Marafiki
16:1 Wim 1:8; 5:6Mpenzi wako amekwenda wapi,
ewe mzuri kupita wanawake wote?
Mpenzi wako amegeukia njia ipi,
tupate kumtafuta pamoja nawe?
Mpendwa
26:2 Sef 3:17; Isa 40:11; Wim 4:12; 5:13; 5:6Mpenzi wangu amekwenda bustanini mwake,
kwenye vitalu vya vikolezo,
kujilisha bustanini
na kukusanya yungiyungi.
36:3 Wim 7:10; 2:16Mimi ni wake mpenzi wangu,
na mpenzi wangu ni wangu;
yeye hujilisha katikati ya yungiyungi.
Shairi La Tano
Mpenzi
46:4 2Kor 10:4; 1Fal 15:33; Yos 12; 24; Za 48:2; Hes 1:52; Za 50:2Wewe ni mzuri, mpenzi wangu, kama Tirsa,
upendezaye kama Yerusalemu,
umetukuka kama jeshi lenye bendera.
5Uyageuze macho yako mbali nami,
yananigharikisha.
Nywele zako ni kama kundi la mbuzi
wanaoteremka kutoka Gileadi.
6Meno yako ni kama kundi la kondoo
watokao kuogeshwa.
Kila mmoja ana pacha lake,
hakuna hata mmoja aliye peke yake.
76:7 Mwa 24:65; Wim 4:3Mashavu yako nyuma ya shela yako
ni kama vipande viwili vya komamanga.
86:8 Za 45:9; Mwa 22:24; Es 2:14Panaweza kuwepo malkia sitini,
masuria themanini
na mabikira wasiohesabika;
96:9 Wim 1:15; 5:2; 3:4lakini hua wangu, mkamilifu wangu,
ni wa namna ya pekee,
binti pekee kwa mama yake,
kipenzi cha yeye aliyemzaa.
Wanawali walimwona na kumwita aliyebarikiwa;
malkia na masuria walimsifu.
Marafiki
10Ni nani huyu atokeaye kama mapambazuko,
mzuri kama mwezi, mwangavu kama jua,
ametukuka kama nyota zifuatanazo?
Mpenzi
116:11 Wim 7:12Niliteremka kwenye bustani ya miti ya milozi
ili kutazama machipuko ya bondeni,
kuona kama mizabibu imechipua
au kama mikomamanga imechanua maua.
12Kabla sijangʼamua,
shauku yangu iliniweka
katikati ya magari ya kifalme ya kukokotwa na farasi ya watu wangu.
Marafiki
136:13 Kut 15:20Rudi, rudi, ee Mshulami;
rudi, rudi ili tupate kukutazama!
Mpenzi
Kwa nini kumtazama Mshulami,
kama kutazama ngoma ya Mahanaimu?6:13 Mahanaimu hapa ina maana ya majeshi mawili.
El coro
1¿A dónde se ha ido tu amado,
oh bella entre las bellas?
¿Hacia dónde se ha encaminado?
¡Iremos contigo a buscarlo!
La amada
2Mi amado ha bajado a su jardín,
a los lechos de bálsamo,
para retozar en los jardines
y recoger azucenas.
3Yo soy de mi amado y mi amado es mío;
él apacienta su rebaño entre azucenas.
Quinto Canto
El amado
4Tú, amada mía, eres bella como Tirsá,
hermosa como Jerusalén
imponente como ejército con sus banderas.
5Aparta de mí la mirada,
que tus ojos me tienen fascinado.
Tus cabellos son como los rebaños de cabras
que descienden de Galaad.
6Tus dientes son como rebaños de ovejas
que ascienden después de haber sido bañadas.
Cada una de ellas tiene gemelas,
ninguna de ellas está sola.
7Tus mejillas, tras el velo,
parecen dos mitades de granadas.
8Pueden ser sesenta las reinas,
ochenta las concubinas6:8 Véase nota en Gn 22:24.
e innumerables las vírgenes,
9pero una sola es preciosa, paloma mía,
la hija consentida de su madre,
la favorita de quien le dio la vida.
Las doncellas la ven y la bendicen;
las reinas y las concubinas la alaban.
El coro
10¿Quién es esta, admirable como la aurora?
¡Es bella como la luna,
radiante como el sol,
imponente como ejército con sus banderas!
El amado
11Descendí al huerto de los nogales
para admirar los nuevos brotes en el valle,
para admirar los retoños de las vides
y los granados en flor.
12Sin darme cuenta, mi pasión me puso
entre las carrozas reales de mi pueblo.6:12 entre … mi pueblo. Alt. entre los carros de Aminadab.
Los amigos
13Vuelve, Sulamita, vuelve;
vuélvete a nosotros,
¡queremos contemplarte!
El amado
¿Y por qué han de contemplar a la Sulamita,
como en las danzas de los campamentos?