利未记 23 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible 2022 (Simplified)

利未记 23:1-44

有关节期的条例

1耶和华对摩西说: 2“你要告诉以色列人,以下是耶和华所定的节期,你们要宣布这些节期为举行圣会的日子。

安息日

3“你们一周可以工作六天,但第七天是完全休息的安息日,你们要举行圣会。不可做任何工,无论你们住在哪里,都要守耶和华的安息日。

4“以下是耶和华所定的节期,你们要在这些日子召开圣会。

逾越节和除酵节

5“从一月十四日傍晚开始是耶和华的逾越节。 6从一月十五日开始是耶和华的除酵节,你们要连续七天吃无酵饼。 7在除酵节的第一天,你们要举行圣会,不可做日常工作。 8一连七天你们要献火祭给耶和华。第七天,你们要举行圣会,不可做日常工作。”

初熟节

9耶和华对摩西说: 10“你把以下条例告诉以色列人。

“你们进入耶和华将要赐给你们的那片土地以后,每逢收割庄稼之时,你们要带一捆初熟的谷物交给祭司。 11祭司要在安息日后第一天把那捆谷物在耶和华面前摇一摇,你们所献的就会得到悦纳。 12在献谷物那天,你们要献给耶和华一只毫无残疾、一岁的公羊羔作燔祭, 13同时要把两公斤调油的细面粉作素祭,一起献给耶和华作馨香的火祭,也要献一升酒作奠祭。 14你们必须先将这些供物献给你们的上帝后,才可以吃饼、烘烤的谷物和新鲜穗子。不论住在哪里,这是你们世代当守的永久律例。

五旬节

15“从安息日后第一天,即你们献上摇祭的那天算起,你们要数整整七周, 16一直数到第七个安息日后的第一天,共五十天。到那天,你们要把新收的谷物作为素祭献给耶和华。 17你们要用两公斤细面粉加上酵,烤成两个饼作摇祭,从你们居住的地方带来献给耶和华作初熟之祭。 18你们要把七只毫无残疾的一岁公羊羔、一头公牛犊、两只公绵羊和那两个饼,一起献给耶和华作燔祭。这些一起献上的燔祭、素祭和奠祭,是蒙耶和华悦纳的馨香火祭。 19你们也要献一只公山羊作赎罪祭,两只一岁的公绵羊作平安祭。 20祭司要把这两只公绵羊和初熟之物做的饼作为摇祭,在耶和华面前摇一摇。这些是献给耶和华的圣物,归祭司所有。 21你们要在那天召开圣会,不可做日常工作。不论住在哪里,这是你们世代当守的永久律例。 22你们收割时,不可割尽田角地边的庄稼,也不可捡落在地里的,要把这些留给穷人和外族人。我是你们的上帝耶和华。”

吹号节

23耶和华对摩西说: 24“你告诉以色列人:你们要在七月一日完全休息,要吹号作纪念,召开圣会。 25你们不可做日常工作,要献火祭给耶和华。”

赎罪日

26耶和华对摩西说: 27“七月十日是赎罪日,你们要举行圣会,禁食,献火祭给耶和华。 28那是在你们的上帝耶和华面前为自己赎罪的日子,你们不可工作。 29那天,凡不禁食的,要将他从民中铲除; 30凡在那天工作的,耶和华要毁灭他。 31你们不可做任何工作。不论住在哪里,这是你们世代当守的永久律例。 32那是你们完全休息的安息日。从七月九日傍晚至次日傍晚,你们必须禁食。”

住棚节

33耶和华对摩西说: 34“你把以下条例告诉以色列人。

“从七月十五日开始,你们要一连七天向耶和华守住棚节。 35第一天,你们要举行圣会,不可做日常工作。 36一连七天你们要献火祭给耶和华。第八天要举行圣会,献火祭给耶和华。这是庄严的聚会,你们不可做日常工作。

37“以上是耶和华所定的节期。在这些节期里,你们要召开圣会,按规定的日子献给耶和华燔祭、素祭、奠祭和其他祭物。 38除了守安息日并向耶和华献供物、还愿祭和自愿献的祭以外,你们还要守这些节期。

