马太福音 3 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible 2022 (Simplified)

马太福音 3:1-17

开路先锋

1那时,施洗者约翰来到犹太的旷野传道,说: 2“悔改吧,因为天国临近了!” 3以赛亚先知曾说:“有人在旷野大声呼喊,‘预备主的道,修直祂的路。’”3:3 以赛亚书40:3他指的就是约翰

4约翰身穿骆驼毛的衣服,腰束皮带,吃的是蝗虫和野蜜。 5那时,耶路撒冷犹太各地和约旦河一带的人都来到约翰那里, 6承认他们的罪,在约旦河里接受他的洗礼。

7约翰看见很多法利赛人和撒都该人也来受洗,就对他们说:“你们这些毒蛇的后代!谁指示你们逃避那将临的烈怒呢? 8你们要结出与悔改相称的果子。 9不要心里说,‘我们是亚伯拉罕的子孙。’我告诉你们,上帝可以从这些石头中兴起亚伯拉罕的子孙。 10现在斧头已经放在树根上了,凡不结好果子的树都要被砍下,扔进火里。 11我用水给你们施洗,叫你们悔改。但在我之后,有一位比我更有能力的要来,我连给祂提鞋都不配。祂要用圣灵和火给你们施洗。 12祂手里拿着簸箕,要扬净祂的麦场,把麦子收进仓库,用不灭的火把糠秕烧尽。”

耶稣受洗

13后来,耶稣从加利利来到约旦河受约翰的洗礼。 14约翰想要拦住祂,就说:“我需要受你的洗,你反倒来找我吗?”

15耶稣答道:“你暂且这样做吧!我们理当这样履行一切的义。”于是约翰答应了。

16耶稣受了洗,刚从水里上来,天就开了。祂看见上帝的灵像鸽子一样降在祂身上, 17又有声音从天上传来:“这是我的爱子,我喜悦祂。”

Kiswahili Contemporary Version

Mathayo 3:1-17

Yohana Mbatizaji Atayarisha Njia

(Marko 1:1-8; Luka 3:1-18; Yohana 1:19-28)

13:1 Lk 3:2-19Siku hizo Yohana Mbatizaji alikuja akihubiri katika nyika ya Uyahudi, akisema, 23:2 Dan 7:14; Lk 17:20“Tubuni, kwa maana Ufalme wa Mbinguni umekaribia.” 33:3 Mal 3:1; Yn 1:23Huyu ndiye yule aliyenenwa habari zake na nabii Isaya aliposema:

“Sauti ya mtu aliaye huko nyikani,

‘Tayarisheni njia kwa ajili ya Bwana,

yanyoosheni mapito yake.’ ”

43:4 1Fal 1:8Basi Yohana alivaa mavazi yaliyotengenezwa kwa singa za ngamia, akiwa na mkanda wa ngozi kiunoni mwake. Chakula chake kilikuwa nzige na asali ya mwitu. 53:5 Mk 1:5; Lk 3:7Watu walikuwa wakimwendea kutoka Yerusalemu, Uyahudi yote na nchi zote za kandokando ya Mto Yordani. 63:6 Mdo 19:4, 18; Mk 1:4Nao wakaziungama dhambi zao, akawabatiza katika Mto Yordani.

73:7 Mt 12:34; 23:33; Rum 1:18; 1The 1:10Lakini alipowaona Mafarisayo na Masadukayo wengi wakija ili kubatizwa, aliwaambia: “Ninyi watoto wa nyoka! Ni nani aliyewaonya kuikimbia ghadhabu inayokuja? 83:8 Mdo 26:20Basi zaeni matunda yastahiliyo toba. 93:9 Rum 2:28-29Wala msidhani mnaweza kusema mioyoni mwenu kuwa, ‘Sisi tunaye Abrahamu, baba yetu.’ Nawaambia kuwa Mungu anaweza kumwinulia Abrahamu watoto kutoka kwa mawe haya. 103:10 Lk 3:9; Yn 15:2-6Hata sasa shoka limeshawekwa tayari kwenye shina la kila mti, basi kila mti usiozaa matunda mazuri, hukatwa na kutupwa motoni.

113:11 Mk 1:18; Isa 4:4; Mdo 2:3-4“Mimi nawabatiza kwa maji kwa ajili ya toba. Lakini nyuma yangu anakuja yeye aliye na uwezo kuliko mimi, ambaye sistahili hata kuvichukua viatu vyake. Yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu3:11 …kwa Roho Mtakatifu hapa ina maana ya katika Roho Mtakatifu. na kwa moto. 123:12 Mt 13:30; 25:41Pepeto lake liko mkononi mwake, naye atasafisha sakafu yake ya kupuria, na kuikusanya ngano ghalani na kuyateketeza makapi kwa moto usiozimika.”

Yesu Abatizwa

(Marko 1:9-11; Luka 3:21-22)

133:13 Mt 3:1; Mk 1:4; Yn 1:31-34Kisha Yesu akaja kutoka Galilaya mpaka Mto Yordani ili Yohana ambatize. 14Lakini Yohana akajitahidi kumzuia, akimwambia, “Mimi ninahitaji kubatizwa na wewe, nawe waja kwangu nikubatize?”

15Lakini Yesu akamjibu, “Kubali hivi sasa, kwa maana ndivyo itupasavyo kwa njia hii kuitimiza haki yote.” Hivyo Yohana akakubali.

163:16 Isa 11:2; 42:1; Mk 1:10; Lk 3:22; Yn 1:32-33Naye Yesu alipokwisha kubatizwa, mara alipotoka ndani ya maji, ghafula mbingu zikafunguka, akamwona Roho wa Mungu akishuka kama hua na kutulia juu yake. 173:17 Kum 4:12; Yn 12:28; Za 2:7; 2:7; Mdo 13:33; Isa 42:1; 2Pet 1:17Nayo sauti kutoka mbinguni ikasema, “Huyu ni Mwanangu mpendwa, ambaye ninapendezwa sana naye.”