Yeremia 5 – NEN & NIV

Kiswahili Contemporary Version

Yeremia 5:1-31

Hakuna Hata Mmoja Aliye Mkamilifu

15:1 Eze 22:30; Mwa 18:24; Mik 7:2; Yer 2:29; 2Nya 16:9; Za 45:10“Pandeni na kushuka katika mitaa ya Yerusalemu,

tazameni pande zote na mtafakari,

tafuteni katika viwanja vyake.

Kama mtaweza kumpata hata mtu mmoja tu

atendaye kwa uaminifu na kutafuta kweli,

nitausamehe mji huu.

25:2 Tit 1:16; Yer 4:2; Law 19:12Ingawa wanasema, ‘Kwa hakika kama Bwana aishivyo,’

bado wanaapa kwa uongo.”

35:3 2Nya 16:9; Yer 7:28; Isa 9:13; Sef 3:2; Zek 7:2; Eze 36:26; 3:8-9; Amo 4:6Ee Bwana, je, macho yako hayaitafuti kweli?

Uliwapiga, lakini hawakusikia maumivu,

uliwapondaponda, lakini walikataa maonyo.

Walifanya nyuso zao kuwa ngumu kuliko jiwe

nao walikataa kutubu.

45:4 Yer 8:7; Mit 10:21; Yer 4:22Ndipo nikasema, “Hawa ni maskini tu;

wao ni wapumbavu,

kwa maana hawaijui njia ya Bwana,

sheria ya Mungu wao.

55:5 Mik 3:1, 9; Za 2:3; Yer 2:20Kwa hiyo nitakwenda kwa viongozi

na kuzungumza nao,

hakika wao wanaijua njia ya Bwana,

sheria ya Mungu wao.”

Lakini kwa nia moja nao pia walikuwa wameivunja nira

na kuvivunja vifungo.

65:6 Hos 13:7; Yer 4:7; 30:14; Za 7:12; Law 26:22Kwa hiyo simba kutoka mwituni atawashambulia,

mbwa mwitu kutoka jangwani atawaangamiza,

chui atawavizia karibu na miji yao,

ili kumrarua vipande vipande yeyote atakayethubutu kutoka nje,

kwa maana maasi yao ni makubwa,

na kukengeuka kwao kumekuwa ni kwingi.

75:7 Yos 23:7; Yer 12:16; Gal 4:8; Amo 8:14; Kum 32:21; Hes 25:1; Yer 2:11; 13:27“Kwa nini niwasamehe?

Watoto wenu wameniacha na kuapa kwa miungu ambayo si miungu.

Niliwapatia mahitaji yao yote,

lakini bado wamefanya uzinzi na kusongana katika nyumba za makahaba.

85:8 Eze 22:11; 2Sam 11:2-4; Eze 33:26; Yer 29:23Wamelishwa vizuri, kama farasi waume wenye tamaa nyingi,

kila mmoja akimlilia mke wa mwanaume mwingine.

95:9 Yer 44:22; Eze 7:9; Isa 1:24; 57:6Je, nisiwaadhibu kwa ajili ya hili?”

asema Bwana.

“Je, nisijilipizie kisasi

juu ya taifa kama hili?

105:10 Yer 39:8; 4:27; Amo 9:8“Piteni katika mashamba yake ya mizabibu na kuyaharibu,

lakini msiangamize kabisa.

Pogoeni matawi yake,

kwa kuwa watu hawa sio wa Bwana.

115:11 1Fal 19:10; Yer 3:20; Za 73:27; Isa 24:16Nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda

wamekuwa si waaminifu kwangu kamwe,”

asema Bwana.

125:12 Yer 23:17; 2Nya 36:16; Yer 28:7; Isa 28:15; Yer 14:13Wamedanganya kuhusu Bwana.

Wamesema, “Yeye hatafanya jambo lolote!

Hakuna dhara litakalotupata;

kamwe hatutaona upanga wala njaa.

135:13 Yer 14:15; 2Nya 36:16; Ay 6:26Manabii ni upepo tu, wala neno halimo ndani yao,

kwa hiyo hayo wayasemayo na yatendeke kwao.”

