Ezekieli 45 – NEN & NRT

Kiswahili Contemporary Version

Ezekieli 45:1-25

Mgawanyo Wa Nchi

145:1 Mit 3:9-10; Hes 34:13; Eze 47:21-22; 48:8-9, 29“ ‘Mtakapogawa nchi kuwa urithi, mtaitoa sehemu ya nchi kwa Bwana kuwa eneo takatifu, urefu wake dhiraa 25,000,45:1 Dhiraa 25,000 ni sawa na kilomita 11.25. upana wake dhiraa 20,00045:1 Dhiraa 20,000 ni sawa na kilomita 9. eneo hili lote litakuwa takatifu. 245:2 Eze 42:20Katika hiyo, itakuwepo sehemu mraba ambayo ni mahali patakatifu kila upande dhiraa 500 ikiwa imezungukwa na eneo la wazi lenye upana wa dhiraa hamsini. 345:3 Eze 48:10Katika eneo takatifu, pima sehemu yenye urefu wa dhiraa 25,000 na upana wa dhiraa 10,000.45:3 Dhiraa 10,000 ni sawa na kilomita 4.5. Ndani ya hilo eneo kutakuwa mahali patakatifu, Patakatifu pa Patakatifu. 445:4 Eze 40:46; 48:10-11Itakuwa sehemu takatifu ya nchi kwa ajili ya makuhani, wale wanaohudumu ndani ya mahali patakatifu na ambao hukaribia ili kuhudumu mbele za Bwana. Patakuwa mahali pa nyumba zao pamoja na sehemu kwa ajili ya mahali patakatifu. 545:5 Eze 48:13; 40:17Eneo la urefu wa dhiraa 25,000 na upana wa dhiraa 10,000 litakuwa la Walawi wale wanaotumika hekaluni, kama milki yao kwa ajili ya miji ya kuishi.

645:6 Eze 48:15-18“ ‘Utatoa mji kama mali yao wenye upana wa dhiraa 5,00045:6 Dhiraa 5,000 ni sawa na kilomita 2.25. na urefu wa dhiraa 25,000, karibu na sehemu takatifu, itakuwa mali ya nyumba yote ya Israeli.

745:7 Eze 48:21“ ‘Mkuu anayetawala atakuwa na lile eneo linalopakana na lile eneo lililowekwa wakfu upande huu na upande huu na eneo la mji. Eneo la mji litaenea upande wa magharibi kuanzia upande wa magharibi na upande wa mashariki kuanzia upande wa mashariki, likiendelea kwa urefu kutoka magharibi hadi mpaka wa mashariki sambamba na mojawapo ya sehemu za makabila. 845:8 Hes 26:53; Eze 46:18Nchi hii itakuwa milki yake katika Israeli. Nao wakuu wangu hawataonea tena watu wangu bali watairuhusu nyumba ya Israeli kuimiliki nchi kulingana na makabila yao.

945:9 Yer 22:3; Zek 7:9-10; 8:16; Za 12:5“ ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Yatosha, enyi wakuu wa Israeli! Acheni mbali ukatili wenu na uonevu wenu mkafanye lile lililo haki na sawa. Acheni kuwatoza watu wangu isivyo haki, asema Bwana Mwenyezi. 1045:10 Kum 25:15; Law 19:35; Mit 11:1; Mik 6:10-11; Amo 8:4-6Tumieni mizani sahihi na vipimo sahihi vya efa45:10 Efa ni kipimo cha ujazo cha kupimia vitu vikavu ambacho ni sawa na omeri 10; efa 1 ni sawa na kilo 22. na bathi.45:10 Bathi ni kipimo cha ujazo cha kupimia vitu vya humiminika ambacho ni sawa na 1/10 ya homeri; homeri 1 ni bathi 10 au efa 10. 1145:11 Isa 5:10Efa na bathi viwe sawa, bathi iwe sehemu ya kumi ya homeri na efa iwe sehemu ya kumi ya homeri, homeri itakuwa ndicho kiwango cha kukubalika kwa vyote viwili. 1245:12 Law 27:25; Hes 3:47; Kut 30:13Shekeli moja itakuwa gera ishirini.45:12 Gera 20 ni sawa na shekeli 1. Shekeli ishirini, jumlisha na shekeli ishirini na tano, jumlisha na shekeli kumi na tano zitakuwa mina moja.45:12 Mina 1 hapa ni sawa na shekeli 60; mina ya kawaida ilikuwa sawa na shekeli 50.

