Kumbukumbu 20 – NEN & CCBT

Kiswahili Contemporary Version

Kumbukumbu 20:1-20

Kwenda Vitani

120:1 Za 20:7; Isa 31:1; Hes 14:9; Kum 3:22; 1Sam 17:45; Isa 41:10; 2Nya 32:7-8; Hes 23:21; Kum 31:6, 8; 2Nya 13:12; 32:7, 8Mtakapokwenda vitani kupigana na adui zenu na mkaona farasi na magari ya vita na jeshi kubwa kuliko lenu, msiwaogope, kwa sababu Bwana Mungu wenu aliyewatoa kutoka Misri, atakuwa pamoja nanyi. 2Wakati mtakapokaribia kwenda vitani, kuhani atakuja mbele na kuhutubia jeshi. 320:3 1Sam 17:32; Ay 23:16; Za 22:14; Isa 7:4; 35:4; Yer 51:46Atasema: “Sikia, ee Israeli, leo unakwenda vitani kupigana na adui zako. Usife moyo wala usiogope, usitishwe wala usitiwe hofu mbele yao. 420:4 2Nya 20:14-22; Kut 14:14; 1Nya 5:22; Neh 4:20; Amu 12:3; 15:18; Za 44:7; 144:10; Kum 1:30Kwa kuwa Bwana Mungu wenu ndiye huenda pamoja nanyi kuwapigania dhidi ya adui zenu na kuwapatia ushindi.”

520:5 Neh 12:27Maafisa wataliambia jeshi: “Je, kuna yeyote aliyejenga nyumba mpya ambayo haijawekwa wakfu? Yeye na arudi nyumbani, ama sivyo anaweza kufa vitani na mtu mwingine akaiweka wakfu. 620:6 Yer 31:5; Eze 28:26; Mik 1:6; 1Kor 9:7Je, kuna yeyote aliyepanda shamba la mizabibu na hajaanza kulifurahia? Yeye na arudi nyumbani, au sivyo anaweza kufa vitani na mtu mwingine akalifurahia. 720:7 Kum 24:5; Mit 5:18Je, kuna yeyote aliyeposa mwanamke na hajamwoa? Yeye na arudi nyumbani, ama sivyo anaweza kufa vitani na mtu mwingine akamwoa.” 820:8 Amu 7:3Kisha maafisa wataongeza haya, “Je, kuna mtu anayeogopa ama kufa moyo? Yeye na arudi nyumbani ili ndugu zake nao wasije wakafa moyo pia.” 9Wakati maafisa watakapomaliza kuzungumza na jeshi, watawateua wakuu wa vikosi.

1020:10 Kum 2:26; Lk 14:31-32; 2Sam 20:18-20Wakati mtakapokwenda kushambulia mji, wapeni watu wake masharti ya amani. 1120:11 2Fal 6:22; 1Fal 9:21; 1Nya 22:2; Isa 31:7Wakikubali na kuwafungulia malango yao, watu wake wote watawatumikia kwa kufanya kazi ngumu na watawatumikia. 12Ikiwa watakataa kufanya mapatano ya amani na wakiwaingiza katika vita, basi mtauzunguka mji huo kwa vita. 1320:13 Hes 31:7Wakati Bwana Mungu wenu atakapouweka mji huo mkononi mwenu, waueni kwa upanga wanaume wote waliomo ndani yake. 1420:14 Yos 8:2; 22:8; Hes 31:11; 31:53Kwa upande wa wanawake, watoto, mifugo na kila kitu kingine chochote ndani ya huo mji, mnaweza kuvichukua kama nyara kwa ajili yenu. Nanyi mnaweza kuzitumia hizo nyara ambazo Bwana Mungu wenu amewapa kutoka kwa adui zenu. 1520:15 Yos 9:9Hivi ndivyo mtakavyofanya kwa miji yote ambayo iko mbali nanyi, ambayo haimilikiwi na mataifa ya karibu.

1620:16 Kut 23:31-33; Hes 21:2-3; Kum 7:2; Yos 6:21; 10:1; 11:14Hata hivyo, katika miji ya mataifa ambayo Bwana Mungu wenu anawapa kama urithi, msiache kitu chochote hai kinachopumua. 17Waangamizeni kabisa Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi, kama Bwana Mungu wenu alivyowaamuru. 1820:18 Kut 34:16; 10:7; 23:33; Kum 12:30-31; Yos 23:12-13; 1Kor 15:33; 2Fal 21:3, 15; Za 106:34-41; Hos 8:11La sivyo, watawafundisha kufuata mambo yote ya machukizo wanayofanya wakiabudu miungu yao, nanyi mtatenda dhambi dhidi ya Bwana Mungu wenu.

19Wakati mtakapouzunguka mji kwa vita kwa muda mrefu, mkipigana dhidi yake ili kuuteka, msiharibu miti yake kwa kuikata kwa shoka, kwa sababu mtaweza kula matunda yake. Hivyo msiikate. Je, miti hiyo ya mashambani ni watu, hata muizingire? 20Hata hivyo, mnaweza kuikata miti ambayo sio miti ya matunda na kuitumia kujenga ngome, mpaka mji ulio katika vita na ninyi utakapoanguka.

Chinese Contemporary Bible 2023 (Traditional)

申命記 20:1-20

交戰的條例

1「你們和敵人交戰時,面對比你們強大的軍隊及戰車戰馬,不要害怕,因為你們的上帝耶和華與你們同在,祂曾帶你們出埃及2你們出戰之前,祭司要上前鼓舞士氣, 3說,『以色列人啊,聽著!今天你們要和敵人交戰,不要膽小害怕,也不要驚慌失措。 4因為你們的上帝耶和華要與你們同去,為你們爭戰,使你們戰勝仇敵。』 5官長要對士兵說,『你們誰建了新房子還沒有舉行奉獻禮20·5 「舉行奉獻禮」指入住前舉行的儀式。?他可以回家去,以免他陣亡了,別人為他的房子舉行奉獻禮。 6誰栽種了葡萄園還沒有享受過園中的果子?他可以回家去,以免他陣亡了,別人享受他園中的果子。 7誰訂了親還沒有迎娶?他可以回家去,以免他陣亡了,別人娶他的未婚妻。』 8官長也要告訴士兵,『有沒有膽怯、害怕的?他可以回家去,免得影響他人士氣。』 9他們講完後,就要委派將領率軍出戰。

攻城之略

10「你們進攻一座城之前,要先給城中居民求和的機會。 11如果他們開城求和,城裡所有人都要做你們的奴隸,為你們服勞役。 12如果他們不肯求和,要交戰,你們就要圍攻那城。 13你們的上帝耶和華把城交給你們時,你們要用刀殺光城裡所有的男子, 14但可以留下城中的婦女、孩童、牲畜及其他一切作戰利品。你們可以享用仇敵的財物,那是你們的上帝耶和華賜給你們的。 15上述做法只適用於離你們很遙遠的城邑,你們附近各族的城邑除外。 16你們的上帝耶和華將把你們附近各族的城邑賜給你們作產業,你們要將裡面有氣息的全部消滅。 17要遵照你們的上帝耶和華的吩咐,徹底滅絕人、亞摩利人、迦南人、比利洗人、希未人和耶布斯人, 18免得他們將祭拜自己神明的可憎習俗傳給你們,以致你們得罪你們的上帝耶和華。

19「你們圍攻一座城久攻不下時,不可用斧頭砍掉那裡的樹木,因為你們可以吃樹上的果子。田間的樹木豈是人,讓你們圍攻嗎? 20但你們可以砍那些不結果子的樹來建圍城的工事,直到攻陷為止。