2 Wafalme 19 – NEN & NRT

Kiswahili Contemporary Version

2 Wafalme 19:1-37

Hezekia Autafuta Msaada Wa Bwana

(Isaya 37:1-20)

119:1 Mwa 37:34; Hes 14:6Mfalme Hezekia aliposikia haya, akararua nguo zake na kuvaa nguo ya gunia, naye akaenda katika Hekalu la Bwana. 219:2 Yer 19:1; Mwa 37:34Akawatuma Eliakimu msimamizi wa nyumba ya mfalme, Shebna mwandishi, na viongozi wa makuhani, wote wakiwa wamevaa nguo za magunia, waende kwa nabii Isaya mwana wa Amozi. 319:3 Hos 13:13Wakamwambia, “Hili ndilo asemalo Hezekia: Siku hii ni siku ya dhiki, ya kukaripiwa na ya aibu, kama wakati watoto wanapofikia karibu kuzaliwa na kumbe hakuna nguvu ya kuwazaa. 419:4 2Sam 16:12; Yer 37:3Yamkini Bwana, Mungu wako atayasikia maneno ya jemadari wa jeshi, ambaye bwana wake, mfalme wa Ashuru, amemtuma kumdhihaki Mungu aliye hai, tena kwamba atamkemea kwa maneno ambayo Bwana, Mungu wako ameyasikia. Kwa hiyo omba kwa ajili ya mabaki ambao bado wako.”

5Maafisa wa Mfalme Hezekia walipofika kwa Isaya, 619:6 Kum 3:2; Yos 1:9Isaya akawaambia, “Mwambieni bwana wenu, ‘Hili ndilo asemalo Bwana: Usiogope kwa hayo uliyoyasikia, yale maneno ambayo watumishi wa mfalme wa Ashuru wamenitukana nayo. 719:7 Kut 14:24; 2Nya 32:21Sikiliza! Nitatia roho fulani ndani yake ili atakaposikia taarifa fulani, atarudi nchi yake mwenyewe, nami huko nitafanya auawe kwa upanga.’ ”

819:8 2Fal 18:14; Hes 33:20Jemadari wa jeshi aliposikia kwamba mfalme wa Ashuru ameondoka Lakishi, alirudi, akamkuta mfalme akipigana na Libna.

9Basi Senakeribu akapata taarifa kwamba Tirhaka, Mkushi mfalme wa Misri, alikuwa anaenda kupigana naye. Basi akatuma tena wajumbe kwa Hezekia na neno hili: 1019:10 2Fal 18:5“Mwambieni Hezekia mfalme wa Yuda: Usikubali huyo Mungu unayemtumainia akudanganye wakati anaposema, ‘Yerusalemu haitatiwa mkononi mwa mfalme wa Ashuru.’ 11Hakika umesikia yale ambayo wafalme wa Ashuru wametenda kwa nchi zote, wakiwaangamiza kabisa. Je, wewe utaokolewa? 1219:12 2Fal 18:33; Mwa 11:31Je, miungu ya mataifa ambayo yaliangamizwa na baba zangu iliweza kuwaokoa, hiyo miungu ya Gozani, Harani, Resefu, na ya watu wa Edeni waliokuwa Telasari? 1319:13 2Fal 5:7Yuko wapi mfalme wa Hamathi, mfalme wa Arpadi, mfalme wa mji wa Sefarvaimu, au wa Hena au wa Iva?”

Maombi Ya Hezekia

1419:14 2Fal 5:7Hezekia akapokea barua kutoka kwa wale wajumbe, naye akaisoma. Kisha akapanda katika Hekalu la Bwana, akaikunjua mbele za Bwana. 1519:15 Mwa 3:24; Kut 25:22Naye Hezekia akamwomba Bwana akisema: “Ee Bwana, Mungu wa Israeli, uketiye juu ya kiti cha enzi kati ya makerubi, wewe peke yako ndiwe Mungu juu ya falme zote za dunia. Wewe umeumba mbingu na nchi. 1619:16 Za 31:2; Kut 3:16Tega sikio, Ee Bwana, usikie; fungua macho yako, Ee Bwana, uone; sikiliza maneno ambayo Senakeribu ametuma kumtukana Mungu aliye hai.

