Waebrania 11 – NEN & CCBT

Kiswahili Contemporary Version

Waebrania 11:1-40

Maana Ya Imani

111:1 Ebr 3:6; 2Kor 4:18; Rum 8:24, 25; 2Kor 4:18; 5:7Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, na udhahiri wa mambo yasiyoonekana. 211:2 Ebr 11:4, 39Maana baba zetu wa kale walipongezwa kwa haya.

311:3 Mwa 1:1; Yn 1:3; Ebr 1:2; 2Pet 3:5Kwa imani tunafahamu kwamba ulimwengu uliumbwa kwa neno la Mungu, vitu vyote vinavyoonekana havikuumbwa kutoka kwa vitu vinavyoonekana.

Mfano Wa Abeli, Enoki Na Noa

411:4 Ebr 11:2, 39; Mwa 4:4; 1Yn 3:12; Ebr 12:24Kwa imani Abeli alimtolea Mungu dhabihu bora zaidi kuliko Kaini. Kwa imani alishuhudiwa kuwa mwenye haki, Mungu mwenyewe akazishuhudia sadaka zake. Kwa imani bado ananena ingawa amekufa.

511:5 Mwa 5:2, 24Kwa imani Enoki alitwaliwa kutoka maisha haya, kiasi kwamba hakuonja mauti. Hakuonekana, kwa sababu Mungu alikuwa amemchukua. Kwa kuwa kabla hajatwaliwa alikuwa ameshuhudiwa kuwa ni mtu aliyempendeza Mungu. 611:6 Ebr 7:19, 25; 10:35Lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza Mungu, kwa maana yeyote anayemjia Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko na ya kuwa huwapa thawabu wale wamtafutao kwa bidii.

711:7 Mwa 6:8, 9; 7:1; Rum 3:22, 24; 4:20Kwa imani, Noa alipoonywa na Mungu kuhusu mambo ambayo hayajaonekana bado, kwa kumcha Mungu alitengeneza safina ili kuokoa jamaa yake. Kwa imani yake aliuhukumu ulimwengu na akawa mrithi wa haki ipatikanayo kwa imani.

Imani Ya Abrahamu

811:8 Mwa 12:7; 12:1-4; Mdo 7:2-4Kwa imani Abrahamu, alipoitwa aende mahali ambapo Mungu angempa baadaye kuwa urithi, alitii na akaenda, ingawa hakujua anakokwenda. 911:9 Mwa 23:4; 26:3; 35:12; Ebr 6:17Kwa imani alifanya maskani yake katika nchi ya ahadi kama mgeni katika nchi ya kigeni; aliishi katika mahema, kama Isaki na Yakobo walivyofanya, waliokuwa pia warithi pamoja naye wa ahadi ile ile. 1011:10 Ebr 12:22; 13:14; Ufu 21:2, 14; Ebr 11:16Kwa maana alikuwa akiutazamia mji wenye misingi ya kudumu ambao mwenye kuubuni na kuujenga ni Mungu.

1111:11 Mwa 17:17-19; 22:17; 32:12Kwa imani Abrahamu, ingawa alikuwa mzee wa umri, naye Sara mwenyewe aliyekuwa tasa, alipokea uwezo wa kuwa baba kwa sababu alimhesabu Mungu aliyemwahidi kuwa mwaminifu na kwamba angetimiza ahadi yake. 1211:12 Rum 4:19; Mwa 22:17; 32:12Hivyo kutokana na huyu huyu ambaye alikuwa sawa na mfu, wakazaliwa wazao wengi kama nyota za mbinguni na kama mchanga wa pwani usiohesabika.

1311:13 Ebr 11:39; Mt 13:17; Mwa 23:4; Law 25:23; Flp 3:20; 1Pet 1:17Watu hawa wote wakafa katika imani bila kuzipokea zile ahadi, lakini waliziona kwa mbali na kuzishangilia. Nao walikubali kwamba walikuwa wageni na wasiokuwa na maskani hapa duniani. 1411:14 Ebr 13:14Watu wasemao mambo kama haya, wanaonyesha wazi kwamba wanatafuta nchi yao wenyewe. 1511:15 Mwa 24:6-8Kwa kweli kama wangekuwa wanafikiri kuhusu nchi waliyoiacha, wangalipata nafasi ya kurudi huko. 1611:16 2Tim 4:18; Mk 8:38; Mwa 26:24; 28:13; Kut 3:6, 15; Ebr 11:10; 13:14Lakini badala yake walitamani nchi iliyo bora zaidi, yaani nchi ya mbinguni. Kwa hiyo Mungu haoni aibu kuitwa Mungu wao, kwa kuwa amekwisha kuandaa mji kwa ajili yao.

1711:17 Mwa 22:2-10; Yak 2:21Kwa imani Abrahamu, alipojaribiwa na Mungu, alimtoa Isaki kuwa dhabihu. Yeye aliyekuwa amezipokea ahadi za Mungu alikuwa tayari kumtoa mwanawe, aliyekuwa mwanawe pekee awe dhabihu. 1811:18 Mwa 21:12; Rum 9:7Ingawa Mungu alikuwa amemwambia Abrahamu, “Uzao wako utahesabiwa kupitia kwa Isaki,” 1911:19 Rum 4:21; Yn 5:21Abrahamu alihesabu kuwa Mungu angaliweza kumfufua Isaki kutoka kwa wafu. Na kwa kusema kwa mfano, alimpata tena Isaki kutoka kwa wafu.

