Yeremia 27 – NEN & NRT

Kiswahili Contemporary Version

Yeremia 27:1-22

Yuda Kumtumikia Nebukadneza

127:1 2Nya 36:11; Yer 28:1Mwanzoni mwa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda, neno hili lilimjia Yeremia kutoka kwa Bwana: 227:2 Law 26:13; Yer 28:10-13; 1Fal 22:11Hili ndilo Bwana aliloniambia: “Tengeneza nira, ujivike shingoni mwako, uifunge kwa kamba za ngozi. 327:3 Yer 25:17, 21; Mwa 10:15; Yer 25:21-22Kisha utume ujumbe kwa wafalme wa Edomu, Moabu, Amoni, Tiro na Sidoni kupitia wajumbe ambao wamekuja Yerusalemu kwa Sedekia mfalme wa Yuda. 4Wape ujumbe kwa ajili ya mabwana zao na uwaambie: Hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: ‘Waambieni hivi mabwana zenu: 527:5 Kum 9:29; Za 115:16; Dan 4:17; Mwa 1:25Kwa uwezo wangu mkuu na kwa mkono wangu ulionyooshwa nimeumba dunia na watu wake na wanyama walioko ndani yake, nami humpa yeyote inipendezavyo. 627:6 Yer 25:9; 21:7; Eze 29:18-20; Dan 2:37-38; Yer 28:14Sasa nitazitia nchi zenu zote mkononi mwa mtumishi wangu Nebukadneza mfalme wa Babeli, na nitawafanya hata wanyama wa mwituni wamtumikie. 727:7 Dan 5:18, 28; Yer 25:12; 2Nya 36:20; Yer 51:47; 25:14Mataifa yote yatamtumikia yeye, pamoja na mwanawe na mwana wa mwanawe, hadi wakati wa nchi yake utakapowadia, kisha mataifa mengi na wafalme wenye nguvu nyingi watamshinda.

8“ ‘ “Lakini kama kukiwa na taifa lolote au ufalme ambao hautamtumikia Nebukadneza mfalme wa Babeli, ama kuinamisha shingo yake chini ya nira yake, nitaliadhibu taifa hilo kwa upanga, njaa na tauni, asema Bwana, mpaka nitakapoliangamiza taifa hilo kwa mkono wake. 927:9 Kum 18:11; Efe 5:6; Mit 19:27; Eze 13:1-23; Mwa 30:27; Isa 44:25; Kut 7:11; Yer 6:14Kwa hiyo msiwasikilize manabii wenu, waaguzi wenu, waota ndoto wenu, watabiri na wachawi wanaowaambia ninyi: Hamtamtumikia mfalme wa Babeli. 1027:10 Yer 23:25; Mk 13:5; 2Fal 23:27Wanawatabiria uongo ambao utawafanya ninyi mhamishwe mbali kutoka nchi yenu. Nitawafukuzia mbali, nanyi mtaangamia. 1127:11 Yer 21:9; Kum 6:2Lakini ikiwa taifa lolote litainama na kuweka shingo lake katika nira ya mfalme wa Babeli na kumtumikia, nitaliacha taifa hilo katika nchi yake yenyewe ili wailime na kuishi humo, asema Bwana.” ’ ”

1227:12 Yer 17:4; 21:9Nilitoa ujumbe huo huo kwa Sedekia mfalme wa Yuda. Nilisema, “Ingiza shingo yako katika nira ya mfalme wa Babeli, umtumikie yeye na watu wake, nawe utaishi. 1327:13 Eze 18:31; Mit 8:36; Yer 14:12Kwa nini wewe na watu wako mfe kwa upanga, njaa na tauni, ambazo Bwana ameonya juu ya taifa lolote ambalo halitamtumikia mfalme wa Babeli? 1427:14 Yer 14:14; Mt 7:15; Yer 23:16-21Msiyasikilize maneno ya manabii wanaowaambia kwamba, ‘Hamtamtumikia mfalme wa Babeli,’ kwa sababu wanawatabiria uongo. 1527:15 Yer 23:21-29; 9; 44:16; 6:15; Mt 15:12-14‘Sikuwatuma hao,’ asema Bwana. ‘Wanatabiri uongo kwa jina langu. Kwa hiyo, nitawafukuzia mbali, nanyi mtaangamia, ninyi pamoja na manabii wanaowatabiria.’ ”