17“Ni kweli, Ee Bwana, kwamba wafalme wa Ashuru wameyaangamiza mataifa haya na nchi zao. 1819:18 Yer 10:3-10; Mdo 17:29Wameitupa miungu yao kwenye moto na kuiangamiza, kwa kuwa haikuwa miungu, bali miti na mawe tu iliyotengenezwa kwa mikono ya wanadamu. 1919:19 1Sam 12:10; Yos 4:24Sasa basi, Ee Bwana Mungu wetu, tuokoe kutoka mkononi mwake, ili falme zote duniani zipate kujua kwamba wewe peke yako, Ee Bwana, ndiwe Mungu.”

Isaya Anatoa Unabii Wa Kuanguka Kwa Senakeribu

(Isaya 37:21-38)

2019:20 1Fal 9:3Kisha Isaya mwana wa Amozi akapeleka ujumbe kwa Hezekia, akasema: “Hili ndilo asemalo Bwana, Mungu wa Israeli: Nimesikia maombi yako kuhusu Senakeribu mfalme wa Ashuru. 2119:21 Isa 47:1; Mao 2:13; Ay 16:4Hili ndilo neno ambalo Bwana amelisema dhidi yake:

“ ‘Bikira Binti Sayuni anakudharau na kukudhihaki.

Binti Yerusalemu anatikisa kichwa chake unapokimbia.

2219:22 Law 19:2; Hos 11:9Ni nani uliyemtukana na kumkufuru?

Ni nani uliyeinua sauti yako dhidi yake,

na kumwinulia macho yako kwa kiburi?

Ni dhidi ya yule Aliye Mtakatifu wa Israeli!

2319:23 Za 20:7; Eze 31:3Kupitia kwa wajumbe wako

umelundika matukano juu ya Bwana.

Nawe umesema,

“Kwa magari yangu mengi ya vita,

nimepanda juu ya vilele vya milima,

vilele vya juu sana katika Lebanoni.

Nami nimeiangusha mierezi yake mirefu,

misunobari yake iliyo bora sana.

Nimefikia sehemu zake zilizo mbali sana,

misitu yake iliyo mizuri sana.

24Nimechimba visima katika nchi za kigeni

na kunywa maji yake.

Kwa nyayo za miguu yangu

nimekausha vijito vyote vya Misri.”

2519:25 Isa 22:11; Mik 1:6“ ‘Je, hujasikia?

Zamani sana niliamuru hili.

Siku za kale nilipanga hili;

sasa nimelifanya litokee,

kwamba umegeuza miji yenye ngome

kuwa malundo ya mawe.

2619:26 Eze 7:17; Ay 8:12Watu wa miji hiyo wameishiwa nguvu,

wanavunjika mioyo na kuaibishwa.

Wao ni kama mimea katika shamba,

kama machipukizi mororo ya kijani,

kama majani yachipuayo juu ya paa la nyumba,

ambayo hukauka kabla ya kukua.

2719:27 Za 139:1-4“ ‘Lakini ninajua mahali ukaapo,

kutoka kwako na kuingia kwako,

na jinsi unavyoghadhibika dhidi yangu.

2819:28 2Nya 33:11; Eze 29:4Kwa sababu unaghadhibika dhidi yangu,

na ufidhuli wako umefika masikioni mwangu,

nitaweka ndoana yangu puani mwako

na hatamu yangu kinywani mwako,

nami nitakufanya urudi kwa njia ile uliyoijia.’

2919:29 Lk 2:12; Za 107:37“Hii ndiyo itakuwa ishara kwako, ee Hezekia:

“Mwaka huu utakula kile kiotacho chenyewe,

na mwaka wa pili utakula kutoka machipukizi yake.

Lakini katika mwaka wa tatu, panda na uvune,

panda mashamba ya mizabibu na ule matunda yake.

