Isaya 43 – NEN & CCBT

Kiswahili Contemporary Version

Isaya 43:1-28

Mwokozi Pekee Wa Israeli

143:1 Mwa 2:7; 32:28; Isa 45:3-4; Kut 6:6; Isa 42:6; 27:11; Ay 19:25Lakini sasa hili ndilo asemalo Bwana,

yeye aliyekuumba, ee Yakobo,

yeye aliyekuhuluku, ee Israeli:

“Usiogope kwa maana nimekukomboa,

nimekuita wewe kwa jina lako, wewe u wangu.

243:2 Mwa 26:3; Kum 31:6-8; Isa 30:27; 8:7; Dan 3:25-27; Kut 14:22; Isa 29:6Unapopita kwenye maji makuu,

nitakuwa pamoja nawe,

unapopita katika mito ya maji,

hayatakugharikisha.

Utakapopita katika moto,

hutaungua,

miali ya moto haitakuunguza.

343:3 Mit 21:18; Kut 30:2; Isa 20:3; Mwa 10:7; Eze 29:20; Za 68:31; Amu 2:18; Kut 14:30Kwa kuwa Mimi ndimi Bwana, Mungu wako,

yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli, Mwokozi wako.

Ninaitoa Misri kuwa fidia yako,

Kushi na Seba badala yako.

443:4 Isa 63:9; Ufu 3:9; Kut 19:5-6; Isa 49:5Kwa kuwa wewe ni wa thamani na wa kuheshimiwa machoni pangu,

nami kwa kuwa ninakupenda,

nitatoa watu badala yako

na mataifa badala ya maisha yako.

543:5 Isa 44:2; Mwa 21:22; Kut 14:22; Mdo 18:10; Yer 30:10-11; Mt 8:11; Zek 8:7; Isa 24:14Usiogope, kwa kuwa mimi nipo pamoja nawe,

nitawaleta watoto wako kutoka mashariki,

na kukukusanya kutoka magharibi.

643:6 Eze 16:61; 2Kor 6:18; Eze 36:24; Yer 23:8; Kum 30:4; Isa 60:4; 11:12Nitaiambia kaskazini, ‘Watoe!’

nayo kusini, ‘Usiwazuie.’

Walete wana wangu kutoka mbali,

na binti zangu kutoka miisho ya dunia:

743:7 Yak 2:7; Isa 29:23; Yer 15:16; Efe 2:10; Isa 56:5; 62:2; 63:19; Za 89:9kila mmoja ambaye ameitwa kwa Jina langu,

niliyemuumba kwa utukufu wangu,

niliyemhuluku na kumfanya.”

843:8 Isa 6:9-10; 42:20; Eze 12:2Uwaongoze wale wenye macho lakini hawaoni,

wenye masikio lakini hawasikii.

943:9 Isa 45:20; 48:14; 41:26Mataifa yote yanakutanika pamoja,

na makabila yanakusanyika.

Ni nani miongoni mwao aliyetangulia kutuambia haya,

na kututangazia mambo yaliyopita?

Walete mashahidi wao ili kuwathibitisha kuwa walikuwa sahihi,

ili wengine waweze kusikia, waseme, “Ni kweli.”

1043:10 Isa 41:8-9; 19:21; Za 86:10; Yer 14:22; Yos 24:22; Kum 4:35; Isa 45:5-6, 14“Ninyi ni mashahidi wangu,” asema Bwana,

“na mtumishi wangu niliyemchagua,

ili mpate kunijua na kuniamini,

na kutambua kwamba Mimi ndiye.

Kabla yangu hakuna mungu aliyefanyizwa,

wala hatakuwepo mwingine baada yangu.

1143:11 Isa 42:8; Za 18:31; Isa 25:9; 63:4; Kut 6:2Mimi, naam mimi, ndimi Bwana,

zaidi yangu hakuna mwokozi.

1243:12 Kum 32:16; Za 81:9; Isa 44:8Nimedhihirisha, kuokoa na kutangaza:

Mimi, wala si mungu mgeni katikati yenu.

