152:1 Isa 51:9; Es 6:8; Ufu 21:2; Yoe 3:17; Zek 3:4; Isa 49:18; Kut 28:2, 40; Neh 1:1Amka, amka, ee Sayuni,
jivike nguvu.
Vaa mavazi yako ya fahari,
ee Yerusalemu, mji mtakatifu.
Asiyetahiriwa na aliye najisi
hataingia kwako tena.
252:2 Zek 2:7; Isa 29:4; 10:27; Za 81:9; 9:14Jikungʼute mavumbi yako,
inuka, uketi kwenye kiti cha enzi, ee Yerusalemu.
Jifungue minyororo iliyo shingoni mwako,
ee Binti Sayuni uliye mateka.
352:3 Za 44:12; Isa 45:13; 1:27; 1Pet 1:18Kwa kuwa hili ndilo asemalo Bwana:
“Mliuzwa pasipo malipo,
nanyi mtakombolewa bila fedha.”
452:4 Mwa 46:6; Isa 10:24Kwa maana hili ndilo asemalo Bwana Mwenyezi:
“Hapo kwanza watu wangu walishuka Misri kuishi,
hatimaye, Ashuru wakawaonea.
552:5 Eze 36:20; Rum 2:24; Isa 37:23“Basi sasa nina nini hapa?” asema Bwana.
“Kwa kuwa watu wangu wamechukuliwa pasipo malipo,
nao wale wanaowatawala wanawadhihaki,”
asema Bwana.
“Mchana kutwa
jina langu limetukanwa bila kikomo.
652:6 Isa 49:23; Kut 6:3; Isa 41:26; 10:20Kwa hiyo watu wangu watalijua Jina langu;
kwa hiyo katika siku ile watajua
kwamba ndimi niliyetangulia kulisema.
Naam, ni mimi.”
752:7 2Sam 18:26; Rum 10:15; 1Kor 15:24-25; Lk 2:14; Isa 42:11; 40:9; Efe 6:15Tazama jinsi miguu ya wale waletao habari njema
ilivyo mizuri juu ya milima,
wale wanaotangaza amani,
wanaoleta habari njema,
wanaotangaza wokovu,
wauambiao Sayuni,
“Mungu wako anatawala!”
852:8 Sef 3:9; Eze 3:17; 1Sam 14:16; Isa 56:10; Yer 6:17; Hes 10:36; Zek 8:3Sikiliza! Walinzi wako wanapaza sauti zao,
pamoja wanapaza sauti zao kwa furaha.
Wakati Bwana atakaporejea Sayuni,
wataliona kwa macho yao wenyewe.
952:9 Za 98:4; Isa 35:2; Za 74:3; Isa 48:20; Ezr 9:9; Lk 2:25; Isa 51:3Pazeni sauti ya nyimbo za furaha pamoja,
enyi magofu ya Yerusalemu,
kwa maana Bwana amewafariji watu wake,
ameikomboa Yerusalemu.
1052:10 Lk 2:30; Za 67:2; Isa 66:18; 2Nya 32:8; Za 44:3; Isa 30:30; Yos 4:24Mkono mtakatifu wa Bwana umefunuliwa
machoni pa mataifa yote,
nayo miisho yote ya dunia itaona
wokovu wa Mungu wetu.
1152:11 Yer 50:8; 2Kor 6:17; Hes 8:6; 2Tim 2:9; Isa 1:16; 2Nya 36:10; Isa 48:20Ondokeni, ondokeni, tokeni huko!
Msiguse kitu chochote kilicho najisi!
Tokeni kati yake mwe safi,
ninyi mchukuao vyombo vya Bwana.
1252:12 Kut 14:19; 12:11; Mik 2:13; Yn 10:4Lakini hamtaondoka kwa haraka,
wala hamtakwenda kwa kukimbia;
kwa maana Bwana atatangulia mbele yenu,
Mungu wa Israeli atakuwa mlinzi nyuma yenu.
Mateso Na Utukufu Wa Mtumishi
1352:13 Isa 53:3; Mdo 3:13; Yos 1:8; Isa 20:3; 57:15; Flp 2:9Tazama, mtumishi wangu atatenda kwa hekima;
atatukuzwa, na kuinuliwa juu, na kukwezwa sana.
1452:14 Law 26:32; Ay 2:12; 16:16; 18:20; 2Sam 10:4Kama walivyokuwa wengi
walioshangazwa naye,
kwani uso wake ulikuwa umeharibiwa sana
zaidi ya mtu yeyote
na umbo lake kuharibiwa
zaidi ya mfano wa mwanadamu:
1552:15 Ebr 9:13; Rum 15:21; Efe 3:4-5; Za 107:42; Amu 18:19; Law 14:7; 16:14-15hivyo atayashangaza mataifa mengi,
nao wafalme watafunga vinywa vyao kwa sababu yake.
Kwa kuwa yale ambayo hawakuambiwa, watayaona,
nayo yale wasiyoyasikia, watayafahamu.
錫安必獲救
1錫安啊,醒來吧,醒來吧,展示你的能力!
聖城耶路撒冷啊,
穿上你華美的衣服!
從今以後,
未受割禮和不潔淨的人必不得再進城。
2耶路撒冷啊,抖掉身上的灰塵,
起來,坐到寶座上!
被擄的少女錫安啊,
卸去你頸上的鎖鏈!
3耶和華說:「你們被賣未得分文,你們被贖回也不需分文。」 4主耶和華說:「起先我的子民到埃及寄居,後來亞述人無緣無故地欺壓他們。」 5耶和華說:「如今,我這裡還有什麼呢?我的子民白白地被擄去,轄制他們的人咆哮大叫,我的名整天被褻瀆。 6然而,我的子民終會認識我的名。到那日,他們就會知道是我對他們說的,看啊,是我。」
7那穿山越嶺之人的腳蹤是何等佳美!
他帶來佳音,報告平安,
傳遞喜訊,宣揚救恩,
對錫安說:「你的上帝做王了。」
8聽啊,你的守望者高聲呼喊,
他們在一同歡呼,
因為耶和華回到錫安的時候,
他們必親眼看見。
9耶路撒冷的荒場啊,
你們要一同歡呼歌唱,
因為耶和華安慰了祂的子民,
救贖了耶路撒冷。
10耶和華向萬國施展祂的聖臂,
普天下將看見我們上帝的救恩。
11離開吧,離開吧,
離開巴比倫吧!
不要沾染不潔之物。
你們抬耶和華器具的人啊,
要從那裡出來,保持潔淨。
12你們不用匆忙離開,
也不用奔逃,
因為耶和華必走在你們前面,
以色列的上帝必作你們的後盾。
13看啊,我的僕人行事睿智,
必被提升,受到尊崇,升為至高。
14許多人看見祂就詫異,
祂的面容毀得不成人樣,
祂的樣貌傷得不成人形。
15祂必洗淨許多國家,
君王必因祂而閉口無言。
因為他們將看見未曾聽過的事,
明白聞所未聞的事。