撒迦利亞書 1 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible 2023 (Traditional)

撒迦利亞書 1:1-21

呼喚人民歸向耶和華

1大流士執政第二年八月,耶和華對易多的孫子、比利迦的兒子撒迦利亞先知說: 2「耶和華曾對你們的祖先大發怒氣。 3因此,你要告訴百姓,萬軍之耶和華說,『你們要歸向我,我就回到你們那裡。這是萬軍之耶和華說的。 4不要效法你們的祖先。以前的先知曾呼喚他們要聽從萬軍之耶和華的話,改邪歸正,停止作惡,他們卻置若罔聞,不予理會。這是耶和華說的。 5現在你們的祖先在哪裡呢?那些先知能活到永遠嗎? 6然而,我的訓言和律例,就是我吩咐我的僕人——眾先知的話豈不應驗在你們祖先頭上了嗎?於是,他們悔改了,說,萬軍之耶和華按著我們的所作所為報應了我們,正如祂所決定的。』」

有關騎士的異象

7大流士執政第二年十一月,即細罷特月二十四日,耶和華的話傳給了易多的孫子、比利迦的兒子撒迦利亞先知。 8我在夜間看到異象,見有人騎著一匹紅馬,站在谷中的番石榴樹間,後面有紅馬、棕馬和白馬。 9我就問:「主啊,這些是什麼意思?」那位與我說話的天使說:「我會讓你知道這些是什麼意思。」 10站在番石榴樹間的那位對我說:「這些是耶和華派來巡視大地的。」 11這些馬上的騎士向站在番石榴樹間的那位耶和華的天使報告說:「我們已經巡視了大地,到處都安寧平靜。」

12耶和華的天使說:「萬軍之耶和華啊,你向耶路撒冷猶大的城邑發怒已經七十年了,還要多久你才會憐憫他們呢?」 13耶和華用仁慈、安慰的話回答那位與我說話的天使。

14隨後那位天使對我說:「你要宣告,萬軍之耶和華說,『我篤愛耶路撒冷錫安15我對安逸的列國充滿憤怒,因為我只是對我的子民稍微不滿,列國卻大肆禍害他們。』 16所以耶和華說,『我必懷著憐憫回到耶路撒冷,我的殿必在那裡重建,必有準繩丈量耶路撒冷。這是萬軍之耶和華說的。』 17你還要宣告,萬軍之耶和華說,『我的城邑必再次繁榮昌盛,耶和華必再次安慰錫安,揀選耶路撒冷。』」

有關角和工匠的異象

18我又舉目觀看,見有四個角。 19於是,我問與我說話的天使:「這些是什麼?」他回答說:「這些是驅散猶大以色列耶路撒冷的角。」 20耶和華又讓我看見四個工匠。 21於是我問:「他們來做什麼?」他說:「這些角驅散了猶大,以致無人敢抬頭,但這些工匠前來威嚇列國,並打掉他們用來攻擊和驅散猶大的角。」

Kiswahili Contemporary Version

Zekaria 1:1-21

Wito Wa Kumrudia Bwana

11:1 Ezr 4:24; 6:15; Mt 23:35; Lk 11:51; Neh 12:4Katika mwezi wa nane wa mwaka wa pili wa utawala wa Mfalme Dario, neno la Bwana lilimjia nabii Zekaria mwana wa Berekia, mwana wa Ido, kusema:

21:2 2Nya 36:16Bwana aliwakasirikia sana baba zako wa zamani. 31:3 Yak 4:8; Mal 3:7; Ay 22:2; Yer 25:5; Mik 7:19; Lk 15:20Kwa hiyo waambie watu: Hivi ndivyo Bwana Mwenye Nguvu Zote asemavyo: ‘Nirudieni mimi,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote, ‘nami nitawarudia ninyi,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote. 41:4 2Nya 7:14; 24:19; 36:15; Zek 7:7; 2Fal 17:13; Za 78:8; 106:6; Yer 6:17; 17:23; 23:22; Eze 20:18; 33:4; Isa 1:16-17; Yer 3:12; Eze 33:11; Hos 14:1; Mit 3:8-9; Mdo 3:19Msiwe kama baba zenu, ambao manabii waliotangulia waliwatangazia: Hivi ndivyo Bwana Mwenye Nguvu Zote asemavyo: ‘Geukeni, mziache njia zenu mbaya na matendo yenu maovu.’ Lakini hawakunisikiliza wala kufuata maelekezo yangu, asema Bwana. 5Wako wapi baba zako sasa? Nao manabii, je, wanaishi milele? 61:6 Isa 44:26; Kum 28:2; Dan 9:12; Hos 5:9; Yer 12:14-17; 39:16; 23:20; 44:17; Mao 2:17; Isa 55:1; Mao 1:18Je, maneno yangu na amri zangu nilizowaagiza manabii watumishi wangu, hayakuwapata baba zenu?”