Sadaka Na Siku Takatifu

(Kutoka 12:1-20; Walawi 23:33-43)

13“ ‘Hili ndilo toleo maalum mtakalotoa: moja ya sita ya efa kutoka kila homeri ya ngano na moja ya sita ya efa kutoka kila homeri ya shayiri. 14Sehemu ya mafuta iliyoamriwa, yaliyopimwa kwa bathi, ni sehemu ya kumi ya bathi kutoka kila kori moja45:14 Kori 1 ni sawa na bathi 10 au homeri 1. (ambayo ina bathi kumi au homeri moja.) 1545:15 Law 1:4; 6:30; Rum 5:10; Efe 2:16; Kol 1:21; Tit 2:14Pia kondoo mmoja atachukuliwa kutoka kwenye kila kundi la kondoo mia mbili kutoka kwenye malisho yaliyonyeshewa vizuri ya Israeli. Hivi vitatumika kwa ajili ya sadaka ya nafaka, sadaka ya kuteketezwa na sadaka za amani ili kufanya upatanisho kwa ajili ya watu, asema Bwana Mwenyezi. 16Watu wote wa nchi wataungana pamoja na mkuu anayetawala Israeli ili kutoa hii sadaka maalum. 1745:17 Yn 6:51; Gal 3:13; Isa 66:23; 1Fal 8:62; 2Nya 31:3; Hes 10:10; Eze 46:4-12Huu utakuwa ndio wajibu wa mkuu anayetawala kutoa sadaka ya kuteketezwa, sadaka ya nafaka na sadaka ya kinywaji kwenye sikukuu, Mwezi Mwandamo na Sabato, kwenye sikukuu zote zilizoamriwa za nyumba ya Israeli. Atatoa sadaka za dhambi, sadaka za nafaka, sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani ili kufanya upatanisho kwa ajili ya nyumba ya Israeli.

1845:18 Kut 12:2; Law 22:20; Ebr 9:14; Law 16:33“ ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Katika mwezi wa kwanza, siku ya kwanza ya huo mwezi utamchukua fahali mchanga asiye na dosari na kutakasa mahali patakatifu. 1945:19 Eze 43:17; Law 16:18-19; Eze 43:20Kuhani itampasa achukue sehemu ya hiyo damu ya sadaka ya dhambi na kuipaka kwenye miimo ya Hekalu, kwenye pembe nne za juu za ukingo wa hayo madhabahu na juu ya miimo ya lango la ukumbi wa ndani. 2045:20 Law 4; 27Itakupasa kufanya vivyo hivyo katika siku ya saba ya mwezi huo kwa ajili ya mtu yeyote ambaye hutenda dhambi bila kukusudia au bila kujua, hivyo utafanya upatanisho kwa ajili ya Hekalu.

2145:21 Kut 12:11; Law 23:5-6; Hes 9:2-3“ ‘Katika mwezi wa kwanza siku ya kumi na nne utaadhimisha Pasaka. Sikukuu itaendelea kwa siku saba, wakati huo wa hizo siku saba mtakula mikate isiyotiwa chachu. 2245:22 Law 4:14; 1Pet 2:24Katika siku hiyo mkuu anayetawala atatoa fahali kuwa sadaka ya dhambi kwa ajili yake mwenyewe na kwa ajili ya watu wote wa nchi. 2345:23 Hes 28:15, 25; 22:40; Ay 42:8Kila siku wakati wa hizo siku saba za sikukuu atatoa mafahali saba na kondoo dume saba wasio na dosari kuwa sadaka ya kuteketezwa kwa Bwana na beberu kwa ajili ya sadaka ya dhambi. 2445:24 Hes 28:12-13; Eze 46:5-7Pia atatoa sadaka ya nafaka efa moja kwa kila fahali na efa moja kwa kila kondoo dume, pamoja na hini moja45:24 Hini ni kipimo cha kupimia vitu vya humiminika chenye ujazo wa 1/6 ya bathi, na ni sawa na lita 4. ya mafuta kwa kila efa.

2545:25 Kum 16:13; Law 23:34-43; Hes 29:12-38“ ‘Wakati wa hizo siku saba za sikukuu, ambayo huanza katika mwezi wa saba kwenye siku ya kumi na tano, mkuu anayetawala atatoa mahitaji yale yale kwa ajili ya sadaka za dhambi, sadaka za kuteketezwa, sadaka za nafaka na mafuta.

