Zaburi 106
Wema Wa Bwana Kwa Watu Wake
1106:1 Ezr 3:11; Za 63:7; 22:23; 103:2; 119:68; 136:1-26; Yer 33:11; Mt 19:17Msifuni Bwana.
Mshukuruni Bwana, kwa kuwa ni mwema;
upendo wake wadumu milele.
2106:2 Za 40:5; 71:16Ni nani awezaye kusimulia matendo makuu ya Bwana
au kutangaza kikamilifu sifa zake?
3106:3 Yer 22:15, 16; Mt 22:37; Za 15:2; 112:5; Hos 12:6Heri wale wanaodumisha haki,
ambao daima wanafanya yaliyo mema.
4106:4 Za 25:6-7; 77:7; Mwa 50:24Ee Bwana, unikumbuke unapowatendea mema watu wako,
uwe msaada wangu unapowaokoa,
5106:5 Kum 30:15; Za 1:3; 105:6; 20:5; 27:5; 47:5; 118:15; Kut 34:9ili niweze kufurahia mafanikio ya wateule wako,
niweze kushiriki katika furaha ya taifa lako,
na kuungana na urithi wako katika kukusifu.
6106:6 1Fal 8:47; Neh 1:7; Dan 9:5; Rum 3:9; 2Nya 30:7; Law 26:40Tumetenda dhambi, kama vile baba zetu walivyotenda,
tumekosa na tumetenda uovu.
7106:7 Amu 3:7; Za 78:42; Kut 14:11, 12Wakati baba zetu walipokuwa Misri,
hawakuzingatia maajabu yako,
wala hawakukumbuka wingi wa fadhili zako,
bali waliasi kando ya bahari, Bahari ya Shamu.
8106:8 Kut 9:16; 14:30-31; Za 80:3; 107:13; 23:3; 143:11; Isa 25:9; Yoe 2:32; Yos 7:9; Yer 14:7, 21Hata hivyo aliwaokoa kwa ajili ya jina lake,
ili apate kudhihirisha uweza wake mkuu.
9106:9 Nah 1:4; Isa 50:3; 63:11-14; Kut 14:21; Za 18:15; 78:13Alikemea Bahari ya Shamu, nayo ikakauka,
akawaongoza katika vilindi vyake kama vile jangwani.
10106:10 Kut 14:30; Za 107:13; 78:42, 53; Isa 35:9; 62:12Aliwaokoa mikononi mwa adui;
kutoka mikononi mwa adui aliwakomboa.
11106:11 Kut 14:28Maji yaliwafunika adui zao,
hakunusurika hata mmoja.
12106:12 Kut 15:1-21; Za 105:43Ndipo walipoamini ahadi zake,
nao wakaimba sifa zake.
13106:13 Kut 15:24; 16:28; Hes 27:21Lakini mara walisahau aliyowatendea,
wala hawakungojea shauri lake.
14106:14 1Kor 10:9; Kut 17:2; Za 78:40; 68:7Jangwani walitawaliwa na tamaa zao,
walimjaribu Mungu nyikani.
15106:15 Isa 10:16; Hes 11:33; Kut 16:13; Za 78:29Kwa hiyo aliwapa kile walichoomba,
lakini akatuma juu yao ugonjwa wa kudhoofisha.
16106:16 Hes 16:1-3Kambini walimwonea wivu Mose,
na pia Aroni aliyekuwa amewekwa wakfu kwa Bwana.
17106:17 Kum 11:6; 15:12; Hes 16:1Ardhi ilifunguka ikawameza Dathani,
ikawazika Abiramu na kundi lake.
18106:18 Law 10:2Moto uliwaka katikati ya wafuasi wao,
mwali wa moto uliwateketeza waovu.
19106:19 Kut 32:4; Mdo 7:41Huko Horebu walitengeneza ndama,
na kuabudu sanamu ya kusubu kwa chuma.
20106:20 Yer 2:11; Rum 1:23Waliubadilisha Utukufu wao
kwa sanamu ya fahali, ambaye hula majani.
21106:21 Za 78:11; 75:1; Kum 10:21Walimsahau Mungu aliyewaokoa,
aliyekuwa ametenda mambo makuu huko Misri,
22106:22 Za 78:51; Kut 3:20; Kum 4:34miujiza katika nchi ya Hamu
na mambo ya kutisha huko Bahari ya Shamu.
23106:23 Kut 32:10-14; Hes 11:2; Eze 13:5; 20:13; Kum 9:19Kwa hiyo alisema kwamba angewaangamiza:
kama Mose mteule wake,
asingesimama kati yao na Mungu
kuizuia ghadhabu yake kuwaangamiza.
