Wimbo 6 – NEN & NVI

Kiswahili Contemporary Version

Wimbo 6:1-13

Marafiki

16:1 Wim 1:8; 5:6Mpenzi wako amekwenda wapi,

ewe mzuri kupita wanawake wote?

Mpenzi wako amegeukia njia ipi,

tupate kumtafuta pamoja nawe?

Mpendwa

26:2 Sef 3:17; Isa 40:11; Wim 4:12; 5:13; 5:6Mpenzi wangu amekwenda bustanini mwake,

kwenye vitalu vya vikolezo,

kujilisha bustanini

na kukusanya yungiyungi.

36:3 Wim 7:10; 2:16Mimi ni wake mpenzi wangu,

na mpenzi wangu ni wangu;

yeye hujilisha katikati ya yungiyungi.

Shairi La Tano

Mpenzi

46:4 2Kor 10:4; 1Fal 15:33; Yos 12; 24; Za 48:2; Hes 1:52; Za 50:2Wewe ni mzuri, mpenzi wangu, kama Tirsa,

upendezaye kama Yerusalemu,

umetukuka kama jeshi lenye bendera.

5Uyageuze macho yako mbali nami,

yananigharikisha.

Nywele zako ni kama kundi la mbuzi

wanaoteremka kutoka Gileadi.

6Meno yako ni kama kundi la kondoo

watokao kuogeshwa.

Kila mmoja ana pacha lake,

hakuna hata mmoja aliye peke yake.

76:7 Mwa 24:65; Wim 4:3Mashavu yako nyuma ya shela yako

ni kama vipande viwili vya komamanga.

86:8 Za 45:9; Mwa 22:24; Es 2:14Panaweza kuwepo malkia sitini,

masuria themanini

na mabikira wasiohesabika;

96:9 Wim 1:15; 5:2; 3:4lakini hua wangu, mkamilifu wangu,

ni wa namna ya pekee,

binti pekee kwa mama yake,

kipenzi cha yeye aliyemzaa.

Wanawali walimwona na kumwita aliyebarikiwa;

malkia na masuria walimsifu.

Marafiki

10Ni nani huyu atokeaye kama mapambazuko,

mzuri kama mwezi, mwangavu kama jua,

ametukuka kama nyota zifuatanazo?

Mpenzi

116:11 Wim 7:12Niliteremka kwenye bustani ya miti ya milozi

ili kutazama machipuko ya bondeni,

kuona kama mizabibu imechipua

au kama mikomamanga imechanua maua.

12Kabla sijangʼamua,

shauku yangu iliniweka

katikati ya magari ya kifalme ya kukokotwa na farasi ya watu wangu.

Marafiki

136:13 Kut 15:20Rudi, rudi, ee Mshulami;

rudi, rudi ili tupate kukutazama!

Mpenzi

Kwa nini kumtazama Mshulami,

kama kutazama ngoma ya Mahanaimu?6:13 Mahanaimu hapa ina maana ya majeshi mawili.

Nueva Versión Internacional

Cantares 6:1-13

El coro

1¿A dónde se ha ido tu amado,

oh bella entre las bellas?

¿Hacia dónde se ha encaminado?

¡Iremos contigo a buscarlo!

La amada

2Mi amado ha bajado a su jardín,

a los lechos de bálsamo,

para retozar en los jardines

y recoger azucenas.

3Yo soy de mi amado y mi amado es mío;

él apacienta su rebaño entre azucenas.

Quinto Canto

El amado

4Tú, amada mía, eres bella como Tirsá,

hermosa como Jerusalén

imponente como ejército con sus banderas.

5Aparta de mí la mirada,

que tus ojos me tienen fascinado.

Tus cabellos son como los rebaños de cabras

que descienden de Galaad.

6Tus dientes son como rebaños de ovejas

que ascienden después de haber sido bañadas.

Cada una de ellas tiene gemelas,

ninguna de ellas está sola.

7Tus mejillas, tras el velo,

parecen dos mitades de granadas.

8Pueden ser sesenta las reinas,

ochenta las concubinas6:8 Véase nota en Gn 22:24.

e innumerables las vírgenes,

9pero una sola es preciosa, paloma mía,

la hija consentida de su madre,

la favorita de quien le dio la vida.

Las doncellas la ven y la bendicen;

las reinas y las concubinas la alaban.

El coro

10¿Quién es esta, admirable como la aurora?

¡Es bella como la luna,

radiante como el sol,

imponente como ejército con sus banderas!

El amado

11Descendí al huerto de los nogales

para admirar los nuevos brotes en el valle,

para admirar los retoños de las vides

y los granados en flor.

12Sin darme cuenta, mi pasión me puso

entre las carrozas reales de mi pueblo.6:12 entre … mi pueblo. Alt. entre los carros de Aminadab.

Los amigos

13Vuelve, Sulamita, vuelve;

vuélvete a nosotros,

¡queremos contemplarte!

El amado

¿Y por qué han de contemplar a la Sulamita,

como en las danzas de los campamentos?