希伯来书 5 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible 2022 (Simplified)

希伯来书 5:1-14

1凡从人间选出来的大祭司,都是受委任代表人办理与上帝有关的事,为人的罪向上帝献上礼物和赎罪祭。 2他能体谅那些无知和迷失的人,因为他自己也受制于人性的软弱。 3所以,他不但要为众人的罪献祭,也要为自己的罪献祭。 4没有人能自取这大祭司的尊荣,只有像亚伦一样蒙上帝呼召的人才可以做大祭司。

5同样,基督也没有自取荣耀做大祭司,是上帝对祂说:

“你是我的儿子,

我今日成为你父亲。”5:5 诗篇2:7

6在圣经的另一处,上帝又说:

“你照麦基洗德的模式永远做祭司。”5:6 诗篇110:4

7基督在世为人的时候,曾经声泪俱下地祈求能救祂脱离死亡的上帝。祂因为敬虔而蒙了应允。 8基督虽然是上帝的儿子,仍然从所受的苦难中学习了顺服。 9祂既然达到了纯全的地步,就成了所有顺服祂的人得到永恒救恩的源头, 10并且被上帝照麦基洗德的模式立为大祭司。

信徒要长进

11关于这方面的事,我们还有很多话要说,但因为你们已经听不进去,很难向你们解释。 12按你们学习的时间来算,你们本该做别人的老师了,可惜你们还需要别人向你们传授上帝话语的基本道理,成了不能吃干粮、只能吃奶的人。 13因为只能吃奶的人还是婴孩,不熟习公义之道。 14干粮是给成年人吃的,他们的心思历经锻炼,能够分辨善恶。

Kiswahili Contemporary Version

Waebrania 5:1-14

15:1 Ebr 2:17; 8:3; 9:9-27Kwa maana kila kuhani mkuu anayechaguliwa miongoni mwa wanadamu anawekwa kuwawakilisha kwa mambo yanayomhusu Mungu, ili apate kutoa matoleo na dhabihu kwa ajili ya dhambi. 25:2 Ebr 2:18; 4:15; 7:28Kwa kuwa yeye mwenyewe ni dhaifu, aweza kuwachukulia kwa upole wale wasiojua na kupotoka. 35:3 Law 4:3; 9:7; 16:6; 15:16, 17; Ebr 7:27; 9:7Hii ndiyo sababu inampasa kutoa dhabihu kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe na vivyo hivyo kwa ajili ya dhambi za watu. 45:4 Kut 28:1; Hes 14:40; 18:7; 2Nya 26:18; 1Nya 23:13; Yn 3:27Hakuna anayejitwalia heshima hii mwenyewe; ni lazima aitwe na Mungu, kama vile Aroni alivyoitwa. 55:5 Yn 8:54; Ebr 2:17; 1:5; 1:1; Za 2:7; Mdo 13:33Pia Kristo hakujitwalia utukufu yeye mwenyewe wa kuwa Kuhani Mkuu, bali Mungu alimwambia,

“Wewe ni Mwanangu;

leo mimi nimekuzaa.”

65:6 Ebr 5:10; 6:20; 7:2-22; 7:17, 21; Mwa 14:18; Za 110:4Pia mahali pengine asema,

“Wewe ni kuhani milele,

kwa mfano wa Melkizedeki.”

75:7 Lk 22:41-44; 23:46; Mt 27:46; Za 22:24; Mk 14:36Katika siku za maisha ya Yesu hapa duniani, alimtolea maombi na dua pamoja na kulia sana na machozi, yeye awezaye kumwokoa na mauti, naye Mungu akamsikia kwa sababu ya kutii kwake kwa unyenyekevu. 85:8 Ebr 1:2; 3:6; Flp 2:8Ingawa alikuwa Mwana, alijifunza utiifu kutokana na mateso aliyoyapata, 95:9 Ebr 2:10; 11:40; Isa 45:17; Yn 17:1, 5na akiisha kukamilishwa, akawa chanzo cha wokovu wa milele kwa wote wanaomtii. 105:10 Ebr 5:6; 6:20; 2:17Naye amewekwa na Mungu kuwa Kuhani Mkuu kwa mfano wa Melkizedeki.

Wito Wa Kukua Kiroho

115:11 Yn 16:12; 2Pet 3:16; Mt 13:15Tunayo mengi ya kusema kuhusu habari ya ukuhani huu, lakini ni vigumu kuyaeleza, kwa sababu ninyi ni wazito wa kuelewa. 125:12 Ebr 6:1; 1Kor 3:2; 1Pet 2:2Kwa hakika, ingawa mpaka wakati huu ingewapasa kuwa walimu, bado mnahitaji mtu wa kuwafundisha tena hatua za awali za kweli ya Neno la Mungu. Mnahitaji maziwa, wala si chakula kigumu! 135:13 1Kor 13:11; 14:20; Efe 4:14; 1Pet 2:2Kwa maana yeyote aishiye kwa kunywa maziwa bado yeye ni mtoto mchanga, hana ujuzi katika mafundisho kuhusu neno la haki. 145:14 1Kor 2:6; Isa 7:15; 1Kor 2:14, 15Lakini chakula kigumu ni kwa ajili ya watu wazima, ambao kwa kujizoeza wamejifunza kupambanua kati ya mema na mabaya.