24106:24 Ebr 3:18; Yer 3:19; Hes 14:11, 30, 31; Kum 8:7Kisha waliidharau ile nchi nzuri,
hawakuiamini ahadi yake.
25106:25 Kut 15:24; Kum 1:27; 1Kor 10:10Walinungʼunika ndani ya mahema yao,
wala hawakumtii Bwana.
26106:26 Hes 14:23; Ebr 4:3; 3:17; Kum 2:14Kwa hiyo akaapa kwa mkono ulioinuliwa
kwamba atawafanya waanguke jangwani,
27106:27 Law 26:33kuwatawanya wazao wao waanguke miongoni mwa mataifa,
na kuwatawanya katika nchi zote.
28106:28 Hes 23:28; 25:2, 3; Kum 4:3; Hos 9:10; Ufu 2:14Walijifunga nira na Baali wa Peori,
wakala dhabihu zilizotolewa kwa miungu isiyo na uhai.
29106:29 Za 64:2; 141:4; Hes 16:46; 25:3, 8Waliichochea hasira ya Bwana,
wakamkasirisha kwa matendo yao maovu,
nayo tauni ikazuka katikati yao.
30106:30 Kut 6:25; Hes 25:8Lakini Finehasi alisimama na kuingilia kati,
nayo tauni ikazuiliwa.
31106:31 Mwa 15:6; Za 49:11; Hes 15:11-13Hili likahesabiwa kwake haki,
kwa vizazi visivyo na mwisho vijavyo.
32106:32 Kum 1:37; Kut 17:7; Hes 20:2-13Kwenye maji ya Meriba, walimkasirisha Bwana,
janga likampata Mose kwa sababu yao;
33106:33 Kut 17:4-7; 23:21; Yak 3:2; Isa 63:10; Za 107:11; 51:11; Hes 20:8-12kwa maana walimwasi Roho wa Mungu,
na maneno yasiyofaa yakatoka midomoni kwa Mose.
34106:34 Amu 1:21, 27-36; 2:2; Yos 9:15; Kum 2:34; 7:2, 16; 20:10; Kut 23:24Hawakuyaangamiza yale mataifa
kama Bwana alivyowaagiza,
35106:35 Amu 3:5, 6; Ezr 9:1, 2bali walijichanganya na mataifa
na wakazikubali desturi zao.
36106:36 Kut 10:7; 23:33; Amu 2:12; 2Fal 17:8-11; 2Nya 33:2-7; Kum 7:10, 16Waliabudu sanamu zao,
zikawa mtego kwao.
37106:37 Isa 57:5; Kut 10:7; 22:20; Law 18:21; Kum 32:17; 12:31; 7:16; 1Kor 10:20; Eze 16:20-21Wakawatoa wana wao
na binti zao dhabihu kwa mashetani.
38106:38 2Fal 3:27; Hes 35:33; Law 18:21; Kum 18:10Walimwaga damu isiyo na hatia,
damu za wana wao na binti zao,
ambao waliwatoa dhabihu kwa sanamu za Kanaani,
nayo nchi ikanajisika kwa damu zao.
39106:39 Mwa 3:17; Law 18:24; Eze 20:18; Hes 15:39Wakajinajisi wenyewe kwa yale waliyotenda;
kwa matendo yao wenyewe wakajifanyia ukahaba.
40106:40 Law 26:28; Kut 34:9; 9:29Kwa hiyo Bwana akawakasirikia watu wake
na akauchukia sana urithi wake.
41106:41 Amu 2:14; Neh 9:27Akawakabidhi kwa mataifa
na adui zao wakawatawala.
42106:42 Amu 4:3Adui zao wakawaonea
na kuwatia chini ya mamlaka yao.
43106:43 Amu 7:1-25; 2:16-19; 6:1-7; Yos 10:14; Neh 9:28Mara nyingi aliwaokoa
lakini walikuwa wamezama kwenye uasi,
nao wakajiharibu katika dhambi zao.
44106:44 Amu 3:9; 10:10Lakini akaangalia mateso yao
wakati aliposikia kilio chao;
45106:45 Mwa 9:15; Lk 1:72; Za 105:8; 103:11; 17:7; Law 26:41; Mao 3:32; Kut 32:14kwa ajili yao akakumbuka agano lake,
na kutokana na upendo wake mkuu akapooza hasira yake.
46106:46 1Nya 16:8; Mt 19:17; 2Nya 5:13; 7:3Akawafanya wahurumiwe
na wote waliowashikilia mateka.
