Waamuzi 1 – NEN & CARSA

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Waamuzi 1:1-36

Israeli Wapigana Na Wakanaani Waliobaki

11:1 Yos 24:29; Hes 2:3-9; Amu 20:18; 1Fal 20:14; Mwa 10:18; Amu 3:1-6; Hes 27:21Baada ya kifo cha Yoshua, Waisraeli wakamuuliza Bwana, “Ni nani atakayetangulia kupanda mbele yetu kwa ajili ya kupigana na Wakanaani?”

21:2 Mwa 49:10; Amu 3:25; 4:7, 14; 7:9Bwana akajibu, “Yuda ndiye atakayetangulia; nimewapa hiyo nchi mikononi mwao.”

3Ndipo watu wa Yuda wakawaambia Wasimeoni ndugu zao, “Pandeni pamoja nasi katika nchi tuliyopewa, ili tupate kupigana na Wakanaani. Sisi pia tutakwenda pamoja nanyi katika sehemu yenu mliyopewa.” Basi Wasimeoni wakaenda pamoja nao.

41:4 Mwa 13:7; Yos 3:10; 1Sam 11:8Yuda aliposhambulia, Bwana akawatia Wakanaani na Waperizi mikononi mwao, nao wakawaua watu 10,000 huko Bezeki. 5Huko ndiko walipomkuta huyo Adoni-Bezeki, nao wakapigana naye na kuwafanya Wakanaani na Waperizi wakimbie. 6Adoni-Bezeki pia alikimbia, nao wakamfuata na kumkamata, wakamkata vidole vyake gumba vya mikono na vya miguu.

71:7 Law 24:19; Yer 25:12; Yos 10:1Ndipo Adoni-Bezeki akasema, “Nimewatendea wafalme sabini kama nilivyotendewa na kuwalisha makombo ya chakula chini ya meza yangu. Sasa Mungu amenilipa haya, kama yale niliyowatendea.” Wakamleta Yerusalemu, naye akafa huko.

81:8 Amu 1:21; Yos 15:63; 2Sam 5:6Watu wa Yuda wakashambulia pia Yerusalemu na kuiteka. Wakaupiga mji kwa upanga na kuuchoma kwa moto.

91:9 Hes 13:17; Mwa 12:9; Hes 21:1; Isa 30:6Baada ya hayo, watu wa Yuda wakateremka kupigana na Wakanaani walioishi katika nchi ya vilima, yaani, Negebu na nchi chini ya vilima vya magharibi. 101:10 Mwa 13:18; 35:27; Hes 13:22; Yos 15:14Yuda wakakabiliana na Wakanaani walioishi Hebroni (ambayo hapo kwanza iliitwa Kiriath-Arba) na kuwashinda Sheshai, Ahimani na Talmai.

111:11 Yos 10:38Kutoka huko wakasonga mbele kukabiliana na watu walioishi Debiri (ambao hapo kwanza uliitwa Kiriath-Seferi.) 12Kalebu akasema, “Nitamwoza binti yangu Aksa kwa mtu atakayeweza kupigana na kuteka Kiriath-Seferi.” 13Basi Othnieli mwana wa Kenazi, ndugu mdogo wa huyo Kalebu, akawashinda, kwa hiyo Kalebu akamtoa binti yake Aksa akaolewa naye.

14Siku moja Aksa alipokuja kwa Othnieli, alimsihi Othnieli amwombe baba yake, Kalebu, shamba. Aksa aliposhuka kutoka juu ya punda wake, Kalebu akamuuliza, “Je, wataka nikufanyie nini?”

151:15 Hes 13:6Akamjibu, “Naomba unifanyie jambo moja la hisani. Kwa kuwa umenipa ardhi huko Negebu, nipe pia chemchemi za maji.” Ndipo Kalebu akampa chemchemi za juu na za chini.

161:16 Hes 10:29; Mwa 15:191:16 Kum 34:3; Amu 3:13; 2Nya 28:15; Hes 21:1; Yos 12:14Wazao wa yule Mkeni, baba mkwe wa Mose, wakapanda pamoja na watu wa Yuda kutoka Mji wa Mitende,1:16 Yaani Yeriko. wakaenda kuishi miongoni mwa watu wa jangwa ya Yuda huko Negebu karibu na mji wa Aradi.

171:17 Hes 14:45Basi watu wa Yuda wakaenda na Wasimeoni ndugu zao kushambulia Wakanaani waishio Sefathi, nao wakauangamiza huo mji kabisa. Kwa hiyo huo mji ukaitwa Horma1:17 Horma maana yake ni Maangamizi. 181:18 Yos 11:22; 13:3Watu wa Yuda wakatwaa pia Gaza, Ashkeloni na Ekroni, kila mji na vijiji vyake vinavyouzunguka.

