Israeli Kuvuna Kisulisuli
18:1 Kum 28:49; Yer 4:13; 11:10; Hos 4:6; 6:7; Hes 10:2; Eze 33:3“Wekeni tarumbeta midomoni mwenu!
Tai yuko juu ya nyumba ya Bwana
kwa sababu watu wamevunja Agano langu,
wameasi dhidi ya sheria yangu.
28:2 Za 78:34; Mt 7:21Israeli ananililia,
‘Ee Mungu wetu, tunakukubali!’
38:3 Mt 7:23; Tit 1:16Lakini Israeli amekataa lile lililo jema,
adui atamfuatia.
48:4 Hos 2:8; 13:1-2, 10; Mt 7:21; 1Fal 12:16-20; 2Fal 15:13, 17, 25Wanaweka wafalme bila idhini yangu,
wamechagua wakuu bila kibali changu.
Kwa fedha zao na dhahabu
wamejitengenezea sanamu kwa ajili
ya maangamizi yao wenyewe.
58:5 Hos 10:5; Yer 13:27; Hos 8:6Ee Samaria, tupilieni mbali sanamu yenu ya ndama!
Hasira yangu inawaka dhidi yao.
Watakuwa najisi mpaka lini?
68:6 Yer 16:20; Hos 14:3; Kut 32:4Zimetoka katika Israeli!
Ndama huyu: ametengenezwa na fundi, si Mungu.
Atavunjwa vipande vipande,
yule ndama wa Samaria.
78:7 Ay 4:8; Gal 6:8; Hos 2:9; 7:9; 10:11-12; Mit 22:8; Isa 17:11; 66:15“Wanapanda upepo
na kuvuna upepo wa kisulisuli.
Bua halina suke,
halitatoa unga.
Kama lingetoa nafaka,
wageni wangeila yote.
88:8 Yer 22:28; 51:34; 2Fal 17:6; Yer 22:28; 48:38Israeli amemezwa;
sasa yupo miongoni mwa mataifa
kama kitu kisicho na thamani.
98:9 Yer 2:18; 22:20; Mwa 16:12; Eze 23:5; Hos 5:13Kwa kuwa wamepanda kwenda Ashuru
kama punda-mwitu anayetangatanga peke yake.
Efraimu amejiuza mwenyewe
kwa wapenzi.
108:10 Eze 16:37; 22:20; Yer 42:2; Dan 2:34Ingawa wamejiuza wenyewe miongoni mwa mataifa,
sasa nitawakusanya pamoja.
Wataanza kudhoofika chini ya uonevu
wa mfalme mwenye nguvu.
118:11 Hos 10:1; 12:11“Ingawa Efraimu alijenga madhabahu nyingi
kwa ajili ya sadaka za dhambi,
hizi zimekuwa madhabahu
za kufanyia dhambi.
128:12 Hos 8:1; Kum 4:6; Za 119:18; 147:19-20Nimeandika kwa ajili yao mambo mengi
kuhusu sheria yangu,
lakini wameziangalia
kama kitu cha kigeni.
138:13 Yer 6:20; 7:21; Neh 9:13-14; Hos 4:9; 9:3-9; Ay 21:14Wanatoa dhabihu nilizopewa mimi
nao wanakula hiyo nyama,
lakini Bwana hapendezwi nao.
Sasa ataukumbuka uovu wao
na kuadhibu dhambi zao:
Watarudi Misri.
148:14 Kum 32:18; Isa 17:10; Yer 5:17; Amo 2:5; 1Fal 12:31; Hos 2:13; Za 95:6Israeli amemsahau Muumba wake
na kujenga majumba ya kifalme,
Yuda amejengea miji mingi ngome.
Lakini nitatuma moto kwenye miji yao
utakaoteketeza ngome zao.”
耶和華指責以色列人拜偶像
1「吹響號角警告眾人吧!
敵人要如鷹撲向耶和華的家,
因為百姓背棄我的約,
違背我的律法。
2他們要向我呼求,
『我們的上帝啊,
我們以色列人認識你。』
3以色列已經棄絕良善,
所以敵人要追趕他。
4他們擁立君王,未經我的同意;
選立首領,沒有讓我知道。
他們用金銀為自己製造偶像,自取滅亡。
5我鄙棄撒瑪利亞人所拜的牛犢,
我要向他們發怒,
他們到什麼時候才能潔身自守呢?
6這牛犢是以色列的工匠造的,並不是上帝。
撒瑪利亞的牛犢必被砸得粉碎。
7他們種的是風,
收的是暴風。
他們的莊稼長不出穗子,
產不出麵粉。
就是有收成,
也要被外族人吃掉。
8以色列被吞滅了,
他在列國之中,
就像無用的器皿。
9他們投奔亞述,
就像孤獨漂泊的野驢。
以法蓮收買情人。
10儘管他們在各國賄買盟友,
如今我要把他們聚集起來審判。
他們必因君王和首領的欺壓而日漸衰微。
11「以法蓮增建許多除罪的祭壇,
這些祭壇卻成為他的犯罪之處。
12我為他寫下千萬條的律法,
他卻視若無睹。
13他們獻給我祭牲,並吃祭肉,
但不蒙耶和華的悅納。
我必記住他們的罪惡,
追討他們的罪債,
使他們回到埃及。
14以色列忘記了他的創造主,
建造許多宮殿;
猶大興建許多堅城。
但我要降火燒毀他們的城邑和堡壘。」