New Russian Translation

Иезекииль 45:1-25

Священный участок земли

1Когда вы станете раздавать по жребию наделы, выделите для Господа часть земли как священный участок, 25 000 локтей в длину и 20 00045:1 Так в одном из древн. переводов (ср. также ст. 3-5 и 48:9); в нормативном евр. тексте: 10 000. локтей в ширину. Вся эта земля будет священной. 2Святилище займет на ней участок размером в 500 локтей на 500 локтей, вокруг которого будет 50 локтей пастбищ. 3Отмерьте на священной земле участок в 25 000 локтей в длину и 10 000 локтей в ширину. Там будет святилище, Святое Святых. 4Этот участок священной земли будет долей священников, которые несут службу в святилище и приближаются к Господу, чтобы служить Ему. Здесь будут находиться их дома и священное место для святилища. 5Другой участок, 25 000 локтей в длину и 10 000 локтей в ширину, будет владением левитов, которые служат в доме, для городов, где они будут жить45:5 Так в одном из древн. переводов; в нормативном евр. тексте: «…в храме. Они будут владеть двадцатью комнатами»..

6Отдайте участок в 5 000 локтей ширины и 25 000 локтей длины, рядом со священным наделом, во владение городу, который будет принадлежать всему дому Израиля.

Надел для вождя

7Вождь будет владеть землей, которая с обеих сторон граничит с областью священного участка и города. Она протянется к западу с западной стороны и к востоку с восточной, от западной до восточной границы страны, совпадая по длине с одним из родовых наделов. 8Эта земля будет его владением в Израиле. Мои вожди больше не будут угнетать Мой народ. Они позволят родам дома Израиля владеть остальной землей».

Весы и меры

9Так говорит Владыка Господь: «Довольно, вожди Израиля! Оставьте насилие и притеснение. Поступайте справедливо и праведно. Перестаньте сгонять Мой народ с земли», — возвещает Владыка Господь. 10«Пользуйтесь точными весами, верной ефой45:10 Мера сыпучих тел. и верным батом45:10 Мера для жидкостей.. 11Хомер45:11 Хомер равен 220 л. будет твоей установленной мерой объема. Каждые ефа и бат45:11 Ефа и бат равны 22 л. равны одной десятой части хомера. 12Установленной мерой веса будет шекель45:12 Шекель равен 11,5 г.. Один шекель равен 20 герам45:12 Гера равна 0,6 г., а 60 шекелей равны одной мине45:12 Мина равна 560 г..

Приношения и праздники

13Вот как вам следует совершать приношения: шестую часть ефы с каждого хомера пшеницы, шестую часть ефы с каждого хомера ячменя. 14Оливкового масла приносить в батах — десятую часть бата от каждого кора45:14 Кор равен 220 л. (кор равен 10 батам или одному хомеру). 15Овец — одну из каждых двести овец с пастбищ Израиля. Всё это — для хлебных приношений, жертв всесожжения и жертв примирения, чтобы искупить народ, — возвещает Владыка Господь. — 16Пусть весь народ страны принимает участие в этом приношении вместе с вождем Израиля. 17Вождю вменяется в обязанность поставлять всесожжения, хлебные приношения и жертвенные возлияния для праздников, новолуний и суббот — для всех установленных праздников дома Израиля. Он будет давать жертвы за грех, хлебные приношения, всесожжения и жертвы примирения, чтобы грехи дома Израиля были искуплены».

18Так говорит Владыка Господь: «В первый день первого месяца берите молодого быка без изъянов и очищайте святилище. 19Пусть священник возьмет кровь жертвы за грех и помажет дверные косяки дома, четыре угла верхнего выступа жертвенника и столбы ворот, ведущие во внутренний двор. 20Сделайте то же в седьмой день месяца для любого, кто согрешит неумышленно или по незнанию. Так совершайте обряд искупления над домом.

21В четырнадцатый день первого месяца празднуйте Пасху. Семь дней ешьте пресный хлеб. 22В этот день вождь принесет молодого быка в жертву за грех, свой и всего народа страны. 23Каждый из семи праздничных дней он будет давать по семь молодых быков и баранов без изъянов во всесожжение Господу и одного козла в жертву за грех. 24Он будет выделять для хлебного приношения по ефе на быка, и по ефе на барана, и по гину45:24 Возможно, около 3,8 л. оливкового масла на каждую ефу.

25В течение семи дней праздника Шалашей45:25 Иудейский праздник в память о попечении Бога во время скитаний в пустыне (см. Лев. 23:33–43; Чис. 29:12–39; Втор. 16:13–17)., который начнется в пятнадцатый день седьмого месяца, он будет давать столько же муки в жертву за грех, во всесожжение, для хлебного приношения и столько же оливкового масла».