39“你们收割完后,从七月十五日起,要一连七天庆祝耶和华的节期,第一天和第八天是完全休息的安息日。 40第一天,你们要摘下树上结的上好果子,折下棕树枝、叶子浓密的树枝与河边的柳枝,在你们的上帝耶和华面前欢庆七天。 41在每年七月的这七天,你们要向耶和华守这节期。这是你们世代当守的永久律例。 42你们要搭棚居住七天,所有以色列人都要住在棚里。 43这样,你们的后代就会知道,我带领以色列人离开埃及后,曾让他们住在棚里。我是你们的上帝耶和华。”

44于是,摩西以色列人宣布了耶和华所定的这些节期。

Kiswahili Contemporary Version

Walawi 23:1-44

Sikukuu Zilizoamriwa

1Bwana akamwambia Mose, 223:2 Hes 29:39; Eze 44:24; Kol 2:16; Isa 6:3; Mt 6:9; Yn 12:28; Kut 32:5; Hes 10:2-3; 2Nya 30:5“Sema na Waisraeli na uwaambie: ‘Hizi ndizo sikukuu zangu zilizoamriwa, sikukuu zilizoamriwa za Bwana, ambazo mtazitangaza kuwa makusanyiko matakatifu.

Sabato

323:3 Kut 20:9-10; Ebr 4:9-10; Kum 5:13; Hes 28:26; Lk 13:14; Neh 13:22; Isa 56:2; 58:13“ ‘Kuna siku sita mnazoweza kufanya kazi, lakini siku ya saba ni Sabato ya kupumzika, siku ya kusanyiko takatifu. Hamtafanya kazi yoyote. Popote mnapoishi, ni Sabato kwa Bwana.

Pasaka Na Mikate Isiyotiwa Chachu

(Hesabu 28:16-25)

423:4 Nah 1:15; Kut 23:14“ ‘Hizi ni sikukuu za Bwana zilizoamriwa, makusanyiko matakatifu mtakayoyatangaza kwa nyakati zilizoamriwa: 523:5 Kut 12:6-11; Hes 28:16-17; Kum 16:1-8; Yos 5:10Pasaka ya Bwana huanza jioni ya siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza. 623:6 Kut 12:17-19Siku ya kumi na tano ya mwezi huo wa kwanza, Sikukuu ya Bwana ya Mikate Isiyotiwa Chachu huanza; kwa siku saba, mtakula mikate isiyotiwa chachu. 7Katika siku ya kwanza, mtakuwa na kusanyiko takatifu, na msifanye kazi zenu za kawaida. 8Kwa siku saba mtamletea Bwana sadaka ya kuteketezwa kwa moto. Kwenye siku hiyo ya saba mtafanya kusanyiko takatifu, na msifanye kazi zenu za kawaida.’ ”

Malimbuko

9Bwana akamwambia Mose, 1023:10 Hes 15:2; Law 19:9; Kut 22:29; 34:22; Rum 11:16; Kum 16:9; Yos 3:15; Mit 3:9; 1Kor 15:20; Yak 1:18“Sema na Waisraeli na uwaambie: ‘Mtakapoingia katika nchi nitakayowapa na kuvuna mazao ya nchi hiyo, leteni kwa kuhani mganda wa nafaka ya kwanza mtakayovuna. 1123:11 Kut 29:24; 28:38; Law 9:21; 10:14Naye atauinua huo mganda mbele za Bwana ili ukubaliwe kwa niaba yenu; kuhani ataupunga siku inayofuata Sabato. 1223:12 Law 12:6; Kut 12:5Siku hiyo mtakapoinua huo mganda, lazima mtoe kwa Bwana dhabihu ya kuteketezwa kwa moto ya mwana-kondoo wa mwaka mmoja asiye na dosari, 1323:13 Law 2:14-16; 6:20; 10:9; 24:5; Hes 15:6; 28:9; Mwa 35:14pamoja na sadaka yake ya nafaka ya sehemu mbili za kumi za efa23:13 Sehemu mbili za kumi za efa ni sawa na kilo mbili. za unga laini uliochanganywa na mafuta, sadaka iliyotolewa kwa Bwana kwa kuteketezwa kwa moto, harufu nzuri ya kupendeza, na sadaka yake ya kinywaji ya robo ya hini23:13 Robo ya hini ni sawa na lita moja. ya divai. 1423:14 Yos 5:11; Rut 2:14; 1Sam 17:17; 25:18; 2Sam 17:28; Kut 34:26; Law 3:17; Hes 10:8; 15:21; Yer 2:3Kamwe msile mkate wowote, au nafaka iliyokaangwa au nafaka mpya, mpaka siku ile mtakayomletea Mungu wenu sadaka hii. Hili litakuwa agizo la kudumu kwa vizazi vijavyo, popote mnapoishi.

