Isaya 64 – NEN & NIV

Kiswahili Contemporary Version

Isaya 64:1-12

164:1 Kut 19:18; Mik 1:3; Za 18:9Laiti ungelipasua mbingu na kushuka chini,

ili milima ingelitetemeka mbele zako!

264:2 Za 119:120; Yer 5:22; Isa 30:27; Yer 33:9Kama vile moto uteketezavyo vijiti

na kusababisha maji kuchemka,

shuka ukafanye jina lako lijulikane kwa adui zako,

na kusababisha mataifa yatetemeke mbele zako!

364:3 Za 65:5; 18:7Kwa maana ulipofanya mambo ya kutisha ambayo hatukuyatazamia,

ulishuka, nayo milima ikatetemeka mbele zako.

464:4 Za 31:19; Isa 30:18; 1Kor 2:9-10; Kol 1:26-27; Isa 43:10-11; 30:18Tangu nyakati za zamani hakuna yeyote aliyesikia,

hakuna sikio lililotambua,

hakuna jicho lililomwona Mungu mwingine ila wewe,

anayetenda mambo kwa ajili ya wale wamngojeao.

564:5 Isa 26:8; Mdo 10:35; Isa 10:4Uliwasaidia watu wale watendao yaliyo haki kwa furaha,

wale wazikumbukao njia zako.

Lakini wakati tulipoendelea kutenda dhambi kinyume na njia zako,

ulikasirika.

Tutawezaje basi kuokolewa?

664:6 Isa 46:12; Za 90:5-6; Yer 4:12; Law 12:2Sisi sote tumekuwa kama mtu aliye najisi,

nayo matendo yetu yote ya uadilifu ni kama matambaa machafu;

sisi sote tunasinyaa kama jani,

na kama upepo maovu yetu hutupeperusha.

764:7 Eze 22:30; Yer 8:6; Isa 9:18; Eze 22:18-22; Isa 41:28; Kum 31:18; Za 14:4Hakuna yeyote anayeliitia jina lako

wala anayejitahidi kukushika,

kwa kuwa umetuficha uso wako

na kutuacha tudhoofike kwa sababu ya dhambi zetu.

864:8 Yer 18:6; Kut 4:22; Isa 63:16; 29:16; Yer 3:4; Rum 9:20-21; Ay 10:3Lakini, Ee Bwana, wewe ndiwe Baba yetu.

Sisi ni udongo, wewe ndiye mfinyanzi;

sisi sote tu kazi ya mkono wako.

964:9 Isa 54:8; Mao 5:22; Isa 43:25; Za 100:3; Isa 51:4; 57:17Ee Bwana, usikasirike kupita kiasi,

usizikumbuke dhambi zetu milele.

Ee Bwana, utuangalie, twakuomba,

kwa kuwa sisi sote tu watu wako.

1064:10 Za 78:54; Isa 1:26; Kum 29:23Miji yako mitakatifu imekuwa jangwa;

hata Sayuni ni jangwa, Yerusalemu ni ukiwa.

1164:11 2Fal 25:9; Eze 24:21; Mao 1:7-10Hekalu letu takatifu na tukufu, mahali ambapo baba zetu walikusifu wewe,

limechomwa kwa moto,

navyo vitu vyote tulivyovithamini vimeharibika.

1264:12 Mwa 43:31; Za 74:10-11; Es 4:14; Za 50:21Ee Bwana, baada ya haya yote, utajizuia?

Je, utanyamaza kimya na kutuadhibu kupita kiasi?

New International Version

Isaiah 64:1-12

In Hebrew texts 64:1 is numbered 63:19b, and 64:2-12 is numbered 64:1-11. 1Oh, that you would rend the heavens and come down,

that the mountains would tremble before you!

2As when fire sets twigs ablaze

and causes water to boil,

come down to make your name known to your enemies

and cause the nations to quake before you!

3For when you did awesome things that we did not expect,

you came down, and the mountains trembled before you.

4Since ancient times no one has heard,

no ear has perceived,

no eye has seen any God besides you,

who acts on behalf of those who wait for him.

5You come to the help of those who gladly do right,

who remember your ways.

But when we continued to sin against them,

you were angry.

How then can we be saved?

6All of us have become like one who is unclean,

and all our righteous acts are like filthy rags;

we all shrivel up like a leaf,

and like the wind our sins sweep us away.

7No one calls on your name

or strives to lay hold of you;

for you have hidden your face from us

and have given us over to64:7 Septuagint, Syriac and Targum; Hebrew have made us melt because of our sins.

8Yet you, Lord, are our Father.

We are the clay, you are the potter;

we are all the work of your hand.

9Do not be angry beyond measure, Lord;

do not remember our sins forever.

Oh, look on us, we pray,

for we are all your people.

10Your sacred cities have become a wasteland;

even Zion is a wasteland, Jerusalem a desolation.

11Our holy and glorious temple, where our ancestors praised you,

has been burned with fire,

and all that we treasured lies in ruins.

12After all this, Lord, will you hold yourself back?

Will you keep silent and punish us beyond measure?