191:19 Hes 14:43; 13:17; Yos 17:16Bwana alikuwa pamoja na watu wa Yuda. Wakaimiliki nchi ya vilima, lakini hawakuweza kuwafukuza watu waliokaa katika hiyo tambarare, kwa sababu walikuwa na magari ya chuma. 201:20 Yos 10:36; 14:13Kama vile Mose alivyoahidi, Kalebu alipewa Hebroni, naye akawafukuza wana watatu wa Anaki. 211:21 Yos 9:15; 15:63Hata hivyo, Wabenyamini walishindwa kuwafukuza Wayebusi, waliokuwa wanaishi Yerusalemu; hivyo hadi leo Wayebusi huishi humo pamoja na Wabenyamini.

221:22 Amu 10:9; Yos 7:2Basi nyumba ya Yosefu wakashambulia Betheli, naye Bwana alikuwa pamoja nao. 231:23 Mwa 28:19Walipotuma watu kwenda kupeleleza Betheli (ambao hapo kwanza uliitwa Luzu), 241:24 Mwa 47:29; Yos 2:12-14wale wapelelezi wakaona mtu anatoka mjini, nao wakamwambia, “Tuonyeshe jinsi ya kuingia mjini nasi tutakutendea wema.” 251:25 Yos 6:25Hivyo akawaonyesha, nao wakaupiga mji kwa upanga lakini wakamhifadhi hai yule mtu na jamaa yake yote. 261:26 Kum 7:1; Eze 6:3; Mwa 19:19Yule mtu akaenda hadi nchi ya Wahiti, ambapo aliujenga mji na kuuita Luzu, ambao ndio jina lake hadi leo.

271:27 1Fal 9:21; Yos 11:2; 17:11; 12:21Lakini Manase hawakuwafukuza watu wa Beth-Shani na vijiji vyake, au watu wa Taanaki na vijiji vyake, au watu wa Dori na vijiji vyake, au watu wa Ibleamu na vijiji vyake, au watu wa Megido na vijiji vyake, lakini Wakanaani waliazimu kuishi katika nchi ile. 281:28 Yos 17:12-13Israeli walipopata nguvu, wakawatia Wakanaani katika kazi ya kulazimishwa, lakini kamwe hawakuwafukuza watoke kabisa. 291:29 Yos 14:4; Amu 5:14; Yos 10:33; 16:10Wala Efraimu hawakuwafukuza kabisa Wakanaani walioishi Gezeri, bali Wakanaani waliendelea kuishi humo miongoni mwao. 30Vivyo hivyo Zabuloni hawakuwafukuza Wakanaani walioishi huko Kitroni, wala walioishi Nahaloli, ambao walibaki miongoni mwao; bali waliwatia katika kazi ya kulazimishwa. 311:31 Yos 17:7; Mwa 49:13; Yos 15:44; 12:18; Hes 13:21Wala Asheri hawakuwafukuza wale walioishi huko Ako, Sidoni, Alabu, Akzibu, Helba, Afeki wala Rehobu 32na kwa sababu ya jambo hili Waasheri wakaishi miongoni mwa Wakanaani, wenyeji wa nchi. 331:33 Yos 15:10; 19:38Wala Naftali hawakuwafukuza wale walioishi Beth-Shemeshi wala wale walioishi Beth-Anathi; lakini Naftali nao pia wakaishi miongoni mwa Wakanaani, wenyeji wa nchi, nao wale walioishi Beth-Shemeshi na Beth-Anathi wakawa watumishi wao katika kazi ya kulazimishwa. 341:34 Hes 13:29; Amu 10:11; 1Sam 7:14; Mwa 30:6; Amu 18:1Waamori wakawazuilia Wadani kwenye nchi ya vilima, kwa maana hawakuwaacha washuke kuingia kwenye sehemu tambarare. 351:35 Amu 8:13; Yos 19:43; 1Fal 4:9Waamori pia wakaendelea kukaa katika Mlima Heresi, katika Aiyaloni na Shaalbimu, lakini mkono wa nyumba ya Yosefu ukawalemea, nao wakashindwa hata wakalazimika kuingia katika kazi ya kulazimishwa. 361:36 Yos 15:3; 2Fal 14:7; Isa 16:1; 42:11; Za 104:34Mpaka wa Waamori ulikuwa kuanzia Genge la Akrabimu, kuendelea hadi Sela na kuelekea juu.

Священное Писание (Восточный перевод), версия с «Аллахом»

Судьи 1:1-36

Исраил ведёт войну с оставшимися хананеями

(Иеш. 15:15-19)

1После смерти Иешуа исраильтяне спросили Вечного1:1 Вечный – на языке оригинала: «Яхве». Под этим именем Всевышний открылся Мусе и народу Исраила (см. Исх. 3:13-15). См. пояснительный словарь.:

– Кому из нас первым идти воевать с хананеями?

2Вечный ответил:

– Первым пусть идёт Иуда. Я отдаю землю в его руки.