Sikukuu Ya Majuma

(Hesabu 28:26-31)

15“ ‘Tangu siku ile iliyofuata Sabato, siku mliyotoa sadaka ya mganda wa kuinuliwa, hesabuni majuma saba kamili. 1623:16 Mdo 20:16; 2:1; Hes 28:26Mtahesabu siku hamsini mpaka siku inayofuata Sabato ya saba, ndipo mtatoa sadaka ya nafaka mpya kwa Bwana. 1723:17 Kut 34:22; 23:16; Hes 15:17-19Kutoka popote mnapoishi, mtaleta mikate miwili ya unga laini, sehemu mbili za kumi za efa, uliookwa kwa chachu, kuwa sadaka ya kuinuliwa ya malimbuko kwa Bwana. 1823:18 Kut 29:41; 30:9; 37:16; Yer 19:13; 44:18Toeni pamoja na hiyo mikate wana-kondoo saba, kila mmoja wa mwaka mmoja asiye na dosari, na fahali mchanga, na kondoo dume wawili. Watakuwa sadaka ya kuteketezwa kwa moto iliyotolewa kwa Bwana, pamoja na sadaka za nafaka na sadaka za vinywaji, sadaka iliyotolewa kwa moto yenye harufu nzuri ya kumpendeza Bwana. 1923:19 Hes 28:30; Law 4:23Kisha toeni dhabihu ya mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi, na wana-kondoo wawili, kila mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya amani. 2023:20 Kut 29:24Kuhani atawainua hao wana-kondoo wawili mbele za Bwana kuwa sadaka ya kuinuliwa, pamoja na mkate wa malimbuko. Ni sadaka takatifu kwa Bwana kwa ajili ya kuhani. 2123:21 Kut 32:5Siku iyo hiyo mtatangaza kusanyiko takatifu, na msifanye kazi zenu za kawaida. Hili litakuwa agizo la kudumu kwa vizazi vijavyo, popote mnapoishi.

2223:22 Law 19:9-10; Kum 24:19-21; Rut 2:2, 15; Kut 23:11; Kum 15:1-18; Ay 20:19; Za 112:9; Mit 14:31; Isa 58:7-8; Yak 2:1“ ‘Mnapovuna mavuno ya ardhi yenu, msivune hadi mpakani mwa shamba lenu, au kukusanya masazo ya mavuno yenu. Hayo utayaacha kwa ajili ya maskini na mgeni. Mimi ndimi Bwana Mungu wenu.’ ”

Sikukuu Ya Tarumbeta

(Hesabu 29:1-6)

23Bwana akamwambia Mose, 2423:24 Ezr 3:1; Hes 10:9-10; 29:1; 31:6; 2Fal 11:14; 2Nya 13:12; Za 98:6“Waambie Waisraeli: ‘Katika siku ya kwanza ya mwezi wa saba mtakuwa na siku ya mapumziko, kusanyiko takatifu la ukumbusho litakaloadhimishwa kwa kupiga tarumbeta. 25Msifanye kazi zenu zozote za kawaida, lakini toeni sadaka kwa Bwana iliyoteketezwa kwa moto.’ ”

Siku Ya Upatanisho

(Hesabu 29:7-11)

