Luka 5 – NEN & NRT

Kiswahili Contemporary Version

Luka 5:1-39

Kuitwa Kwa Wanafunzi Wa Kwanza

(Mathayo 4:18-22; Marko 1:16-20)

15:1 Mk 4:14; Ebr 4:12Siku moja Yesu alipokuwa amesimama karibu na Ziwa la Genesareti,5:1 Yaani Bahari ya Galilaya. watu wengi wakiwa wanasongana kumzunguka ili wapate kusikia neno la Mungu, 2akaona mashua mbili ukingoni mwa ziwa, zikiwa zimeachwa hapo na wavuvi waliokuwa wanaosha nyavu zao. 35:3 Mt 13:2Akaingia katika mojawapo ya hizo mashua ambayo ilikuwa ya Simoni, akamwomba aisogeze ndani ya maji kidogo kutoka ufuoni. Kisha akaketi na kufundisha watu akiwa mle ndani ya mashua.

45:4 Yn 21:6Alipomaliza kunena, akamwambia Simoni, “Sasa peleka mashua hadi kilindini kisha mshushe nyavu zenu mkavue samaki.”

55:5 Lk 9:33, 49; 17:13; Yn 21:3Simoni akamjibu, “Bwana, tumefanya kazi ya kuchosha usiku kucha na hatukuvua chochote. Lakini, kwa neno lako nitazishusha nyavu.”

65:6 Yn 21:11Nao walipozishusha nyavu zao, wakavua samaki wengi sana, nyavu zao zikajaa zikaanza kukatika. 7Wakawaashiria wavuvi wenzao kwenye ile mashua nyingine ili waje kuwasaidia. Wakaja, wakajaza mashua zote mbili samaki hata zikaanza kuzama.

85:8 Mwa 18:27; Ay 42:6Simoni Petro alipoona haya yaliyotukia, alianguka miguuni mwa Yesu na kumwambia, “Bwana, ondoka kwangu. Mimi ni mtu mwenye dhambi!” 9Kwa kuwa yeye na wavuvi wenzake walikuwa wameshangazwa sana na wingi wa samaki waliokuwa wamepata. 105:10 Mt 14:27Vivyo hivyo wenzake Simoni, yaani Yakobo na Yohana, wana wa Zebedayo, walishangazwa pia.

Ndipo Yesu akamwambia Simoni, “Usiogope, tangu sasa utakuwa mvuvi wa watu.” 115:11 Mt 4:11Hivyo wakasogeza mashua zao mpaka ufuoni mwa bahari, wakaacha kila kitu na kumfuata.

Yesu Amtakasa Mtu Mwenye Ukoma

(Mathayo 8:1-4; Marko 1:40-45)

125:12 Mt 8:12Ikawa siku moja Yesu alipokuwa katika mji fulani, mtu mmoja mwenye ukoma mwili mzima akamjia. Alipomwona Yesu, alianguka chini mpaka uso wake ukagusa ardhi, akamsihi akisema, “Bwana, ukitaka, waweza kunitakasa.”

13Yesu akanyoosha mkono wake, akamgusa yule mtu, akamwambia, “Nataka. Takasika!” Na mara ukoma wake ukatakasika.

145:14 Mt 8:4Yesu akamwagiza akisema, “Usimwambie mtu yeyote, bali nenda ukajionyeshe kwa kuhani na ukatoe sadaka alizoagiza Mose kwa utakaso wako, ili kuwa ushuhuda kwao.”

155:15 Mt 9:26Lakini habari zake Yesu zikazidi sana kuenea kotekote kuliko wakati mwingine wowote. Makutano makubwa ya watu yalikuwa yakikusanyika ili kumsikiliza na kuponywa magonjwa yao. 165:16 Mt 14:23Lakini mara kwa mara Yesu alijitenga nao ili kwenda mahali pa faragha kuomba.

Yesu Amponya Mtu Mwenye Kupooza

(Mathayo 9:1-8; Marko 2:1-12)

175:17 Mt 15:1; Lk 2:46; Mk 5:30; Lk 6:19Siku moja Yesu alipokuwa akifundisha, Mafarisayo na walimu wa sheria, waliokuwa wametoka kila kijiji cha Galilaya na kutoka Uyahudi na Yerusalemu, walikuwa wameketi huko. Nao uweza wa Bwana ulikuwa juu yake kuponya wagonjwa. 185:18 Mt 9:2; Mk 2:8Wakaja watu wamembeba mgonjwa aliyepooza kwenye mkeka. Wakajaribu kumwingiza ndani ili wamweke mbele ya Yesu. 19Walipokuwa hawawezi kufanya hivyo kwa sababu ya umati wa watu, wakapanda juu ya paa, wakaondoa baadhi ya matofali, wakamteremsha yule mgonjwa kwa mkeka wake hadi katikati ya ule umati pale mbele ya Yesu.

205:20 Lk 7:48-49Yesu alipoiona imani yao, akamwambia yule mgonjwa, “Rafiki, dhambi zako zimesamehewa.”