2011:20 Mwa 27:27-29Kwa imani Isaki alimbariki Yakobo na Esau kuhusu maisha yao ya baadaye.

2111:21 Mwa 48:1; 8:22; 47:31Kwa imani Yakobo alipokuwa anakufa, alimbariki kila mmoja wa mtoto wa Yosefu, akamwabudu Mungu akiwa ameegemea juu ya kichwa cha fimbo yake.

2211:22 Mwa 50:24, 25; Kut 13:19; Yos 24:32Kwa imani, Yosefu alipokaribia mwisho wa maisha yake, alinena habari za kutoka kwa wana wa Israeli huko Misri na akatoa maagizo kuhusu mifupa yake.

Imani Ya Mose

2311:23 Kut 2:2; 1:16, 22; Mdo 7:20Kwa imani, wazazi wa Mose walimficha kwa miezi mitatu baada ya kuzaliwa, kwa sababu waliona kuwa si mtoto wa kawaida, wala hawakuiogopa amri ya mfalme.

2411:24 Kut 2:10, 11Kwa imani, Mose alipokuwa mtu mzima, alikataa kuitwa mwana wa binti Farao. 2511:25 Ebr 11:37; Za 84:10Akachagua kupata mateso pamoja na watu wa Mungu kuliko kujifurahisha kwa anasa za dhambi kwa kitambo kidogo tu. 2611:26 Ebr 13:13; Lk 14:33; Ebr 10:35Aliona kushutumiwa kwa ajili ya Kristo ni utajiri mkubwa zaidi kuliko hazina za Misri, maana alikuwa anatazamia kupata thawabu baadaye. 2711:27 Kut 12:50-51; 10:28-29; 12:37; 13:17; Ebr 11:18Kwa imani Mose aliondoka Misri bila kuogopa ghadhabu ya mfalme. Alivumilia kwa sababu alimwona yeye asiyeonekana kwa macho. 2811:28 Kut 12:21; 1Kor 10:10Kwa imani akaadhimisha Pasaka na kunyunyiza damu, ili yule mwenye kuwaangamiza wazaliwa wa kwanza asiwaguse wazaliwa wa Israeli.

Imani Ya Mashujaa Wengine Wa Israeli

2911:29 Kut 14:21-31; 14:22Kwa imani, watu walivuka Bahari ya Shamu11:29 Yaani Bahari ya Mafunjo. kama vile juu ya nchi kavu; lakini Wamisri walipojaribu kufanya hivyo, walitoswa ndani ya maji.

3011:30 Yos 6:20; 6:12-19Kwa imani kuta za Yeriko zilianguka, baada ya watu kuzizunguka kwa siku saba.

3111:31 Yos 2:1; 9; 14; 6:22-25; Yak 2:25Kwa imani, Rahabu, yule kahaba, hakuangamizwa pamoja na wale waliomwasi Mungu, kwa kuwa aliwakaribisha wale wapelelezi.

3211:32 Amu 6:8; 4:5; 13:16; 1Sam 16:1, 13; 1:20Basi niseme nini zaidi? Sina wakati wa kusema habari za Gideoni, Baraka, Samsoni, Yeftha, Daudi, Samweli na manabii, 3311:33 2Sam 8:1-3; Dan 6:22ambao kwa imani walishinda milki za wafalme, walitekeleza haki, na wakapokea ahadi za Mungu; walifunga vinywa vya simba, 3411:34 Dan 3:19-27; Kut 18:4; 2Fal 20:7; Amu 15:8wakazima makali ya miali ya moto, na wakaepuka kuuawa kwa upanga; udhaifu wao uligeuka kuwa nguvu; pia walikuwa hodari vitani na kuyafukuza majeshi ya wageni. 3511:35 1Fal 17:22, 23; 2Fal 4:36, 37Wanawake walipokea watu wao waliokuwa wamekufa, wakafufuliwa. Lakini wengine waliteswa, nao wakakataa kufunguliwa, ili wapate ufufuo ulio bora zaidi. 36Wengine walidhihakiwa na kupigwa, hata walifungwa minyororo na kutiwa gerezani. 3711:37 2Nya 24:21; 1Fal 19:10; Yer 26:23; 2Fal 1:8Walipigwa kwa mawe; walipasuliwa vipande viwili kwa msumeno; waliuawa kwa upanga. Walizungukazunguka wakiwa wamevaa ngozi za kondoo na mbuzi, wakiwa maskini, wakiteswa na kutendwa mabaya, 3811:38 1Fal 18:4; 19:9watu ambao ulimwengu haukustahili kuwa nao. Walizunguka majangwani na milimani, katika mapango na katika mahandaki ardhini.