26Bwana akamwambia Mose, 2723:27 Law 16:29; Kut 30:10; Hes 29:7; Isa 58:3-5; Dan 10:3, 12“Siku ya kumi ya mwezi huu wa saba ni Siku ya Upatanisho. Mtafanya kusanyiko takatifu, mfunge, nanyi mtoe sadaka kwa Bwana ya kuteketezwa kwa moto. 28Msifanye kazi siku hiyo, kwa sababu ni Siku ya Upatanisho, ambapo upatanisho unafanyika kwa ajili yenu mbele za Bwana Mungu wenu. 2923:29 Mwa 17:14; Law 7:20; Hes 5:2Mtu yeyote ambaye hatafunga siku hiyo ni lazima akatiliwe mbali na watu wake. 3023:30 Law 20:3Mtu yeyote atakayefanya kazi siku hiyo nitamwangamiza kutoka miongoni mwa watu wake. 3123:31 Law 3:17Hamtafanya kazi kamwe. Hili litakuwa agizo la kudumu kwa vizazi vijavyo popote mnapoishi. 3223:32 Law 16:31; Neh 13:19Ni Sabato ya mapumziko kwenu ninyi, na lazima mfunge. Tangu jioni ya siku ya tisa ya mwezi hadi jioni inayofuata, mtaishika Sabato yenu.”

Sikukuu Ya Vibanda

(Hesabu 29:12-40)

33Bwana akamwambia Mose, 3423:34 1Fal 8:2; Hag 2:1; Kut 23:16; Yn 7:2, 37; Kut 34:22; Ezr 3:4; Neh 8:14; Zek 14:16“Waambie Waisraeli: ‘Katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba, Sikukuu ya Bwana ya vibanda itaanza, nayo itaadhimishwa kwa siku saba. 35Siku ya kwanza ni kusanyiko takatifu, msifanye kazi zenu za kawaida. 3623:36 1Fal 8:2; 2Nya 7:9; Neh 8:18; Yn 7:37; Law 1:9Kwa siku saba toeni sadaka kwa Bwana za kuteketezwa kwa moto. Kwenye siku ya nane fanyeni kusanyiko takatifu, na mtoe sadaka kwa Bwana ya kuteketezwa kwa moto. Ni kusanyiko la mwisho, msifanye kazi zenu za kawaida.

37(“ ‘Hizi ni sikukuu za Bwana zilizoamriwa, ambazo mtazitangaza kuwa makusanyiko matakatifu kwa kuleta sadaka kwa Bwana za kuteketeza kwa moto: sadaka za kuteketezwa na sadaka za nafaka, dhabihu na sadaka za vinywaji zitahitajika kila siku. 3823:38 Kut 20:10; 2Nya 2:4; Eze 45:17; Law 7:16Sadaka hizi ni nyongeza ya zile mnazozitoa katika Sabato za Bwana, na pia ni nyongeza ya matoleo yenu ya chochote mlichoweka nadhiri, na sadaka zenu zote za hiari mnazozitoa kwa Bwana.)

3923:39 Isa 62:9; Kut 23:16; Kum 16:13; Mt 21:8“ ‘Basi kuanzia siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba, baada ya kuvuna mazao yote ya nchi, mtaadhimisha sikukuu kwa Bwana kwa siku saba; siku ya kwanza ni mapumziko, pia siku ya nane ni mapumziko. 4023:40 Za 9:2; 66:6; 105:43; 118:27; 137:2; Neh 8:10, 14-17; Isa 44:4; Kum 12:7; 14:26; 28:47; Yoe 2:26Siku ya kwanza mtachukua matunda mazuri ya miti, matawi ya mitende, matawi yenye majani mengi, na matawi ya mirebi, nanyi mtashangilia mbele za Bwana Mungu wenu kwa siku saba. 41Mtaadhimisha siku hii kuwa sikukuu kwa Bwana kwa siku saba kila mwaka. Hili litakuwa agizo la kudumu kwa vizazi vijavyo; iadhimisheni mwezi wa saba. 4223:42 Kut 23:16; Neh 8:14-16Mtaishi katika vibanda kwa siku saba: Wazawa wote wa Waisraeli wataishi katika vibanda, 4323:43 Kum 31:13; Za 78:5ili wazao wenu wajue kuwa niliwafanya Waisraeli waishi kwenye vibanda nilipowatoa Misri. Mimi ndimi Bwana Mungu wenu.’ ”

44Kwa hiyo Mose akawatangazia Waisraeli sikukuu zilizoamriwa na Bwana.