215:21 Isa 43:25; Lk 7:49; Yn 5:12Mafarisayo na wale walimu wa sheria wakaanza kuuliza, “Ni nani mtu huyu anayesema maneno ya kukufuru? Ni nani awezaye kusamehe dhambi isipokuwa Mungu peke yake?”

22Yesu akijua mawazo yao akawauliza, “Kwa nini mnawaza hivyo mioyoni mwenu? 23Je, ni lipi lililo rahisi zaidi, kumwambia, ‘Umesamehewa dhambi zako,’ au kusema, ‘Inuka, uende’? 245:24 Mt 8:20Lakini ili mpate kujua kwamba Mwana wa Adamu anayo mamlaka duniani kusamehe dhambi…” Akamwambia yule aliyepooza, “Nakuambia, inuka, chukua mkeka wako, uende nyumbani kwako.” 25Mara yule mtu aliyekuwa amepooza akasimama mbele yao wote, akachukua mkeka wake, akaenda zake nyumbani, huku akimtukuza Mungu. 265:26 Mt 9:8Kila mmoja akashangaa na kumtukuza Mungu. Wakajawa na hofu ya Mungu, wakasema, “Leo tumeona mambo ya ajabu.”

Yesu Amwita Lawi

(Mathayo 9:9-13; Marko 2:13-17)

275:27 Mt 4:19Baada ya haya, Yesu alitoka na kumwona mtoza ushuru mmoja jina lake Lawi akiwa amekaa forodhani, mahali pake pa kutoza ushuru. Akamwambia, “Nifuate.” 285:28 Lk 5:11; Mt 4:19Naye Lawi akaacha kila kitu, akaondoka, akamfuata.

295:29 Lk 15:1Kisha Lawi akamfanyia Yesu karamu kubwa nyumbani kwake, nao umati mkubwa wa watoza ushuru na watu wengine walikuwa wakila pamoja nao. 305:30 Mdo 23:9; Mt 9:11Lakini Mafarisayo na walimu wa sheria waliokuwa wa dhehebu lao wakawalalamikia wanafunzi wa Yesu, wakisema, “Mbona mnakula na kunywa pamoja na watoza ushuru na ‘wenye dhambi’?”

31Yesu akawajibu, “Wenye afya hawahitaji tabibu, bali walio wagonjwa. 325:32 Yn 3:17Sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi wapate kutubu.”

Yesu Aulizwa Kuhusu Kufunga

(Mathayo 9:14-17; Marko 2:18-22)

335:33 Lk 7:18; Yn 1:35; 3:25-26; Mt 14:17; Mk 2:18-22Wakamwambia Yesu, “Wanafunzi wa Yohana na wa Mafarisayo mara kwa mara hufunga na kuomba, lakini wanafunzi wako wanaendelea kula na kunywa.”

345:34 Yn 3:29; Mt 14:17; Mk 2:18-22Yesu akawajibu, “Je, mnaweza kuwafanya wageni wa bwana arusi kufunga wakati yuko pamoja nao? 355:35 Lk 9:22; 7:22; Mt 14:17; Mk 2:18-22Lakini wakati utafika ambapo bwana arusi ataondolewa kwao. Hapo ndipo watakapofunga.”

365:36 Mt 14:17; Mk 2:18-22; Mt 9:16, 17; Mk 2:21, 22Yesu akawapa mfano huu, akawaambia: “Hakuna mtu achanaye kiraka kutoka kwenye nguo mpya na kukishonea kwenye nguo iliyochakaa. Akifanya hivyo, atakuwa amechana nguo mpya, na kile kiraka hakitalingana na ile nguo iliyochakaa. 375:37 Mt 14:17; Mk 2:18-22Hakuna mtu awekaye divai mpya kwenye viriba vikuukuu. Akifanya hivyo, hiyo divai mpya itavipasua hivyo viriba, nayo yote itamwagika. 385:38 Mt 14:17; Mk 2:18-22Divai mpya lazima iwekwe kwenye viriba vipya. 395:39 Mt 14:17; Mk 2:18-22Wala hakuna mtu anayependelea divai mpya baada ya kunywa divai ya zamani, bali husema, ‘Ile ya zamani ni nzuri zaidi.’ ”

New Russian Translation

От Луки 5:1-39

Чудесный улов рыбы

(Мат. 4:18–22; Мк. 1:16–20; Ин. 1:40–42)

1Однажды Иисус стоял у Геннисаретского озера5:1 Геннисаретское озеро. Также называлось Галилейским и Тибериадским., и народ, столпившись вокруг Него, слушал слово Божье. 2Иисус увидел у воды две лодки, которые принадлежали рыбакам, промывавшим невдалеке сети. 3Он вошел в одну из лодок, которая принадлежала Симону, и попросил того отплыть немного от берега. Затем Он сел и стал учить народ из лодки.

4Закончив говорить, Иисус сказал Симону:

— Отплыви на глубокое место и закинь сети для лова.

5Симон ответил:

— Наставник, мы трудились всю ночь и ничего не поймали, но если Ты так говоришь, то я закину сети.