Ninyi ni mashahidi wangu,” asema Bwana,

“kwamba Mimi ndimi Mungu.

1343:13 Hes 23:8; Ay 9:12; Za 90:2; Mit 8:23; Kum 32:39; Isa 48:12Naam, tangu siku za kale, Mimi ndiye.

Hakuna hata mmoja awezaye kuokoa

kutoka mkononi wangu.

Mimi ninapotenda,

ni nani awezaye kutangua?”

Huruma Za Mungu, Na Kukosa Uaminifu Kwa Israeli

1443:14 Isa 13:14-15; 23:13; Kut 15:13; Ay 19:25; Isa 41:20Hili ndilo Bwana asemalo,

Mkombozi wako, yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli:

“Kwa ajili yenu nitatumana Babeli

na kuwaleta Wakaldayo wote kama wakimbizi,

katika meli walizozionea fahari.

1543:15 Isa 42:8; 27:11; 45:11; 41:21Mimi ndimi Bwana, yeye Aliye Mtakatifu wako,

Muumba wa Israeli, Mfalme wako.”

1643:16 Kut 14:29; Za 77:19; Kut 15:8; Isa 11:15Hili ndilo asemalo Bwana,

yeye aliyefanya njia baharini,

mahali pa kupita kwenye maji mengi,

1743:17 Za 118:12; Kut 14:4-9, 22; Za 76:5-6; Ay 13:25; Yer 51:21; Eze 38:4aliyeyakokota magari ya vita na farasi,

jeshi pamoja na askari wa msaada,

nao wakalala huko, wala hawatainuka tena kamwe,

wakakomeshwa, na wakazimika kama utambi:

1843:18 Isa 41:22“Msiyakumbuke mambo yaliyopita,

wala msiyatafakari mambo ya zamani.

1943:19 Hes 20:11; Yer 23:8-9; Ufu 21:5; Isa 40:3; 41:22; Yer 16:14-15; 2Kor 5:17; Isa 35:7Tazama, nitafanya jambo jipya!

Sasa litachipuka, je, hamtalitambua?

Nitafanya njia jangwani

na vijito vya maji katika nchi kame.

2043:20 Hes 20:8; Isa 48:21; 41:17; Za 148:10; Isa 13:22Wanyama wa mwituni wataniheshimu,

mbweha na bundi,

kwa sababu ninawapatia maji jangwani,

na vijito katika nchi kame,

ili kuwapa watu wangu maji, wale niliowachagua,

2143:21 Za 66:2; 1Pet 2:9; Mwa 2:7; Mal 3:17; Za 102:18watu wale niliowaumba kwa ajili yangu,

ili wapate kutangaza sifa zangu.

22“Hata hivyo hukuniita mimi, ee Yakobo,

hujajitaabisha kwa ajili yangu, ee Israeli.

2343:23 Zek 7:5-6; Kut 30:35; Yer 7:22; Amo 5:25; Kut 29:41; Mik 6:3; Mal 1:12-13Hujaniletea kondoo kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa,

wala kuniheshimu kwa dhabihu zako.

Sikukulemea kwa sadaka za nafaka

wala kukuchosha kwa kuhitaji uvumba.

2443:24 Kut 30:23; Mal 2:17; Isa 7:13; Yer 8:21; Law 3:9; Yer 44:22Hukuninunulia uvumba wowote wenye manukato,

wala hukunipa kwa ukarimu

mafuta ya wanyama wa dhabihu zako.

Lakini umenilemea kwa dhambi zako,

na kunitaabisha kwa makosa yako.

2543:25 2Sam 12:13; Lk 5:21; Eze 20:44; Yer 31:34; Ay 7:21; 2Nya 6:21; Isa 64:9“Mimi, naam mimi, ndimi nizifutaye dhambi zako,

kwa ajili yangu mwenyewe,

wala sizikumbuki dhambi zako tena.

2643:26 Isa 1:18; 41:1; 49:25; 50:8Tafakari mambo yaliyopita,

njoo na tuhojiane,

leta shauri lako uweze kupewa haki yako.

