Ruthu 3 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version

Ruthu 3:1-18

Ruthu Na Boazi Kwenye Sakafu Ya Kupuria

13:1 Rut 1:9, 14, 19; 1Kor 7:36; 1Tim 5:8; Kum 4:40; Za 128:2; Yer 22:15, 16Kisha Naomi akamwambia mkwewe, “Binti yangu, je, nisingelikutafutia pumziko ambako utatunzika vyema? 23:2 Rut 2:1, 8; Law 2:14; Hes 18:27; Amu 6:11Je, Boazi, ambaye umekuwa pamoja na watumishi wake wasichana, si jamaa yetu wa karibu? Usiku wa leo atakuwa anapepeta ngano kwenye sakafu ya kupuria. 33:3 2Sam 12:20; 14:2; 2Fal 5:10; Za 26:6; 51:2; Isa 1:16; 61:3; Yer 4:14; Eze 16:9; Mwa 41:14; Kut 32:6; Mhu 2:3; Yer 15:17Basi oga na ukajipake marashi, ujivalie nguo zako nzuri. Kisha uende kwenye sakafu ya kupuria, lakini angalia asijue kwamba upo pale mpaka atakapomaliza kula na kunywa. 4Atakapokwenda kulala, angalia mahali atakapolala. Kisha uende ufunue miguu yake, ulale. Naye atakuambia utakalofanya.”

53:5 Efe 6:1; Kol 3:20Ruthu akajibu, “Lolote usemalo nitatenda.” 63:6 Hes 18:27Basi akashuka mpaka kwenye sakafu ya kupuria, akafanya kila kitu mama mkwe wake alichomwambia kufanya.

73:7 Amu 19:6; 1Sam 25:36; 2Sam 13:28; 1Fal 21:7; Es 1:10; Wim 7:2; 2Nya 31:6; Yer 50:26; Hag 2:16Wakati Boazi alipomaliza kula na kunywa, naye akawa amejawa na furaha, alikwenda kulala mwisho wa lundo la nafaka. Ruthu akanyemelea polepole, akafunua miguu yake, na akalala. 8Usiku wa manane, kitu kilimshtua Boazi, akajigeuza, akagundua yupo mwanamke amelala miguuni pake.

93:9 Eze 16:8; Rut 2:20Akauliza, “Wewe ni nani?”

Akajibu, “Ni mimi Ruthu, mjakazi wako. Uitande nguo yako juu yangu, kwa sababu wewe ndiwe jamaa wa karibu wa kutukomboa.”

103:10 Amu 17:2; Yos 2:12Akamwambia, “Binti yangu, ubarikiwe na Bwana. Wema huu wa sasa ni mkuu kushinda hata ule ulioonyesha mwanzoni. Hukuwakimbilia vijana, wakiwa matajiri au maskini. 113:11 Mit 12:4; 14:1; 31:10Sasa, binti yangu, usiogope. Nitakufanyia yote uliyoomba. Kwa maana mji wote wa watu wangu wanakujua ya kwamba wewe ni mwanamke mwenye tabia nzuri. 123:12 Rut 2:20; 4:1Ingawa ni kweli kwamba mimi ndiye jamaa aliye karibu, bado kuna mtu mwingine wa jamaa aliye karibu zaidi wa kukomboa kuliko mimi. 133:13 Kum 25:5; Rut 4:5, 6; Mt 22:24; Amu 8:19; Yer 4:2; Ebr 6:16; Hes 14:21; Hos 4:15Wewe kaa hapa usiku huu, kisha asubuhi kama akikubali kukomboa, vyema na akomboe. La sivyo kama hayuko tayari, hakika kama Bwana aishivyo nitafanya hivyo. Lala hapa mpaka asubuhi.”

143:14 Hes 18:27; Rum 14:16; 2Kor 8:21; Rum 12:17; 14:16; 2Kor 8:21; 1The 5:22; 1Pet 2:12Hivyo huyo mwanamke akalala miguuni pake mpaka asubuhi, akaondoka mapema pasipo mtu kuweza kumtambua mwenzake, maana Boazi alisema, “Isijulikane kabisa ya kuwa mwanamke alifika kwenye sakafu ya kupuria.”

153:15 Isa 3:22Pia akamwambia, “Leta shela yako uliyoivaa, uitandaze.” Naye alipoitandaza, akamimina vipimo sita vya shayiri, akamtwika. Kisha Ruthu akarudi zake mjini.

16Basi Ruthu alipofika kwa mama mkwe wake Naomi, akamuuliza, “Je, binti yangu, ilikuwaje huko?”

Ndipo akamwelezea kila kitu Boazi alichomfanyia. 17Akaendelea kusema, “Amenipa shayiri vipimo sita3:17 Vipimo sita vya shayiri ni sawa na kilo 15. akisema, ‘Usiende kwa mama mkwe wako mikono mitupu.’ ”

183:18 Za 37:3-5Kisha Naomi akasema, “Subiri binti yangu, mpaka utakapojua kwamba hili jambo limekwendaje. Kwa sababu mtu huyu hatatulia mpaka akamilishe jambo hili leo.”

Chinese Contemporary Bible 2022 (Simplified)

路得记 3:1-18

路得麦场见波阿斯

1一天,路得的婆婆拿俄米对她说:“我的女儿啊,我实在应该为你找个好归宿,使你生活幸福。 2波阿斯不是我们的亲戚吗?而且你又常与他的女工在一起。今晚他会在麦场簸大麦。 3你要梳洗打扮、抹上香膏、换件衣服,然后去麦场,但不要让他认出你是谁。等他吃饱喝足, 4躺下睡觉的时候,你看准他躺卧的地方,去掀开盖在他脚上的被,躺在那里,到时他必定会告诉你该怎样做。” 5路得说:“好,我一定照你的吩咐去做。”

6于是,路得就到麦场去,照她婆婆吩咐的去做。 7波阿斯吃过晚饭,心里舒畅,便躺在麦堆旁边睡着了。路得悄悄过去掀起盖在他脚上的被,躺在他脚旁。 8到了半夜,波阿斯忽然惊醒,翻过身来,发现一个女子躺在他的脚旁, 9便问道:“你是谁?”她答道:“我是你的婢女路得,请用你的衣襟遮盖我,因为你是我的近亲。” 10波阿斯说:“姑娘,愿耶和华赐福给你,因为你一直对婆家情深义重,现在更是如此。你本来可以找一个富有或贫穷的年轻丈夫,然而你却没有这样做。 11姑娘,不要害怕,你所说的一切,我都会去为你安排,城里所有的人都知道你是个贤德的女子。 12不错,我是你的近亲,可是有一个人比我更近。 13你今晚就留在这里,明天早上,如果他答应尽亲属的义务,就由他照顾你;如果他不肯,我凭永活的耶和华起誓,我会尽我的本分。现在你只管安心睡到天亮。”

14路得就躺在波阿斯的脚旁。天未亮,还看不清人的时候,路得就起来了。因为波阿斯曾对她说:“不可让别人知道有女人来过麦场。” 15离开的时候,波阿斯对她说:“把你的外衣拿来铺开。”路得就照做了。他用路得的外衣包了六簸箕大麦,帮她扛在肩上,她便回城了。 16回到家中,婆婆问她:“女儿啊,怎么样了?”路得便将事情的经过都告诉了婆婆。 17她又说:“那个人给了我六簸箕大麦,对我说,‘不要空手回去见你婆婆。’” 18拿俄米说:“女儿啊!你只管安静等候,看这事怎样发展,因为那人今天不把事情办妥,是绝不会休息的。”