6И когда они сделали это, то поймали столько рыбы, что сети начали рваться. 7Они знаками стали звать на помощь товарищей из другой лодки. Те подплыли, и вместе они наполнили две лодки так, что лодки стали тонуть.

8Увидев это, Симон Петр пал к ногам Иисуса и сказал:

— Уйди от меня, Господи, ведь я человек грешный!

9Он сказал так потому, что его и всех, кто вместе с ним ловил рыбу, объял ужас при виде столь обильного улова. 10Были поражены и товарищи Симона: Иаков и Иоанн, сыновья Зеведея.

Иисус же сказал Симону:

— Не бойся, отныне ты будешь ловить людей.

11И вытащив лодки на берег, они оставили всё и пошли за Ним.

Иисус исцеляет прокаженного

(Мат. 8:2–4; Мк. 1:40–44)

12Однажды, когда Иисус находился в одном из городов, Ему встретился человек, покрытый проказой. Увидев Иисуса, он пал на свое лицо и стал умолять Его:

— Господи, если Ты захочешь, Ты можешь меня очистить.

13Иисус протянул руку и прикоснулся к нему, сказав:

— Хочу, очистись!

Проказа сразу же сошла с него, 14и Иисус предупредил его никому об этом не рассказывать, но повелел:

— Пойди, покажись священнику и принеси жертву за очищение, как это повелел Моисей5:14 См. Лев. 14:1–32.. Так твое исцеление будет удостоверено перед людьми.

15Однако слух об Иисусе распространялся всё шире, и люди толпами шли к Нему, чтобы послушать Его и исцелиться от болезней. 16Иисус же часто уходил в безлюдные места и молился.

Иисус исцеляет парализованного

(Мат. 9:2–8; Мк. 2:3–12)

17Однажды, когда Иисус учил, рядом сидели фарисеи и учители Закона, которые собрались из всех селений Галилеи, Иудеи и из Иерусалима. С Иисусом была сила Господа, чтобы исцелять больных. 18И тут пришли несколько человек, неся на циновке парализованного, и пытались внести его в дом, чтобы положить перед Иисусом. 19Но из-за толпы они не смогли этого сделать, и тогда они поднялись на крышу и, разобрав черепицу, опустили парализованного на циновке в середину толпы, прямо перед Иисусом.

20Увидев их веру, Иисус сказал больному:

— Друг, прощаются тебе твои грехи!

21Фарисеи и учители Закона подумали про себя: «Кто Этот Человек, Который так кощунствует? Кто, кроме одного лишь Бога, может прощать грехи?»

22Узнав, о чем они думают, Иисус ответил им:

— Что у вас за мысли в сердце? 23Что легче, сказать «Прощаются тебе твои грехи» или сказать «Встань и ходи»? 24Но чтобы вы знали, что Сын Человеческий имеет власть на земле прощать грехи…

И тут Он обратился к парализованному человеку:

— Говорю тебе: встань, возьми свою циновку и иди домой.

25Тот сразу же у всех на глазах встал, взял то, на чем лежал, и пошел домой, прославляя Бога. 26Всех охватило изумление, и они прославляли Бога. Объятые страхом, они говорили: «Невероятные вещи видели мы сегодня».

Иисус обедает с грешниками в доме Левия

(Мат. 9:9–13; Мк. 2:14–17)

27Выйдя из этого дома, Иисус увидел сборщика налогов по имени Левий, сидевшего на месте сбора таможенных пошлин.

— Следуй за Мной, — сказал ему Иисус.

28Левий встал, оставил всё и пошел за Ним.

29Потом он устроил у себя дома большой пир для Иисуса. На пир собралось много сборщиков налогов и другого народа. Они возлежали вместе с Иисусом. 30Фарисеи же и учители Закона возмущенно спрашивали учеников Иисуса:

— Почему вы едите и пьете со сборщиками налогов и с грешниками?

31Иисус ответил им:

— Не здоровым нужен врач, а больным. 32Я пришел призвать к покаянию не праведников, а грешников.

Религиозные вожди спрашивают Иисуса о посте

(Мат. 9:14–17; Мк. 2:18–22)

33Тогда они сказали Иисусу:

— Ученики Иоанна и фарисеев часто постятся и молятся, а Твои ученики — едят и пьют.

34Иисус им ответил:

— Разве можно заставить гостей на свадьбе поститься, пока с ними жених? 35Но наступит время, когда жених будет взят от них, вот тогда, в те дни, они и будут поститься.

36Он также рассказал им притчу:

— Никто не пришивает заплату к старому плащу, оторвав для этого кусок от нового. Если он это сделает, то он и новый плащ испортит, и к старому заплата не подойдет. 37И никто не наливает молодое вино в старые бурдюки, иначе молодое вино прорвет их — оно вытечет, а бурдюки пропадут. 38Нет, молодое вино льют в новые бурдюки. 39И никто, пьющий старое вино, не захочет молодого, потому что скажет: «Старое лучше».