活,

因為你的律法是我的喜樂。

78願狂傲人受辱,

因他們詆譭我;

但我要默想你的法則。

79願敬畏你的人到我這裡來,

好明白你的法度。

80願我能全心遵守你的律例,

使我不致羞愧。

81我的心迫切渴慕你的拯救,

你的話是我的盼望。

82我期盼你的應許實現,

望眼欲穿。

我說:「你何時才安慰我?」

83我形容枯槁,好像煙薰的皮袋,

但我仍然沒有忘記你的律例。

84你僕人還要等候多久呢?

你何時才會懲罰那些迫害我的人呢?

85違背你律法的狂傲人挖陷阱害我。

86你的一切命令都可靠,

他們無故地迫害我,

求你幫助我。

87他們幾乎置我於死地,

但我仍然沒有背棄你的法則。

88求你施慈愛保全我性命,

我好遵守你頒布的法度。

89耶和華啊,你的話立定在天,

永遠不變。

90你的信實萬代長存;

你奠定大地,它恆久不變。

91天地照你的法令存到今日,

因為萬物都是你的僕役。

92我若不以你的律法為樂,

早已死在苦難中了。

93我永不忘記你的法則,

因你藉此保全我性命。

94我屬於你,求你拯救我,

因為我尋求你的法則。

95惡人伺機害我,

但我仍然思想你的法度。

96我看到萬事都有盡頭,

唯有你的命令無邊無界。

97我多麼愛慕你的律法,

終日默想。

98你的命令常在我心中,

它使我比仇敵有智慧。

99我比所有老師更有洞見,

因為我默想你的法度。

100我比長者更明智,

因為我遵守你的法則。

101為了遵行你的話,

我拒絕走惡道。

102我沒有偏離你的法令,

因為你教導過我。

103你的話在我上顎何等甘美,

在我口中比蜜還甜。

104我從你的法則中得到智慧,

因此我厭惡一切詭詐之道。

105你的話是我腳前的燈,

是我路上的光。

106我已起誓,我必信守諾言:

我要遵行你公義的法令。

107我飽受痛苦,耶和華啊,

求你照你的話保全我性命。

108耶和華啊,

求你悅納我由衷的讚美,

將你的法令教導我。

109我的生命時刻面臨危險,

但我不會忘記你的律法。

110惡人為我設下網羅,

但我沒有偏離你的法則。

111你的法度永遠是我的寶貴產業,

是我心中的喜樂。

112我決心遵行你的律例,

一直到底。

113我厭惡心懷二意的人,

我喜愛你的律法。

114你是我的藏身之所,

是我的盾牌,

你的話語是我的盼望。

115你們這些惡人離開我吧,

我要遵行我上帝的命令。

116耶和華啊,

求你按你的應許扶持我,

使我存活,

不要使我的盼望落空。

117求你扶持我,使我得救,

我要時刻關注你的律例。

118你棄絕一切偏離你律例的人,

他們的詭計無法得逞。

119你剷除世上的惡人,

如同除掉渣滓,

因此我喜愛你的法度。

120我因敬畏你而戰慄,

我懼怕你的法令。

121我做事公平正直,

求你不要把我交給欺壓我的人。

122求你保障僕人的福祉,

不要讓傲慢的人欺壓我。

123我望眼欲穿地期盼你拯救我,

盼望你實現你公義的應許。

124求你憑慈愛待你僕人,

將你的律例教導我。

125我是你的僕人,

求你賜我悟性可以明白你的法度。

126耶和華啊,人們違背你的律法,

是你懲罰他們的時候了。

127所以我愛你的命令勝於愛金子,

勝於愛純金。

128我遵行你一切的法則,

我憎恨一切惡道。

129你的法度奇妙,

所以我一心遵守。

130你的話語一解明,

就發出亮光,

使愚人得到啟迪。

131我張著口氣喘吁吁,

因我渴慕你的命令。

132求你眷顧我、憐憫我,

正如你素來恩待愛你名的人。

133求你照你的應許引導我的腳步,

不要讓罪惡轄制我。

134求你救我脫離惡人的欺壓,

好使我能遵守你的法則。

135求你以容光照耀僕人,

將你的律例教導我。

136我淚流成河,

因為人們不遵行你的律法。

137耶和華啊,你是公義的,

你的法令是公正的。

138你定的法度公義,完全可信。

139我看見仇敵無視你的話語,

就心急如焚。

140你僕人喜愛你的應許,

因為你的應許純全可靠。

141我雖然卑微、受人藐視,

但我不忘記你的法則。

142你的公義常存,

你的律法是真理。

143我雖然遭遇困苦患難,

但你的命令是我的喜樂。

144你的法度永遠公正,

求你賜我悟性,使我存活。

145耶和華啊,我全心呼求你,

求你應允我,

我必遵守你的律例。

146我向你呼求,求你救我,

我必持守你的法度。

147天不亮,

我就起來呼求你的幫助,

你的話語是我的盼望。

148我整夜不睡,默想你的應許。

149耶和華啊,

求你憑你的慈愛垂聽我的呼求,

照你的法令保全我性命。

150作惡多端的人逼近了,

他們遠離你的律法。

151但耶和華啊,你就在我身邊,

你的一切命令都是真理。

152我很早就從你的法度中知道,

你立的法度永遠長存。

153求你鑒察我的苦難,搭救我,

因為我沒有忘記你的律法。

154求你為我伸冤,救贖我,

照你的應許保全我性命。

155惡人不尋求你的律例,

以致得不到拯救。

156耶和華啊,

你有無比的憐憫之心,

求你照你的法令保全我性命。

157迫害我的仇敵眾多,

但我卻沒有偏離你的法度。

158我看見背信之徒就厭惡,

因為他們不遵行你的話。

159耶和華啊,你看我多愛你的法則,

求你施慈愛保全我性命。

160你的話都是真理,

你一切公義的法令永不改變。

161權貴無故迫害我,

但我的心對你的話充滿敬畏。

162我喜愛你的應許,

如獲至寶。

163我憎惡虛假,

但我喜愛你的律法。

164因你公義的法令,

我要每天七次讚美你。

165喜愛你律法的人大有平安,

什麼也不能使他跌倒。

166耶和華啊,我等候你的拯救,

我遵行你的命令。

167我深愛你的法度,一心遵守。

168我遵守你的法則和法度,

你知道我做的每一件事。

169耶和華啊,求你垂聽我的呼求,

照你的話賜我悟性。

170求你垂聽我的祈求,

照你的應許拯救我。

171願我的嘴唇湧出讚美,

因你將你的律例教導了我。

172願我的舌頭歌頌你的應許,

因為你一切的命令盡都公義。

173願你的手隨時幫助我,

因為我選擇了你的法則。

174耶和華啊,我盼望你的拯救,

你的律法是我的喜樂。

175求你讓我存活,我好讚美你,

願你的法令成為我的幫助。

176我像隻迷途的羊,

求你來尋找僕人,

因為我沒有忘記你的命令。