47106:47 Za 147:2; 105:1; 30:4; 99:3; 28:9; 107:3; Isa 11:12; 27:13; 56:8; 66:20; Yer 31:8; Lk 1:74; Eze 20:34; Mik 4:6; 2Kor 5:15Ee Bwana Mungu wetu, tuokoe.
Tukusanye tena kutoka kwa mataifa,
ili tuweze kulishukuru jina lako takatifu,
na kushangilia katika sifa zako.
48106:48 Za 41:13; 72:19Atukuzwe Bwana, Mungu wa Israeli,
tangu milele na hata milele.
Watu wote na waseme, “Amen!”
Msifuni Bwana.
第106篇
上帝恩待祂的子民
(平行經文:歷代志上16·34‑36)
1你們要讚美耶和華!
要稱謝耶和華,
因為祂是美善的,
祂的慈愛永遠長存!
2誰能述說耶和華的大能作為?
誰能道盡祂當受讚美之處?
3那些行事公正,
持守公義的人有福了。
4耶和華啊!
你恩待你子民的時候,
求你顧念我;
你拯救他們的時候,
求你幫助我,
5使我看到你所揀選的人繁榮昌盛,
與他們同樂,
與你的子民一同誇耀。
6我們跟祖先一樣也犯了罪,
行事邪惡。
7我們祖先在埃及漠視你奇妙的作為,
忘記你向他們屢施慈愛,
在紅海邊反叛你。
8但祂為了自己的名拯救了他們,
以彰顯祂的大能。
9祂斥責紅海,海就乾了,
祂帶領他們走過深淵,
如履乾地。
10祂救他們脫離敵人的權勢,
從仇敵的手中救贖了他們。
11海水淹沒了敵軍,
沒有一人生還。
12那時他們才相信祂的話,
歌唱讚美祂。
13然而,他們很快忘了祂的作為,
不願等候祂的引導。
14他們在曠野大起貪念,
在荒野試探上帝。
15祂滿足了他們的要求,
但在他們當中降下了瘟疫。
16他們還在營中嫉妒摩西和耶和華的聖僕亞倫。
17大地裂開吞沒了大坍,
埋葬了亞比蘭一夥人。
18火在他們的黨羽中燒起,
燒滅了這些惡人。
19他們在何烈山鑄造牛犢,祭拜金屬偶像,
20他們用吃草之牛的鑄像代替榮耀的上帝。
21他們忘記了拯救他們的上帝,
祂曾在埃及行奇事,
22在含地行神蹟,
在紅海邊行可畏的事。
23因此祂說要消滅他們。
若不是祂揀選的摩西站在裂口處向祂求情,
祂早已發烈怒毀滅了他們。
24他們藐視那佳美之地,
不相信祂的應許。
25他們在帳篷裡發怨言,
不聽從祂的命令。
26因此,祂舉手起誓要使他們倒斃在曠野,
27使他們的後代倒在列國,分散到各地。
28他們與巴力·毗珥苟合,
吃獻給假神的祭物。
29他們的所作所為觸怒耶和華,
以致瘟疫降在他們中間。
30那時,非尼哈起來懲罰罪人,
瘟疫才停止。
31這就是他的義行,世代永存。
32他們在米利巴泉邊惹耶和華發怒,
連累了摩西。
33因為他們惹摩西發怒,
以致他說了魯莽的話。
34他們沒有照耶和華的命令消滅外族人,
35反倒與他們混居,
仿效他們的習俗,
36拜他們的偶像,陷入網羅。
37他們把自己的兒女當祭物獻給鬼魔,
38他們把自己的兒女獻給迦南的偶像作祭物,
流他們兒女無辜的血,
玷污了那地方。
39他們的行為玷污了自己,
所作所為使自己淪為淫婦。
40耶和華因此向祂的子民發怒,
祂厭惡自己的產業,
41使他們落在列邦的手中,
受敵人的轄制。
42他們的敵人壓迫他們,
他們被制服在敵人手下。
43祂多次拯救他們,
他們卻執意背叛,
陷入罪中不能自拔。
44但祂聽見他們在苦難中呼求時,
仍然眷顧他們。
45祂顧念與他們所立的約,
憑豐盛的慈愛憐憫他們。
46祂使擄掠他們的人憐憫他們。
47我們的上帝耶和華啊,
求你拯救我們,
從列國招聚我們,
我們好稱謝你的聖名,
以讚美你為榮。
48以色列的上帝耶和華永永遠遠當受稱頌。
願眾民都說:「阿們!」
你們要讚美耶和華!