145:14 Hos 6:5; Yer 1:9; 23:9; Za 39:3Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote:

“Kwa sababu watu hawa wamesema maneno haya,

nitayafanya maneno yangu vinywani mwenu kuwa moto,

na watu hawa wawe kuni

zinazoliwa na huo moto.

155:15 Kum 28:49; Isa 5:26; 2Fal 24:2; Isa 28:11; Mwa 11:7Ee nyumba ya Israeli,” asema Bwana,

“Ninaleta taifa toka mbali dhidi yako,

taifa la kale na linaloendelea kudumu,

taifa ambalo lugha yao huijui,

wala msemo wao huwezi kuuelewa.

165:16 Ay 39:23Podo zao ni kama kaburi lililo wazi,

wote ni mashujaa hodari wa vita.

175:17 Yer 30:16; Law 26:16; Yer 50:7-17; Kum 28:31-33; Yer 8:16; Hes 16:14; Hos 2:12Watayaangamiza mazao yenu na chakula chenu,

wataangamiza wana wenu na mabinti zenu;

wataangamiza makundi yenu ya kondoo na ya ngʼombe,

wataangamiza mizabibu yenu na mitini yenu.

Kwa upanga wataangamiza

miji yenye maboma mliyoitumainia.

18“Hata hivyo katika siku hizo, sitakuangamiza kabisa,” asema Bwana. 195:19 Kum 29:24-26; 4:28; Yer 15:4; 13:22; 1Fal 9; 9; Yer 16:13“Nao watu watakapouliza, ‘Kwa nini Bwana, Mungu wetu ametufanyia mambo haya yote?’ utawaambia, ‘Kama vile mlivyoniacha mimi na kutumikia miungu migeni katika nchi yenu wenyewe, ndivyo sasa mtakavyowatumikia wageni katika nchi ambayo si yenu.’

20“Itangazie nyumba ya Yakobo hili

na ulipigie mbiu katika Yuda:

215:21 Isa 6:10; Eze 12:2; Mdo 28:26; Isa 42:20; Mk 8:18; Kum 32:6; Yer 4:22; Hes 2:18Sikieni hili, enyi watu wapumbavu, msio na akili,

mlio na macho lakini hamwoni,

mlio na masikio lakini hamsikii:

225:22 Kum 28:58; Ay 4:14; Isa 64:2; Za 46:3Je, haiwapasi kuniogopa mimi?” asema Bwana.

“Je, haiwapasi kutetemeka mbele zangu?

Niliufanya mchanga kuwa mpaka wa bahari,

kizuizi cha milele ambacho haiwezi kupita.

Mawimbi yanaweza kuumuka, lakini hayawezi kuupita;

yanaweza kunguruma, lakini hayawezi kuuvuka.

235:23 Kum 21:18; Za 14:3Lakini watu hawa wana mioyo ya ukaidi na ya uasi,

wamegeukia mbali na kwenda zao.

245:24 Mt 5:45; Yoe 2:23; Mwa 8:22; Mdo 14:17; Kum 6:24; Yak 5:7Wao hawaambiani wenyewe,

‘Sisi na tumwogope Bwana Mungu wetu,

anayetupatia mvua za masika na za vuli kwa majira yake,

anayetuhakikishia majuma ya mavuno kwa utaratibu.’

25Matendo yenu mabaya yamezuia haya yote,

dhambi zenu zimewazuia msipate mema.

265:26 Za 10:8; Mit 1:11; Mt 7; 15; Mhu 9:12; Yer 9:8; Mik 7:2“Miongoni mwa watu wangu wamo walio waovu

wanaovizia kama watu wanaotega ndege,

na kama wale wanaoweka mitego

kuwakamata watu.

27Kama vitundu vilivyojaa ndege,

nyumba zao zimejaa udanganyifu;

wamekuwa matajiri na wenye nguvu,

285:28 Kum 32:15; Zek 7:10; Kut 22:21-24; Amo 5:12; Za 73:12; 82:3wamenenepa na kunawiri.

Matendo yao maovu hayana kikomo;

hawatetei mashauri ya yatima wapate kushinda,

hawatetei haki za maskini.

29Je, nisiwaadhibu kwa ajili ya hili?”

asema Bwana.

“Je, nisijilipizie kisasi

juu ya taifa kama hili?