3019:30 Mwa 45:7; Amo 9:14Mara nyingine tena mabaki ya nyumba ya Yuda

wataeneza mizizi chini na kuzaa matunda juu.

3119:31 Mwa 45:7; Isa 9:7Kwa kuwa kutoka Yerusalemu watakuja mabaki,

na kutoka Mlima Sayuni kundi la walionusurika.

Wivu wa Bwana Mwenye Nguvu Zote ndio utatimiza jambo hili.

32“Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana kuhusu mfalme wa Ashuru:

“Hataingia katika mji huu

wala hatapiga mshale hapa.

Hatakuja mbele yake akiwa na ngao,

wala kupanga majeshi kuuzingira.

33Kwa njia ile aliyoijia, ndiyo atakayorudi;

hataingia katika mji huu,

asema Bwana.

3419:34 2Fal 20:6; 2Sam 7:15Nitaulinda mji huu na kuuokoa,

kwa ajili yangu mwenyewe,

na kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu.”

3519:35 Ay 24:24Usiku ule, malaika wa Bwana akaenda, akawaua wanajeshi 185,000 katika kambi ya Waashuru. Wenzao walipoamka asubuhi yake, walikuta maiti kila mahali! 3619:36 Mwa 10:11Basi Senakeribu mfalme wa Ashuru akavunja kambi na kuondoka. Akarudi Ninawi na kukaa huko.

3719:37 2Fal 17:31; Mwa 8:4Siku moja, alipokuwa akiabudu katika hekalu la mungu wake Nisroki, wanawe Adrameleki na Shareza wakamuua kwa upanga, nao wakakimbilia nchi ya Ararati. Naye Esar-Hadoni mwanawe akawa mfalme badala yake.

New Russian Translation

4-я книга Царств 19:1-37

Пророчество Исаии о спасении Иерусалима

(Ис. 37:1–8)

1Услышав это, царь Езекия разорвал на себе одежду, надел рубище и пошел в дом Господа. 2Он послал распорядителя дворца Элиакима, писаря Шевну и старших священников, одетых в рубище, к пророку Исаии, сыну Амоца. 3Они сказали ему:

— Так говорит Езекия: «Сегодня день беды, наказания и бесчестия, словно дитя вот-вот должно родиться, а родить нет силы. 4Может быть, Господь, твой Бог, услышит все слова главного советника, которого его господин, царь Ассирии, послал глумиться над живым Богом, и накажет его за слова, которые услышал Господь, твой Бог. Вознеси же молитву за тех, кто еще жив!»

5Приближенные царя Езекии пришли к Исаии, 6и тот сказал им:

— Скажите своему господину, что так говорит Господь: «Не бойся того, что ты слышал — тех слов, которыми оскорбляли Меня слуги царя Ассирии. 7Вот Я пошлю в него такой дух, что когда он услышит одну весть, то будет вынужден вернуться в свою страну. А там Я поражу его, и он падет от меча».

8Главный советник услышал, что царь Ассирии оставил Лахиш, и, вернувшись, нашел царя осаждающим Ливну.

9Синаххериб получил весть, что Тиргака, царь Куша19:9 Или: Нубии., идет на него войной. Тогда он опять послал к Езекии послов, чтобы сказать:

10— Скажите Езекии, царю Иудеи: «Не давай Богу, на Которого ты надеешься, обманывать тебя, когда Он говорит: „Иерусалим не будет отдан царю Ассирии“. 11Ты же слышал о том, что цари Ассирии сделали со всеми странами, предав их полному уничтожению19:11 См. Исх. 22:20 и сноску к нему.. А разве ты уцелеешь? 12Разве боги народов, истребленных моими отцами, боги Гозана, Харрана, Рецефа и народа Едена, который был в Телассаре, спасли их? 13Где теперь царь Хамата, царь Арпада, цари городов Сепарваима, Ены или Иввы?»

