Maombolezo 5 – NEN & CCBT

Kiswahili Contemporary Version

Maombolezo 5:1-22

15:1 Za 44:13-16; 89:50Kumbuka, Ee Bwana, yaliyotupata,

tazama, nawe uione aibu yetu.

25:2 Za 79:1; Sef 1:13; Yer 17:4Urithi wetu umegeuziwa kwa wageni,

na nyumba zetu kwa wageni.

35:3 Kut 22:24; Yer 15:8; 18:21Tumekuwa yatima wasio na baba,

mama zetu wamekuwa kama wajane.

45:4 Isa 55:1; Eze 4:16-17; Isa 3:1Ni lazima tununue maji tunayokunywa,

kuni zetu zapatikana tu kwa kununua.

55:5 Isa 47:6; Neh 9:37; Yos 1:13Wanaotufuatilia wapo kwenye visigino vyetu,

tumechoka na hakuna pumziko.

65:6 Yer 2:36; Mwa 24:2; Hos 5:13; 7:11; Yer 50:15; Hos 12:1Tumejitolea kwa Misri na Ashuru

tupate chakula cha kutosha.

75:7 Yer 14:20; 16:12; Eze 8:2; Yer 31:29; Eze 18:2; Mt 23:32Baba zetu walitenda dhambi na hawapo tena,

na sisi tunachukua adhabu yao.

85:8 Neh 5:15; Zek 11:6Watumwa wanatutawala

na hakuna wa kutuokoa mikononi yao.

9Tunapata chakula chetu kwa kuhatarisha maisha yetu

kwa sababu ya upanga jangwani.

105:10 Ay 30:30; Mao 4:8-9Ngozi yetu ina joto kama tanuru,

kwa sababu ya fadhaa itokanayo na njaa.

115:11 Mwa 34:29; Zek 14:2; Isa 13:16Wanawake wametendwa jeuri katika Sayuni,

na mabikira katika miji ya Yuda.

12Wakuu wametungikwa juu kwa mikono yao,

wazee hawapewi heshima.

135:13 Amu 13:16; 16:21Vijana wanataabika kwenye mawe ya kusagia,

wavulana wanayumbayumba chini ya mizigo ya kuni.

145:14 Isa 24:8; Yer 7:34; 2Fal 25:18Wazee wameondoka langoni la mji,

vijana wameacha kuimba nyimbo zao.

155:15 Amu 8:10; Yer 25:10Furaha imeondoka mioyoni mwetu,

kucheza kwetu kumegeuka maombolezo.

165:16 Yer 13:18; 14:20; Za 89:39; Ay 19:9; Isa 3:11Taji imeanguka kutoka kichwani petu.

Ole wetu, kwa maana tumetenda dhambi!

175:17 Ay 17:7; Za 6:7; 16:8; Yer 8:18Kwa sababu hiyo, mioyo yetu inazimia,

kwa sababu ya hayo, macho yetu yamefifia,

185:18 Isa 27:10; Mik 3:12; Za 74:2-4kwa ajili ya Mlima Sayuni, ambao unakaa ukiwa,

nao mbweha wanatembea juu yake.

195:19 1Nya 16:31; Za 45:6; 102:22-27Wewe, Ee Bwana unatawala milele,

kiti chako cha enzi chadumu kizazi hadi kizazi.

205:20 Za 13:1; 44:24; 71:11Kwa nini watusahau siku zote?

Kwa nini umetuacha kwa muda mrefu?

215:21 Isa 60:20-22; Za 80:3Turudishe kwako mwenyewe, Ee Bwana,

ili tupate kurudi.

Zifanye mpya siku zetu kama siku za kale,

225:22 Isa 64:9; Yer 6:30; Za 53:5; 60:12isipokuwa uwe umetukataa kabisa

na umetukasirikia pasipo kipimo.

Chinese Contemporary Bible 2023 (Traditional)

耶利米哀歌 5:1-22

求耶和華憐憫

1耶和華啊,求你顧念我們的遭遇,

看看我們所受的恥辱!

2我們的土地被陌生人侵佔,

我們的房屋落入外族人手中。

3我們成了喪父的孤兒,

我們的母親成了寡婦。

4我們喝水要付錢,

燒的柴要用錢買。

5敵人緊追不捨,

我們疲憊不堪,不得安歇。

6為了得到食物,

我們向埃及亞述卑躬屈膝。

7我們的祖先犯了罪,

已經逝去,

我們卻要承擔他們的罪責。

8奴僕做了我們的主人,

無人從他們手中解救我們。

9曠野中殺機四伏,

我們冒著生命危險才得到糧食。

10我們因饑餓而發熱,

皮膚熱如烤爐。

11婦女在錫安遭強暴,

少女在猶大的城邑被姦污。

12首領雙手被吊起來,

老人得不到尊敬。

13青年被迫推磨,

孩童肩背柴捆,步履蹣跚。

14老人不再坐在城門口,

青年不再彈琴奏樂。

15我們心中的快樂消失,

我們的舞蹈變成了哀哭。

16榮耀的冠冕從我們頭上落下。

我們犯了罪,我們有禍了!

17此情此景使我們黯然神傷,

淚眼模糊。

18錫安山一片荒涼,

豺狼四處遊蕩。

19耶和華啊,你永遠掌權,

你的寶座世代長存。

20你為何永遠忘記我們?

為何如此長久地棄絕我們?

21耶和華啊,求你使我們回到你身邊,

讓我們歸向你,

恢復我們昔日的繁榮!

22難道你完全棄絕了我們,

仍然向我們大發烈怒嗎?