305:30 Yer 18:13; Hos 6:10; Yer 23:14“Jambo la kutisha na kushtusha

limetokea katika nchi hii:

315:31 Eze 13:6; Isa 30:10; Mik 2:11; Mao 4:13; Hos 9:5Manabii wanatabiri uongo,

makuhani wanatawala kwa mamlaka yao wenyewe,

nao watu wangu wanapenda hivyo.

Lakini mtafanya nini mwisho wake?

New International Version

Jeremiah 5:1-31

Not One Is Upright

1“Go up and down the streets of Jerusalem,

look around and consider,

search through her squares.

If you can find but one person

who deals honestly and seeks the truth,

I will forgive this city.

2Although they say, ‘As surely as the Lord lives,’

still they are swearing falsely.”

3Lord, do not your eyes look for truth?

You struck them, but they felt no pain;

you crushed them, but they refused correction.

They made their faces harder than stone

and refused to repent.

4I thought, “These are only the poor;

they are foolish,

for they do not know the way of the Lord,

the requirements of their God.

5So I will go to the leaders

and speak to them;

surely they know the way of the Lord,

the requirements of their God.”

But with one accord they too had broken off the yoke

and torn off the bonds.

6Therefore a lion from the forest will attack them,

a wolf from the desert will ravage them,

a leopard will lie in wait near their towns

to tear to pieces any who venture out,

for their rebellion is great

and their backslidings many.

7“Why should I forgive you?

Your children have forsaken me

and sworn by gods that are not gods.

I supplied all their needs,

yet they committed adultery

and thronged to the houses of prostitutes.

8They are well-fed, lusty stallions,

each neighing for another man’s wife.

9Should I not punish them for this?”

declares the Lord.

“Should I not avenge myself

on such a nation as this?

10“Go through her vineyards and ravage them,

but do not destroy them completely.

Strip off her branches,

for these people do not belong to the Lord.

11The people of Israel and the people of Judah

have been utterly unfaithful to me,”

declares the Lord.

12They have lied about the Lord;

they said, “He will do nothing!

No harm will come to us;

we will never see sword or famine.

13The prophets are but wind

and the word is not in them;

so let what they say be done to them.”

14Therefore this is what the Lord God Almighty says:

“Because the people have spoken these words,

I will make my words in your mouth a fire

and these people the wood it consumes.

15People of Israel,” declares the Lord,

“I am bringing a distant nation against you—

an ancient and enduring nation,

a people whose language you do not know,

whose speech you do not understand.

16Their quivers are like an open grave;

all of them are mighty warriors.

17They will devour your harvests and food,

devour your sons and daughters;

they will devour your flocks and herds,

devour your vines and fig trees.

With the sword they will destroy

the fortified cities in which you trust.

18“Yet even in those days,” declares the Lord, “I will not destroy you completely. 19And when the people ask, ‘Why has the Lord our God done all this to us?’ you will tell them, ‘As you have forsaken me and served foreign gods in your own land, so now you will serve foreigners in a land not your own.’

20“Announce this to the descendants of Jacob

and proclaim it in Judah:

21Hear this, you foolish and senseless people,

who have eyes but do not see,

who have ears but do not hear:

22Should you not fear me?” declares the Lord.

“Should you not tremble in my presence?

I made the sand a boundary for the sea,

an everlasting barrier it cannot cross.

The waves may roll, but they cannot prevail;

they may roar, but they cannot cross it.

23But these people have stubborn and rebellious hearts;

they have turned aside and gone away.

24They do not say to themselves,

‘Let us fear the Lord our God,

who gives autumn and spring rains in season,

who assures us of the regular weeks of harvest.’

25Your wrongdoings have kept these away;

your sins have deprived you of good.

26“Among my people are the wicked

who lie in wait like men who snare birds

and like those who set traps to catch people.

27Like cages full of birds,

their houses are full of deceit;

they have become rich and powerful

28and have grown fat and sleek.

Their evil deeds have no limit;

they do not seek justice.

They do not promote the case of the fatherless;

they do not defend the just cause of the poor.

29Should I not punish them for this?”

declares the Lord.

“Should I not avenge myself

on such a nation as this?

30“A horrible and shocking thing

has happened in the land:

31The prophets prophesy lies,

the priests rule by their own authority,

and my people love it this way.

But what will you do in the end?