3911:39 Ebr 11:2, 4, 13; 10:36Hawa wote walishuhudiwa vyema kwa sababu ya imani yao, lakini hakuna hata mmoja wao aliyepokea yale yaliyoahidiwa. 4011:40 Ufu 6:11; Ebr 2:10Kwa kuwa Mungu alikuwa ametangulia kutuwekea kitu kilicho bora zaidi ili wao wasikamilishwe pasipo sisi.

Chinese Contemporary Bible 2023 (Traditional)

希伯來書 11:1-40

論信心

1信心是對盼望的事有把握,對還沒看見的事很確定。 2古人憑這樣的信心得到了讚許。 3因為信心,我們知道宇宙是藉著上帝的話造成的,所以看得見的是從看不見的造出來的。

4因為信心,亞伯向上帝獻的祭比該隱所獻的更美,他因此蒙了上帝的悅納,被稱為義人。他雖然死了,卻仍然藉著信心說話。

5因為信心,以諾被接到天上,沒有經歷死亡。世人找不到他,因為上帝已經把他接走了。11·5 創世記5·24其實他在被接之前,已經被肯定為上帝喜悅的人。 6沒有信心的人得不到上帝的喜悅,因為來到上帝面前的人必須相信上帝存在,並相信祂會賞賜一切尋求祂的人。

7因為信心,挪亞在上帝指示他未來要發生的事之後,就懷著敬畏的心建造方舟挽救全家。他藉著信心定了那個世代的罪,並承受了因信而來的義。

8因為信心,亞伯拉罕聽到上帝的呼召後,就遵命前往他將要承受為產業的地方,但他出發的時候還不知道自己要去哪裡。 9因為信心,他像異鄉客旅一樣寄居在上帝應許給他的地方。他住在帳篷裡,與同受一個應許的以撒雅各一樣。 10因為他盼望的是一座有根基的城,是由上帝設計、建造的。

11因為信心,撒拉過了生育年齡後仍然得到了孕育後代的能力,因為她認定賜她應許的上帝言出必行。 12所以,從一個垂暮之年的人生出許多子孫,好像天上的星、海邊的沙那麼多。

13這些人到死都滿懷信心。他們雖然沒有得到上帝所應許的,卻從遠處望見了,就歡然接受,承認自己在世上不過是異鄉客旅。 14他們抱這樣的態度,表明他們正在尋找一個家鄉。 15如果他們想念的是自己離開的家鄉,早就找機會回去了。 16然而,他們渴慕的是天上更美的家鄉。所以,上帝不以被他們稱為上帝為恥,因為祂已經為他們預備了一座城。

17因為信心,亞伯拉罕被試驗時,把以撒獻為祭物,承受應許的亞伯拉罕當時獻上了自己的獨生子。 18關於這兒子,上帝曾說:「以撒生的才可算為你的後裔。」11·18 創世記21·12 19他認定上帝能使死人復活,從象徵意義上說,他也確實從死亡中得回了以撒

20因為信心,以撒指著將來的事為雅各以掃祝福。

21因為信心,雅各在臨終之時分別為約瑟的兩個兒子祝福,並拄著拐杖敬拜上帝。

22因為信心,約瑟臨終之時提到以色列人將來要離開埃及,並交代要如何處理自己的骸骨。

23因為信心,摩西的父母在他出生後,見他長得俊美,就把他藏了三個月,不怕違抗王的命令。

24因為信心,摩西長大成人後,拒絕做法老之女的兒子, 25寧願與上帝的子民一同受苦,也不願享受一時的罪中之樂。 26在他眼中,為基督所受的凌辱遠比埃及的財富更有價值,因為他盼望的是將來的賞賜。 27因為信心,他離開埃及,不怕王的憤怒。他堅忍不拔,好像看見了肉眼不能看見的主。 28因為信心,他守逾越節,行灑血的禮,免得那位殺長子的傷害以色列人。

29因為信心,以色列人渡過紅海,如履乾地,埃及人試圖過去,卻被海水淹沒。 30因為信心,以色列人繞著耶利哥城走了七天,城牆就倒塌了。

31因為信心,妓女喇合善待以色列的探子,所以沒有與那些不順服的人一同滅亡。

32我還要再說下去嗎?我沒有時間一一細說基甸巴拉參孫耶弗他大衛撒母耳和眾先知的事了。 33他們憑信心戰勝了敵國,行了公義,得到了應許,堵住了獅子的口, 34熄滅了猛烈的火焰,刀下逃生,由軟弱變為剛強,作戰勇猛,擊退外敵。

35有些婦女得回了從死裡復活的親人。有些人受盡嚴刑拷打,仍不肯苟且偷生,為要得到一個復活後更美好的生命。 36有些人遭受戲弄、鞭打、捆鎖和囚禁。 37他們被人用石頭打死,受威逼利誘11·37 有聖經抄本在此處無「受威逼利誘」。,被鋸成兩截,喪生刀下,披著綿羊和山羊的皮四處奔跑,受盡貧乏、迫害和虐待, 38在曠野、群山、山洞和地穴中漂泊不定。他們是世界不配有的!

39這些人都因信心而獲得讚許,但他們並未得到上帝所應許的, 40因為上帝為我們預備了更美的,要叫他們與我們一同得到才算完美。