Молитва Езекии

14Езекия получил письмо через послов и прочитал его. Тогда он пошел в дом Господа и развернул его перед Господом. 15Езекия молился Господу:

— О Господи, Бог Израиля, восседающий на херувимах19:15 Херувим. Один из высших ангельских чинов., лишь Ты — Бог над всеми земными царствами. Ты создал небо и землю. 16Склони, Господи, ухо Свое и услышь; открой, Господи, глаза Свои и взгляни; услышь слова Синаххериба, которые он послал, чтобы глумиться над живым Богом.

17Правда, Господи, что ассирийские цари погубили эти народы и их страны, 18бросили их богов в огонь и уничтожили их, потому что то были не боги, а только дерево и камень, обработанные руками человека. 19Теперь, Господи, наш Бог, молю, избавь нас от его руки, чтобы все царства земные узнали, что только Ты, Господи, — Бог.

Пророчество Исаии о падении Синаххериба

(Ис. 37:21–35)

20Исаия, сын Амоца, послал сказать Езекии: «Так говорит Господь, Бог Израиля: „Я услышал твою молитву о Синаххерибе, царе Ассирии. 21Вот слово, которое сказал о нем Господь.

Девственная дочь Сиона19:21 Олицетворение Иерусалима. Так же и дочь Иерусалима.,

презирает тебя, над тобой смеется.

Дочь Иерусалима

вслед тебе головой качает.

22Ты над кем глумился, кого оскорблял?

На кого ты повысил голос

и глаза надменные поднял?

На Святого Израилева!

23Через своих послов

ты глумился над Владыкой.

Ты сказал:

«Со множеством моих колесниц

я поднялся на горные вершины,

на дальние склоны Ливана.

Я срубил его высочайшие кедры,

его лучшие кипарисы.

Я достиг его самых отдаленных мест,

его наилучших лесов.

24Я копал колодцы

и пил воду чужих земель.

Ступнями своих ног

я иссушил все реки Египта».

25Разве ты не слышал?

Давно Я это определил,

в древние дни задумал.

Теперь Я это исполнил,

дав тебе превратить укрепленные города

в груды развалин.

26Их жители обессилены,

испуганы, опозорены.

Они — как растения в поле,

как нежные зеленые побеги,

как трава, пробившаяся на крыше,

опаленная, прежде чем вырасти.

27Но Я знаю, когда ты садишься,

когда выходишь и входишь,

и как ты гневаешься на Меня.

28За твою ярость против Меня

и за твою надменность, что достигла Моих ушей,

Я продену в твой нос Мое кольцо,

и вложу в твой рот Мои удила,

и верну тебя назад той дорогой,

которой ты пришел.

29Это будет тебе знамением, Езекия:

в этом году вы будете есть то, что вырастет само собой,

а в следующем году то, что вырастет из этого.

Но в третий год сейте и жните,

сажайте виноградники и ешьте их плоды.

30Уцелевшие из дома Иуды

опять пустят корни внизу и принесут плод наверху.

31Ведь из Иерусалима выйдет остаток,

и с горы Сион — уцелевшие.

Это совершит ревность Господа Сил“.

32Поэтому Господь говорит о царе Ассирии так:

„Он не войдет в этот город

и не пустит сюда стрелы.

Он не приступит к нему со щитом

и не насыплет против него осадного вала.

33Он вернется той же дорогой, какой пришел,

он не войдет в этот город, — возвещает Господь. —

34Я защищу этот город и спасу его,

ради Себя и ради Давида, Моего слуги“».

Поражение ассирийской армии

(2 Пар. 32:21; Ис. 37:36–38)

35В ту же ночь Ангел Господень вышел и предал смерти в лагере ассирийцев 185 000 человек. Когда на следующее утро люди проснулись, то увидели повсюду мертвые тела. 36Тогда Синаххериб, царь Ассирии, снял лагерь и ушел. Он возвратился домой и жил в Ниневии.

37Однажды, когда он поклонялся в храме своего бога Нисроха, его сыновья Адрамелех и Сарецер поразили его мечом и бежали в араратскую землю. А Асархаддон, его сын, стал царем вместо него.