164:1 Kut 19:18; Mik 1:3; Za 18:9Laiti ungelipasua mbingu na kushuka chini,
ili milima ingelitetemeka mbele zako!
264:2 Za 119:120; Yer 5:22; Isa 30:27; Yer 33:9Kama vile moto uteketezavyo vijiti
na kusababisha maji kuchemka,
shuka ukafanye jina lako lijulikane kwa adui zako,
na kusababisha mataifa yatetemeke mbele zako!
364:3 Za 65:5; 18:7Kwa maana ulipofanya mambo ya kutisha ambayo hatukuyatazamia,
ulishuka, nayo milima ikatetemeka mbele zako.
464:4 Za 31:19; Isa 30:18; 1Kor 2:9-10; Kol 1:26-27; Isa 43:10-11; 30:18Tangu nyakati za zamani hakuna yeyote aliyesikia,
hakuna sikio lililotambua,
hakuna jicho lililomwona Mungu mwingine ila wewe,
anayetenda mambo kwa ajili ya wale wamngojeao.
564:5 Isa 26:8; Mdo 10:35; Isa 10:4Uliwasaidia watu wale watendao yaliyo haki kwa furaha,
wale wazikumbukao njia zako.
Lakini wakati tulipoendelea kutenda dhambi kinyume na njia zako,
ulikasirika.
Tutawezaje basi kuokolewa?
664:6 Isa 46:12; Za 90:5-6; Yer 4:12; Law 12:2Sisi sote tumekuwa kama mtu aliye najisi,
nayo matendo yetu yote ya uadilifu ni kama matambaa machafu;
sisi sote tunasinyaa kama jani,
na kama upepo maovu yetu hutupeperusha.
764:7 Eze 22:30; Yer 8:6; Isa 9:18; Eze 22:18-22; Isa 41:28; Kum 31:18; Za 14:4Hakuna yeyote anayeliitia jina lako
wala anayejitahidi kukushika,
kwa kuwa umetuficha uso wako
na kutuacha tudhoofike kwa sababu ya dhambi zetu.
864:8 Yer 18:6; Kut 4:22; Isa 63:16; 29:16; Yer 3:4; Rum 9:20-21; Ay 10:3Lakini, Ee Bwana, wewe ndiwe Baba yetu.
Sisi ni udongo, wewe ndiye mfinyanzi;
sisi sote tu kazi ya mkono wako.
964:9 Isa 54:8; Mao 5:22; Isa 43:25; Za 100:3; Isa 51:4; 57:17Ee Bwana, usikasirike kupita kiasi,
usizikumbuke dhambi zetu milele.
Ee Bwana, utuangalie, twakuomba,
kwa kuwa sisi sote tu watu wako.
1064:10 Za 78:54; Isa 1:26; Kum 29:23Miji yako mitakatifu imekuwa jangwa;
hata Sayuni ni jangwa, Yerusalemu ni ukiwa.
1164:11 2Fal 25:9; Eze 24:21; Mao 1:7-10Hekalu letu takatifu na tukufu, mahali ambapo baba zetu walikusifu wewe,
limechomwa kwa moto,
navyo vitu vyote tulivyovithamini vimeharibika.
1264:12 Mwa 43:31; Za 74:10-11; Es 4:14; Za 50:21Ee Bwana, baada ya haya yote, utajizuia?
Je, utanyamaza kimya na kutuadhibu kupita kiasi?
1¡Oh, si rasgaras los cielos y descendieras!
¡Las montañas temblarían ante ti,
2como cuando el fuego enciende la leña
y hace que hierva el agua!
Así darías a conocer tu nombre entre tus enemigos,
y ante ti temblarían las naciones.
3Hiciste maravillas asombrosas cuando descendiste;
ante tu presencia temblaron las montañas.
4Fuera de ti, desde tiempos antiguos
nadie ha escuchado ni percibido,
ni ojo alguno ha visto,
a un Dios que como tú actúe en favor de quienes en él esperan.
5Sales al encuentro de los que, alegres,
practican la justicia y recuerdan tus caminos.
Pero te enojas si persistimos
en desviarnos de ellos.64:5 te enojas … de ellos. Frase de difícil traducción.
¿Cómo podremos ser salvos?
6Todos somos como gente impura;
todos nuestros actos de justicia son como trapos de inmundicia.
Todos nos marchitamos como hojas;
nuestras iniquidades nos arrastran como el viento.
7Nadie invoca tu nombre
ni se esfuerza por aferrarse a ti.
Pues nos has dado la espalda
y nos has entregado64:7 entregado (LXX, Targum y Siríaca); derretido (TM). en poder de nuestras iniquidades.
8A pesar de todo, Señor, tú eres nuestro Padre;
nosotros somos el barro y tú el alfarero.
Todos somos obra de tu mano.
9No te enojes demasiado, Señor;
no te acuerdes siempre de nuestras iniquidades.
¡Considera, por favor,
que todos somos tu pueblo!
10Tus ciudades santas han quedado devastadas
y hasta Sión se ha vuelto un desierto;
Jerusalén ha quedado en ruinas.
11Nuestro santo y glorioso Templo, donde te alababan nuestros antepasados,
ha sido devorado por el fuego.
Ha quedado en ruinas todo lo que más queríamos.
12Ante todo esto, Señor, ¿no vas a hacer nada?
¿Vas a guardar silencio y afligirnos sin medida?