“Kisha walitubu na kusema, ‘Bwana Mwenye Nguvu Zote ametutenda sawasawa na njia zetu na matendo yetu yalivyostahili, kama alivyokusudia kufanya.’ ”

Maono Ya Kwanza: Mtu Katikati Ya Miti Ya Mihadasi

7Katika siku ya ishirini na nne ya mwezi wa kumi na moja, yaani mwezi uitwao Shebati, katika mwaka wa pili wa utawala wa Mfalme Dario, neno la Bwana lilimjia nabii Zekaria mwana wa Berekia mwana wa Ido.

81:8 Ufu 6:4; Zek 6:2-7; Yos 5:13Wakati wa usiku nilipata maono, mbele yangu alikuwepo mtu akiendesha farasi mwekundu! Alikuwa amesimama katikati ya miti ya mihadasi kwenye bonde. Nyuma yake walikuwepo farasi wekundu, wa kikahawia na weupe.

91:9 Zek 4:1-5; 5:5; Dan 7:16Nikauliza, “Hivi ni vitu gani bwana wangu?”

Malaika aliyekuwa akizungumza na mimi akanijibu, “Nitakuonyesha kuwa ni nini.”

101:10 Zek 6:5-8; Za 91:11; Ebr 1:14Kisha yule mtu aliyesimama katikati ya miti ya mihadasi akaeleza, “Ni wale ambao Bwana amewatuma waende duniani kote.”

111:11 Isa 14:7; Mwa 16:7; Za 102:20Nao wakatoa taarifa kwa yule malaika wa Bwana, aliyekuwa amesimama katikati ya miti ya mihadasi, “Tumepita duniani kote na kukuta ulimwengu wote umepumzika kwa amani.”

121:12 Za 6:3; 40:11; Yer 40:5; 2Nya 36:21; Dan 9:2; Za 103:13; Ufu 6:10; Zek 7:5Kisha malaika wa Bwana akasema, “Bwana Mwenye Nguvu Zote, utazuia mpaka lini rehema kutoka Yerusalemu na miji ya Yuda, ambayo umeikasirikia kwa miaka hii sabini?” 131:13 Isa 35:4; Ay 15:11; Zek 4:1; Isa 40:1-2; Yer 29:10Kwa hiyo Bwana akazungumza maneno ya upole na ya kufariji kwa malaika aliyezungumza nami.

141:14 Isa 26:11; Yoe 2:18; Zek 8:2Kisha malaika yule aliyekuwa akizungumza nami akasema, “Tangaza neno hili: Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote asemalo: ‘Nina wivu sana kwa ajili ya Yerusalemu na Sayuni, 151:15 Yer 48:11; 2Nya 28:9; Za 69:26; 123:3-4; Amo 1:11; Isa 47:6lakini nimeyakasirikia sana mataifa yanayojisikia kuwa yako salama. Nilikuwa nimewakasirikia Israeli kidogo tu, lakini mataifa hayo yaliwazidishia maafa.’

161:16 Zek 2:1-2; 8:3; Ay 38:5; Isa 12:1“Kwa hiyo, hivi ndivyo asemavyo Bwana: ‘Nitairudia Yerusalemu kwa rehema na huko nyumba yangu itajengwa tena. Nayo kamba ya kupimia itanyooshwa Yerusalemu,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.

171:17 Isa 14:1; 40:1; 54:8-10; 61:4; Ezr 9:9; Za 51:18; Isa 51:3; Zek 3:2“Endelea kutangaza zaidi kwamba: Hivi ndivyo asemavyo Bwana Mwenye Nguvu Zote: ‘Miji yangu itafurika tena ustawi na Bwana atamfariji tena Sayuni na kumchagua Yerusalemu.’ ”

Maono Ya Pili: Pembe Nne Na Mafundi Wanne

18Kisha nikatazama juu, na pale mbele yangu nikaona pembe nne! 191:19 Amo 6:13; Ezr 4:1; Hab 3:14Nikamuuliza yule malaika aliyekuwa akizungumza nami, “Ni nini hivi?”

Akanijibu, “Hizi ni zile pembe zilizowatawanya Yuda, Israeli na Yerusalemu.”

20Kisha Bwana akanionyesha mafundi wanne. 211:21 1Fal 22:11; Za 75:4, 10; Isa 54:16-17; Zek 12:9Nikauliza, “Hawa wanakuja kufanya nini?”

Akanijibu, “Hizi ndizo pembe zilizowatawanya Yuda ili asiwepo atakayeweza kuinua kichwa chake, lakini mafundi wamekuja kuzitia hofu na kuzitupa chini hizi pembe za mataifa ambayo yaliinua pembe zao dhidi ya nchi ya Yuda na kuwatawanya watu wake.”