何西阿書 1 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible 2023 (Traditional)

何西阿書 1:1-11

1烏西雅約坦亞哈斯希西迦猶大王,約阿施的兒子耶羅波安以色列王期間,耶和華將祂的話傳給備利的兒子何西阿

何西阿娶妻生子

2耶和華首次傳話給何西阿時,對他說:「你去娶一個妓女為妻,和她生養兒女,因為這片土地上的人極其淫亂,背棄了耶和華。」 3於是,何西阿娶了滴拉音的女兒歌蜜為妻,她懷孕為他生了一個兒子。 4耶和華對何西阿說:「給他取名叫耶斯列1·4 「耶斯列」意思是「上帝撒種」。此處指上帝要像撒種一樣驅散以色列人,但在1·11指上帝要賜福他們,就像撒種後獲得了大豐收。,因為再過不久,我就要因耶戶家在耶斯列的屠殺而懲罰他們,消滅以色列國。 5那時,我要在耶斯列平原折斷以色列的弓。」 6後來,歌蜜又懷孕生了一個女兒。耶和華對何西阿說:「給她取名叫羅·路哈瑪1·6 「羅·路哈瑪」意思是「不蒙憐憫」。,因為我將不再憐憫以色列家,不再赦免他們的罪。 7但我要憐憫猶大家,使他們依靠他們的上帝耶和華得到拯救,而不是依靠戰弓、刀劍、馬匹、騎兵和戰爭。」 8羅·路哈瑪斷奶後,歌蜜又懷孕生了一個兒子。 9耶和華說:「給他取名叫羅·阿米1·9 「羅·阿米」意思是「不是我的子民」。,因為以色列人不再是我的子民,我也不再是他們的上帝。

以色列的復興

10「然而,以色列的人數必像海沙一樣量不盡、數不完。從前我在什麼地方對他們說『你們不是我的子民』,將來也要在那裡對他們說『你們是永活上帝的兒女』。 11那時,猶大人和以色列人將被聚集在一起,為自己選立一位首領,從流亡之地返回故鄉。耶斯列的日子將是偉大的日子。

Kiswahili Contemporary Version

Hosea 1:1-11

11:1 Mik 1:1; Isa 1:1; 2Fal 13:13; 14:12; 1Nya 3:12-13; Yer 1:2; 2Fal 14:21Neno la Bwana lililomjia Hosea mwana wa Beeri wakati wa utawala wa Uzia, Yothamu, Ahazi na Hezekia, wafalme wa Yuda, na wakati wa utawala wa Yeroboamu mwana wa Yehoashi, mfalme wa Israeli.

Mke Wa Hosea Na Watoto

21:2 Amu 2:17; Yer 3:14; Hos 2:5; 3:1; Yer 3:1; Kum 31:16Wakati Bwana alipoanza kuzungumza kupitia Hosea, Bwana alimwambia, “Nenda ukajitwalie mwanamke wa uzinzi na watoto wa uzinzi, kwa sababu nchi ina hatia ya uzinzi wa kupindukia kwa kumwacha Bwana.” 31:3 Hos 1:6Kwa hiyo alimwoa Gomeri binti Diblaimu, naye akachukua mimba na kumzalia Hosea mwana.

41:4 1Sam 29:1; 1Fal 18:45; 2Fal 10:1-14; Hos 2:22Kisha Bwana akamwambia Hosea, “Mwite Yezreeli,1:4 Yezreeli maana yake Mungu hupanda. kwa kuwa kitambo kidogo nitaiadhibu nyumba ya Yehu kwa ajili ya mauaji ya kule Yezreeli, nami nitaukomesha ufalme wa Israeli. 51:5 Yos 15:56; 1Sam 29:1; 2Fal 15:29Katika siku ile nitavunja upinde wa Israeli katika Bonde la Yezreeli.”

61:6 Hos 2:4, 23; 1:6Gomeri akachukua tena mimba akamzaa binti. Kisha Bwana akamwambia Hosea, “Mwite Lo-Ruhama,1:6 Lo-Ruhama maana yake Sio mpenzi wangu. kwa maana sitaonyesha tena upendo kwa nyumba ya Israeli, kwamba nisije kabisa nikawasamehe. 71:7 Za 44:6; Zek 2:6Hata hivyo nitaonyesha upendo kwa nyumba ya Yuda, nami nitawaokoa si kwa upinde, upanga au vita, wala kwa farasi na wapanda farasi, bali kwa njia ya Bwana Mungu wao.”

8Baada ya Gomeri kumwachisha Lo-Ruhama kunyonya, Gomeri alipata mwana mwingine. 91:9 Eze 11:19-20; 1Pet 2:10Kisha Bwana akasema, “Mwite Lo-Ami1:9 Lo-Ami maana yake Sio watu wangu. kwa maana ninyi si watu wangu, nami si Mungu wenu.

101:10 Mwa 22:17; Yer 33:22; Rum 9:26; Hos 2:23; Hes 23:10; Yos 3:10“Hata hivyo Waisraeli watakuwa kama mchanga kando ya bahari, ambao hauwezi kupimika wala kuhesabiwa. Mahali pale walipoambiwa, ‘Ninyi si watu wangu,’ wao wataitwa ‘wana wa Mungu aliye hai.’ 111:11 Isa 11:12-13; Yer 23:5-8; 30:9; Eze 37:15-28Watu wa Yuda na watu wa Israeli wataunganishwa tena, nao watamchagua kiongozi mmoja nao watakwea watoke katika nchi, kwa kuwa siku ya Yezreeli itakuwa kuu sana.