2743:27 Rum 5:12; Isa 28:7; Yer 5:31; Mwa 12:18; Isa 9:15; 24:20Baba yako wa kwanza alitenda dhambi,

wasemaji wako wameasi dhidi yangu.

2843:28 Eze 5:15; Za 39:8; Hes 5:27; Kum 13:15; Isa 42:24; Zek 5:3; Yer 24:9Kwa hiyo nitawaaibisha wakuu wa Hekalu lako,

nami nitamtoa Yakobo aangamizwe,

na Israeli adhihakiwe.

Chinese Contemporary Bible 2023 (Traditional)

以賽亞書 43:1-28

以色列的唯一救主

1雅各啊,以色列啊,創造你、使你成形的耶和華說:

「不要害怕,因為我已經救贖了你;

我點名呼召了你,你屬於我。

2你穿越洪濤,我必與你同在;

你渡過江河,必不會被水淹沒;

你在火中走過,必不會被燒傷,

火焰不會燒到你身上。

3因為我是你的上帝耶和華,

以色列的聖者,是你的救主。

我用埃及作你的贖價,

使古實西巴代替你。

4我珍視你,看重你,深愛你,

所以我用他人代替你,

用列邦交換你的生命。

5不要害怕,因為我與你同在,

我必從東方帶來你的子孫,

從西方召集你。

6我要對北方說,『交出來!』

對南方說,『不要扣留!』

要從遠方把我的兒子們帶來,

從地極把我的女兒們領回。

7所有屬於我的人都要回來,

我為自己的榮耀創造了他們,

我使他們成形並塑造了他們。

8「要把那些有眼看不見、

有耳聽不見的人帶出來。

9讓萬國聚集,列邦會合。

他們哪個神明曾啟示這事?

誰預先向我們顯明要發生的事?

他們可以找證人來證實,

好叫聽見的人都說這是真的。

10耶和華說:

以色列人啊,你們是我的證人,

是我揀選的僕人,

要叫你們認識我,相信我,

明白我是耶和華。

在我以前沒有上帝,

在我以後也沒有。

11我,唯獨我是耶和華,

除我以外沒有別的救主。

12我曾啟示,我曾拯救,

我曾宣告,

你們中間沒有別的神明。

我是上帝,你們是我的證人。』

這是耶和華說的。

13『我從太初就是上帝。

無人能逃脫我的手。

誰能逆轉我所做的呢?』」

14你們的救贖主耶和華——以色列的聖者說:

「為了你們的緣故,

我必派大軍進攻巴比倫

使迦勒底人坐著他們引以為榮的船逃亡。

15我是你們的聖者耶和華,

以色列的創造主,

是你們的君王。」

16耶和華曾在大海中開道路,

在大水中闢路徑。

17祂使埃及的戰車、馬匹、

軍兵和勇士傾巢而出,

他們一同倒下,不再起來,

像熄滅的燈火一樣滅沒。

18耶和華說:

「不要想念過去,

不要緬懷往事。

19看啊,我要行一件新事,

這事現在就要發生,

難道你們沒有察覺嗎?

我要在曠野闢道路,

在沙漠開江河。

20野獸必尊崇我,

其中有豺狼和鴕鳥,

因為我使曠野有甘泉,

使沙漠有江河,

供我揀選的子民飲用。

21他們是我為自己所造的子民,

他們要頌揚我。

22雅各啊,你卻沒有求告我;

以色列啊,你竟然厭煩我。

23你沒有帶來作燔祭的羊,

也沒有用祭物來尊崇我。

我沒有讓你因祭物而受累,

也沒有讓你因香料而煩擾。

24你並沒有花錢買菖蒲獻給我,

也沒有用祭物的脂肪滿足我,

反而使我因你的罪惡而受累,

因你的過犯而煩擾。

25「我,唯獨我為自己的緣故,

除去你的過犯,忘掉你的罪惡。

26你儘管提醒我,你我可以理論,

你可以提出理由證明自己的清白。

27你的始祖犯了罪,

你的首領也背叛了我。

28所以我要羞辱你聖殿的官長,

使雅各遭毀滅,

使以色列受辱罵。