1627:16 1Fal 7:48-50; Yer 28:3; Dan 1:2; 2Fal 24:13Kisha nikawaambia makuhani na watu hawa wote, “Hili ndilo asemalo Bwana: Msiwasikilize manabii wanaosema, ‘Hivi karibuni sana vyombo vya nyumba ya Bwana vitarudishwa kutoka Babeli.’ Wanawatabiria ninyi uongo. 1727:17 Yer 23:16; 42:11Msiwasikilize. Mtumikieni mfalme wa Babeli, nanyi mtaishi. Kwa nini mji huu uwe magofu? 1827:18 Hes 21:7; 1Sam 7:8; Ay 42; 8; Yak 5:16Kama wao ni manabii na wanalo neno la Bwana, basi na wamsihi Bwana Mwenye Nguvu Zote ili vyombo vilivyobaki katika nyumba ya Bwana na katika jumba la kifalme la mfalme wa Yuda na katika Yerusalemu visipelekwe Babeli. 1927:19 1Fal 7:23-26; 2Fal 25:13; Yer 52:17-23Kwa maana hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote kuhusu zile nguzo, ile Bahari, vile vishikizo viwezavyo kuhamishika, vinara na vyombo vingine vilivyoachwa katika mji huu, 2027:20 Kum 28:36; 2Nya 36:10; Yer 22:24; Mt 1:11ambavyo Nebukadneza mfalme wa Babeli hakuvichukua wakati alipomchukua Yekonia27:20 Yekonia au Konia ni jina jingine la Yehoyakini. mwana wa Yehoyakimu mfalme wa Yuda kwenda uhamishoni huko Babeli kutoka Yerusalemu, pamoja na wakuu wote wa Yuda na Yerusalemu. 21Naam, hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo kuhusu vitu ambavyo vimebaki ndani ya nyumba ya Bwana, na ndani ya jumba la kifalme la mfalme wa Yuda, na katika Yerusalemu: 2227:22 2Fal 20:17; 2Nya 25:13; 36:21; Yer 24:6; Ezr 7:19‘Vitachukuliwa kupelekwa Babeli, nako huko vitabaki mpaka siku nitakayovijilia,’ asema Bwana. ‘Kisha nitavirudisha na kuvirejesha mahali hapa.’ ”

New Russian Translation

Иеремия 27:1-22

Иудея должна покориться Вавилону

1В начале правления иудейского царя Цедекии, сына Иосии27:1 Цедекия правил в 597–586 гг. до н. э., к Иеремии было такое слово от Господа: 2Так мне сказал Господь:

— Сделай ярмо из ремней и палок и надень его на шею. 3И пошли весть27:3 Или: «Пошли такие же…» царям Эдома, Моава, Аммона, Тира и Сидона через послов, которые прибыли в Иерусалим к Цедекии, царю Иудеи. 4Вели им передать известие своим господам, накажи им, что так говорит Господь Сил, Бог Израиля: «Скажите своим господам вот что: 5Своей великой силой и простертой рукой Я создал землю, людей и животных на земле, и Я даю это кому пожелаю. 6Ныне Я отдам все ваши земли Моему слуге Навуходоносору, царю Вавилона; Я покорю ему даже диких зверей. 7Все народы будут служить ему, и его сыну, и его внуку, пока не пробьет час этой страны. Ему покорятся многочисленные народы и великие цари.

8А если какой-нибудь народ или царство не станет служить Навуходоносору, царю Вавилона, и не пригнет свою шею под его ярмо, Я буду наказывать этот народ мечом, голодом и мором, — возвещает Господь, — пока не погублю их его рукой. 9Поэтому не слушайте ваших лжепророков, ворожей, толкователей снов, колдунов и чародеев, которые говорят вам: „Вы не будете служить царю Вавилона“. 10Они пророчествуют вам ложь, которая удалит вас от ваших земель; Я изгоню вас, и вы погибнете. 11А если какой-нибудь народ пригнет шею под ярмо царя Вавилона и будет ему служить, Я оставлю этот народ на его земле, чтобы он возделывал ее и жил на ней», — возвещает Господь.

12Цедекии, царю Иудеи, я говорил то же самое. Я сказал:

— Пригни шею под ярмо царя Вавилона; служи ему и его народу, и будешь жить. 13Зачем тебе и твоему народу гибнуть от меча, голода и мора, которыми Господь грозит всякому народу, что не станет служить царю Вавилона? 14Не слушай слов лжепророков, говорящих тебе: «Вы не будете служить царю Вавилона», так как они пророчествуют тебе ложь. 15«Я не посылал их, — возвещает Господь. — Они пророчествуют Моим именем ложь, чтобы Я изгнал вас, и вы погибли — и вы, и пророки, которые вам пророчествуют».

16Затем я сказал священникам и всему народу:

— Так говорит Господь: «Не слушайте пророков, которые говорят: „Скоро предметы Господнего дома принесут из Вавилона обратно“27:16 См. 4 Цар. 24:10–13.. Они пророчествуют вам ложь. 17Не слушайте их. Служите царю Вавилона и будете жить. Зачем этому городу превращаться в развалины? 18Если они пророки и у них слово Господне, то пусть лучше попросят Господа Сил, чтобы те предметы, которые еще остались в доме Господа, во дворце царя Иудеи и в Иерусалиме, не отправились в Вавилон. 19Ведь так говорит Господь Сил о колоннах, о бронзовом море,27:19 Большой бронзовый бассейн, находившийся во дворе храма и предназначавшийся для ритуальных омовений священников (см. 3 Цар. 7:23–26; 2 Пар. 4:6). и передвижных подставках и прочей утвари, оставшейся в городе, 20которую Навуходоносор, царь Вавилона, не забрал с собой, когда он увел иудейского царя Иехонию, сына Иоакима, в плен из Иерусалима в Вавилон вместе со знатью Иудеи и Иерусалима — 21да, так Господь Сил, Бог Израиля, говорит об утвари, оставшейся в доме Господнем, во дворце царя Иудеи и в Иерусалиме: 22„Ее заберут в Вавилон, и она останется там до того дня, когда Я приду за ней, — возвещает Господь. — Тогда Я заберу ее и верну на это место“».