3Тогда воины Иуды сказали своим братьям шимонитам:

– Идите с нами в землю, которая нам досталась, воевать с хананеями. А потом мы, в свой черёд, пойдём с вами в вашу землю.

И шимониты пошли с ними. 4Когда Иуда со своими людьми вышел на бой, Вечный отдал хананеев и перизеев в их руки, и они сразили в Везеке десять тысяч человек. 5Там они и нашли царя Адони-Везека, сразились с ним и разбили хананеев и перизеев. 6Адони-Везек бежал, но они погнались за ним, схватили его и отрубили ему большие пальцы на руках и на ногах.

7Адони-Везек сказал:

– Семьдесят царей с отрубленными большими пальцами на руках и на ногах собирали крохи под моим столом. Теперь Аллах воздал мне за то, что я сделал.

Его отвели в Иерусалим, где он и умер.

8Воины Иуды напали на Иерусалим и взяли город. Они предали город мечу и огню. 9После этого воины Иуды отправились на битву с хананеями, которые жили в нагорьях, в Негеве и в западных предгорьях. 10Они выступили против хананеев Хеврона (прежде он назывался Кириат-Арба) и разбили Шешая, Ахимана и Талмая1:10 Это были потомки Анака (см. ст. 20), род которого был известен своим высоким ростом и наводил страх на исраильтян (см. Чис. 13:22; Иеш. 15:14).. 11Оттуда они пошли на жителей Девира (который прежде назывался Кириат-Сефер).

12Халев сказал:

– Я отдам свою дочь Ахсу в жёны тому, кто нападёт на Кириат-Сефер и возьмёт его.

13Отниил, сын Кеназа, младшего брата Халева, взял город, и Халев отдал ему в жёны свою дочь Ахсу.

14Однажды, по дороге к отцу, она получила разрешение Отниила попросить у её отца поле. Когда она слезла со своего осла, Халев спросил её:

– Чего ты хочешь?

15Она ответила:

– Окажи мне особую милость. Ты дал мне землю в Негеве – так дай мне и источники воды.

И Халев дал ей верхние и нижние источники.

16Потомки тестя Мусы, кенея, пошли с народом Иуды из города Иерихона1:16 Букв.: «из города Пальм», также в 3:13. в Иудейскую пустыню, что в Негеве, рядом с городом Арадом, и поселились среди народа.

17Воины Иуды пошли со своими братьями шимонитами, напали на хананеев, которые жили в Цефате, и полностью уничтожили город. Поэтому он получил название Хорма («уничтожение»). 18Ещё воины Иуды взяли города Газу, Ашкелон и Экрон с их окрестностями. 19Вечный был с воинами Иуды. Они овладели нагорьями, но не смогли прогнать жителей равнин, потому что у тех были железные колесницы. 20Как и обещал Муса, Хеврон был отдан Халеву, который прогнал оттуда троих анакитов.

21Вениамитяне не смогли выселить иевусеев, которые жили в Иерусалиме. Иевусеи живут там с вениамитянами до сегодняшнего дня.

22Потомки Юсуфа напали на Вефиль, и Вечный был с ними. 23Когда они послали лазутчиков разведать Вефиль (прежде он назывался Луз), 24лазутчики увидели мужчину, выходящего из города, и сказали ему:

– Покажи нам, как попасть в город, и мы не причиним тебе вреда.

25Он показал им, и они предали город мечу, но пощадили того человека и всю его семью. 26Этот человек пошёл в землю хеттов, где построил город, который назвал Луз. Так он называется и до сегодняшнего дня.

27Но Манасса не прогнал жителей Бет-Шеана, Таанаха, Дора, Ивлеама и Мегиддо, а также их окрестных поселений; и хананеи продолжали жить на этой земле. 28Когда Исраил окреп, они сделали хананеев подневольными, но не изгнали их полностью. 29И Ефраим не прогнал хананеев, которые жили в Гезере, и хананеи продолжали жить там среди них. 30И Завулон не прогнал хананеев, живших в Китроне и в Нахалоле, которые остались среди них, но сделались подневольными. 31И Ашир не изгнал жителей Акко, Сидона, Ахлава, Ахзива, Хелбы, Афека и Рехова, 32и поэтому народ Ашира жил среди хананеев, обитателей той земли. 33И Неффалим не прогнал жителей Бет-Шемеша и Бет-Аната: неффалимиты жили среди хананеев, обитателей той земли, а жителей Бет-Шемеша и Бет-Аната сделали подневольными. 34Данитянам аморреи отрезали путь с нагорий на равнину. 35Аморреи продолжали жить на горе Херес, в Аялоне и в Шаалбиме, но когда сила потомков Юсуфа возросла, они тоже стали подневольными. 36Граница аморреев шла от Скорпионовой возвышенности1:36 Или: «возвышенности Акраббим»., от Селы и далее.